Mtunzi: 2jiachie
SEHEMU YA TANO
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
Ulikuwa mchana wenye mawazo kwa Martha...akiwa ametulia tuli huku wachache wakiendelea kulia, aliwaza...
“Hivi kweli yule ni kaka yangu au mume wangu? Ina maana anaweza kunijali kiasi hiki kweli?”
JE UNAISOMA SIMULIZI HII NJE YA APP YA CnZ Media?
IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI
IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI
👉GUSA HAPA KU-INSTALL👈
ENDELEA...
alijiuliza Martha huku akiiangalia meseji ya pesa aliyotumiwa na Roi.
***
Wiki moja ilikatika tangu mazishi ya mume wa shangazi yake Martha, siku hiyo Martha alikaa kwenye mgahawa mmoja akimshukuru Roi kwa ushirikiano wake katika msiba...
“Wala usijali dada yangu. Tuko pamoja.”
“Yaani bro kusema ukweli umenipa kampani kubwa sana.”
“Usijali dada yangu.”
“Asante sana,” alisema Martha huku akimwangalia Roi, wakakutana macho, wote wakajikuta wakisisimka...
“Brooo,” aliita Martha kwa sauti iliyojaa mahaba.
“Yes sista...”
“Uko sawa?”
“Yeah! Nipo sawa sista, wewe je?”
“Mh!” aliguna Martha bila kusema kama yuko sawa au la!
“Mbona umeguna sista?”
“Mh! We acha tu.”
“Nini?”
“Nimekumbuka mbali.”
“Mbali wapi sista? Umemkumbuka marehemu tuliyemzika hivi karibuni?”
“Wala! Yule ameshapita, nitaendelea kumkumbuka kibinadamu tu lakini si kwa sababu ya hivi ninavyowaza,” alisema Martha.
Roi ilibidi awe mpole tu sasa kwani hakujua nini kiliendelea ndani ya nafsi ya Martha. Walishakubalian
a kwamba wabaki kuwa kaka na dada kwa hiyo aliamini ukaka na udada upo vilevile.
Martha alinyoosha mkono na kushika vidole vya mikono ya Roi na kuviminyaminya kiaina huku akimwangalia kwa macho yaliyojaa hamasa ya mahaba...
“Kaka...”aliita kwa sauti ya chini sana, kama vile mgonjwa...
“Niambie dada ‘angu mpenzi!”
“Nakupenda kaka ‘angu mzuri. Umenisaidia sana.”
“Wala usijali sista.”
“Endelea kunisaidia na kunijali hivyohivyo my bro,” alisema Martha huku akiendelea kuvisuguasugua vidole.
Kwa mbali, Roi alishajua kuwa Martha alikuwa hoi kimapenzi, alihitaji mwanaume lakini sasa akawa anajiuliza watakuwa wakiendelea kusuasua mpaka lini? Mara kaka na dada, mara wapenzi...
“Mimi nitakusaidia mpaka mwisho wa ukaka na udada wetu.”
Martha alilegeza macho, akajipeleka na kumwegemea Roi begani huku akirembua...
“Darling...” aliita Martha...
“Yes sweet.”
“Mmh!” aliguna Roi.
“Nini tena?”
“Najisikia uvivuuvivu...”
“Umechoka?”
“Wala sijachoka.”
“Uvivu wa nini sasa?”
“Hata sijui, kama napenda kulala vile...”
“Kwa hiyo una usingizi?”
“Wala.”
“Sasa nini jamani sista?”
“Ah! Mi sijui bwana,” alisema Martha huku akipeleka mkono wake wa kulia hadi kwenye sehemu ya mbele ya suruali ya Roi...
“Da! Sista...”
“Abee...”
“Umefikia huko?”
“Ah! Mimi sijui bwana...sielewi kwa nini nashindwa kushika ahadi wakati naiweka mwenyewe... lakini hata hivyo leo tukienda tusifanye lolote, tukakae tu, tuzungumze halafu baadaye tuondoke. Kama tutazidiwa, labda tufanye romansi tu,” alisema Martha akijaribu kuweka mwongozo wake...”
“Kwa hiyo?” aliuliza Roi kwani sasa na yeye moyoni alisema liwalo na liwe, akawaza...
“Kwanza ni kweli si ndugu yangu, hanihusu kwa lolote lile, sasa nahangaika naye wa nini?” alisema moyoni Roi, akamshika mgongoni Martha, Martha akasisimka kwa kusema maneno yenye kuashiria kusisimka...
“Wewe tu...”
“Basi twende.”
“Wapi?”
“Popote pale penye utulivu.”
“Kwani hapa si hotelini! Kwa hiyo pana vyumba.”
“Nadhani.”
Roi alisimama, akaingia ndani na kutoka baada ya dakika mbili tu, akasimama na kumwita Martha kwa ishara ya mikono, wakaenda vyumbani.
Walichukua chumba kimoja, wakazama humo...
“Sista tutaweza kukaa tu na kuzungumza kweli?” aliuliza Roi...
“Tujitahidi kaka, tukiweza leo basi, shetani atakuwa ameshindwa siku nyingine zote,” alisema Martha akijiamini...
“Haya, tutaona sista.”
Walikaa kitandani, safari hii walikaa sanjari wote wakiangalia mlangoni, miguu yao ikining’inia kwenda chini.
“Kwa hiyo kaka we huwezi kukaa na mimi kama hivi huku tunazungumza?” aliuliza Martha huku akimwangalia Roi, Roi naye akamwangalia Martha kwa macho ya kiume, Martha akalegea, lakini akajikaza...
“Mimi nitaweza bro,” alisema Martha huku akimwangukia mapajani Roi...
“Ka...ka ja...ma...ni...”
Roi alijikuta akitetemeka, mwili ulimwishia nguvu huku akihisi kizunguzungu cha mahaba mwilini mwake...
“Sis...taaa...” aliita kwa sauti ya kiume, iliyotoka kwa mtetemeko.
“A...be...ee,” Martha naye aliitika sauti iliyojaa maumivu na kusubiri tiba ya dhati kutoka kwa mwanaume huyo akiwa kama mwanamke mkamilifu.
“Hali yako vipi?”
“Mi...mi nipo tayari mpenzi...”
Roi alimshika Martha, akamweka kifuani pake na kumwinua kitandani kisha wakaanza kwenda sambamba kwa kusukumana ili kupandisha moto mwilini.
Martha muda mwingi alikuwa akiweweseka kwa maneno matamu yaliyojaa mahaba kiasi cha kumfanya Roi ajisikie kama yuko kwenye ulimwengu mwingine kabisa na si duniani.
Roi aliamua kujiweka sawa, akamweka sawa, akaingia uwanjani na mechi ikaanza huku kila mmoja akiwewesekea mahaba hayo.
Haikufika dakika kumi, Martha akatoa tangazo la kufika kwenye eneo alilolitafuta, akamtaarifu Roi, akapokelewa kwa mikono miwili huku akisifiwa kwa maneno matamu kwamba anaweza kuucheza mpira sawasawa.
“Siistaaa,” aliita kwa kigugumizi Roi, Martha akamkatalia kwamba yeye si sista wake tena...
“Niite mpenzi.”
“Mpenzi.”
Kumbe Roi naye alimwita Martha ili amtangazie kuwasili kwake kwenye mafanikio ya safari yao na yeye akapokelewa kwa maneno matamumatamu.
***
Martha na Roi walikuwa wakijiuliza ni kwa nini wanaingia na kutoka wakati ukweli uko wazi tu...
“Hivi kuna siku tutarudia ukaka na udada?” aliuliza Roi, Martha akacheka kwa mbali...
“Mimi nikuulize wewe...” alisema Martha.
“Na mimi nikuulize wewe.”
“Teh! Teh! Mimi naweza...”
“Huwezi bwana, tusidanganyane,” alisema Roi kwa sauti ya kujiamini sana, Martha akacheka tena, safari hii kwa kicheko cha juu kidogo...
“Haya tuamue kuanzia sasa hivi mimi na wewe ni kaka na dada,” alisema Martha...
“Haya tuanze, tena sogea pembeni yangu usiniguse,” alisema Roi huku akipeleka mkono kwenye nido moja ya Martha, akapiga ukelele na kulegea macho...
“Baby bwana...” alilalamika Martha akiwa amebadilika sauti. Ilitoka kwa kinyonge maana mwili ulishapata moto kwa kule kushikwa nido tu.
“Nini?”
“Unanisisimua bwana...”
“Aaah! Mimi na wewe si kaka na dada jamani?”
“Hata kama! Sasa unanishika huko wakati unajua nitapata tabu...”
“Ukipata tabu mimi kaka yako si nipo.”
“Hiloo, tumeshakubaliana leo iwe mwisho,” alisema Martha.
Roi akapeleka mkono tena na kushika mahali palepale, Martha akapiga kelele, akainuka na kumwegemea Roi huku akisema...
“Umenianza mwenyewe, sasa lazima umalizie kazi uliyoianza.”
Hapo Martha sasa alimlalia kifuani Roi kwa staili ya utundu huku akimwangalia kwa macho ya karibu sana...
“Sitaki,” alisema Roi...
“Hakuna bwana, huwezi kunichaji halafu ukaniacha hivihivi, haiwezekani,” Martha alitumia nguvu kumweka Roi kwenye himaya yake.
Roi alitoka kitandani, Martha akamfuata, wakakimbizana chumbani japokuwa kilikuwa kidogo. Roi akaingia bafuni, Martha akafuatia. Hapo wote walikuwa kama walivyozaliwa.
“Kwani dada unachotaka ni nini zaidi?” aliuliza Roi huku akiachia tabasamu...
“Mimi siyo dada yako kwanza! Halafu si kingine ninachokitaka, wewe unakijua sana. Wewe si ndiyo umenichaji bwana, lazima unitoe kwenye chaja sasa,” alisema Martha akiwa amemshika kwa nguvu mwanaume huyo na kutoka naye bafuni kurudi chumbani huku akiendelea kusema...
“Twende kitandani, sikubali mimi.”
Walipofika chumbani, Martha alitangulia kupanda kitandani, ghafla Roi akaenda nyuma ya mlango na kutungua suruali kwa lengo la kuvaa.
“Ha! Ha! Una maana...”
Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...
“Ha! Ha! Una maana...”
Kabla hajamaliza, Roi alifungua mlango ili atoke chumbani humo...
JAMPU NAYO MWENYEWE...
Martha aliruka kama golikipa, akamdaka Roi ambaye tayari alikuwa katikati ya mlango...
“Baby noo! Si vizuri jamani, hebu rudi kwanza,” alisema Martha kwa sauti tamu huku akiwa amemlegezea macho Roi.
Roi alirudi, akafikia kukaa kitandani...
“Unasemaje sista?”
“Hivi baby kwa hali niliyonayo kweli unaweza kuniacha hivihivi jamani nateseka mwenzako na wewe kama mwanaume tena rijali upo ndani ya chumba!
“Afadhali ingekuwa tumekaa hotelini kama muda ule. Lakini ndani kabisa ndani, tena kitandani, wawili tu na wala sisi si ndugu wa damu moja ni ndugu wa kujitakia, unaniacha nateseka. Hii siyo fea Roi.”
Roi alimwangalia Martha kwa macho yaliyojaa kicheko lakini cha kujibana, akasema...
“Martha, mimi na wewe, wawili tu bila kuwepo kwa mtu mwingine si tumekubaliana ukaka na udada urudi kama awali lakini, au?”
“Ndiyo lakini iwe baada ya leo. Leo tumalizane kwanza kama wapenzi halafu kuanzia kesho tunaendelea na ukaka na udada wetu mi mwenzio niko vibaya sana, hujui tu.”
“Noo Martha, noo! Mimi kwanza napenda sana udada na ukaka wetu, hivyo katika mazingira hayahaya magumu ndiyo tujikomaze,” alisema Roi kwa sauti iliyokosa hali ya kujiamini.
“Hapana Roi...hapana jamani, please usinifanyie hivi,” alisema Martha huku akipiga magoti kwa unyenyekevu, Roi akajua anataka kumwomba msamaha lakini sivyo, Martha akapeleka mkono na kushika maiki ya Roi ili aanze kuimba nyimbo za mahaba.
Roi alilazimika kujichojoa mwenyewe huku akigugumia ndani kwa ndani kuashiria kwamba alikuwa katika wakati mgumu wa hisia za kimapenzi.Kwa vile Martha alikuwa amepiga magoti, alikuwa akiimba kwa kutumia maiki hiyo huku akimwangalia Roi kwa macho ya kulegea.
Roi akawa hoi bin taaban, akamshika mikono Martha na kumvutia kwake huku akiwa anatetemeka miguu.
“Una...una...” alishindwa kumaliza kusema Roi akajikuta amebaki akiweweseka, akamkodolea macho Martha, Martha akasimama, akampandisha Roi kitandani na yeye akafuatia.
Waligalagazana pale kitandani kwa dakika kadhaa huku kila mmoja akihema kwa kasi yake, Martha hakuwa tayari kupoteza muda, akamuweka sawa Roi ili waingie uwanjani kuanza kuicheza mechi.
Martha aliamini akitumia ujuzi wake wote, anaweza kumfanya Roi akaachana na habari za ukaka na udada kwani moyoni mwake alianza kuona ukaka na udada kwa Roi utampotezea mambo mengi sana...
“Sista...aaa,” aliita kimahabamahaba Roi...
“Niambie...”
“Mi nina wazo sijui kama utanielewa lakini...”
“Liseme...”
“Tuachane na udada na ukaka kabisa, tubaki kuwa wapenzi, huenda siku moja tutakuwa mke na mume...”
“Naunga mkono baby, sitaki tena ukaka kutoka kwako...”
“Na mimi sitaki tena udada kutoka kwako.”
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Share CnZ Media App kwa Wapenzi wa Kusoma Simulizi Ili Tuwe Wasomaji Wengi
