MY SECRET DIARY (2)

0
Mwandishi: Michael Mejah

SEHEMU YA PILI
ILIPOISHIA...
Jamani huyu dadie kiwembe hatari na anahonga nyumba tu yeye na material anayoyachukua ni vitoto vya chuo kama pale st.augustino sasa kuna kadada kaitwa merry amemjengea nyumba nyamagana pale siku hyo tulitoka dukani kununua gypsum

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Gypsum powder na ndoo za rangi nisijue tunapeleka wapi naona tunaenda tu mpaka nyamagana kwa mama antony hapa nyuma. Geti ilo likafunguliwa na mdada mrefu hatari yani ye dadie anamfikia begani kidogo mie angalau namkaribia. Mtoto anadeka kweli mwenzangu mie nachora ramani maana najua siku moja ntakuja peke yangu. Wakati naingiza rangi na gypsum stoo nilipata fursa ya kuongea na mamdogo rebecca(mchepuko wa mzee) kijana nina maneno sijisifu ila mpaka namba yake akanipa ya whatsup, unajua mzee ananiamini kuliko na hajui kama mwanae nimekua nikatoka na kumuacha mamdogo akitamani kuongea na mimi maana nina stori hatari ila sasa ili kuonyesha sina haraka nae nikaondoka. Hiyo nayo nikairecord kwenye diary yangu ya siri.

Chapter.04.
Mwenzangu kama safari ya mbwa sijui hata naenda wapi nikiwa maeneo ya ccm kirumba na baiskel yangu nikapata wazo nipite kwa mamdogo jesca yule aliyekuwa na dadie bar juzi nilifika mpaka kwenye geti nikabofya kengele ngwelengwele nikawa nasikilizia mara sauti ya hatua ikawa inasikika kwa ndani eeh! Mamdogo jesca huyu akanikaribisha ndani maana ananikumbuka vizuri sasa mimi naangalia the way alivyovaa kile kibukta kifupi mapaja yote mwaaa! Na wakati natafakari nilishtusha na sauti yake "jb karibu jisikie upo nyumbani, sijui unatumia kinywaji gani?" eeh huyu ananipa fursa ya kuchagua ngoja nimwage pombe mezani tule bata kwanza natumia pesa za dadie wala sikujari cha kuofia ni kufumwa. Kwa haraka haraka nilivyoangalia nilihisi huyu dada atakuwa ni mwanachuo maana kulikuwa na mapamphetis na laptop mezani hiyo tu ilidhirisha ni mwanafunzi sasa najiuliza " ina maana apartment yote hii anaishi peke yake? Mmh ni nani anayemlipia hapa sasa? Kama ni mzee huyu aki ya nani namwambia mama"
Tulikunywa mpaka nikawa naona mwili wangu hauna stamina tulikunywa whisky imeandikwa kwenye chupa "grant's" mamdogo jesca alinyanyuka kuelekea maliwato kabla hajaanza kujisaidia nilisikia sauti ya vuuuu pah!.

Nilijinyanyua fasta mpaka eneo la tukio khee! Mamdogo jesca alikuwa chali analia mwenzangu nilijisogeza na kumpa pole huku najiandaa kumwanyua kumtoa pale toilet. Niliweka mkono wangu wa kulia kwenye kiuno chake na wa kushoto kwenye shngo yake na huku yeye akipitisha mikono yake kuzunguka shngo yangu. Moja mbili tatu enhee! Nilimnyanyua kusema ukweli alikuwa na kilo ni kujikaza 2 la sivyo ningejikuta najamba saa ileilea. Nilijaribu kumuuliza swali la mtego na ile hali najua fika jibu lake "mamdogo nikupeleke wapi chumbni kwako au sebureni?" wewe sasa akanipa direction kwa mkono wake kuonyesha alitaka nimpeleke chumbni kwake.

Nilimwaga kitandani puuu na kuanza kuvuta pumzi uuuuh! Unadhani mchezo kumbeba mtu mzima na kilo zake inabidi ujipange mwenzangu. Ona hii.

"sasa mamdogo wacha mimi niwahi home maana nitakuwa nimechelewa ntakuja kesho" niliongea uku jicho natazama paja lile nilitamani kuitwa

"hapna jb please ngoja kwanza unichue ebu chukua dawa hapo ndani ya kabati" mzee nikafungua kabati na kutoka na mafuta ya kufanyia massage na dawa ya kuchua nikaenda hadi jikoni nikachukua besini na kitambaa cha taulo na maji ya uvuguuvugu nikawa nikaanza kumchua sehemu alizoumia akawa analia maana ile dawa inavuta na wakati huo nikamwambia hatoe blauz yake mwenzangu akatoa hadi sidiria lakini alinipa mgongo hvyo sikuona chochote. Nilimuasha dakika kama 10 then nikaanza kumkanda na maji ya uvuguuvugu akawa anajisikia raha mno.

Nilifungua yale mafuta na kumimina juu ya mgongo wake kisha nikaanza kumfanyia massage mpaka raha hapo sehemu zangu za kikubwa zilianza kusisimka si unajua tena muda sijakutana na mwanamke sasa mamdogo alinitia majaribu. Nakumbuka niliamua kujaribu kupitisha mkono wangu mpaka kwenye kitovu chake eeh mdada alitulia tuli nikakichezea na taratibu nilianza kupanda hadi kifuani kwnye embe dodo na chuchu pana nikawa nazitomasa mpaka akaanza kurespond "no jb no usifanye hvyo jb no" maneno yake yalikuwa tofauti na matendo kwni muda huo alikuwa anajinyonga nyonga na kunipa fursa ya kuchuka mpaka kwa madiba nikapenyeza mkono wangu kwenye chp yake na kuifunua wacha kabisaaa! Kulikuwa na garden iliyokuwa inachomachoma kiganja changu nilisogeza tena mkono wangu na kushka kitu kama kakidole kabla sijaendlea mamdogo alinishka mkono na kunigeukia

"jb ebu kuwa na adabu mimi ni mama yako mdogo unataka kufanya nini sasa? Hyo ndo kazi niliyokupa?"

Nilikodoa macho kama nimefukuzwa kazi huku namuangalia mamdogo alionyesha kukasirika
"mamdogo wangu toka lini mamdogo wangu ninayemjua nasra na samia, huyu namuhta mamdogo walai nasema lazima nipakue vyombo hyo lazima" nijisemea kimoyomoyo wakati bado mkono wangu wa kushoto upo kwenye nyapu ya mamdogo juu yake aliweka mkono nilijitia ushizi nikasukumiza mdole huu wa kati fyoko. Ishiii mmh haaaaa ishiii uwiìí alitoa kelele mamdogo hasira zake zikakimbia safari hii alinywea kwa jb. Ni muda cjashka nyapu za kina dada tokea kule shule. Ngoja nikusimulie kidogo mambo yalivyokuwa huko.

Shuleni kawaida yangu ilikuwa hivi muda wangu wa kusoma ni usiku kwanzia saa nne usiku mpaka saa sita nalala kumi na moja alfajiri naamka tena kusoma sasa muda wa kusoma mchana na preparation usiku wa moja mpaka nne mimi nilikuwa napanga leo nikae na judith, ryidia, hasma, asnath ama riziki niliyetaka kukaa nae muda wa kula nilimpa taarifa kuwa leo nataka kustay na wewe nipangie meza na kiti. Hakuna kusoma hapo kwani nilikuwa nawachezea mademu nyapu zao kwa kuwatia vidole mpaka muda unaisha kama mtu akija kwa harakaharaka anaweza kudhani tunadiscuss kwakuwa vitabu vyetu tunaviweka mezani. So nilikuwa na uzoefu wa kuzichezea nyapu mpaka nawafanya wanamwaga kwa vidole2 hvyo walikuwa wanapenda sana kukaa na mimi kitu ambacho kilipa jina la utani dj zero ikiwa na maana ile sehemu imekaa kama payonea ya madj so me ndo nakuwa dj.

Nilipomuona mamdogo jesca nikamkumbuka judith siku moja tukiwa class wawili nilimchezea mpaka nguo yake ya ndani ililowana chapa chapa alilia hatari mpaka miguu ikamuisha nguvu inshort mimi siwezi kumtia demu mpaka nimfanye hii kitu. Mamdogo sasa nilimlowanisha kwani mpaka akawa anaongea vitu vya ajabu. "unajua jb unajua wewe mtamu kuliko hata baba yake yule hajui wewe fundi nipe pipi yako taa'amu" khee kuja kuangalia chp yake imelowa chapa chapa mpaka muda huo kashajiharibia mara mbili sasa ndo nikatoa mashne yangu na kuitumbukiza kwenye ile nyapu mwenzangu si akanibana na miguu yake aliyoizungusha kwenye kiuno changu muda huo ile kitu ilizama yote nikawa naisugua kwa kuangalia angle.
***
CHAPTER.06.
Matukio yote niliyaandika kwenye kile kitabu changu hapa nikawa nafungua page ya sita nikawa nafikiria tukio gani nitaandika coz juzi nimetoka kumfanya kitu kibaya mamdogo jesca mpaka hadi leo ananisumbua kwenye simu utakuja lini utakuja lini? Mawazo yalinipa nianze kumtafuta angel yule mfanyakazi katika duka la baba la nguo pale pasiasi nikaangalia namba zake zipo wow! Kitambo nilimpotezea ngoja nimtafute tena.
"hello mambo vipi!" Nilisalimia kwa bashasha
"khee poa jb nimekumc ulinisusa kweli wangu" alijibu angel
"kweli ulinimiss angel? Mbona me nipo2 home"
"jamani njoo basi nyumbani kwangu kesho jumapili nitakuwa tu home njoo unishangamshe na story zako za uongo na kweli"
"khaa umeanza na mambo yako ila poa kesho nitakuja we niandalie madikodiko utaniona 2 hapo" niliongea huku nachekacheka
Angel akuamini nilipomwambia kesho nitaenda kwake maana mara nying huwa namdanganya sasa kesho nilidhamilia kupiga sound ikiwezekana nifaulishe mzigo.


Hapana chezea maandalizi ya kwenda kwa angel ilikuwa kama vile me ni bestman wa mtu fulani anakwenda kuoa niliamua kupendeza hyo day ya jumapili tulivu. Nilitumia suruali ya kitambaa black, shati la pupple, koti la single batani lililonitait vilivyo na moka zangu down, dazain nikaweka na earphone kwa my ears, khee nilitaka kusahau zana{condom} maana lolote linawezekana mwenzangu nikabeba mbili na kuweka kwenye waleti yangu. Hapa sasa ni kumpanga mama anipe funguo za spacio maana ndo gari ambyo nimeruhusiwa kutumia na noah pekee.
"khe mwanangu kulikoni leo una mtoko wa wapi?"
"khaa mama bwana umesahau juzi nilikwambia kuwa mark yule best yangu ana birthday party kule bwaloni ndo hapa nimekuja unipe funguo ya gari na hata elfu 20 ya mafuta na kununua kijizawadi"
"umeanza unapanga safari na hauna hela haya kama ningetoka ingekuaje? Nenda kachukue pale kabatini ni elfu20 tu usiongeze hata mia zipo kwenye mahesabu"
********
Angel hakuamini aliponiona nilikuwa ni bonge la mkaka si unajua tena nguo zinaficha mengi, sikutaka tukae pale kwake hvyo tulipanga twende maeneo ya kujidai kule buzuruga tukale bata kwani nilikuwa na kama elfu60 mfukoni na gari lipo full tank.
Wakati tunaendelea kunywa nilikuwa namchokoza angel na hakuwa msiri aliniambia ukweli kuwa hana mchumba anasoma st.agustino pale mwanza, ilo kwangu halikuwa tatizo kwani mimi sio muoaji me nakubariki tu. Niliangalia kile kimini alichopigilia angel kilitosha kabisa kuona kilichomo ndani na kufanya azma yangu iwe nyepesi.

Taratibu nikaanza uchokozi nikapeleka mguu wangu kwenye mguu wake na kuanza kusugua kwa kumshawishi fulani au kumpandisha hisia mtoto akawa ananiangalia kisha anakwepesha macho mimi tena unanioneshea udhaifu wako ni sawa na swala kumpa simba mtoto amuangalizie, mzee nikasogeza kiti kwa ukaribu mpaka alipo yeye nikasogeza kamkono kangu mpaka kwenye paja lake taaaapu. Kama dakika2 ndo nikaanza kutambaa kwenye paja lake na kushuka uvunguni mwa paja nene, nyororo na jeupe unajua hapo2 kuna watu wamebarikiwa ebu nikwambie kitu wewe unaweza ukawa una uwezo wa kumteka mwanamke ila ukawa na uwezo wa kipaji kingne lakini mimi toka naanza mchezo wa kumchezea mwanamke nyapu ni lazima nitamgonga2 unajua kwanini?

Gari lilinesa nesa na kuwafanya wapita njia wajiulize kuna nini, mara kiöo cha gari kiligongwa na tochi ilimulikwa kwa ndani wakati huo nimeshamkojolesha linah mara tatu na vidole vyangu, sasa hapo ndo kwanza nilikuwa naanza kuzamisha rungu hata goli sijapata, nilikuwa nim3ipitisha miguu ya angel kuzunguka kiuno changu na kutufanya mimi na yeye kuonana uso kwa uso.

"nyie ebu tokeni nje mnafanya ufuska kwenye gari"

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)