Notifications
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…

POLEPOLE MPENZI (22)

Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI
ILIPOISHIA...
Suzan alisikia raha kiasi kwamba alitamani Adrani asichomoe mtalimbo wake,wakae hivyo maisha yao yote,,
,,,,sssssss,,,, oooohgghhh,, aaaaah,, alilalamika Adrian naye ambapo muda mwingi alionekana kama bubu,,,jasho jingi lilimvuja mwilini mwake,,, Suzan alikuwa hana hali kwani alitoa miguno ya kila namna

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Zilipita dakika arobaini Suzan akwa amechoka mtindo huo kwani mapaja yake yalianza kuuma,,,,mpenziiii,,tubadiliiii,,,aaah,,aliongea hivyo Suzan kwa sauti iliyozidiwa kimahaba,,,
Adrian wala hakuongea,alichokifanya aliuchukua mguu wa Suzan na kuuhamishia upande wa pili bila kuchomoa mtalimbo wake kisha kuendeleza kumsugua kwa kasi ile ile,,, mmmh,, aaaah,,, ooooooooooh,,,,, ssssssssssssssssssssss,,, alizidi kutoa sauti za mautamu Suzan kwani kwasasa kitumbua chake kilikuwa kama kimebana vyema kutokana na ule mguu aliouhamishia upande wa pili kuubananisha na huu mwingine wa chini,,, kitendo kiliufanya mtalimbo wa Adrian kumkuna Suzan kila kona kwani ilikuwa rahisi kuzifikia,,,

Mkono mmoja wa Adrian ulikuwa umeshikilia shingo ya suzan kwa nyuma huku mwingine ukiwa ukiwa umeshikilia miguu yake ile sehemu nyuma ya magoti,kuna mikono yake alikuwa kama anataka kuitanisha kitendo kilichomfanay Suzan kusikia maumivu ya viungo vyake kukaza Lakini maumivu hayo aliyapunguza kwa kuzidisha mashambulizi ya kumsugua kitumbua chake,,,,

Mmmmm,,, aaaiissssss,,, aaah,, oooooh,,,,, mmmh,,,, ooooh,, alizidi kulalamika Suzan na kutaka kama kukunjua miguu yake,,alijikaza huku akizidi kupiga kelele za utamu,,,baada ya muda alitulia kimya,,,tayari alishafunga goli la pili,,,ikawa kazi kwa Adrian ambaye alikuwa akipampu kwa kasi kiasi,,,pumzi ilishaanza kumuishia japo mtalimbo wake haukuishiwa nguvu,ndio kwanza ulikuwa umesimama wima kama mshale wa mmakonde,,,

Mmmmh,, uuuuh,, aaaah,,, ilikuwa ni mikiki ya nguvu aliyoitoa Adrian tofauti na mwanzoni,alizidisha kasi ya kumsugua huku akihema kama bata,utamu wa uji kutoka ulimkolea na kujihisi kama anapaa angani bila kushikiliwa n akitu chochote,,, aaaah,, aaaah,, ssssss,, aah,, aliendelea kulalamika huku uji ukimalizikia kumwagika ndani ya kitumbua,,,

,,,,pole mume wangu,,,aliongea Suzan huku akimshikashika Adriani kifuani kwenye chuchu yake ya kulia ambaye alikuwa amejilaza chali huku akihema kwa kasi
,,,,ahsante mke wangu pole na wewe,,,
,,,,wewe ndio umefanya kazi,ahsante kwa kunitibu,,,
,,,,sio mimi huyo,ni dawa hizo,,,?
,,,,hamna bwana,usiseme hivyo,,,
,,,,si ndio ukweli wenyewe sasa,,!
,,,,Lakini mume wangu hili sio tatizo kabisa,tatizo ni pale mtalimbo unaposhindwa kabisa hata kusimama,,,,
,,,,unamaanisha ukiwa hanisi,,?
,,,,ndio,hilo ndio tatizo,Lakini hili sioni kama ni tatizo,,,mbona umeniridhisha,,,tena sijawahi kukunwa hivi hakika nakwambia,,,?,,kauli hiyo ilimpa ujasiri Adrian na kuanza kuona kama hana tatizo kweli
,,,,nimetumia dawa mke wangu ndio maana umeridhika,,,,
,,,,haya kama ndio hivyo,mnyweshe dawa Hanisi uone kama atasimamisha,,mi sipendi ujione kama una mapungufu wakati mimi nimeridhika na hiyo hali, halafu ngoja nikwambie kitu mume wangu, hautakuwa unatumia dawa hii mara kwa mara,utakuwa unatumia siku moja moja,, niamini mpenzi wako nimebadilika kabisa baada y akuujua ukweli wako kwasababu sasa hivi ndio kama nimekupenda mara mbili yake,,,

,,,,nashukuru mke wangu,mungu akubariki,,,
Suzan alichohitaji ni kumjengea ujasiri Adrian kwamba anaweza kuridhika naye hata kama ana tatizo gani,alijitahidi sana kumwondoa hofu ya kuibiwa,na kumuongezea kujiamini mbele yake,,,kadri siku zilivyokuwa zikizidi kwenda Adrian alianza kumwamini Suzan,,, wazo la kumfanya awe mama watoto wake lilimjia tena kwa mara ya pili,,,roho yake ilisita kumtafuta Nelson kwa kuhisi anaweza kumharibia kwa kummegea tunda lake tena,, Lakini kwa ushawishi wa Suzan Adrian alijiamini na kukubaliana na ushauri wa Suzan kwamba ni vyema amtafute wawe wanawasiliana kwani ni ndugu yake wa damu,,,

,,,Tukirudi kwa upande wa Marlene, siku hiyo akiwa yuko nyumbani na mfanyakazi wake Adela aliyezoea kumwita katotoo jina ambalo Adela akiitwa huwa anafurahi tu yeye mwenyewe,,, wakiwa wameketi kwenye makochi sebuleni hapo,ni kama Marlene alichezwa na machale ambapo akanza kumchokonoa Adela kwa maswali ya kichokozi

,,,,hivi shemeji yako unamwonaje,,,?
,,,,yuko vizuri tu dada,kwanini umeuliza,,,?
,,,,hajawahi kukwambia kitu chochote pengine,,,?
,,,,hapana,,,,
,,,,ujue katotoo,mi nampenda sana Nelson shemeji yako,,, Lakini tatizo moja alilonalo hajatulia, kiukweli hili linanitesa sana kwani muda wote nakuwa sina imani naye, nampenda na hata iweje mi nitakuwa naye tu,,,na tatizo ambalo linanimaliza ndani kwa ndani ni huu wivu uliopitiliza juu yake,,, ujue nilishawahi kumwua mwanamke nilipomkuta amelala naye kitandani,,,nilipandwa na hasira na kujikuta nafanya maamuzi hayo,,, kumbe nilipomchoma kisu Yule Malaya kilipitiliza na kumchoma shemeji yako tumboni kidogo,,,,

,,,,mmmh,dada inabidi upunguze hasira,maana unaweza kumwua mtu ambaye hana hatia,,,
,,,,najitahidi sana Lakini tangu nikiwa mdogo nilikuwa hivi,nilipobalehe na kuanza kuyajua mapenzi wivu ndio ukaibuka,,,
,,,,mmh,pole sana dada,,,
,,,ahsante,,,

Marlene aliamua kumpa onyo Adela la kiutu uzima bila kumweleza moja kwa moja ambapo Adela hakuelewa chochote,,alichokitaka Marlene ni kumjengea hofu Adela juu ya mazoea yaliyopitiliza kwa Nelson,kwa asilimia tisini Adela aliingiwa na hofu na kujiahidi hatakuja kufanya mazoea yeyote ya kijinga na Nelson,,, kumbe Marlene alishaua,mpaka akamchoma kisu mtu anayempenda,,,?, hapa inabidi nijichunge hasa,,,, alijisemea hivyo Adela moyoni huku akiangalia TV

Wakiwa sebuleni hapo mara wanasikia mtu ameparamia mlango na kuufungua kama anakimbizwa na Polisi,,,ile kutahamaki kugeuka kuangalia ni nani,,,Mrlene na Adela wakapata kumwona Nelson akiwa anavuja jasho na kuhema kwa kasi,,,,wote hawakumwelewa bado,,Nelson alitembea mpaka kuwafikia kina Marlene na Adela,,,,Marlene,nimekwisha,,!,

,,nyumba yangu imeungua jamani,,nyumba yangu,,aliongea hivyo Nelson kwa sauti ya kulia huku akihema hasa,,,imeungua,,?,Marlene alibaki na mshangao huo huku akimsogelea Nelson na kumbembeleza kwa kumkumbatia,,,Pole mume wangu,jikaze usilie sana,,,jikaze kiume baba yangu,,nyamaza mpenzi wangu,,,aliongea hivyo Marlene huku naye chozi likitaka kumtoka,,,muda huo Adela alikuwa akimwangalia Nelson huku moyoni mwake akiguswa na jambo hilo,,,,
,,,Marlene!,lakini kwanini wamenifanyia hivi,,,?,nimewakosea nini?,,,aliongea Nelson huku macho yakiwa yamemuiva kwa kulia,yalikuwa ni majira ya saa tatu na nusu usiku wakiwa ndani chumbani kwa Marlene,,,
,,,,mpenzi wangu,pole sana kwa jambo hili,kiukweli bado sijaelewa vizuri hapo,lakini,,,naomba uniambie ilikuwaje,,,?

,,,,Asubuhi majira ya saa mbili na dakika kumi kama sikosei,alikuja jamaa mmoja ambaye alionekana kama amekimbia umbali mrefu,akabisha hodi,nikamfungulia,nilimwona akihema kwa kasi,,akanieleza kuna ndugu yake amegongwa hapo mtaa wa pili ambapo ametafuta msaada wa gari amekosa,,,sasa akawa ameliona gari langu nimeliegesha nje ndio maana akabisha hodi kwangu,,,kiubinadamu niliamua kujivika majukumu ya kumsaidia,,nilitoka na kama nilivyokuja huku kisha kwa haraka tukapanda ndani ya gari na kuanza kuelekea eneo la tukio,,lakini nilishangaa eneo hilo hatufiki,,,

Kila nilipomuuliza ni wapi amegongwa ndugu yake,,alibabaika kusema sehemu sahihi ambapo nilianza kumtilia mashaka,lakini nilikuwa tayari nimeshachelewa,,mara nikamsikia akisema kwamba pengine wameshampeleka Hospitarini,,, alikuwa ni mtu mkubwa kwangu kiumri ningeweza hata kumwita baba,hivyo nikamwamini kwa moyo nusu,,, tukaenda mpaka Hospitarini na kuanza kuulizia kwa madaktari ,hakulidhika na majibu ya daktari tukaanza kuzunguka kwenye wodi na kumtafuta,,, kiukweli alikuwa anatia huruma kiasi kwa jinsi alivyokuwa analia,,, tulipomkosa baada ya kuzunguka sana alinishukuru na kuniambia niendelee na shughuli zangu,,, kiukweli nami nilimpa pole kisha nikamwacha Hospitari hapo,,, niliporudi nyumbani ndipo nilichoka kabisa,,, nyumba yangu ilikuwa imeshaungua kwa kiasi kikubwa sana,hata kama watu wangezima isingesaidia kitu,,, hapo ndipo nikaanza kulia kama mtoto mdogo,,,, nyumba yangu Marlene,,nyumba yangu lakini,,,naumia sana,,,alimaliza kuongea hivyo Nelson na kuanza kulia tena

,,,,usilie tena Nelson mpenzi wangu jamani,,,embu niangalie mimi mpenzi wako,,niko kwa ajili yako na ninakupenda sana,kamwe siwezi kukuacha uhaibike,tutahaibika wote,,,utaishi hapa kwani tatizo liko wapi jamani baby wangu,,I love you,,
,,,,,ahsante,nami nakupenda pia,,
,,,,,na nikwambie kitu,,,hao waliochoma nyumba yako,tutawapata tu,kwasababu inaonyesha wazi walipanga kukufanyia kitu hicho,hata huyo mtu aliyekuja kwako hakuwa na tatizo kweli,ndio maana maelezo yake hayakueleweka vizuri,,,sasa tuliza akili kisha baadae akili ikishatulia tutajua tufanye nini,,ujue sipendi kukuona ukiwa hivyo mpenzi wangu,,,jitahidi usiwaze sana jambo hilo,,,,
,,,,ahsante kwa ushauri mzuri mpenzi wangu,,,
,,,,ahsante na wewe pia kwa kushukuru,,,,

Tukihamia kwa upande wa Monika ambaye siku tatu zilizopita alirudiana na bwana yake yule aliyemwacha na kumtukana kwamba hawezi kumridhisha mwanamke kitandani,,,na sasa walikuwa kwenye mgahawa Fulani wanapata chakula cha mchana,,ujauzito wa Monika ulikuwa bado haujaanza kujitokeza na kuwa mkubwa,,,kwa asilimia zote mpenzi wake aliyejulikana kwa jina moja la Prospa,,aliamini kwamba huo ujauzito ni wake tena alijua hauna muda mrefu
Wakiwa katika kufurahia chakula chao kwenye hotel hiyo yenye hadhi yao,,,Prospa alipigiwa simu ambapo alipoiangalia,alijua wazi hatoweza kuongea mbele ya Monika,,,samahani mpenzi wangu dakika moja,,,haaa!,unaenda kuongea na mwenzangu eeh!,,hamna bwana uko peke yako,,,haya baba usijali nakutania tu,,,baada ya Prospa kupata kibali,alinyanyuka na kusogea kwenye kona Fulani iliyojificha,tayari simu ilishakata hivyo akapiga yeye,,,

,,,,eeh,kuna tatizo,,,,?
,,,,Bosi,kazi tumeshafanya vipi,umeikagua,,,?
,,,,mmehakikisha kila kitu kimeungua,,,?
,,,,kila kitu Bosi wangu,ni wewe tu kukagua na kutulipa ndio kilichobaki,,,
,,,,sawa msijali,kesho nitakupigia nikiwa na pesa zenu halafu twende tukakague,,,,
,,,,sawa Bosi,,,baada ya kumaliza maongezi alirejea na kuketi kisha kuendelea kupata chakula

Huyu Prospa ambaye ndiye mpenzi wake Monika, ndiye yule yule aliyegongwa na gari Nelson ambapo aliwahishwa Hospitari kwa matibabu ili kuokoa maisha yake,,, na wakati akiwa amepoteza fahamu kwenye gari akiwa anapelekwa Hospitari, Nelson alichukua simu yake na kuanza kukagua namba za kwenye simu ili amtaarifu ndugu yake yeyote wa karibu alipata kuyaona majina ya CUTE na BEST ambapo Nelson aliitambua namba ya Suzan kwasababu aliishika kichwani

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
33 Polepole Mpenzi Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni