Notifications
  • MY DIARY (27)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SABATULIPOISHIA...Alinamba eti hayo ya mimi kuolewa tuyaeke pembeni na kwa nini siku hiyo nisilale Moshi tukumbushie enzi zetu. Mwalimu John aliendelea kusema kuwa amenimiss sana na anomba nisahu yaliyopita na turudie yale maisha yetu ya zamani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijifanya simwelewi lakini ukweli ni kwamba nyota ya mwanaume huyu ilikuwa ni kali sana zaidi yangu na…
  • MY DIARY (26)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA SITATULIPOISHIA...Joyce alinambia yeye haendi kujipanga foleni kama makahaba wengine hivyo yeye hufanya biashara hiyo kitaalamu zaidi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alisistiza pia kuwa eti huwa anatumia kinga kuwakinga wengine. Wakati mwingine alinambia acha awaambukize kwa sababu wanaume wangekuwa na akili basi wasingeenda kununua mwanamke. Anasema kuwa laiti biashara hiyo…
  • MY DIARY (25)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TANOTULIPOISHIA...Sikuisha hapo pia nilimpongeza kwa kunijali na kunipenda na kuhakisha kuwa siingii kwenye majanga kama yake mara baada ya kutoka jela. Siku hiyo nilimuelewa sana Joyce na nilikuwa tayari kumsapoti kwa lolote ili mradi tu atimize athma yake hiyo ya kuzaa. Tuliongea mengi sana na baadaye alinionesha picha ya mtu ambaye alitaka kuzaa naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…

POLEPOLE MPENZI (7)

Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA SABA
ILIPOISHIA...
Nelson kwa vile mdomo wake ulikuwa karibu na sikio la kulia la Suzan alichokifanya akawa anaupeleka mdomo wake ili amnong’oneze kitu hicho,mara Suzan akawa kama anajikunja shingo yake kwa mtindo wa kupandisha mabega juu huku macho yake akiyafumba,,,

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Jamani,mbona unafumba macho halafu unalibana sikio na bega,mi nitakunong’onezea wapi sasa,,,
,,,,mmmmh,naogopa utanitekenya,,,,aliongea hivyo Suzan kwa sauti kimahaba ya kudeka kam mtu anayetaka kulia kiutani
,,,,sikutekenyi mrembo wewe,mi nakuambia tu kitu kizuri,,,
,,,aya,taratibu basiii,,

Kufuatia kauli hiyo makosa aliyoyafanya Suzan ni kumwachia uwazi Nelson kwenye masikio yake,,alichokifanya Nelson tofauti na alichokisema,kwani alipolikaribia sikio alianza kulipumulia hewa yake ya ndani ya mdomo iliyokuwa na joto lililoanza kumsisimua Suzan,,,mmmmmmh,,,aliishusha pumzi Suzan huku akitulia kama maji ya mtungini,,,Nelson aliutoa ulimi wake uliokuwa na kihelehele kama wa nyoka aliye mawindoni na kuanza kuuingiza ndani ya masikio ya Suzan ,,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaissssssssssss,,,,alisikika Suzan akitoa miguno hiyo ya kimahaba huku akifumba na kufumbua macho yake yaliyomlegea haswa,,,,

Kuna muda Nelson alikuwa kama anaunguruma kwenye masikio ya Suzan hali iliyozidi kumsisimua mtoto wa watu aliyeongeza kasi ya kulia kimahaba,,ulimi wa Nelson wenye joto ulipita vyema kwenye ngome za msikio ya Suzan na kumpagawisha haswa,,,,uuuuuuh,,,oooooooh,,,,aaaaaaaah,,,aliendelea kuguna hivyo kimahaba Suzan huku mdomo wake ukiwa wazi umelegea,miguu yake aliipigapiga chini sakafuni kuashiria utamu anaousikia,,,ili kumpagawisha zaidi Nelson wakati anamnyonya sikio la kulia,alimwingiza kidole chake cha mwisho kwenye sikio la Suzan la kushoto,kidole hicho kilichokuwa na kucha ndefu kiasi ambayo ilitumika kumkuna ndani ya sikio,raha ikawa mara mbili,,,

Aaaaaah,,assssssss,,,,,,shiiiiiiiii,,,ooooooh,,,,mmmmmmh,,,,aaaah,,,alizidi kulalamaika mtoto wa watu huku akijivingisha kichwa chake,,,,Nelson akiwa makini na kazi alikishikilia kichwa cha Suzan kama mtu aliyeshikilia dafu wakati wa kunywa maji yake,,kuna muda kelele za Suzan zilizidi mpaka Nelson akawa anahisi asitishe zoezi la kumnyonya masikio,,

Wakiwa bado wamekaa hivyo,japo Nelson alisimamisha mtalimbo mda mrefu mpaka ule ute ukawa umemtoka lakini alivumilia kutomsugua kwanza Suzan,alitaka ahakikishe mpaka Suzan anaomba mwenyewe kusuguliwa,,,alichofanya,aliendelea na zoezi la kumnyonya na ulimi wake ndani ya masikio kisha akauchukua mkono wake na kuupeleka mpaka kwenye paja laini la Suzan ambapo lilikuwa wazi,kutokana na purukushani za hapa na pale gauni lake lilipanda juu kabisa ya mapaja yake,basi mkono wa Nelson taratibu ukaanza kupanda juu ya mapaja ya Suzan na kuishika nguo ya ndani kisha akawa anaivuta taratibu kuishisha chini,,,Suzan alimpa sapoti na kurahisisha zoezi hilo la kuvuliwa chupi,,kitumbua kikabaki wazi,ambapo Nelson alipeleka mkono wake huku kidole chake cha kati akikitanguliza mpaka nje ya kitumbua,,,

Mmmmh,,,,aaaaah,,,alilalamika Suzan kabla hata hajaingizwa kidole kwenye kitumbua chake,basi Nelson alibadilisha zoezi na kuanza kunyonyana denda huku kidole chake akiwa anakiingiza na kukitoa,,,Suzan alikuwa anatamani kupiga kelele lakini alijikuta anashindwa na kubaki kuunguruma kwasababu zoezi la kunyonyana denda,,mmmh,,mmmmh,,,ndizo kelele za miguno alizoweza kuzitoa Suzan kwa utamu aliousikia

Utamu ulipozidi Suzan aliutanua mguu mmoja na kuupandisha juu ya kochi ili kuruhusu kidole kipite vizuri,Nelson alikazana na zoezi la kumsugua na kidole kwenye kile kidude mautamu mpaka ikafika muda Suzan akawa anazungusha kiuno kukikatikia kidole,,, mmmmh,, aaaaah,, oooooh,,,, aaasssssssssssss,,,,, iiiiiiih,,,, alilalamika hivyo huku zoezi la kustahimili kunyanyona denda na kutopiga kelele likimshinda,,, mmmmh,,,, aaaaaaah,,, iiiiiisssssssssssssssssssss,,,,, nakupenddaaaaaaaaa,,,, aaaaaah,,, alilalamika mtoto wa watu na kujikuta akimwaga uji wake ambapo uliruka kama uji wa mwanaume unavyotaka japo haukuruka mbali,,,,,
Suzan alijikuta akiishiwa nguvu kabisa na kulegea kama mgonjwa,alihisi uchovu kwenye kila kiungo cha mwili wake na kubakia anamwangalia tu Nelson kwa jicho lililolegea kimahaba ambalo lilokuwa linavutia haswa

,,,ahsante Nelson,,,
,,,usijali,niko kwa ajili yako,,
,,,unanifanya kila nikijisikia hamu nikufikirie wewe tu,,,
,,,mimi pia huwa nakuwaza sana Suzan lakini ndio hivyo umeniwekea mipaka ya kukupigia simu,hata wewe unashindwa kuelewa jinsi gani nakuwaza,,,,
,,,basi sasa hivi uwe unanipigia tu simu,ila wewe mtundu!,,,
,,,mwanaume anayejali lazima ajitume kitandani ili aheshimike,,,
,,,,mmmh,na kweli adabu nimeshika kwako,naitamani hata nikuamkie,,,

Kauli hiyo ilipelekea wote kucheka huku wakikumbatiana ambapo wakaanza tena kugusana sehemu mbalimbali za miili yao,,,safari hii,ili Nelson amfaidi mtoto huyo mzuri aliyebarikiwa kila kitu cha mvuto alimbeba na kumpelekea chumbani kwake tofauti na kule alikofanyia mapenzi na Eliet,,mara tu walipofika alimbwaga kitandani ambapo Suzan alianza kujitoa gauni lake na kulitupa mbali huku naye Nelson akijisaula kila kitu kisha wote kubaki kama walivyozaliwa,,,

Nelson alikivamia kifua kiteke cha Suzan kilichojaaliwa Chuchu nzuri zilizochongoka kama za mtoto mdogo na kuanza kuzibugia mdomoni,ulimi wake ukawa unacehezea ncha ya Chuchu kitendo kilichomsisimua Suzan,,,,mmmmh,,,oooooh,,,alianza kuguna hivyo kutokana na utamu aliousikia,ncha ya ulimi wa Nelson ilikuwa kama ina shoti ya umeme juu ya Chuchu za Suzan ambaye alipata msisimko mkubwa sana,,,,

Zoezi la kumsaliti bwana Adrian likiendelea kati ya mpenzi wake Suzan na Nelson,machale yalimcheza Adrian kwasababu ilikuwa sio kawaida ya Suzan kutomtaarifu pindi afikapo nyumbani,akiwa ameoga vizuri na kuvaa sweta lake jekundu lililoendana na suruali yake ya chini maalumu kwa ajili ya kuzuia baridi,,alichukua simu yake kisha akampigia,,,simu ya Suzan iliyokuwa imeachwa sebuleni kwa Nelson iliita mpaka ilikata,alijaribu mara tano,lakini haikupokelewa,,,
Akili ya Adrian ikaanza kuwaza kuwa pengine mpenzi wake amepatwa na matatizo,akaona ni vyema ampigie mama yake Suzan ili aelewe kama Suzan amefika salama nyumbani,,,

,,,,halloo Adrian,habari,,
,,,nzuri tu mama shikamoo!,,
,,,marhaba,mzima wewe?,,,
,,,mimi mzima mama hofu kwako,,,
,,,huku wazima,naona umenikumbuka leo,,,
,,,eeh mama,nilikuwa nakusalimia tu,
,,,,nashukuru sana babaangu,,,
,,,,msalimie na Suzan,,,,
,,,haya zimefika,lakini naona kama hayupo alitoka muda mrefu kidogo,,,
,,,anhaa,hamna shida,vipi baba naye mzima?,,,
,,,,baba ni mzima kabisa japo naye ana siku ya pili leo tangu aende kwenye shughuli zake nje ya mkoa,,,
,,,,haya nashukuru mama yangu,,,
,,,,haya baba,,,,

Kiukweli Adrian hakutulia kabisa,mawazo yake yalienda mbali sana,kikubwa alichowaza ni pengine atakuwa amepatwa na tatizo,,,,lakini kama baba yake ameenda safarini,na yeye amesema ameitwa na baba yake,mbona kama kuna mvurugano wa maneno hapa,,,alijiuliza kichwani Adrian ambapo alianza kuweka hisia mbaya Suzan pengine atakuwa amemdanganya bila ya kujua kuwa ni kweli anachokiwaza,,

Huku akiwa bado ameshika simu yake wasiwasi ukamwingia na kuanza kuwaza tena kwanini amemdanganya,ni sehemu gani mpaka adanganye anaitwa nyumbani ndio aende,alijikuta akiingiwa na woga wa kuliwa tunda lake huku halisi ikiwa ni kweli kidume Nelson anafadi,,,,
Kwa muda huu Nelson alimlaza kifudifudi Suzan kisha akampanua makalio na kumwingiza mtalimbo wake ambapo alianza kupampu huku akiwa juu ya mgongo wake alimnyonya shingo yake na masikio,,aaaah,,,oooooh,,,,nifanye mpenzi,,,,aaaaah,,,,,utamuuuuuu,,,,,alilalamika hivyo Suzan huku akijibinua makalio yake yaliyoinuka na kumwachia uwazi wa kupita mtalimbo bila shida,,,

Adrian kichwa kilitaka kuwaka moto ukizingatia ndio mara ya kwanza kumwona Suzan akidanganya,mtoto wa kiume presha ikawa juu,hakuweza kukaa wala kutulia sehemu moja,aliichukua simu yake na kumpigia tena ambapo bado haikupokelewa,Nelson muda huo alimbana Suzan kwenye kona ya ukuta huku akizidi kumsugua haswa na mtalimbo wake uliokuwa umesimama barabara,,,,, mpenziiii,,, nasikia kiuuuuuu,,, aaaaah,, ooooh,,,, tupumzikeeeeee,,,,aaaah,,,ooooh,,,alilalamika Suzan huku akidai anahitaji mapumziko ili anywe maji,,,,Nelson hakusikiliza kelele hizo alizidi kupampu kama kaweka pamba masikioni,,,

Adrian aliona ampigie simu Monika rafiki kipenzi wa Suzan,ambapo simu yake iliita haikupokelewa,alijaribu mara ya pili pia ikawa hivyo hivyo,hakukata tamaa alijaribu tena ambapo hata haikuita sana ikapokelewa,,,,

,,,,halloo!,,ilikuwa ni sauti ya mtoto iliyoitikia hivyo
,,,hujambo mtoto,?,,,
,,,sijambo shikamoo,,,
,,,marhaba,dada Monika yuko wapi?,,
,,,yuko kule chumbani kwake anaongea na Aunt,,,
,,,Aunt nani?,,,
,,,simjui jina lake,,,
,,,anhaa,haya msalimie dada,halafu umwambie akiwa karibu na simu anitafute sawa,,,
,,,sawa,,,

Adrian alijifariji kwa jibu la mtoto huyo akijua rafiki huyo aliyekuwa akiongea na Monika ni Suzan mpenzi wake,taratibu mawazo mabaya yalianza kuondoka kichwani mwake lakini utata ukaja kwanini adanganye kama ilikuwa ni safari ya kwa rafiki yake?,,,bado akabaki kwenye utata ambapo kwa kiasi Fulani wasiwasi ulipungua ukawa sio kama mwanzoni,,

Nelson tayari alikuwa ameshashinda goli mbili kwenye mechi kali dhidi ya Suzan aliyeshinda goli tatu,kukweli Suzan alichoka sana,alijikuta akipitiwa na usingizi baada ya mechi,kwa muda ambao Suzan alikuwa amelala Nelson alikwenda mpaka sebuleni na kuketi kweny ekochi akiangalia TV,akiwa kwenye kochi amekaa mara alipotupia macho yake kwenye kochi lile walilokaa mwanzoni na Suzan alipata kuiona simu ambayo moja kwa moja alijua tu itakuwa ya Suzan,,,

Aliichukua na kuanza kuiangalia ambapo moja kwa moja alikwenda kwenye uwanja wa meseji na kukuta meseji alizotumiana na Adrian wakiahidiana kupeana mahaba,alipoangalia muda waliokuwa wanatumiana ni kama masaa matano yaliyopita,akiendelea kukagua meseji nyingine ambapo akakuta namba iliyoseviwa kwa jina la Moni Sex,akaanza kufuatilia jinsi walivyokuwa wakitumiana meseji,,,ambapo Suzan alionyesha ni jinsi gani amechanganyikiwa na mapigo ya Nelson kitandani,huku rafiki yake akimpongeza na kumwambia kuwa ni bahati kumpata mtu aliye mtundu kitandani,,,

Aliendelea kukagua meseji nyingine ambapo zilikuwa ni za kawaida,alichokifanya alichukua namba ya Adrian na Moni Sex,kisha akairudisha vile vile kwenye lile kochi alipoichukua
Tayari yalikuwa ni majira ya saa kasoro ndio Suzan alipata kuamka ambapo alitoka chumbani kwa Nelson huku akiwa amejifunga taulo la Nelson kupitia kifuani kwake

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
33 Polepole Mpenzi Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni