Notifications
  • MY DIARY (35)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TANOTULIPOISHIA...Tatu niliambiwa kuwa ndugu zake na wazazi wake walihusika kwenye mipango hiyo hivyo walibariki kabisa huyo binti kuniacha mimi mumewe wa ndoa na kuamua mtoto wao aolewe upya. Nne ni kwamba huyo mzungu amewaamishia wazazi wake mjini na amewajengea nyumba ya kifahari.Kwa hiyo mimi ninavyowapigiana simu na kuwajulia hali kumbe wenzangu huwa wananichora tu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (34)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA NANETULIPOISHIA...Hapo nikakumbuka kuwa zile zana zangu za kazi nilikuwa nazo ni vile vifaaa vya kupimia ukimwi ambavyo huwa navitumia kabla ya kukutana na mwanaume yeyote nisiyemfahamu. Nikaamua kumkubalia huku nikiamini kuwa hiyo ndo kinga yangu pekee iliyobaki kama mwanaume huyo atataka kuzini na mimi usiku huo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi tuliondoka na kwenda sehemu…
  • MY DIARY (33)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA TATUTULIPOISHIA...Nilikuwa nachanganya staili za kijamaika na hizi za kwetu, sikuacha pia zile za Nigeria hapo nikapata vitu vyangu vya tofauti kabisa. Basi baada ya kujihakikishia kuwa nipofiti kwa mastahili yangu hayo nilisubiri siku ya shindano ifike nikafanye yangu. Siku ya shindano ilifika na mimi nilikuwa miongoni mwa washiriki walioingia tatu bora.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (32)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MBILITULIPOISHIA...Lakini kuchepuka kwangu na kuingia mgombani haikumaanisha kuwa sheria ingeniacha hivi hivi.Ilifika mahali ikabidi nizime gari na kutulia tulii kusikilizia nini kitafuata.Tayari nilikuwa nimezungukwa na mapolisi ambao walikuwa wakinifuatilia kwa kutumia pikipiki.Kwa bahati nzuri dereva wa lile gari na yeye alishafika hapo na alishawaambia polisi kuwa mimi naugua ukichaa na nilifufuka kutoka mochwari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (31)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINI NA MOJATULIPOISHIA...“marehemu pia alinieleza kuwa ana miliki duka la vitu vya urembo wa kike ambalo pia Leah analisimamia ila hilo apewe mdogo wake Marry ambaye yupo hapa. Mama mdogo huyo mara baada ya kuyasema hayo alikaa zake chini. Baba mdogo ambaye hakurizika na maelezo hayo alisimama na kusema “kwa hiyo kama marehemu alijua kuwa atakufa hivi karibuni kwani nini hakufuata taratibu za kisheria za kuandika wosia na kurithisha mali.IKIWA UNASOMA…
  • MY DIARY (30)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA THELATHINITULIPOISHIA...Baada ya hapo Nnilimwomba mama mdogo ajikaze na kuwatarifu ndugu wengine habari hizo za msiba.Tulisaidiana hivyo hivyo maana sio siri kila mmoja alikuwa na uchungu sana kutokana na mazingira ya kifo hicho. Habari zilizidi kusambaa kwa kasi na majirani walianza kukusanyika hapo kwa mama mdogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Msiba ni msiba tu na ukitaka kujua binadamu…
  • MY DIARY (29)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TISATULIPOISHIA...Hapo sasa nikazidi kuchanganyikiwa ikabidi nimuulize mama huyo alikuwa akifanyia shughuli zake za kujipatia kipato sehemu gani.? Yule dada akanambia kuwa anafanyia soko la ndizi huko Korongoni. Sikuwa na jinsi nilimuomba anipeleke lakini na yeye alisita sita kwa madai kuwa alikuwa na kazi nyingi za kufanya na bado anatakiwa ampeleke mtoto shule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (28)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NANETULIPOISHIA...Sisi tumesomea mambo haya bhana waliendela kuzungumza wale walinzi huku wakishuka ngazi kwa polepole. Hapo na mimi nikawa nimejifunza kitu kuwa kumbe unaweza kuingia na mtu guest akakuzuru kisha akaondoka zake.Sasa sijui kwenye zile guest zetu za uswahilini kama wanalijua hili.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilala japo usingizi ulikuwa hautaki kuja kwa…
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…

POLEPOLE MPENZI (19)

Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA KUMI NA TISA
ILIPOISHIA...
Sele aliuingiza ulimi wake bila kujali chochote,,, alimtekenya kwa ulimi huo na kuongeza kusisimka zaidi,,, hivyo Sele akawa anapanda juu kwenye kitumbua anakinyonya kiarage kisha anashuka chini ananyonya kitobo hiko kilichokuwa safi kiasi cha kumvutia mnyonyaji

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Kiukweli Monika alikuwa Hoi kabla hata sebene halijaanza,,kwa upande wa Sele ilikuwa ni ushindi kwani alihitaji kumchosha Monika kabla ya kuanza mziki wake,,,basi aliacha zoezi la kumchezea kisha akapiga magoti yake katikati ya mapaja ya Monika,, akachukua mto na kuuweka chini ya kiuno cha Monika ambapo kikawa juu juu,,, kisha akaushika ukuni wake uliosimama Vyema na kuanza kuchomeka kwenye kitumbua,,, aaaaah,,,,, uuuh,, aaaissssssssssss,,, mmmh,,, alilalamika Monika huku Sele naye akiunguruma kama anataka kukoolea ndani ya mapafu pindi mtalimbo huo ulivyokuwa unaingia taratibu mahala pake,,,,

Alichokifanya Sele kabla hata hajaanza kupampu,alichukua kidole chake cha kati na kukichomeka kwenye kitobo cha kutolea haja kubwa,akakiingiza ndani kabisa japo sio chote,,,aaaah,,uuuh,,Monika alitoa miguno hiyo akirudisha nyuma kiuno kidole kilipokuwa kinazama,,,alipohakikisha kidole kimeingia sawasawa hapo alianza kupampu taratibu,,, aaah,,, ooooh,,, Seleee,,eeeee,,,,,, mtalimbo wa Sele ulikuwa ni mkubwa hivyo ulienea na kubana kitumbua cha Monika,,, Sele alikuwa akiuingiza wote na kuutoa huku akihakikisha unamkuna Monika vilivyo hasa kiarage chake kilichokuwa kinaingizwa ndani na kutolewa nje kufuatana na mtalimbo huo,, alifanya hivyo huku kidole chake kikiwa kinaingia na kutoka kwenye kitobo cha haja kubwa,,,kiukweli Monika alihisi raha ya ajabu,, akajikuta hamalizi hata dakika kumi anatangaza kumwaga,,, Seleee,,eee,, aaaah,, oooh,,, ingiza kidole chote,, mpenzi,, wang,uuu,uu,, aaah,, kazana ,,kunifa,,nya,,aaa,, ,,, namwa,,aa,,agaaa,,,,, alilalamika Monika na kumwaga uji wake,, huku Sele akiwa hata wazo hana,,,,,,, mmmh,,we mtoto nani kakufundisha huu mtindo,,,?,,

Tukirudi kwa upande wa Daktari Marlene bado akili yake haikuwa vizuri kutokana na kusababisha kifo cha Eliet,,,maiti ilikuwa mochwari huku hofu kubwa ya Marlene ikiwa ni juu ya huyo mume wake kwasababu itakuwa kesi kubwa kama akienda kutoa taarifa Polisi ya kupotea kwa mkewe,,lakini kwa upande mwingine alijipa moyo na kusema yawezekana Eliet hakuwa ameolewa,,aliweza mambo mengi kwa wakati mmoja lakini kubwa zaidi alikuwa ni Nelson,,,

Baada ya Nelson kupata nafuu kidogo Merlene alimchukua na kwenda kukaa naye nyumbani kwake kwa ajili ya uangalizi wa karibu,,,lakini tendo la kuua lilimjia kila muda kichwani mwake na kumfanya ajihisi mkosaji anayestahili kuuawa pia,alitamani amrudishe Eliet duniani angalau amwombe msamaha lakini haikuwezekana,,,

Kwa upande wake bwana Gasto kugishima mume wa Eliet,akili yake haikuwa sawa baada ya kupita muda wa siku kadhaa bila kumwona mkewe kibaya zaidi bila taarifa yeyote ya kueleweka,,,kuondoka kwake Eliet bila kuaga kulimpa mashaka mume wake ya kuanza kubuni ni wapi atakuwa amekwenda,,, alipowauliza majirani zake,wote walisema hawana taarifa juu ya kuondoka kwa Eliet,,, kichwani mwake Gasto alianza kuhisi kama amekimbiwa au kutorokwa,,,,

Lakini mawazo yalianza kuwa hasi pale alipokuwa akiipiga simu ya Eliet,iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa,alihisi pengine ameibiwa simu na majambazi kumbe tayari mkewe ni marehemu muda mrefu,,,baada ya siku kadhaa kupita ambapo jambo hilo Alikaa nalo moyoni na kulifumbia macho kwa kujipa matuamaini kuwa mkewe atarejea nyumbani,,,

Nelson akiwa nyumbani kwa Marlene alihudumiwa kama mfalme,bado alikuwa hawezi kutembea vizuri kutokana na ule mshono alioshonwa tumboni,,hata vyakula alihitajika kula vile laini ili visimuumize tumboni,,huduma zote Marlene alizisimamia kwani hakuwa tayari kumpoteza Nelson,,,
Siku moja Marlene akiwa anatoka kazini kwake ambapo alikuwa anafanya kazi muda mfupi anarudi nyumbani kumwangalia Nelson,,aliona apitie nyumbani kwa Nelson angalau amchukulie nguo za kubadilisha,,,kichwani mwake aliingiwa na uwoga kwani ndio sehemu aliyofanyia mauaji,,aliwasili nyumbani kwa Nelson na kuingia mpaka ndani huku tembea yake ikiwa ya kiuwoga hasa,ikafika muda hata yeye mwenyewe alijishangaa kuogopa nyumba mchana kweupe,,

Aliingia mpaka chumbani kwa Nelson ambako hakutaka kuangalia kitu chochote zaidi ya kuchukua nguo za Nelson na kuziweka kwenye begi moja,,,lakini alipogeuza shingo yake alipata kuiona simu juu ya kingo kichwani mwa kitanda,,, mmmh,ni simu ya Nelson?,mbona yake anayo!,,alijiuliza swali hilo na kujijibu Marlene ambapo aliisogelea na kuichukua,,alipojaribu kuiwasha haikuwaka,,,ilitaka kama kuanza kuwaka ambapo mwanga ndio ulitokea kisha ikazima,,, aligundua tatizo linaweza kuwa ni chaji,,, akaichukua na kuondoka nayo

Alipokaribia kufika na nyumbani kwake,hii ilikuwa ni baada ya kushuka kwenye gari,alipitia kwenye kibanda Fulani cha simu ambapo kilikuwa mtaa wa sita mpaka kufika nyumbani kwa Marlene,,, aisee, naweza kupata chaji pini nyembamba,,,?, embu tuione hiyo simu Bosi wangu,,,aalikuwa ni Marlene na muuzaji wa kibanda hicho cha simu kisha akatoa simu yenyewe na kumkabidhi muuzaji,,,
Muuzaji huyo alipokea na kuiangalia vizuri kisha akainama kwa chini ili kuangalia kama kutakuwa na chaji ya aina hiyo,,,kisha akiinuka na kumkabidhi chaji hiyo,,,

,,,,bei gani,,,?
,,,ni elfu tano ya kiserikali bosi wangu,hiyo ni orijino kabisa,,,
Basi bila ya kupoteza wakati Marlene alitoa hiyo pesa na kuondoka zake,,,alipofika nyumbani alimjualia hali Nelson ana kumfariji kwa kumbusu kisha akamwonyesha zile nguo zake alizokuja nazo,,alipomaliza kuongea na Nelson aliingia ndani ambapo kitu cha kwanza kilikuwa ni kuichaji ile simu,,,hisia zilianza kumjia yawezekana simu hiyo ni ya marehemu Eliet,,,ilipoonyesha inapeleka chaji hakusibiri mpaka ijae,aliiwasha ambapo ilipowaka alianza kuipekua,,alienda uwanja wa meseji na kuangalia hizo meseji akakuta ni za matusi zingine za heshima,lakini mada kubwa iliyokuwa ikiongelewa kupitia meseji hizo alizozikuta ni kuhusu biashara ya kuuziana bangi,,,aliendelea na upekuzi ambapo alianza kuyaangalia majina yaliyohifadhiwa kwenye simu hiyo,aliishia kuguna tu maana ilikuwa ni vituko mara kikuku,tembo,sokomoko,chatu,chunusi,hayo ni baadhi ya majina yaliyokuwa yamehifadhiwa kistaharabu lakini yaliyo mengi ni matusi tupu,,,

Aliishusha pumzi ndefu huku hisia zake juu ya mmiliki wa simu hiyo kuwa ni Eliet zikipotea,alijaribu kumweka kichwani mwake Nelson kuwa ndiye mmiliki wa simu hiyo lakini hakuona akiingia kwenye umiliki huo,ilionyesha dhahiri laini ile ilikuwa ni mtu asiyekuwa mstaharabu,aidha mvuta bangi au muhuni tu wa mtaani,,,

Suala la Eliet bado sokombingo liliendelea ambapo bwana Gasto aliamua kulipeleka kwenye vyombo vya dola,ikawa ni kazi kwa Polisi kutafuta ni wapi Eliet alipo,,,suala la namba ya Eliet kupatikana hewani,iliwasaidia Polisi kujua ni wapi waanzie kumtafuta ambapo walishirikiana na kampuni ya Vodacom kujua ni wapi mnara unasoma mahali ilipo simu hiyo,,,walijaribu kila muda kuipigia simu ya Eliet lakini haikupatikana,,,ikawa kama bahati nzuri siku hiyo ikapatikana majira ya nne usiku

,,,hallo,mambo,,sauti ya kiume ilisikika ikisema hivyo
,,,mmmh,jamani mwanaume wewe,,,!,ndio hata hutaki kunipigia simu,,?,sauti ya Polisi wa kike ilisema hivyo
,,,samahani mwenye simu hayupo,,,
,,,aaah,mi nakutaka wewe hapo,achana na mwenye simu bwana,,,aliilegeza sauti polisi huyo na kuipa manjonjo ya kila aina
,,,,jamani,sa utaongea nini na mimi mtu hata hunijui,,?
,,,,mi naitwa Irene,wewe je,,?
,,,,aaaah,mi naitwa Juma,,,
,,,,jamani juma,usiku huu naogopa mwenzio peke yangu,,,njoo tulale wote basi
,,,,mmh,,,aaaah!,,unasema,,?
,,,,njoo tulale wote kitandani na hapa nipo na bikini tu makalio yote yapo wazi njoo nifunike jamani we kaka!,,sauti ililegezwa haswa na kuwa ya kimahaba iliyohasisha ngono kweli,,,
,,,,kwani uko wapi,we inelekea una hamu ya kufanywa,,,,
,,,,ulijuaje jamani,kweli nawashwa,lakini nataka tufanye kwenye simu tu,mi kwetu siwezi kutoka sasa hivi ni usiku sana,,,
,,,,uko wapi niambie nije,,,?
,,,,utakuja kweli kunifanya,,,?
,,,,ndio,,,
,,,niambie kwanza wewe uko wapi,,,?
,,,mimi niko mtaa wa Singa Singa,kwa tajiri wa kiarabu huku,,,,aliropoka Juma bila ya kuhisi chochote kibaya,,kichwani mwake alikuwa na picha ya mwanamke mwingine kabisa,,,
,,,,aaaah,kumbe hapo embu nisubiri nije,mimi nilifikiri mbali jamani,,,
,,,,sio umesema huwezi kutoka,,,?
,,,,,nakuja,mimi nina hamu sana na nataka unikune haswa mpaka asubuhi,nilikutania tu kukwambia siwezi kutoka,,,

Kitendo cha Juma kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kilimsababishia kuingia kwenye mtego wa Polisi kiulaini,,,,,Itaendelea
Je,kuna mchezo gani ulifanyika mpaka simu ya Eliet apokee Juma wa mtaa wa Singa Singa?,kutana nami kesho kwa mwendelezo wake mtamu,,,,

Juma alipokata simu Alikaa mkao wa kumpokea mgeni huku moyoni mwake akiwa hana hofu kabisa,,alichokifanya aliwashtua rafiki zake wawili ambao kwa pamoja wakakaa mkao wa kumpokea Irene bila ya kujua ni Polisi,,,dakika kumi mbele iliwasili gari aina ya Taksi ambayo ilimshusha Irene na kumwacha hapo kisha yenyewe ikaondoka,,,
,,,kaka,ndio yule nini,bonge la demu aisee,,,aliongea hivyo mmoja kati ya marafiki wale wawili wa Juma,,,
,,,mmmh,ngoja nimpigie nione,,,aliongea Juma huku akitoa simu yake na kumpigia,,

Pindi Juma alipopiga simu alishangaa kumwona mrembo huyo ambaye ni Polisi akipokea simu,,,akawa na uhakika kabisa kwamba ndiye yeye,,,mmoja kati ya wale marafiki wa Juma,akang’ang’ania aende yeye akifanye ndio Juma kisha wampige mtungo yaani wamwingilie wote kwa pamoja bila msichana huyo kujijua,,,Juma aliona wazo hilo ni sahihi kwani akifikiria mwanamke mwenyewe huyo njia aliyompatia ni zilezile kama za wanawake wanaojiuza,,,
Basi Kigoso ambaye ni rafiki wa Juma aliyetoa wazo la kumpiga mtungo msichana huyo alimsogelea mpaka karibu dada huyo huku akiwa ameshika simu ya Juma,alijiamini haswa ili asije shtukiwa chochote,,,

,,,hellow,mambo Irene,,!
,,,safi,jamani Juma ndio nini hivyo,unanipigia simu halafu unakata,,?
,,,aaah,nilitaka kujua kama ndio wewe,samahani jamani,,, mmh, tuelekee nyumbani,,, aliongea hivyo Juma huku akimsogelea kwa karibu Irene na kumkumbatia,,,

Pindi alipomkumbatia, alishangaa kumwona Askari Polisi akiwa mbele yake mbali kidogo na walipokumbatiana,,Kigoso ilibidi ajikaze huku akitraka kujitoa kwenye mwili wa Irene,lakini alishangaa kuona Irene hamwachii,mikono yake aliikaza hasa kiasi kwamba Kigoso pamoja na kuwa mwanaume alishindwa kujitoa

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
33 Polepole Mpenzi Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni