SORRY MADAM (24)

Zephiline F Ezekiel
SORRY MADAM (24)
JINA: SORRY MADAM Mwandishi: Eddazaria G Msulwa SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE ILIPOISHIA... Sheila akasimama kwa muda akionekana akishangaa na akaanza kupiga hatua za kuja sehemu nilipo huku akionekana kupandwa na hasira.Cha kwanza alicho kifanya Sheila ni kutuachanisha mikono mimi na Salome kisha akamgeukia Salome “Malaya wa kiarusha kumbe wewe ndio unachukua mabwana za watu si ndio” NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU SASA ENDELEA... “Sheila ninakuomba unisikilize” “Weee Eddy nyamaza huwezi ukaniweka nje kule mimi kama roboti kumbe upo na Malaya zako huku” Sheila akamshika Salome nywela na kuanza kumtingisha tingisha huku akipiga makofi na ikanilazimu kumshika Sheila kwa nyuma na kumuachanisha kutoka mikononi mwa Salome ambaye kwa kiwewe akaanguka chini.Tukiwa tunageuka ili nimpeleke Sheila katika chumba tulicho fikia gafla mlio wa bunduki ukasikika na huku macho yangu yakikukutana na macho ya mkuu wa shule akiwa ameishika bastola yake huku ametuelekezea sisi.Nikaanza kuhis…