Notifications
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

POLEPOLE MPENZI (4)

Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA NNE
ILIPOISHIA...
Aaaaah,, ooooh,, aaaissssss,,, aaaaaah,,,,, nakupendaaaaaa,,,, aaaaah,,, alilalamika Eliet huku akimpa Nelson maneno ya matamu wakati anamwaga,,, Baada ya kumwaga Eliet hakugeuka,alibaki amelala kifudifudi huku Nelson akijitahidi kupampu naye amwage,,,alivuta hisia huku akiwa amemlalia Eliet mgongoni,,,mdomo wake na ulimi vikiwa shingoni mwa Eliet vinamtekenya

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Hazikupita dakika nyingi naye akamwaga ambapo alitoa miguno ya kimahaba kama Simba aliyepigwa mshale porini Alipomaliza kumwaga,alijilaza pembeni ya Eliet aliyekuwa anamwangalia kwa jicho la uchovu hata asiweze kuzungumza chochote,,,basi Nelson akiwa pembeni yake aliupeleka mkono wake mpaka kwenye makalio ya Eliet yaliyokuwa yametuna haswa yakisapotiwa na ulalaji wake wa kifudifudi,,, ,,,,,nambi mpenzi,show ya leo umeipenda?,,aliongea hivyo Nelson huku akimshikashika makalio Eliet aliyekuwa ametulia kama mtumwa kwa bwana wake ,,,,

Siku zote huwa hukosei,unanipatia mpaka nakosa la kusema,,,, ,,,,umeridhika?,au tuendelee?,, ,,,,huo utamu nimwachie nani?,,leo mtu anafia kitandani hapa hapa,nakudai unisugue vya muda wote uliokaa bila kunisugua,,, Aliongea kauli hiyo iliyowafanya wote kucheka huku wakikaribiana sura zao ambapo walilianzisha tena,,wakaanza kunyonyana ndimi zao huku wakikumbatiana,,,mikono yao yenye kihelehele haikutulia sehemu moja,kila mmoja alihakikisha anamshikashika vyema mwenziye kila kona ya mwili,,,walifanya hivyo kwa muda huku zoezi la kunyonyana ndimi zao likiendelea,,Nelson alijiweka juu ya Eliet na kuanza kunyonya chuchu zake zilizokuwa zimesimama kwa hamu,aaaisssssssss,,,

Alianza kuguna taratibu kwa sauti ya chini aliyoisikia Nelson pekee,akashuka mpaka kwenye kitovu chake kilichoingia ndani,,akaingiza ulimi na kuuzungusha ndani ya kitovu ambapo Eliet hakuisha kutoa miguno ya kimahaba,alishika mpaka kitumbua laini cha Eliet kilichosafishwa kwa kupaliliwa vizuri,,, Alijikuta akijipanua mapaja Eliet na kuruhusu chochote kifanyike kwenye kitumbua chake ambapo mdomo wa Nelson ulikuwa unabisha hodi nje ya kitumbua hicho kilichokuwa kinanukia harufu ya ute,aliutoa ulimi wake mrefu na kuanza kumnyonya kitumbua chake huku akikazana kukisugua kile kidude mautamu,,,aaaaaah,,,aaaaah,,mmmmh,,,ooooh,,

Alilalamika Eliet kwa utamu aliousikia wa kunyonywa kitumbua,,,, Alipoona Eliet wa watu analalamika mpaka mchozi unamtoka,aliona ni bora ampe haki yake ambapo aliuchukua mtalimbo wake uliosimama barabara na kuuingiza ndani ya kitumbua chake,,,, aaaaah,, aaaaah,,, ooooh,,, mmmmh,,, alilalamika huku mtalimbo huo ukiwa unapita taratibu kwenye kitumbua chake kilicholowa,, kweli raha ya mapenzi ni kuandaana,hususani kwa wakinadada hufurahia zaidi zoezi la mieleka ya kitandani kama atakuwa ameandaliwa vyema,,,ndivyo ilivyokuwa kwa Eliet aliyehisi raha ya ajabu wakati mtalimboukiwa unamsugua kitumbua chake,,,Nelson wakati anakisugua kitumbua cha Eliet alilenga kukisugua zaidi kile kidude mautamu kilichokuwa kimasimama haswa,,

Nifanye kwa nguvu mpenziiiiiii,,,aaaaaaaah,,,aaiiisssssss,,,uuuuuh,,,alilalamika Eliet huku Nelson akiendelea kumsugua kitumbua kwa kukikazania kile kidude mautamu,baada ya dakika kadhaa mtoto wa watu alijikunja na kumkumbatia Nelson huku akitangaza kufika mwisho wa safari yake,,,Naye Nelson hakukubali kuachwa nyuma alijivuta na kuzidi kupampu kwa kasi kisha akamwaga uji wake ambapo hazikupita sekunde tano naye Eliet alimwaga,,, Eliet alijilaza kama mtu aliyezimia na kupitiwa na usingizi,,,Nelson bado alikuwa fiti japo kwa namna moja alihisi uchovu,kwa yeye pekee akawa yuko macho,akiwa amejilaza chali mara simu yake ikawa inawaka mwanga,alipoisogelea kwa karibu,akaona ni Suzan anampigia,moyo ukamshtuka,,akataka sipokee lakini moyo ukasita kufanya hivyo,akachukua simu na kwenda nayo sebuleni kisha akapokea kwa sauti ya chini,,, ,,,Hallo!,

Aliongea Nelson kwa sauti ya chini ili asije kusikia Eliet ,,,fungua mlango niko nje hapa,nimekupigia simu muda mrefu,,,, Sauti hiyo ya Suzan hakuisikia kupitia simu tu,aliisikia kabisa nje ya mlango wake iliyoashiria Suzan yuko nje kwake,,,mapigo ya moyo yalienda mbio,huku ukweli wa moyo wake juu hofu nyingi zilikuwa kwa Suzan,alipofungua mlango alikutana uso kwa uso na Suzan aliyekuwa amevalia gauni lile alilompa la Eliet,alimkaribisha mpaka ndani ambapo Suzan aliingia na kuketi kwenye kochi,, ,,,mmmmh,mimi si mkaaji Nelson,nimekuja kupitia pochi yangu,niliisahau,,, ,,,aaaaah,nilikuhifadhia jamani,hii hapa,,,aliongea hivyo Nelson huku akiendea nyuma ya TV alipoiweka,akaichukua na kumkabidhi ,,,,ahsante,kwaheri,, ,,,,

Jamani,mbona mapema hivyo!,hata tupige stori mbili tatu jamani,,,,aliongea hivyo Nelson kwa kujiamini utadhani ni kweli alidhamiria ,,,mmmmh,usijali nitakuja siku nyingine,,, ,,,sawa,unakaribishwa muda wowote ule,,, Baada ya Maongezi hayo Suzan akawa anaongoza kwenye mlango wa kutokea,aliposhika kitasa cha mlango ili akizungushe afungue mlango,,,mara ilisikika sauti ya mlango ukifunguliwa chumbani kule alikomwacha Eliet,,,kwa mahali ambapo alisimama Nelson aliposimama Nelson shingo yake ilipopata kugeuka alimwona Eliet akiwa kama alivyozaliwa huku akitembea kwa hatua za taratibu kuja Sebuleni,akiangalia kwenye mlango ndio Suzan alikuwa anajiandaa kufungua mlango,,,Nelson alibaki akiwa haelewi chochote huku moyoni akiombea Suzan atoke haraka ili Eliet asigundue lolote,,,

Jamani sasa ndio nini baby kuniacha peke yangu,,,,aliongea hivyo Eliet kwa sauti ya kudeka kama mtoto ambapo alipowasili asebuleni hapo alimkumbatia Nelson na kuanguka naye kwenye kochi,,stayari Suzan alishatoka ndani hivyo Eliet alipofika sebuleni hakumkuta,,, Bwana Gasto Kugishima akiwa ndani ya mgahawa mmoja akipata chakula cha mchana na rafiki yake kipenzi aliyejulikana kwa jina la Luka Zwangendaba,,,ilikuwa ni mapumziko mafupi baada ya kukaa ofisini kuanzia asubuhi,,,marafiki hawa wa muda mrefu walizoeshana kuambiana siri zao za ndani sana kitu kilichowafanya wawe pamoja na kuheshimiana mpaka siku hiyo,,,katikati ya chakula Bwana Gasto Kugishima alianzisha mazungumzo ,,,,aaaah,Luka ndugu yangu,kuna jambo linanitatiza sana kaka?,,, ,,,jambo lipi tena hilo?,,, ,,,kuhusu shemeji yako Eliet,,, ,,,enhee,amefanya nini Shemeji yangu mpole yule,,, ,,,

Nahisi kuna mchezo ananichezea,,, ,,mchezo upi kaka?,, ,,,ana mwanaume mwingine,sasa kitu nilichokifanya leo,nikamwambia nasafiri kikazi sitarudi,kisha kuna kijana mmoja jirani yetu,nimempa kazi amwangalie kuwa ametoka saa ngapi na amerudi saa ngapi,,, ,,,,mmmmh,mambo haya ili kupata uhakika kaka huwa yanachukua muda mwingi,sasa huyo kijana unawasiliana naye?,,, ,,,,ndiyo nawasiliana naye,na ameniambia kuwa amemwona akiondoka kuanzia majira ya asubuhi mpaka sasa hivi hajarudi,atakuwa ameenda huko kwa huyo mwanaume,,, ,,,,hamna pengine hata kwa marafiki zake,tusimwazie vibaya sana,,, ,,,,

