MAMA MWENYE NYUMBA (68)

Zephiline F Ezekiel
MAMA MWENYE NYUMBA (68)
JINA: MAMA MWENYE NYUMBA Mwandishi: Mbogo Edgar SEHEMU YA SITINI NA NANE ILIPOISHIA... “Kama mtu anataka kujipatia fedha kiudanganyifu kwa wazazi wake, anajitambua kweli huyo,?” aliwaza bwana Kalolo , ambapo walisisitizana kuwa saa kumi wote wawe nyumbani kwa mzee haule SASA ENDELEA... Kasolo bwana Kazole ambae atakuwa Hospital , mida ya saa sita mchana mke wa bwana kazole yani dada yake Edgar, alitoka na kuelekea kwa wadogo zake wawili akiwa taka kuhudhuria kikao cha familia kitakacho amua atima ya matibabu ya mume wake na malipo ya bwana Kazole, akiwa sisitiza kuwa wawai saa kumi kamili Suzane Edgar wakiwasaidiwa na Seline walifanikiwa kupokea mizigo na kuhamia kwenye nyumba yakupanga, kwa msaada wakukodi watu wakushusha na kupanga vitu ndanihuku gari lake likiwa salama kabisa, mpaka saa kumi na nusu ndipo walipo maliza kupanga vifaa ndani ya nyumba, “he! jamani saa kumi nanusu, ebu tuwai kwenye kikao, mamaa ona missed call kwenye simu yao” alisema Suzane huku akimpatia Edgar simu yake, “nan…