SORRY MADAM (25)

Zephiline F Ezekiel
SORRY MADAM (25)
JINA: SORRY MADAM Mwandishi: Eddazaria G Msulwa SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO ILIPOISHIA... Salome kapiga hatua hadi sehemu niliyo kaa na nikanyanyuka taratibu na kufungua waleti na kutoa noti mbili za elfu kumi na kumpa Salome “Nenda zako shule na sihitaji nikuone hapa” “Wewe utakuja?” “Hilo halikuhusu wewe nenda zako” NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU SASA ENDELEA... Salome akaondoka huku akiangalia angalia nyuma akapanda bajaji na kuondoka,Sikuwa na hata hamu ya kula nikarudi ndani ya hospitali na kukuta manesi wakisukuma kitanda kutoka katika chumba alicho lazwa Sheila.Nikakimbia na kuwapata na kumkuta Sheila akiwa amewekwewa mashine ya gesi huku macho yake ameyafumba na uzuri wake ukazidi kuongezeka.Wakamuingiza kwenye moja ya chumba na kilicho tulia huku na mimi nikiwa ninafwatia kwa nyuma kisha wakamuweka juu ya kitanda tulicho kikuta humo na kumzifunga mashine za upumuliaji vizuri “ Nesi atapona kweli mke wangu?” “Usijali kaka kwa maana hapa risasi imetolewa na uzuri …