MTAA WA TATU (29)
JINA: MTAA WA TATU Mwandishi: Hafidhi J Ikram SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA ILIPOISHIA... “Huyu kijana mwehu nini naona anataka kunipanda kichwani hanijui ehee haya tutaona". Taqawa siku hiyo alikuwa anafua nguo zake watoto wa mama mwenye nyumba kina Asha-Aisha- Mpendu washaanza shobo za kumshobokea kidume NIOMBE SAPOTI, BONYEZA TANGAZO LINALOKUJA NA KUJAA KWENYE SIMU YAKO WAKATI UKIFUNGUA SIMULIZI AU LILE LINALOKUWA KATIKATI YA SIMULIZI ZETUKABLA HAUJAIFUNGUA NDANI, PIA KUNA LILE LINAKUJA NA KUNG'ANG'ANIA HAPO CHINI, BONYEZA WALAU MARA 3-4 HIVI HIYO NDIO SAPOTI YAKO KWANGU, TAFADHALI NIPE NGUVU NAKUTEGEMEA SANA MSOMAJI WANGU SASA ENDELEA... “Hendsome mambo vipi?" Alikuwa Aisha kwa sauti ya kichokozi akatoa salamu. “ahaa powa tu sister niambie" “nikwambie nini tena nawe mmbea nakuona unafua mwenyewe".... “ha!ha!ha!ha! Nani mmbea tena? “si wewe hapo nakuona unafua mwenyewe kwani wifi yuko wapi?" “ahaa wifi yako atokee wapi usawa wenyewe huu pangu pakavu tia mchuzi, Yani tu…