Hapana ni huko huko kaka kwa wanaume zake,kwasababu nachati naye hapa ananiambia yuko nyumbani wakati kijana niliyemwacha ameenda mpaka nyumbani amekuta kufuri,,, ,,,,mmmmh,sitaki kuamini kama Shemeji ameanza tabia hii,, ,,,,inabidi uamini tu,wanawake ndio walivyo kaka,embu fikiria mwenyewe kipindi kile alivyokuwa anahangaika kwa ajili yangu mpaka muda mwingine kutaka kunywa sumu,au kujinyonga,ina maana alikuwa ananidanganya?,,, ,,,usifike mbali sana rafiki yangu,embu nipe simu yako!,,

Luka Zwangendaba alichukua simu ya rafiki yake na kuitafuta namba ya Eliet kisha akaipiga,,,lakini kabla haijaanza kuita akakata,alichokifanya akatumia simu ya kwake kumpigia,,,alipopokea alimshtukiza kwa kumwambia,,,eeh,shemeji niko hapa nje kwako naona kufuri,,,mmmh,,eeh,,aah,,alibabaika kutoa majibu kamili Eliet ambapo naye alianza kumwekea mashaka,,,kwavile alikuwa ameweka Loud speaker mpaka Gasto alisikia jinsi mpenzi wake alivyokuwa akibabaika kujibu,,, ,,,kwani wewe uko anakwambiaje?,,, ,,,nilikuwa nachati naye tangu asubuhi,lakini nikaona mida Fulani kimya,kila nikimtumia meseji hazifiki,nikaona atakuwa anapika kwasababu aliniambia ndio anaandaa vifaa vy amapishi,,, ,,,mtumie meseji sasa hivi kaka,,, Basi Gasto alipokuwa akiandika meseji ili amtumie Eliet,ikaingia meseji ya Eliet huku ikiwa ameiandika,,,samahani mpenzi,nilikuwa napika jikoni,lakini sasa hivi chakula kimeiva,karibu tule,,,

Umeona kaka alichoniandikia?,,aliongea hivyo Gasto huku akimpa simu Luka asome meseji hiyo,mmh!,,lakini tusimuhukumu moja kwa moja kwasababu sidhani kama tuna ushahidi wa kutosha kufanya hivyo,,,Alisema Luka baada ya kuisoma meseji aliyoonyeshwa,,, Unajua kaka,nampenda sana Eliet na nimemzoea kwakweli,uamuzi wa kumwacha siwezi kuutimiza,lakini,nikimjua huyo anayenimegea tunda langu,atanipeleka jela,,,,maneno hayo aliyaongea kwa hisia Gasto huku sura yake ikiwa kama mtu anayekaribia kuangusha chozi,,baada ya maneno hayo walinyanyuka na kurejea ofisini,,kwa upande wa Eliet tayari baada ya mchakato wa kuwasiliana na mpenzi wake Gasto na shemeji yake Luka,machale yalimcheza,hakuwa na amani ya kuwa mbali na nyumbani kwake tena,alijiandaa na kurudi kurejea nyumbani Tukirudi kwa upande wa Suzan ambaye siku hiyo alikwenda Saluni kwa ajili ya kutengenezwa nywele zake,

Kucha za miguu na mikono,muda huu akiwa tayari ameshatengenezwa nywele,mpaka rangi kucha ndio alikuwa akimpendezesha kucha zake,,kama unavyojua Saluni tena,ukizingatia ni wanawake tupu ndio walikuwa wamejaa,kutokana na ukubwa wa saluni hiyo iliweza kuwaruhusu warembo wengi kuhudhuria hapo hata kama sio kwa ajili ya kutengeneza nywele zao,basi walifuata ushauri juu ya mambo mbalimbali yahusianayo na urembo,,,,,wakiwa wamejikusanya wasichana warembo sita,wakawa wanapiga stori kwa sauti kubwa ambapo kilichomfanya Suzan ahamasike kutega masikio yake na kuwasikiliza ni mada iliyokuwa ikizungumziwa,,, ,,,,,shosti we unaongea tu,nini kupendana siku hizi bwana wewe!,,walipendana Romeo na Juliet na wakafa,,,, ,,,,,

Ila shosti kweli, mwenzangu! mmh!, jana nimelala na mwanaume,yaliyonikuta mimi mwenyewe nikasalimu amri kwakweli,,,maana mwanaume alikuwa anayajua haswa!,,yaani kanikuna mpaka mimi mwenyewe nikamwambia baba inatosha!,,, ,,,,ha ha ha,shoga mi nakwambia,hata umpende vipi mwanaume,kitandani ashindwe kukupa krosi ufunge goli,aaah,mi namshusha vyeo vyote,yaani kama kanali atakuwa kuruti,, ,,,,,lakini mashoga zangu bwana,tukienda mbele tukirudi nyuma,mtu ukimpenda kwa dhati huwezi kumsaliti hata kama awe na kasoro gani,huo ndio ukweli!,,, ,,,,,we! we! we! weweeeee!,,we unaongea kwasababu unaridhishwa vizuri kitandani,lakini dume lako lingekuwa linakuacha na shombo we mwenyewe ungefikiria kutoka nje

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
33 Polepole Mpenzi Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni