Notifications
  • MY DIARY (42)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MBILITULIPOISHIA...Uzalendo ulinishinda ikabidi nimuulize ni kwanini bado wanatumia njia hiyo ya kizamani kutunza kumbukumbu wakati siku hizi kuna kitu kinachoitwa Human Resource Informaion system ambapo kumbukumbu zote za wafanyakazi kama waliochishwa kazi, wagonjwa, walioenda likizo ,waliopandishwa vyeo na taarifa nyingine muhimu uhifadhiwa kwa kutumia komputa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (41)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MOJATULIPOISHIA...Mark anashangaazwa sana na mwanamke huyo lakini kwa kuwa shida yake ilikuwa ni hela anaamua kuachana nae na kuanza maisha mapya hapo jijiini Dar es salaamMaisha yanaendela lakini Mark amekuwa tajiri na mtu mwenye mafanikio sana kiuchumi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Pamoja na mafanikio hayo ni mtu ambaye mapenzi bado yalikuwa yakimuumiza siku hadi siku.Filamu…
  • MY DIARY (40)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINITULIPOISHIA...Alikuwa akinyata kwa kweli. Kweli hata mimi nilimkubali tu siku ya kwanza ingawa bado nilikuwa sijajua ufanisi wake wa kazi.Nilikaa nae hapo kwangu kwa mda wa siki tatu huku asubuhi tukiamka na kuendelea na kazi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ndani ya mda huo nikagundua kuwa alikuwa na uzorfu mkubwasana hivyo kazi hiyo alikuwa akiimudu kabisa.Hapo sasa nilimkubali sana…
  • MY DIARY (39)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TISATULIPOISHIA...Nilikuwa na furaha sana huku nikiamini kuwa ndoto zangu za kuja kuwa mtu maarufu zinaweza kufanikiwa hata kabla ya kuyapata yale madini. Sikutaka mbwembwe niliamua kuikopi na kuipesti hiyo stori kama ilivyo na kuifowadi kwa Mark.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kama lisaa hivi Mark alipiga na kuniuliza kama kweli ilikuwa nai mimi nimetunga hiyo…
  • MY DIARY (38)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Usiku nilishituka usingizini baada ya mbu kuning’aata na kunisumbua sana. Niliwachukia sana hao mbu kwa sababu walinikatisha ndoto yangu ambayo nilikuwa nikiota.Ndoto ilikuwa ikielezea jinsi harusi yangu na Mark itakavyokuwa. Ndoto ilikuwa tamu sana maana ilinipa taswira ya picha halisi ya maisha yangu ya mbeleni.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilishusha neti…
  • MY DIARY (37)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SABATULIPOISHIA...Hapo alitulia tulii kama mtu aliyeaamia dunia ingine. Kimoyo moyo nikawa najisemeha kama amehamia dunia ingine na kuanza kuwaza ujinga sahuri yake mimi nipo kazini bwana acha nitafute hela. Ndio ni lazima nifanye kazi kwa utaalamu na utundu wa hali ya juu ili waendelee kusimuliana huko mjini ili niendelee kupata hela.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Wewe…
  • MY DIARY (36)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA SITATULIPOISHIA...Sasa wewe fikiria mimi niliyeletewa zawadi sikujua ni zawadi gani lakini yeye tayari alishafungua na kuchungulia na kujua nini kilifungwa huko ndani.Basi nikaendelea kumuhudumia yule mama huku na yeye akiniambia kuwa itabidi nikimmaliza hizo zawadi tusifungue hapo hapo na waniimbie wimbo wa happybirthday.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Tuliendelea na stori mbili…
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

BABU G (8)


JINA: BABU G
Mwandishi: Eliado Tarimo

SEHEMU YA NANE
ILIPOISHIA...
“Mmmmmmmh, iiiiishiiiiiiiiiiiiiiii yeaaaaah hapooo hapoooooooooo” ni baadhi za sauti zilizosikika sauti zilizonifanya kuuma meno na kubetua mdomo wangu juu kama mbuzi beberu aliyenusa nyeti ya mbuzi jike na kupata mzuka wa ajabu. Nilijikuta na mimi nikifuatisha mapigo ya mzee huyo. Suku suku sukutua Babu G alisukutua mswaki wake kwenye kinywa cha binti huyo. Maajabu ya dunia watu utamu wanajifaidia.

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Soko sokoro kwinyoo nyoo kama minyoo viuno waivinyonga. Mizuka ilinizidia kuangalia mechi ya watu. Kwa kweli uvumlivu ulinishinda na kutamani hata kuwarukia..
Hisia za kutaka kufaidi raha walizokua wakifaidi wahusika zilinitawala na kujikuta zikinituma mikono kuitoa kwenye tawi la mti kisha kuingiza ndani ya suruali ili kumtuliza Jose wangu ambaye uvumilivu ulimshinda na kujikuta akifanya purukushani za ajabu ajabu.
Yule dada alijibinua akamuachia babau G makalio kwa nyuma kisha akaanza kumkatikia mauno.Kweli mapenzi ni upofu maana babu G alikuwa kama anachochea moto kwenye jiko la kuni huku mkono wake mmoja ukiwa kwenye kichogo na mwingine kwenye kiuno cha mrembo huyo.Utamu utamu huo wa mechi ulinifanya nikumbatie kwa nguvu tawi la mti.

Washiriki wa mchezo huo hawakuishi hapo waliendelea kufanya yao na yule dada alijigeuza na kuangalia mbele.Akapanua mapaja na Babu G akafanya yake.Babu G alikuwa amesimama na dada amekaa kwenye gogo na hawakuvua nguo zote la hasha bali babu G alifungua zipu tu na yule dada alishusha kidogo tu kufuli lake na kufanya upenyo mdogo ulioruhusu nyoka kuingia pangoni.
“Mmmmmmmh, iiiiishiiiiiiiiiiiiiiii yeaaaaah hapooo hapoooooooooo” ni baadhi za sauti zilizosikika sauti zilizonifanya kuuma meno na kubetua mdomo wangu juu kama mbuzi beberu aliyenusa nyeti ya mbuzi jike na kupata mzuka wa ajabu. Nilijikuta na mimi nikifuatisha mapigo ya mzee huyo. Suku suku sukutua Babu G alisukutua mswaki wake kwenye kinywa cha binti huyo. Maajabu ya dunia watu utamu wanajifaidia. Soko sokoro kwinyoo nyoo kama minyoo viuno waivinyonga. Mizuka ilinizidia kuangalia mechi ya watu. Kwa kweli uvumlivu ulinishinda na kutamani hata kuwarukia..
Hisia za kutaka kufaidi raha walizokua wakifaidi wahusika zilinitawala na kujikuta zikinituma mikono kuitoa kwenye tawi la mti kisha kuingiza ndani ya suruali ili kumtuliza Jose wangu ambaye uvumilivu ulimshinda na kujikuta akifanya purukushani za ajabu ajabu.

Yule dada alijibinua akamuachia babau G makalio kwa nyuma kisha akaanza kumkatikia mauno.Kweli mapenzi ni upofu maana babu G alikuwa kama anachochea moto kwenye jiko la kuni huku mkono wake mmoja ukiwa kwenye kichogo na mwingine kwenye kiuno cha mrembo huyo.Utamu utamu huo wa mechi ulinifanya nikumbatie kwa nguvu tawi la mti.

Washiriki wa mchezo huo hawakuishi hapo waliendelea kufanya yao na yule dada alijigeuza na kuangalia mbele.Akapanua mapaja na Babu G akafanya yake.Babu G alikuwa amesimama na dada amekaa kwenye gogo na hawakuvua nguo zote la hasha bali babu G alifungua zipu tu na yule dada alishusha kidogo tu kufuli lake na kufanya upenyo mdogo ulioruhusu nyoka kuingia pangoni.
“Mmmmmmmh, iiiiishiiiiiiiiiiiiiiii yeaaaaah hapooo hapoooooooooo” ni baadhi za sauti zilizosikika sauti zilizonifanya kuuma meno na kubetua mdomo wangu juu kama mbuzi beberu aliyenusa nyeti ya mbuzi jike na kupata mzuka wa ajabu. Nilijikuta na mimi nikifuatisha mapigo ya mzee huyo. Suku suku sukutua Babu G alisukutua mswaki wake kwenye kinywa cha binti huyo. Maajabu ya dunia watu utamu wanajifaidia. Soko sokoro kwinyoo nyoo kama minyoo viuno waivinyonga. Mizuka ilinizidia kuangalia mechi ya watu. Kwa kweli uvumlivu ulinishinda na kutamani hata kuwarukia..
Hisia za kutaka kufaidi raha walizokua wakifaidi wahusika zilinitawala na kujikuta zikinituma mikono kuitoa kwenye tawi la mti kisha kuingiza ndani ya suruali ili kumtuliza Jose wangu ambaye uvumilivu ulimshinda na kujikuta akifanya purukushani za ajabu ajabu.

 Utamu unakuja utamu unakata niliendelea kufaidi. Nikajisahau zaidi na mara nikasikia puuuuh nilindoka kutoka mtini. Mungu wangu nilianguka kama gunia na nilikuwa chini. Miiba aina ya mbigiri ilikuwa imenichoma. Nilishindwa hata kujiinua maumivu makali yalitawala mwili wangu. Nikawa nimepotea kwenye ulimwengu huu wa raha. Maumivu makali ambayo hayasimuliki. Nilijitahidi kunyanyuka lakini nilishndwa. Nikajikuta nafunga funga macho kwa uchungu.

Mwili uligugumia kwa uchungu ishara kuwa nilikuwa nikihitaji msaada wa haraka. Nilihisi wingu zito limetanda mbele yangu. Nilijuta kupiga chabo ya mtini. Mara nilisikia mtu akinisogelea. Sikuweza hata kugeuka na kumwangali alaikuwa ni nani. Ila kimoyomoyo nilishukuru kwa maana ningeweza kupata msaada kiurahisi. Alikuwa ni babu G ambaye alinigusa na alipogundua kuwa ni mimi badala ya kusikitika aliangua kicheko. Alicheka sana mpaka machozi yalimtoka.

“Yaani mjukuuu wangu utakuja kufa kwa kufuatilia wakubwa”
Nilimsikia lakini kumjibu kwangu ilikuwa ni mtihani mkumbwa sana ambao nisingeweza kuufanya. Alinisogelea na kunitingisha na aliangalia kama nilikuwa na uwezo wa kunyanyuka. Bado ilikuwa ni ngumu kwangu. Yaani nililala pale kama gogo. Sikujua yule binti ambaye walikuwa wakifaidi raha za dunia alikuwa ulimwengu upi. Nilipepesa macho lakini sikumuona ina elekea alaishatoweka eneo hilo.
Babu G aliamua kuonesha kuwa yeye ni mtu wa mazoezi maana alininyanyua juu juu na kuniweka begani. Safari ilianza na alikuwa akitembea hara haraka kama gari la kubebea wagonjwa. Hima hima alinipeleka mpaka kwenye dispensary ya ile shule. Hapo nilipewa huduma ya kwanza na waligundua kuwa nilikuwa nimeteguka mkono ambao nilipoanguka wenyewe ndo ulitangulia. Nilitibiwa hapo na kidogo baada ya uangalizi nilipata afueni. Muda mfupi tu wanafunzi walikuwa wakimiminika na kuja kuniangalia. Wengi walisikitika kuona mwalimu wao wanaonipenda nikiwa kwenye hali hiyo ya huzuni.

Pamoja na kusikitika lakini wengi walikuwa na shauku ya kujua nini kimenikumba. Mimi binafsi niishindwa kuwajibu lakini sikijua babu G kama alimwambia daktari ukweli au alimdanganya. Pia nilikuwa na huzuni kwa sababu usiku huo nilishaambiwa na babu G kuwa angenileta kazi kama ile ya siku ile. Niliumia kwa mengi huku nikitamani kama janga hilo la kupiga chabo lisingetokea. Usiku uliingia na mimi sikuweza kuruhusiwa. Niliwapigia babu na bibi na kuwadanganya kuwa siku hiyo nisingeweza kurudi maana nilikuwa na kazi ya kufanya. Babu yangu alionesha wasiwasi wake wa wazi kwa sababu siku hiyo ilikuwa ni wikiendi hivyo kumwambia kuwa kuna wanafunzi natakiwa kuwafundisha haikumwingia akilini. Nilijaribu kumdanganya mpaka akarizika.
Ujinga nilioufanya sikujua babu G alikuwa wapi muda huo. Kumbe na yeye kwa uwoga juu ya hali yangu alikwenda kutoa taaarifa nyumbani. Babu kwa hasira na wasiwasi alikuja mpaka hospitali kuniangalia.

“Yaani mjukuu wangu na ukumbwa wote huu bado unapanda juu ya dhambarau na kufuat dhmbarau za chini. Na mbona nikzileta nyumbani huwa huli leo imekuaje” babu alihoji.
“Nisamehe babu yangu kwa maana siku hazilingani na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
“Lakini kawa nini baada ya kupatwa na majanga unanidanyanya mimi babu yako. Huoni kuwa unaweza kupatwa na matatizo makumbwa kwa kuficha maradhi.”
“Nisamehe babu sikupenda kukusumbua”
Babu ilimazimu kuwa mpole na alinyamza kimya..
Je, Jose atapona? Ajali hii ya kupiga chabo itaendelea kuwa siri au mpaka wanafunzi watajua?

Niliendelea kutibiwa na mara baada ya siku mbili hali yangu ilitengemaa. Niliruhusiwa na kuendelea na shughuli zangu za kawaida. Nilikuwa mpole sana na cha ajabu sasa nilikuwa nikisumbuliwa na wanafunzi wengi wakinitaka kimapenzi. Waliokuwa wakinitaka hasa wale waliokuja kuniona nikiwa hospitalini ambao wengi walifanikiwa kupata namba zangu kwa njia ya ujanja ujanja. Lakini sasa hivi sikuwa na raha sana kama awali kutokana na wosia mzito niliopewa na babu yangu. Lakini pamoja na wosia huo hiyo haikumaanisha kuwa nilivunja urafiki kati yangu na babu G. Urafiki wetu uliendelea na bado babu G alikuwa akinifundisha vitu muhimu kuhusu wasichana. Alinieleza pia umuhimu wa kumrizisha mwanamke kitandani. Ufundi wote huu ukawa chachu ya mimi kutaka kujaribisha yote niliyofundishwa.

Basi niliamua kuanza na kiporo yaani yule binti ambaye babu G alinambia kuwa alikuwa akihitaji dozi siku ile nilipopata majanga ya kupiga chabo. Nilimtafuta babu G na kumwambia kuwa sasa nilikuwa tayari kwa ajili ya kazi ile. Babu G alicheka sana na kuniambia kwa bahati mbaya ile kazi mara baada ya mimi kuumwa aliamua kuifanya mwenyewe. Nilitamani kucheka kwa maana haingii akilini kuwa eti mtu alikuunganishia mwanamke na kwa kuwa wewe ulipata matatizo eti yeye akaamua kumfanya wake. Hii kitu ilikuwa inachekesha sana maana Babu G aliamua kujimilikisha na kufanya mapenzi kama kitu kisicho na thamani kabisa. Nikawa najiuliza ni kweli wasichana wanauhitaji huo. Mbona kibaiolojia sio hivyo. Mimi nakumbuka nilifundishwa na kusoma kuwa mwanaume ndio ana hamu kubwa ya kufanya mapenzi kuliko mwanamke.

Nijuavyo mimi kinachowafanya wanaume kuwa na hamu kumbwa ya kufanya mapenzi ni kutokana na sababu za kibaiolojia. Inaelewza kuwa mwanaume ana testosterone homoni (viamshi) ambavyo huzalishwa kwa wingi katika kende hivyo kutokana na kuwepo kwa wingi humfanya mwanaume kuwa na mwemko na hisia nyingi za kufanya mapenzi.

Bailojia inasemwa wazi kuwa homoni za estrogen kwa upande wa mwanamke huwepo kwa kiasi kikumbwa wakati Fulani katika mzunguko wa hedhi hasa hasa siku ya upevushaji wa yai. Hapa mara nyingi mwanamke huhitaji sana kuamshwa hamu ya kufanya mapenzi kwa kushikwashikwa sehemu zinazosimimua zaidi. Sasa sina uhakika hawa wa babu G huwa wapo kwenye siku hizo na kama ni hivyo mbona hawapati mimba au wameshaanza kujidunga sindano wakiwa na umri mdogo. Sijui huenda wanatumia njia za kuzuia mimba.

Ninachojua pia ni kwamba wanaume tulio wengi hamu zetu hazihitaji kuamshwa yaani tukiona tu mwanamke kava nguo zinazoonesha maungio yake tayari tunapata hamu ya kufanya mapenzi. Mwanamke yeye anaweza kumuona mwanaume “handsome” mwenye kifua kizuri na vigezo vingine lakini hawezi kupatwa na hamu ya kufanya mapenzi. Sasa inakuwaje hawa wanakuwa na hamu kumbwa ya kufanya mapenzi. Maswali haya na mengine mengi yaliendelea kuusumbua ubongo wangu.

Nilitamani babu G angekuwepo ili niweze kumuuliza maswai yote hayo. Wakati nikiendelea kuwaza na kuwazua nilipata simu ya madam Anitha ambaye alikuw ni mwalimu wa Geogarph kwenye shule hiyo.
Baada ya salamu madam huyo alinuliza nipo wapi. Pia aliniuliza kama naweza kwenda kwake. Nilimuheshimu sana madamu huyu kwa maana licha ya mambo mengine pia alikuwa akijiheshimu sana na alikuwa amenizidi kiumri.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
32 Babu G Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni