SEHEMU YA NNE
ILIPOISHIA...
Wakati huo , Mwaija alikuwa amesimama
uwanjani hapo, alivaa gauni na kanga moko juu
yake lakini mzigo ulikuwa mzigo kweli ...
NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU
SASA ENDELEA...
“Mwaija mimi nakwenda kazini, baadaye
mama... ”
“Haya baba , hebu chukua namba zangu za simu
unipigie baadaye kuna kitu nataka kukwambia,”
alisema Mwaija huku akizitaja namba zake za
simu.. .
“Kwani una simu?” aliuliza Masilinde kwa vile
hakuwahi kumuona binti huyo akiwa na simu .. .
“Oke, baadaye nitakutumia meseji, sitapiga,”
alisema Masilinde.
Ile anaachana na Mwaija , mama Mwaija
anatokea. ..
“Wewe njoo huku sebuleni, unafanya usafi halafu
unaacha vitu bila kupangapanga , una kichaa
leo?” alifoka mama mtu huyo ...
“Mh ! Au mama amejua baba alikuja chumbani
kwangu nini ? Mbona si kawaida yake, tena
sijawahi kumsikia akimwambia baba ananitetea .
Itakuwa kuna kitu .”
***
Baada ya kufika kazini, Masilinde alimtumia
meseji Mwaija . Hakutaka kupiga akiamini mlio
wa simu unaweza kumfikia mkewe akataka
kujua nani aliyepiga .. .
“Mwaija ,” aliandika hivyo .
Ilikuwa wakati Mwaija anavaa baada ya kuoga,
meseji ikaingia kwenye simu yake ...
“Baba !” alijibu Mwaija .. .
“Uko poa ? Nimekumisi sana!”
“Niko poa , hata mimi nimekumisi. Ila baba ,
niambie ukweli, mama amejua ulikuja chumbani
kwangu?”
“Angejua unadhani angekuacha?”
“Najua asingeniacha , lakini mbona kama leo
kaamka vibaya kuliko siku nyingine?”
“Mvumilie , ndivyo anavyokuaga wakati
mwingine, mimi namjua .”
“Nilidhani alijua , maana kama nakiona kifo
njenje.”
“Usijali Mwaija. Sasa leo inakuaje?”
“Nakusikiliza wewe baba .”
“Huwezi kutoka tukakutana mahali ?”
“Mama nitamwambia naenda wapi ?”
“Kusuka .”
“Ataniuliza pesa nimepata wapi, nitasemaje?”
“Utamwambia nimekupa mimi. ”
“Mh ! Baba , hatanielewa.”
“Atakuelewa tu, mimi akiniuliza nitajua cha
kumwambia.”
“Halafu si itabidi nikasuke kweli? Maana nikirudi
sijasuka je ?”
“Utamwambia ulikuta foleni na muda unazidi
kwenda ndiyo ukaamua kurudi .”
“Basi nitajaribu baba. ”
“Sawa Mwaija halafu kuna kitu kingine nataka
kukwambia...”
“Kipi hicho baba jamani ?”
“Usiniite baba . Niite dear au mpenzi. ”
“Usijali basi my dear. ”
Masilinde alihisi damu zikitembea kwa kasi
mwilini na msisimko juu kwa kusoma meseji
akiitwa dear!
“Safi sana ! halafu kingine tena. ..”
“Kingine tena nini jamani mpenzi wangu ?”
“Mh ! We mtoto unajua kusakata kabumbu
kitandani. ”
“Kuliko wewe dear?”
“Unanishinda .”
“Sikushindi ila ufundi wako ndiyo unaonifanya na
mimi unione fundi .”
“Loo ! Mwaija mpenzi ... unapenda staili gani zaidi
ili tukikutana nikupe hiyo .”
“Mmm! Kwa wewe yoyote ile lakini ile ya kagoma
kwenda nzuri , nyingine napenda ile ya kujiandaa
kuunga mchuzi kwa nazi .”
Masilinde alibaki hoi. Kagoma kwenda hakujua ni
nini, kujiandaa kuunga mchuzi kwa nazi pia
hakujua ni nini ! Kuuliza akashindwa, akabaki
kimya na kujifanya anajua kila kitu .
“Hizo zote utazipata leo tukikutana . Halafu we
mtoto umeumbwa vizuri sana, uliumbwa asubuhi
nini? Maana loo !”
“Siyo sana jamani dear , kidogo tu.”
“Loo ! Mtoto kila kitu kipo sawasawa . Ukitembea
unatembea kweli . Ukikaa umekaa kweli. Kulia na
kushoto umejazia , uani ndiyo balaa ,” Masilinde
alimsifia Mwaija huku mwili ukiwa tayari moto .
“Mh ! Jamani my love. Wewe je , umeumbwa
vizuri , mama anafaidi sana ndiyo maana nataka
tukufaidi wote .”
“Tena wewe utanifaidi sana kuliko mama yako .”
“Hayo maneno sasa mpenzi wangu, ” alisema
Mwaija. ..
“Wewe muda mrefu nakuona unaminyaminya
simu, unawasiliana na nani?” mama Mwaija
alisema kwa hasira huku akimsogelea ...
“Mama nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu
Tanga.”
“Nani?”“ Anaitwa Rehema .”
“Mnawasiliana kuhusu nini ?”
“Kuna vitu vyangu f’lani ,” alisema Mwaija huku
akifuta meseji zote za baba yake .
“Hebu tuone hiyo simu yako. ”
Mwaija alimpa simu mama yake huku mapigo ya
moyo yakimwenda kwa kasi kwani alijua baba
yake anaweza kutuma meseji muda huohuo
kulingana na walivyokuwa wakichati.
Bahati nzuri sana ndani ya simu hiyo kulikuwa na
meseji za Rehema ambapo mama huyo
alipoziona bila kuangalia muda wala tarehe
aliamini...
“Bahati yako, nilidhani unawasiliana na
wanaume. Nikija kusikia una wanaume
nitakukata masikio yako. ”
“Siwezi mama, si unaona mimi nashinda
humuhumu ndani .”
Ile Mwaija anashika simu yake tu, meseji kutoka
kwa Masilinde inaingia. ..
“Muage mapema mama yako kwamba
utakwenda kusuka .”
Mwaija alikunja sura maana alijua lilikuwa bomu
zito kama mama yake angeiona meseji hiyo.
“Poa, lakini usitume tena meseji, kuna wakati
simu alishika mama.”
Masilinde alihisi mwili kwisha nguvu na
kizunguzungu juu aliposikia simu ya Mwaija
ilishikwa na mkewe .
***
Saa kumi na moja jioni, Masilinde alitoka kwenye
shughuli zake na kuanza kufikiria namna ya
kuwasiliana na Mwaija maana tangu
alipomwambia asitume meseji simu ilishikwa na
mkewe hakuwahi kutuma meseji tena.
Alifika maeneo ya nyumbani kwake kwa
kubakiza kama mitaa mitatu , akasimama
kwenye duka la Mchaga mmoja na kuomba
msaada wa simu ...
“Kuna mtu nataka kumpigia , sasa simu yangu
imejiloki,” aliongopa ili aazimwe simu.
Alipewa simu , akasimama pembeni kidogo .
alichukua namba za simu za Mwaija akaziandika
kwenye simu aliyoomba na kuzipiga ...
“Haloo,” alipokea Mwaija ...
“Ni mimi baba yako , nimeazima simu kwa mtu.”
“Simu yako ina nini kwani?”
“Nilihofia kuitumia tangu pale uliposema nisitume
meseji. Kwani mama yako yuko wapi?”
“Amekwenda msibani.”
“Oooh ! Sasa ?”
“Kuhusu kukutana nje ya hapa nyumbani?”
“Ee, ndiyo .”
“Nije wapi sasa ? Halafu leo naomba
unikate kiu kwelikweli mpenzi wangu.”
“Hilo wala si ombi ni jukumu langu mimi kama
mpenzi wako , mimi kama mkata kiu wako na
mimi kama mumeo mtarajiwa, ” alisema
Masilinde huku mapigo ya moyo yakimwenda
kwa kasi ya ajabu kwani alikuwa bado hajaamini
kama amefika mahali binti mbichi kabisa ,
aliyeumbwa akaumbika kama Mwaija anafikia
hatua ya kuomba kukatwa kiu na yeye .
“Sasa sikia , ulizia watu Kwasandarusi ni wapi ,
watakuonesha mimi utanikuta nimekaa nje .”
“Sawa baby ,” alijibu bila woga Mwaija .Mwaija
alifunga nyumba huku sauti ya mama yake
ikisikika masikioni mwake . ..“ Mimi nakwenda
msibani tena, naomba usitoke nyumbani Mwaija .”
“Sawa mama .”
“We sema sawa mama halafu nirudi nikute
haupo.”
“Haitatokea mama. ”
“Sawa .”
“Aah! Sasa nikianza kuogopa maneno ya mama
nitalala na kiu yangu, ye’ ikifika usiku atakatwa
kiu, mimi je ?” alijipa moyo Mwaija huku akianza
safari ya kuelekea Kwasandarusi.. .
“Eti we mtoto, hujambo ?”
“Sijambo, shikamoo.”
“Marahabaa . Eti Kwasandarusi wapi ?”
“Pale penye mikokoteni nje ,” alijibu mtoto mmoja
aliyekuwa akicheza mtaani .
“Haya asante ee?” alishukuru Mwaija .
Mwaija alitembea kuelekea Kwasandarusi , kwa
mbali alimwona mama yake wa kambo amekaa
nje kwenye fomu ...
“Nikifika nitamwonesha maajabu ,
nitamkumbatia, ” alisema moyoni Mwaija .
“Kweli , alipofika, wakati Masilinde anasimama ili
kumkaribisha, Mwaija akamvaa na kumkumbatia
kisha mabusu mfululizo yakafuatia ...
“Mmm.. .mwaaa ... mmmmmwaaa ... mmmmwaaa!”
Masilinde tayari alishafika kitandani kihisia
japokuwa mabusu yale yaliwashangaza wengi
kwani waliowaona walibaini tofauti kubwa ya
umri kati ya Masilinde aliyeonekana kama ana
miaka 50 na Mwaija aliyeonekana ana miaka
kama 20 tu!
“Yule si kama mtoto wake?” alisema mzee
mmoja akiwa jirani na eneo la waliposimama
wawili hao .. .
“Yahe siku hizi ukifuata umri utaachwa! We
angalia wapi umelenga ,” alisema mwenzake
wakiwakodolea macho akina Masilinde.
“Nikwambie kitu my love,” alianza kusema
Mwaija.
“Nambie tu. ”“ Mama alinionya kuhusu kutoka
nyumbani.”
“Kwa hiyo?”
“Kwa hiyo twende haraka , kila kitu kiende
haraka ili niwahi kurudi kabla hajarudi. ”
“Sawa . Sasa unaona lile geti la mwisho pale?”
“Ndiyo.”
“Ile ni gesti , inaitwa Kichapo! Nenda pale ingia
mimi nakuja nikukute imesimama mapokezi ,
sawa?”
“Sawa ,” alisema Mwaija akiwa ameshaanza
kutembea kuelekea kwenye gesti hiyo ya
Kichapo.
“Hodi. ..hodi wenyewe,” Mwaija alibisha hodi
baada ya kuhisi ukimya umetawala .
“Karibu, ” sauti ya mwanaume ilisikika kutokea
ndani.
Mwaija alisimama mapokezi. ..
“Kuna mtu kaniambia nije nimsubiri hapa
mapokezi,” alisema Mwaija akiwa
anaogopaogopa...
“Nani, au Masilinde?” mtu wa mapokezi
alimuuliza.
“Mh ! Mi simjui jina . ”
“Sasa we utakujaje na mtu humjui jina ?”
“Hayakuhusu ,” alikuja juu Mwaija .. .
“Halafu pamoja na kuja kumsubiri mtu, we mtoto
umeumbika kweli ungekuwa na mtu kama mimi
ungefaidi. Ningekununulia simu ya maana, viatu
vizuri , yaani ungependa mwenyewe, ” alisema
yule mtu wa mapokezi.
“Sina shida navyo,” alijibu Mwaija , safari hii
akionesha hasira za waziwazi .
Mtu wa mapokezi aliposikia mlio wa viatu
alijikausha akijua aliyemtuma Mwaija kumsubiri
hapo anaingia ...
“Karibu sana. ”
“Asante . Kuna chumba ?”
“Kipo. ”
“Naomba. ”
Masilinde alichukua chumba akazama ndani na
Mwaija. ..
“Eti baby, we unaitwa nani?” aliuliza Mwaija mara
baada ya kukaa tu.
“Kwani vipi dear, hujui jina langu ?”
“Silijui . Nani ataniambia na kwa ajili ya nini ?”
Masilinde alipiga hesabu za haraka akagundua
kuwa, kuuliza kwa Mwaija kumekuja kwa
kuambiwa na mhudumu wa gesti hiyo. ..
“Huyu haiwezekani tumeingia chumbani kukaa
tu, anaulina naitwa nani? Lazima kaambiwa jina
langu na yule kijana. Na kama ni kweli kwa
kamwambia kwa sababu gani na ili iweje ?”
alijiuliza Masilinde.. .
“Mimi naitwa Mathayo, ” Masilinde alilitaja jina
lake la kwanza ambalo alijua muhudumu wa
gesti halijui.
“Ooo! Maana yule kaka kaniuliza umekuja
kumsubiri nani? Nikasema simjui jina , akasema
au Masilinde nini ? Sasa nikawa najiuliza
inawezekana ukawa unajulikana kwa jina hadi
gesti?”
“Simjui mimi na ni mara yangu ya kwanza
kuingia humu . Kumbe mzuri kidogo, si tutakuwa
tunakujakuja hapa mara mojamoja?” aliuliza
Masilinde...“ Wewe tu baby wangu,” alisema
Mwaija huku bila soni wala haya akianza kumvua
nguo Masilinde ili akatwe kiu.
Masilinde alimwangalia Mwaija kwa macho ya
mahaba mazito huku ulimi ukiwa nje kuashiria
kwamba alikuwa akihisi raha kuvuliwa nguo na
binti huyo ambaye tangu azaliwe hajawahi
kumwona binti mrembo kama Mwaija .
Hata kumpata kwake kimapenzi, Masilinde
alitamani kufanya sherehe na kualika watu ili
wajue kwamba, amebahatika kumnasa mtoto
bomba kwelikweli .. .
“Sijui nimhamishe pale nyumbani halafu
nimtangazie ndoa ,” alisema moyoni Masilinde
akiwa amelegea kila sehemu ya mwili wakati
mikono ya Mwaija ikipita kumpapasa sehemu
mbalimbali za mwili .
“Ah! Hapo ulipopashika nimetekenyeka,” alisema
Masilinde.
Kwa kujua hilo , Mwaija alizidisha mbwembwe ,
sasa alikuwa akimvua huku anamkwaruza kwa
mbali na kucha za mikono yake.
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI
KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
Email: ZephilineEzekiel@Gmail.Com