POLEPOLE MPENZI (24)
Zephiline F Ezekiel
6 min read
SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE
ILIPOISHIA...
,,,wewe ni mlokole,,,?
,,,hapana,ila ni mtu ninayemwamini na kumpenda Yesu,,,
,,,anhaa,,nashukuru kwa msaada wako,,,
,,,usijali,mshukuru zaidi mungu,mmh,mimi naomba nikuache kidogo kuna mahali inabidi niende,,,
,,,aaah,samahani naomba uniachie mawasiliano yako kama hautojali,,,
NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU
SASA ENDELEA...
Basi walibadilishana namba za simu na kufahamiana kwa majina yao ambapo jamaa huyo alijitambulisha kwa jina la Matesha,,kwa vile Marlene alishaaga kazini kuwa anakwenda nyumbani aliona ni bora aende nyumbani kuliko kurudi tena kazini,,,
Kwa upande wa nyumbani kwake bado Nelson alikuwa anamsugua Adela kisawasawa,,,kwa muda huu Nelson alikuwa amelala chali kisha Adela alikuja na kuikalia mashine ya Nelson iliyokuwa ndefu na nene,,hakumgeukia bali alimgeuzia mgongo,,,safari hii mtalimbo wa Nelson ulipita kwenye kitumbua moja kwa moja ambapo wakati anapampu alikuwa amemshikilia makalio yake yaliyojimwaga,,,hata naye Adela hakuwa mzembe,akiwa hapo juu alijizungusha kiuno chake na kuukuna mtalimbo wa Nelson uliokuwa unaingia na kutoka kwenye kitumbua chake,, aaaah,, oooh,,, uuuh,,, aaaammmmh,,, aaaasssssss,, alilalamika Adela huku akizidisha kumpa mauno ya nguvu kijana wa watu ambaye naye alikuwa akihema kwa kasi,,,, Nelson alikuwa akipampu kwa nguvu na kasi ambapo unene wa mtalimbo wake ulisaidia kwa kiasi kikubwa kukisugua kiarage cha Adela vilivyo na kumwacha mtoto wa watu akimaliza kulia milio yote duniani,,,,,
Je,unafikiri nini kuhusu mtu aliyekutana Marlene,,?,na vipi Nelson akifumwa na Marlene kwa mara ya pili,,?,tuwe pamoja tukutane kesho kutwa kwenye mwendelezo wake ,,,
Aaaah,,aaaah,,ooooh,,,mmmh,,mamaaa,,,alilalamika Adela mpaka mchozi kwa mbali ulionekana kumtoka,,,kweli utamu wa mtalimbo sio wa kuchezea jamani,mtoto wa watu alijihisi kama anapaa kwa utamu aliousikia,,Nelson alikikamata kiuno cha Adela kwa nguvu,akawa anakishusha na kukipandisha kwa kutumia mikono yake na kuukandamiza mtalimbo haswa,,aaaah,,ooogh,,aaaagh,,aaah,,alisikika hivyo Nelson na kumwaga uji wake,,,
Pindi alipomwaga Nelson,mtalimbo wake ulinywea kabisa ambapo iliwabidi wapumzike kidogo,,,,kila mmoja akiwa amelala chali hata asimtamani mwenzake,kuhema kwa kasi ndio kulitawala kitandani hapo kwa kila mmoja,,,
,,,,Nelson,hivi tukifumwa itakuwaje,,,?
,,,,embu acha kuwaza hivyo,yule mwanamke atakutafuna kabisa,,,
,,,,mmh,kama aliweza kuua mtu kwa wivu akinikuta si ndio nimekwisha,,,?
