Mtunzi: 2jiachie
SEHEMU YA TATU
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
“Kama ni hivyo na mimi nakiuka.”
Roi alimgeukia Liz, wakawa wamelala kwa kuangaliana, Liz bado alikuwa katika usingizi lakini siyo mzito kama awali. Roi alimsogelea Liz mpaka mdomoni,
JE UNAISOMA SIMULIZI HII NJE YA APP YA CnZ Media?
IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI
IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI
ENDELEA...
akatoa ulimi kuelekea kwenye kinywa cha mrembo huyo.
Liz akiwa hajui lolote, alijikuta akipanua kinywa, ulimi wa Roi ukapenya ndani, Liz akaanza kuburudika nao huku akiguna.
Liz alijikuta akishtuka kutoka usingizini, akatumbua macho na kumwona Roi mbele yake...
“Haa! Broo,” alisema kwa tabu huku ulimi wa Roi ukiwa bado kinywani mwake, lakini hakuutoa!
Walikaa kimya, kilichosikika wakati huo ni dalili na mihemko tu, kila mmoja alishapanda joto la mahaba...
“B...ro...”
“M...mm...”
“Ah!”
“Mh!”
“Oo!”
“Ha!”
Liz alimvutia Roi kifuani kwake, akamweka karibu kabisa na kuanza kufaidi denda kwa uwazi. Ndani ya dakika kumi nzima walizama huko, Liz alipokuja kumtoa Roi kwenye kifua chake, akalala chali na kuchojoa.
Roi hakutaka kusubiri na yeye alichukua hatua hiyo, akajichojoa mwenyewe, wakawa saresare.
Walijikuta wapo uwanjani, kila mmoja alikuwa moto wa kuotea kwa mbali. Walijitamani sana, wakaamua kuingia uwanjani bila kuulizana wala kulaumiana.
Mchezo ulianza vizuri kabisa, kila upande ulisukuma mashambulizi kwa mwingine mpaka mchezo kuwa wa vuta nikuvute!
“Bro...ooo.”
“Si...staaa...”
“Tume...tumekiuka?”
“Daa...aaa!”
“Mwisho leo...”
“Kufanyaje?”
“Tusirudie tena, sawa?”
“Kweli kabisa sista...tusirudie tena,” alisema Roi huku akikazana. Alikazana sana mpaka Liz akabadili mawazo...
“Bro...oooo...”
“Sist...aaa...”
“Una..unaonaje tukiachana na undugu? Mbona kama huku ni kuzuri zaidi...”
“Broooo...oooo...”
“Noo...tuendelee sista...lakini tusirudie tena baada ya leo, tena tujikanye kabisa na tukome kama tulivyokoma kwenye nido za mama zetu, si ndiyo... eee?” alijibu Roi kwa sauti ya kubabaika...
“Bwana...aaa! Mimi sitaki undugu tena kuanzia leo na ufe, kwanza una faida gani kwetu?” alihoji Liz lakini kikubwa kilichoonekana ni tamaa ya mwili iliyombamba kwa wakati huo pale kwenye kitanda...
“Mimi nataka mbona,” aliendelea kusisitiza Roi.
“Ba...aaa...si tumalize kwanza...tu...tajadili.”
Wawili hao, waliendelea kuchekecha mpaka wakacheketuka!
Kwa Liz, moyoni aliamua kuwa, baada ya mechi hiyo, yeye na Roi waendelee kuwa kaka na dada kama walivyokubaliana...
“Si mbaya kama tumeanguka dhambini leo tu, lakini nakuhitaji tuendelee kuwa kaka na dada,” alisema Liz akiwa kwenye kasi ya kupiga mpira kwenye kona karibu na goli!
“Hata mimi ndivyo nitavyotaka. Leo tukimaliza hapa tutubu dhambi zetu, tuanze upya kama kaka na dada, sawa dada angu?” alisema Roi...
“Si sawa...kwa...kwa muda huu tuendelee kuwa wapenzi si mpaka tumalize.”
“Haya.”
Liz alichekecha, akafika mwisho, akatangaza nia na kunyoosha miguu, akatulia tuli huku Roi akijitegemea mwenyewe mpaka naye alipotangaza nia yake.
***
Wote walilala wakiangalia juu huku mazungumzo yao yakiwa ya machalechale. Yalikuwa mazungumzo ya kama ni wapenzi, wakati mwingine kama kaka na dada.
Katika kuonesha kwamba, Liz alijutia kitendo cha kuivunja amri ya sita ya Mungu, aliamua kukaa kitandani badala ya kulala...
“Kaka...”
“Dada...”
“Tutubu dhambi yetu sasa ili tuendelee kuwa kaka na dada kama mwanzoni.”
“Kweli bwana, hebu tubu wewe kwa niaba yangu,” alisema Roi baada ya kuhisi hakuna maneno rasmi ya kutubu...
“Tumwombe Mungu tusirudie tena kufanya dhambi hii, mimi na wewe kuanzia sasa ni kaka na dada tena. Kwa kulitambua hilo naomba tukaoge, tuvae tuondoke,” alisema Liz huku akitoka kitandani. Alikwenda bafuni, akaoga na kurejea, akavaa, akasimama akimsubiri Roi ili waondoke wote...
“Sasa dada wewe umeshavaa, kwa hiyo na mimi nivae mbele yako kama dada yangu?”
“Oo! Ngoja nitoke kaka, nisamehe sana.”
Liz alitoka, akasimama nje ya mlango. Roi alikwenda kuoga, akarudi na kuvaa chapchap, akatoka, akaungana na Liz...
“Dada wewe unaondokea kwa njia gani?”
“Nitapanda Bajaj hapo nje kaka.”
“Oke, basi itabidi tuachane kwa nje au vipi sista?”
“Sawa kaka‘angu.”
Nje ya hoteli hiyo, Roi na Liz waligawana njia, kila mmoja akachukua usafiri wake, wakatawanyika kwa ahadi ya kuwasiliana kwa simu...
“Basi baadaye bro,” alisema Liz...
“Sawa, baadaye dada’angu,” alisema Roi.
Baadhi ya watu walipowaona wanatokea kwenye hoteli hiyo na kuitana dada, kaka walishangaa kwani dalili zote ziliashiria kwamba, wawili hao ni wapenzi.
***
“Ila anajitahidi sana kitandani, hivi kweli tunaweza kuwa kaka na dada maisha yetu yote?” alihoji moyoni Roi...
“Mh! Kaka...kaka kweli! Kaka mzima uwanjani kama Pele...kakaaa...” alisema moyoni Liz akisifia.
***
Ilikuwa usiku wa siku hiyohiyo tu, Roi ndiye aliyeanza kumchokoza Liz...
“Dada Martha mambo?”
Martha aliachia tabasamu kwanza maana alishamwambia mara kadhaa Roi kwamba, asimwite Martha, amwite Liz...
“Kaka Roi,” aliitika kwa kulitaja jina Liz...
“Naam sista...”
“Unalipenda jina la Martha ee?”
Roi ndiyo akashtuka kwamba kumbe alitumia jina hilo...
“Da! Nisamehe sista, kusema ule ukweli nililizoea sana kuliko Lizie...”
“Ona sasa! Siyo Lizie kaka ni Liz...sasa sikia bro, nakuruhusu utumie jina la Martha kuanza leo. Hilo la Liz lifute kabisa kwenye akili yako.”
“Daa! Sista nakushukuru sana mama. Hakuna jina nalipenda kama la Martha kuliko Liz, nashukuru kwa kuniruhusu...”
“Oke usijali baby bro...uko wapi sweetheart kaka?”
“Nipo nyumbani darling sista...”
“Oke! Mtoto mzuri kumbe, wewe ndiye kaka wa kweli.”
“Hata wewe ni dada wa kweli. Good sista...hujalala?”
“Ndiyo nataka kulala sasa. nimechokaaaa!”
“Umechokeshwa na nini sista jamani?”
“Kwani hujui bro?”
“Sijui chochote.”
“Aaah! Si kule tulikokuwa,” alisema Martha lakini akilini mwa Roi alijua kilichomchokesha sista wake ni nini!
“Kule gesti?” aliuliza Roi...
“Ndiyo kulekule bro...daa!”
“Daa! Ila sista uko vizuri unajua?”
“Teh! Teh! Mh! Wewe je kaka? Mbona uko vizuri zaidi...”
“Mh! Kweli...?”
“Kweli bro...”
“Uliipenda chenga ipi pale uwanjani?”
“Mmh! Kaka bwana...chenga zote zilikuwa nzuri sana kaka, wewe ni kiboko.”
“Hamna! Lazima kuna chenga moja uliipenda sana...iseme tu sista jamani...”
“Ha! Ha! Ha! Niliipenda ile ulipokaribia golini ukawa unapiga chenga za zigzaga. Halafu hata ile ya mimi kuchunga ng’ombe ilikuwa nzuri...”
“Nyingine, lazima kuna nyingine...”
“Nyingine ni ile uliponiambia una hamu ya kula mboga ya matembele, si ikabidi nikachume.”
“Mh! Sista...”
“Nini tena braza..?”
“Mwenzio hoi hapa...”
“Mimi je? We acha tu! Hivi hapa nataka kwenda kuoga.”
“Umechafuka na vumbi?”
“Kumbe je?”
“Kwa hiyo? Nije nini?”
“Ha! Ha! Mbali...halafu ukaka si unaendelea kama kawa au?”
“Laa! Aisee...huu ukaka na udada halafu tunapeana njaa si mzuri...nataka kuruka nije...”
“Njoo...”
“Kweli?”
“Kweli njoo.”
“Nikija?”
“Si utakula chakula kama mgeni.”
“Chakula gani?”
“Utakacho...kuna ndizi za kuiva na maandazi ya donati.”
“Mh! Unanitamanisha sista...mimi nitakula donati...”
“Haya mimi nitakula ndizi za kuiva,” alisema Martha.
“Lakini sista...”
“Nini tena jamani kaka..?”
“Kwani umelala sista?”
“Nipo kitandani bro...”
“Umelalaje hapo kitandani?”
“Nahesabu paa...wewe bro?”
“Mimi nasoma kitabu.”
“Kumbe tupo sawa basi!”
“Basi acha kuhesabu paa.”
“Na wewe utaacha kusoma kitabu?”
“Nimeshakiweka pembeni.”
“Oke, mimi nimeshaacha kuhesabu paa.”
“Miguu ikoje?”
“Mashariki na Magharibi mwa nchi.”
“Basi mimi niko kanda ya kati nakuja kwako.”
“Njoo broo.”
“Ndiyo nakuja sasa...”
“Njoo tu. Na mimi nimeanza kukuona unavyokuja.”
“Kwa hiyo utanipokea..?”
“Ukifika nakupokea bro tena kwa mikono miwili kaka...njoo!”
“Nakaribia, nimeanza kukuona umesimama mlangoni unanisubiri...”
“Karibu broo...njoo...”
Roi alitumia meseji nyingine lakini hakujibiwa, akatuma nyingine, hakujibiwa, akapiga, Martha hakupokea...
“Jamani dada...nini tena?”
Baada ya dakika kumi na tano, meseji ikaingia, Roi akaisoma kwa haraka sana...
“Brooooo...”
“Sistaaa...”
“Nipo vibaya, please kama unaweza njoo kweli sasa hivi...chukua usafiri wowote ule nitakuelekeza kwangu please bro njoo tucheze...”
“Sista Martha...”
“Yes brooo...ooo!”
“Ukaka na udada je? Ufe?”
“Aaaah! Potelea mbali bwana...kwani lazima wakati mi nateseka?”
“Hapana dada...undugu ni bora kuliko mapenzi...tutag
ombana kila siku tukiwa wapenzi dada...”
“Hapana kaka...basi leo tu...”
“Baada ya leo?”
“Tusirudie tena bro...”
“Haya nakuja...kaa tayari...”
“Njoo kaka mpaka Kimara Mwisho, kuna barabara inaingia kulia, fuata hiyohiyo mpaka sehemu kuna pub, kuna muziki nje...nipigie...”
“Kwani saa hizi unafanyaje dada?”
“Natandika kitanda kaka, si unakuja kweli?”
“Nakuja dada...”
“Njoo kaka...”
***
Baada ya dakika kumi, Roi alimpigia simu Martha akiwa kwenye pub aliyomwelekeza...
“Nakuja kaka...”
“Poa dada.”
Usiku huo, Martha alivaa gauni la kulalia kwa hiyo lilimwonesha umbo lake kwa usahihi wote kiasi cha kumfanya Roi kuanza kufikiria upya kuhusu kuendelea na ukaka na udada baada ya tukio la muda huo...
Martha alikuwa akiishi na wapangaji wengine, wanawake wenzake ambapo kwa usiku huo walikuwa wamekaa nje jirani na dirisha la chumba cha Martha wakiongea...
“Karibu sana kaka...! Jamani huyu kaka ‘angu, anaitwa Roi...”
Martha alimtambulisha Roi kwa wapangaji wenzake, nao walimtupia macho Roi kwani vaa ya Martha ya gauni la kulalia halafu aseme eti mgeni huyo ni kaka yake, kwao haikuingia akilini hata kidogo..!
“Oo! Karibu sana kaka yake Martha,” alisema mpangaji mmoja kwa akili za kujiongeza, wakacheka, Roi pia akacheka...
“Asante sana. Za hapa?” alisalimia Roi...
“Njema tu.”
Kazi ikawa moja kwa wapangaji hao, kuhakikisha wanaujua ukweli wa uhusiano wa Martha na mgeni wake...
“We Enjo, kama kweli huyu ni kaka yake Martha angempokea na gauni la kulalia?”
“Aaa! Siyo kweli hata kidogo, hapa ametudanganya,” walisemezana wapangaji hao pale nje tena jirani kabisa na dirisha la chumba cha Martha.
“Karibu baby,” Martha alikaribisha kwa sauti ya chini sana. aliogopa akisikika nje akiita baby wakati alishasema ni bro wake...
“Asante nashukuru,” alikaribia Roi na kutaka kukaa kwenye sofa sebuleni, lakini Martha akamdaka akiwa hajakaa, akamsimamisha, akamwomba denda palepale sebuleni...
“Mmm....mmmm...”
“Mm...mmmm...waaaa...”
Walichukua kama dakika tatu nzima wapo ndani ya denda motomoto huku wakisikika kwa sauti za kuhemka.
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Share CnZ Media App kwa Wapenzi wa Kusoma Simulizi Ili Tuwe Wasomaji Wengi
