RANIA (36)

Zephiline F Ezekiel
RANIA (36)
JINA: RANIA Mtunzi: Teddy Mibaraka SEHEMU YA THELATHINI NA SITA ILIPOISHIA... Dom alishtuka sana kusikia Rania akisema "sijui kama nitarudi nikiwa hai au nitakufa huko"" Alishituka sana mapigo ya moyo yakaenda kwa kasi sana.. SASA ENDELEA.. Sawa nitakuruhusu uonane nao mara moja tu ila ukiwa unaonana nao na mimi nitakuwepo kuhakikisha hamliongelei hili swala.. Alisema Rai. Sawa.. Naweza kwenda kuwaona sasa?..aliuliza Rania. Haina haja... Ngoja kwanza... Alisema Rai. Dom..toka huko ulikojificha njoo hapa....alisema Rai. Dom alishituka..haaa kumbe mama ameshaniona!?..alijisemea Dom. Fanya haraka.. Alisisitiza Rai. Dom kwa aibu kidogo alitoka na kuja pale alipokua rai na Rania. Mama,kwanini usiniweke wazi juu ya hili?.. Aliuliza Dom. Rai alibaki kimya..Rania na Dom walibaki wanaangaliana tu maana na kusema hakikuwepo. Mama....aliita Dom. Nazani ulipokua umejificha ulisikia angalau kidogo.. Inatosha...alisema Rai. Lakini mama....alisema Dom kabla mama yake hajaingilia na kusema. Rania.. Tunac…