,,,,achana na hayo mawazo kwanza,ngoja nikaoge,,,,
,,,,ndo unataka tu,huyu hapa,mbona utajamba cheche,,,aliongea hivyo Adela kiutani kauli iliyopelekea wote wawili kucheka ndani humo,,,
,,,,ngoja nikusindikize basi,ila kitu kimoja sijakwambia,,,kwa sauti ya kudeka aliongea hivyo Adela na kumfanya Nelson aweke kitako wakati tayari alishaanza kunyanyuka
,,,,kitandani uko vizuri sana,sio kwasababu una nanihii kubwa bali ni mtundu na mbunifu hasa,ndio maana dada Marlene ana wivu na wewe,,,,
,,,,ahsante,ila wivu ni wivu tu,haijalishi nampa nini,,,,,
Baada ya kuongea hivyo Nelson alinyanyuka huku akiwa amevalia Boksa tupu,ngoja zake alizishika mkononi ambapo zilikuwa ni Suruali na Shati,Adela naye tayari alishaanza kukolea na mziki wa Nelson kitandani alinyanyuka akiwa amevalia chupi tu,,,Akiwa nyuma ya Nelson,alimkumbatia mgongoni kisha akaipitisha mikono yake mpaka machoni mwa Nelson na kumziba,,,aya twende nikufikishe mpaka kwako,,aliongea hivyo Adela huku akiuvuta mlango wa chumba chake na kutoka nje,,,Ufupi wa Adela kwa Nelson ulikuwa ni tatizo kwani hakuweza kuona mbele ukizingatia amemziba Nelson macho,,,,
Nelson,,,!!!,ilisikika sauti hiyo Sebuleni hapo ikiita kwa mshangao ambayo ni kama iliwapiga shoti miili yao Adela na Nelson,hawakuendelea na mchezo wao wa kuzibana macho,walishtuka kuliko kawaida,laiti kama kati ya Nelson na Adela mmojawapo angekuwa na Presha angekufa pale pale kwa mshtuko walioupata,,,miili yao ilikufa ganzi hali iliyosababisha wabaki wakitoa macho kama mijusi yenye macho makubwa iliyobanwa na mlango,,,
Alikuwa ni Marlene ambaye macho yake yalikuwa yamemuiva kwa kulia kwa muda mrefu,sebuleni hapo hakuwa Marelene pakee,walikuwa wazee sita wa mtaa na mama watu wazima wawili,wote macho yao yaliwaangalia kina Nelson,kwa aibu Adela akiwa ndani ya chupi alijificha matiti yake na mikono,kiukweli ilikuwa ni aibu sana kwa wawili hao ambao ni wasaliti,Marlene aliendelea kudondosha chozi la uchungu na hasira pia,Adela hakuweza hata kumwangalia Marlene usoni,,,
,,,,wanangu njooni mkae hapa,tumekuja ili tuzungumze na ninyi,,,aliongea mzee mmoja aliyekuwepo sebuleni hapo huku akiivua kofia yake iliyokaa kama ya kiislamu,,,,msiogope,hapa tulipo hakuna mtoto mdogo kusema kwamba mtamuogopa au mtamuonea aibu,,,alidakia mzee mwingine huku akiwakazia macho,,,,na mmependeza kweli,sa wewe unayejificha ili iweje,,?,nina mwaka wa thelethini na tano sasa nayaangalia tu matiti ya mke wangu,we unaficha nini,,,?,,mzee wa tatu aliongea hivyo ambapo Nelson na Adela walijisogeza wakiwa na nguo zao za ndani pekee,,
Kwa hasira Marlene alinyanyuka na kuivuta deki ya CD kisha haraka akamrushia Adela huku akimtukukana,,,kufa mwanaharamu malaya wewee,,!,kona ya deki hiyo ilimgonga Adela kichwani,pembeni kidogo ya paji la uso,,,papo hapo akapoteza fahamu,,,mwanangu punguza hasira,sisi tuko hapa kwa ajili ya kurekebisha hili,,,aliongea kwa ukarimu mama mmoja akimwambia Marlene aliyekuwa anathema kama kifua kinataka kuchomoka,,,
Kumbe Marlene alifika nyumbani hapo mapema,kabla hajaingia ndani aliitwa na jirani yake ambaye mara nyingi huwa anamsuka,kwavile simu muda mwingi huwa anamkuta na wateja wengi,siku slivyomkuta yuko peke yake ndio ikawa nafasi nzuri ya Marlene kumganda msusi huyo amsuke muda huo,,,Marlene aling’ang’ania kusukwa muda huo bila ya kujua Nelson yupo ndani na Adela wanakula raha za dunia,,,
Alichokifanaya Marlene hakutoka nyumbani kwa msusi aliketi hapo tayari kwa ajili ya kusukwa,lakini kabla msusi hajaanza kazi yake,ambapo Marlene kwa kawaida huzipaka nywele zake mafuta ndio anasuka,,,sasa,mi sinyanyuki tena bwana,nenda pale sebuleni juu ya Deki ya CD iliyochini ya TV utakuyakuta mafuta hayo,nisaidie mdogo wangu,,aliongea hivyo Marlene ambapo msusi huyo alishaua kwa kukataa lakini mwoshowe alikubali kwenda ndani kwa Marlene,,,
Msusi alipoingia sebuleni ndipo alipogundua kilichokuwa kinaendelea kati na Nelson na Adela,,,kelele za mahaba zilikuwa zikisikika kwa sauti kubwa,,,Msusi huyo hakutaka kuamini kwa sauti,ili kujihakikishia alikwenda mpaka pale mlangoni na kuchungulia ndani ya chumba,,kiukweli moyo ulimuuma kama ndio yeye anasalitiwa,,,basi akajikausha kama hakuona kitu chochote,alipotoka nje alimkabidhi mafuta ya nywele Marlene kisha akawatafuta wazee wenye busara zao akiwemo mwenyekiti wa kitongoji na mjumbe wa nyumba kumi na wazee wengine,akawaweka tayari kwa ajili ya kumweleza ukweli Marlene mara baada ya kumaliza kumsuka kwani hata majirani walishazipata habari kwamba Marlene alishawahi kuua mtu kwa ajili ya tukio kama hilo,,,hata yeye mwenyewe alishajiweka wazi hali yake kwa msusi huyo aliyemfanya kama rafiki,,,kazi nzuri ya wazee hao kumtuliza Marlene ilifanikiwa kwa asilimia arobaini ambapo walimtuliza na kuingia naye ndani kisha kuketi naye mpaka wakina Nelson walivyotoka na kufumwa,,,
jamani,hapa tupo kwa ajili ya kushuhudia maamuzi ya Marlene yakifanyika akiwa kama mmoja wa watu wa mtaa wetu,kama maamuzi hayo yatakuwa na cha kuongezea kwa upande wetu tutaongezea na kama tutaona ni sawa basi yatapita,au sio wazee wenzangu,,?
,,,ni sawa kabisa bwana Lomo,uko sahihi,,,
,,,embui tumgeukie binti wetu Marlene sasa,,,,Marlene,,!
,,,abee,,kwa sauti ya kwikwi ya hasira aliitikia hivyo Marlene alipoitwa na Mzee Lomo baada ya kushauriana na wazee wenzake,,
,,,una jambo gani la kuongea kuhusu Nelson,,,
,,,kiukweli,sio maamuzi ya hasira wala kulazimishwa na mtu,nikiwa kama binadamu mwenye moyo wa nyama,naumia,nakiri nampenda sana Nelson lakini nimegundua kwake sipo moyoni kabisa hivyo sina budi kumpisha mwanamke mwenzangu aliyeandaliwa kwa ajili yake,naomba abebe kila kilicho chake na aondoke muda huu ninavyoongea,,,aliongea hivyo Marlene huku akiwa hana chembe ya masihara hata kidogo maneno yaliyomfanya Nelson kubaki mwili kontena miguu kijiti,,,
,,,Marlene mwanangu,nadhani unahitaji muda wa kufikiria suala hili tusikuharakishe sana,,,Alisema hivyo mama mmoja aliyekuwa anampepea Adela aliyezimia baada ya kuona amefanya maamuzi magumu sana
,,,huyu sio mwanaume kwa ajili yangu,aende zake,simtaki tena,sina haja ya kufikiria mara mbili,na nikiendelea kumwona mbele yangu naweza hata nikamuua,,,
Nelson alielekea chumbani baada ya kusikiakauli hiyo ya Marlene na kuvaa nguo zake,haraka akaziweka nguo zake nyingine kwenye begi na kuondoka,,lakini kabla ya kutoka nje ya mlango alisimama na kuzungumza machache,,,,Marlene,ni kweli nimekukosea,nastahili hiki unachonifanyia, nisamehe sana,mungu akipenda tutaonana siku yeyote na popote au kwa mungu kabisa,,, aliongea hivyo Nelson kwa upole ule wa kukamatwa ugoni,,, Nenda bwana,usijifanye mtakatifu na kukumbuka mbinguni hapa,,,aliongea kwa ukali Marlene huku kwa mbali maneno yale yakimchoma kwani alielewa Nelson anaenda kupata tabu haswa kwani hana chochote,,alipotoka nje alitamani kuondoka na gari yake lakini ilikuwa haina mafuta, hivyo akaiacha na kuahidi kesho yake ataifuata baada ya kufanya vibarua na kupata pesa,,,
Kwa upande wa Adrian na Suzan wake mambo yaliendelea kuwa mazuri ambapo kwa uwezo wa mwenyezi mungu Suzan alishika ujauzito,,ikawa furaha kwa wote kufurahia kiumbe hicho kipya kijacho,,,tataizo au changamoto aliyokutana nayo Adrian katika kipindi hiko cha ujauzito wa Suzan ni kwamba Suzan alitokea kumpenda Adrian mara mbili yake,,,hakutaka kukaa naye mbali hata kwa sekunde chache,,alimganda mpaka muda mwingine ilikuwa ni kero,,,
,,,leo nataka unifanye lakini usiniangalie usoni,sawa,,?, aliongea hivyo Suzan huku akiwa yuko uchi kabisa,tumbo lake lililokuwa limeanza kuchomoza kwa mbali liliharibu umbile lake la mvuto japo maeneo ya nyuma bado yaliendelea kufanya vizuri,,,Adrian alikuwa ni mtu wa kuitikia na kumfuata amri kama mwanajeshi na Mkuu wake,naye Adrian tayari alikuwa kama alivyozaliwa ambapo dakika zilizopita alishakunywa ile dawa yake ya kuongeza nguvu za kiume,,,
Suzan alikuwa ni mvivu hasa kwenye kitanda kutokana na hiyo hali,alijilaza kwenye kitanda na kujipanua mapaja yake yaliyopanuka magharibi na mashariki ambapo kitumbua chake kilichotuna mashavu kilionekana vyema zaidi kiarage chake kirefu kilichokuwa kama kinachungulia nje ya mlango,,,kwa jinsi alivyokuwa ana hamu Suzan mpaka kiarage chake kilikuwa kinachezacheza kwa kuinuka kidogo na kurudi,,,
Basi Adrian akiwa tayarioameshasimamisha mtalimbo wake barabara,,, alimjia kwa juu huku akiwa ameushika mtalimbo wake na mkono wa kulia,,,akamtanua vizuri mapaja na kujiweka katikati yake,akakilengesha kichwa cha mtalimbo kwenye kitumbua cha Suzan na kufanya kama anakiingiza na kukitoa huku akikikandamiza kichwa hiko kwenye kiarage chake na kukisugua haswa,,, aaaah,, aaaah,, ooooh,, mmmmh,, aaaaah,, alilalamika Suzan huku akizungusha kiuno chake kwa mbali japo sio kama mara ya kwanza,,aliendelea kumsugua mpaka ikafikia muda akamshika kiuno kabisa,,Suzan alipiga kelele za mautamu ambapo zilizomfanya Adrian aongeze kasi ya kumsugua kiarage chake,,,basi kwa makusudi Adrian akawa kama anaunyanyua juu mtalimbo wake ambapo Suzan alikuwa akiufata na kitumbo chake mpaka huruma,,,kweli utamu hauna adabu jamani
Pindi Suzan alipoyarusha yale maji ya utamu ambapo mtindo huo wahaya huiita KATARERO pia kwa jamii yao huamini ni njia rahisi ya kumfanya mwanamke amwage uji wake mapema,,, Adrian ahakuchelewa, kwa mizuka aliyokuwa nayo aliuzamisha mtalimbo wake mpaka ukazama wote,taratibu ikawa nje ndani ndio mwendo wa mtalimbo,,, tena kwenye hatua hii ndio Suzan alikuwa Suka wa kila kitu,,,, taratibu mpenzi,, mmmh,, taratiii buuuuu,, mmh,, haya ongeza kidogooooo,, aaaah,, ooooh,,, uuuh,, usifanye kwa nguvu, sanaaaa,, aaaah,, eeenhee,, hapo hapooo mpenzi,, wangu,, nifanye kwanguvu sasa,,, aaaah,, utamuuu,, uuh,, aaissssssssssss,,, usinigeuze bwanaaaa,, aaah,,, eeh,, hapo patamuuu,, aaah,, kuna hapo hapooo,, aaaah,, mmh,, alilalamika Suzan huku kwa mbali akijishughulisha kwa kuhangaika kwa uwongo na kweli hapo chini
MWISHO
KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI
KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
Email: ZephilineEzekiel@Gmail.Com
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni