Notifications
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

POLEPOLE MPENZI (12)

Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA KUMI NA MBILI
ILIPOISHIA...
Eliet aliyalegeza macho yake yaliyokuwa na nakshi ya kupendeza hata kama hayajapakwa wanja, midomo yake mipana aliipanua na kuilegeza kana kwamba ameingizwa mtalimbo huku ulimi wake akiutoa nje na kuurudisha kimahaba,,

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Kwa utundu huo Nelson alijikuta damu yake ikichemka huku mtalimbo ukianza kusumbua kwenye bukta yake laini,kwa bahati mbaya au nzuri hakuvaa chupi hivyo mtalimbo ulisimama kwa uhuru bila kubanwa na kitu chochote

Kwavile walikuwa wamekaribiana sana,nayo miguu ikaanza kuwasiliana kwa kuonyeshwa ni jinsi gani ina uwezo wa kuongea,,,Nelson kwa uchokozi wa makusudi aliunyoosha mguu wake uliokuwa peku huku kidole gumba kikitangulia mbele,katikati ya mapaja laini ya Eliet mguu wa Nelson uliomba njia ya kuelekea ikulu ambapo bila tatizo Eliet aliuruhusu kwa kuongeza kupanua mapaja,,

Mguu ulipita kwenye mapaja ambapo moja kwa moja kile kidole gumba kiligusa kitumbua kilichokuwa wazi bila kufichwa na chupi,,kwa jinsi Eliet alivyopanua mapaja,ilimrahisishia Nelson kufikisha mguu wake vyema kwenye kitumbua,,,basi kidole gumba cha mguu wa Nelson kilianza kuingia kwenye kitumbua cha Eliet kwa mtindo wa kupekecha,,,aaaah,,bwanaaa weweeee!,,,Eliet aliirudisha kiuno nyuma huku akisema maneno hayo,,,Nelson akaurudisha mguu wake

,,,yaani Nelson nataka leo ukiingiza hiyo mashine yako,iingie mpaka mwisho,halafu niikatikie huku nikikuna hicho kichwa mpaka umwage leo,,,,maneno hayo yalimfanya Nelson kuwa kimya kwa muda kwani yalimsisimua haswa na kuongeza kasi ya kusimama kwa mtalimbo,,,
,,,,hata mimi,nina hamu ya kukisugua,nikuingize hii mashine yote na kuitoa huku nikikisugua kile kidude mautamu chako ambacho kitakuwa kimesimama mpaka kilale chenyewe,,,,

Maongezi hayo kwa pande zote mbili yalimsisimua kila mmoja,,,uvumilivu Nelson ulimshinda,aliinuka kwenye kiti huku mtalimbo wake ukiwa umesimama kama mshale kwenye upinde,,,mmmh,jamani wewe mwanaume hapo ndipo unaponiua naipenda sana mashine yako,,,aaah,,aliongea hivyo Eliet huku akijiinua na kumshika kiuno Nelson,,

Kwa pamoja walikuwa wakielekea chumbani ili kucheza mechi ya kikubwa,wakiwa njiani Nelson mkono wake ulikuwa kwenye tako la kushoto la Eliet lililokuwa ndani ya khanga moja,aliutumia mkono wake kuliminyaminya huku akisogea mpaka kati kwenye mstari wa ikweta,,,kwa upande wa Eliet wakiwa wanatembea mkono wake ulikuwa mbele ya bukta ya Nelson ambapo aliushika mtalimbo wake uliokuwa umenyooka haswa,,leo nitainyonya hii,,,aliongea Eliet ili kumpandisha hasira Nelson
Ndani ya chumba waliingia Eliet na Nelson ambapo kulikuwa hakuna kuulizana,

Nelson alimvamia Eliet kama ugomvi na kuanza kuachana khanga yake kama mtu aliyechanganyikia badala ya kuivua kiutaratibu,,,ilionyesha ni jinsi gani alivyokuwa na hamu kubwa,,,aliushambulia ulimi wake kwa kuunyonya kisawasawa,huku mikono yake ikiyaminyaminya makalio laini ya Eliet yaliyokuwa wazi muda huo,hapo walikuwa wamesimama bado,alichokifanya Nelson aliuchukua mguu wa Eliet na kuuweka pembezoni mwa kitanda ili apate nafasi ya kuingia kidole,,,mguu wa Eliet ulivyopanuka, Nelson alipeleka kidole chake cha matusi kwenye kitumbua cha Eliet na kuanza kukiingiza taratibu na kutoa,,hapo tayari alishahama kwenye zoezi la kumnyonya denda na kuhamia kwenye Chuchu zake ndogo zilizochomoza vizuri,,kwahiyo akawa anamnyonya Chuchu huku kidole kikiendelea kumsugua kile kidude mautamu,,, aaaah,, aooooouuuuuhh,,, aiiiisssssssss,,, aaaaaah,,,

Eliet alizidi kulia huku akikikatikia kidole ambapo makalio yake yalitikisika kiutamu kweli,,Nelson aliendelea kukandamiza kidole ambapo safari hii aliingiza vitatu huku kile cha kati kikiwa juu ya vile viwili,aliweka kidole cha kati juu ya vile viwili ili kukifikia vizuri kidude mautamu,,,kiukweli tendo hilo lilimchanganya kabisa Eliet aliyepagawa na kujiuma midomo yake huku mkono wake ukiwa kichwani mwa Nelson ukimpapasa,,,

Utamu ulimzidi Eliet ambaye kwa sasa alihitaji kusuguliwa na mtalimbo,,,alichokifanya,aliushika mtalimbo wa Nelson kwa mkono wake mmoja kisha akainua kichwa chake juu ishara ya kuomba ulimi ambapo Nelson aliinamisha kichwa chake kidogo kitendo kilichoeuhusu zoezi la kunyonyana denda,zoezi hilo likiwa linaendelea mkono wa Eliet ulikuwa unakishikashika mashine ya Nelson kwa kuiminyaminya taratibu kimahaba,,
Aliishika kwa kuvizungusha vidole vyake vyote kwenye mtalimbo huo kama mtu aliyeshika kisu kwenye mpini na kutaka kujichoma mwenyewe,,,alihakikisha amekikamata vizuri kichwa cha mtalimbo kisha akaongeza kujitanua mapaja yake kuachia kitumbua kiwe wazi kabisa,,pindi tu kichwa cha mtalimbo kilipoingia,Nelson kwa kutumia nguvu zake aliusukuma mtalimbo taratibu mpaka ukaingia wote na kuanza kumsugua ndani nje,nje ndani,,

Muda huo Nelson anafanya mapenzi na Eliet nyumbani kwake,huku Hospitarini yule Daktari Marlene ambaye ndiye mpenzi wake Nelson alikuwa ameshamaliza muda wake wa kazi ambapo ilimpasa kurudi nyumbani,kwavile daktari aliyekuwa anatakiwa kubadilishana naye hakufika hivyo hakuweza kuondoka bila daktari huyo kufika,kwa muda ambao anamsubiri aliketi ofisini kwake na kuendelea na shughuli zingine za kujaza taarifa mbalimbali,,,

Yalipita masaa mawili ndio daktari huyo aliwasili ambapo Daktari Marlene akawa huru kuondoka,ile anatoka nje ndio anagundua kuwa mvua inanyesha,,,upepeo wa wastani uliopuliza ulisababisha baridi kali ambapo kwa bahati mbaya siku hiyo Marlene hakubeba sweta wala koti,,akiwa yupo nje ya ofisi yake asielewe afanye nini,,kwa mbele yake akaiona taksi,macho yake yalipogongana na ya yule dereva kama unavyojua biashara,Dereva huyo alimchangamkia kwa kumuuliza kwa ishara ya mikono kama anaenda?,,,Marlene hata hakuitikia bali aliifuata taksi hiyo na kuingia ndani,,,

,,,habari yako dada?,,
,,,nzuri tu,mmmh,naelekea kituo cha Bima pale,,,
,,,,anhaa,sawa elfu saba,,,
,,,,elfu saba?,,,
,,,,ndiyo dada,ujue muda huu wa usiku na ukizingatia kuna hatari nyingi ndio maana tunapandisha bei,,,
,,,,kwahiyo hiyo mnayoipandisha ndio inaondoa hatari?,,,,
,,,,dada,hiyo ndio bei yangu,hata daktari mwenzio yule nimemleta kwa bei hiyo na ameelewa kwasababu sahizi ni usiku,,,,
,,,,haya twende,,,

Baada ya Marlene kukubaliana na hiyo bei basi ilimbidi Dereva huyo kuwasha gari na kuanza kuondoka kwani wakati Maongezi yanaendelea alizima kabisa gari,,,hapo kituo cha Bima alipopataja ndio mahali ambapo ukishuka hata hutembei hatua kadhaa unafika nyumbani kwa Nelson,kwa usiku huo aliona aende kwa mpenzi wake ili akaondolewe baridi bila ya kujua Nelson wake yupo na mwanamke mwingine usiku huo,,,hivi usiku huu sijamjulisha kama naenda kwake nisipomkuta?,,,kwanini najiamini hivi?,,akiwa ndani ya taksi aliwaza kwa kujiuliza maswali hayo ambapo aliona ni bora amjulishe ili kama hayupo aangalie taratibu za kufika nyumbani kwake,,,

Alipojikagua simu kwenye mifuko yake akakumbuka kuwa ilikuwa kwenye pochi yake ambayo ameisahau kule ofisini,,,ndani ya pochi yake kulikuwa na funguo za nyumbani kwake,,,,dada unaishia hapa au?,,kumbe tayari gari ilishafika kituo cha Bima ambapo Marlene alikuwa kama ameshtukizwa,,,mmmh,ingia kwenye barabara nitakuelekeza ninapokwenda sio mbali na hapa,nashindwa kushuka kwa ajili ya hii mvua lakini mahali pa kutembea tu na mguu hapazidi dakika tano,,,

Kwa maelekezo aliyopewa dereva taksi yalijitosheleza ambapo mpaka nje ya nyumba ya Nelson Marlene alifikishwa,
,,,,anhaaa,kwa huyu jamaa mbona napajua hapa,ni mpenzi wako?,,,
,,,,mbona maswali mengi kaka yangu shika hela yako,,,kwa kauli hiyo ya Marlene ilionyesha jinsi gani amechukia
,,,,sikiliza dada yangu,sitaki upotee,ila huyu jamaa anapenda sana wanawake,kuwa tu makini,juzi hapa katoka kuibiwa pesa nyingi tu Malaya,sasa kama unampenda umpende kweli ili abadilike kwasababu njia pekee ya kuwabadilisha watu ni kuwaonyesha upendo wa kweli,ni hayo dada yangu,,

,,,,usione nimekaa kimya nakusikiliza huo ujinga wako,tena usije ukarudia tena kuniambia hivyo,mmbea mkubwa wewe!,,, aliyatoa maneno makavu Marlene yaliyomfanya dereva taksi kuwa mpole kama katolewa ndani ya barafu

Marlene alishuka na kubamiza mlango wa Taksi kwa nguvu ambapo dereva huyo alibakia kutikisa kichwa chake kwa kumsikitikia kisha akaondoka garo yake,,,Marlene aliachwa peke yake nje hapo ambap[o alijisogeza mpaka kwenye kitasa cha mlango,akabisha hodi kama mara mbili,alipoona hajibiwi akashika kitasa cha mlango na kukizungusha mara akashangaa kuona mlango haujafungwa,,akausukuma taratibu na kuingia ndani huku akiwa na wasiwasi kwanini mlango huo uko wazi,mawazoni mwake hakujua kabisa kama ndani humo Nelson amelala na mwanamke mwingine,,,

Kwa upande wa Nelson alikuwa amelaliwa na Eliet kwa juu huku wote wawili wakiwa kama walivyozaliwa,kila mmoja alikuwa katika usingizi mzito sana,,,masikioni wa mungu Marlene akiwa hana hili wala lile,,usoni alitengeneza tabasamu pana baada ya kugundua hakuna hatari yeyote ndani humo pengine Nelson alijisahau kufunga mlango,,,alitembea mpaka kwenye chumba ambacho huwa anafikia akija nyumbani hapo,alishangaa kukikuta kitanda pekee,kwa mawazo yake alijua Nelson atakuwa amelala chumba kingine hivyo alivua mavazi yake ya kazi na kuvaa taulo lake,,

Kwa bahati mbaya au nzuri chumba alichoanza nacho kumtafuta Nelson ndicho alichokuwepo na Eliet,kwanza hata mlango wa chumba haukufungwa,hivyo Marlene aliingia kwa kujiamini kwenye chumba hicho kwa kujua atamkuta Nelson peke yake,,,mara alishtushwa aliposhuhudia Nelson amelaliwa juu na mwanamke halafu wote wakiwa uchi,,,alishika sehemu yake ya moyo huku midomo yake ikiwa wazi isiamini alichokiona,,,alijawa na hasira ambapo alitamani amfuate yule mwanamke na kumnyongea mbali,,,,akiwa amesimama hapo pembeni ya kitanda,si Nelson wala Eliet aliyehisi kuna mtu mwingine ndani humo,wote walikuwa wamepitiwa na usingizi mzito,,,

Marlene alivimba shingo yake kwa hasira kama nyoka kobra,kiukweli hakujielewa kabisa,,alihisi mwili kama umekufa ganzi,,,kilichosaidia mpaka wawili hao wasishtuke kutoka usingizini ni kitendo cha Marlene kutopiga kelele ya aina yeyote,,alichokiamua Marlene,alirudi jikoni na kuchukua kisu kirefu kilichong’a kwa makali yake kisha akirudi nacho chumbani huku akiwa amekishika kwa lengo la kumchoma Eliet aliyelala juu ya kifua cha Nelson,,kufa Malaya mkubwa we!,,,aliongea hivyo Marlene kwa hasira ambapo alimsogelea kwa karibu kabisa kisha akainua mikono yake miwli iliyoshika kisu na kukishusha chini kwa nguvu zote,,,,,

Mamaaaaaa,,aaaaah,,,,

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
33 Polepole Mpenzi Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni