SORRY MADAM (28)

0
SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE
ILIPOISHIA...
“Wewe ndio uliye mleta huyu mgonjwa?”
“Ndio”
“Nifwate ofisini”
Nikaongozana na Mzee mmoja aliye valia koti jeupe na tukaingia ofisini kwake na nikakaa kwenye kiti nilicho kikuta na yeye akakaa kwenye kiti chake

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
“Hali ya mgonjwa wako sio nzuri kwani kwa uchunguzi wa Utrasound tumegundua mfuko ake wa uzazi umepata mstuko na kupelekea mzunguko wa kiumbe kilichopo tumboni kwake kuhama kwenye njia”
“Dokta nenda kwenye point maswala hayo mengine hembu yaache.Je mgonjwa wangu atapona au haponi”
“Atapona ila itatulazimu tumfanyie upasuaji mdogo”
“Utagharimu kiasi gani cha pesa?”
“Laki saba”
“Haaa kwenye hiyo lakisaba mtoto atakuwa hai au amekufa AU kuna chenchi ambayo itarudi?”
“Hapa tunahitaji tumfanyie huo upasuaji leo hii la sivyo tunaweza kumpoteza mama na mtoto”
“Hakuna punguzo la hiyo pesa”
“Kijana hiyo ni kwa opareseni ndogo”
“Hujuanielewe wewe ninaamana kwamba hamuwezi kunipunuzia hicho kiasi cha pesa”
“Haiwezekani”

Nikaitoa simu mfukoni nikiwa ninafikiria jinsi ya kumpaga Sheila hadi anipatie kiasi hico cha pesa.Moyo ukanipasuka baada ya kukuta missed call kumi za namba ambayo huitumia Sheila,Nikaipiga namba ikakatwa nikapiga kwa mara ya pili ikakatwa nikapiga kwa mara ya tatu ikapokelewa
“Sheila ,mbona unanikatia simu wewe?”
“Samahani kaka mgonjwa wako amekunywa vidonge vingi kwa lengo la kujiua ila tunajitahidi kuyaokoa maisha yake”
“Wee......wee......nees....i imekuwaje haaad....i anywe sum...uu?”

Nilipata kugugumizi cha gafla na kuzidi kuchanganyikiwa kiasi kwamba nikatamani ardhi ipasuke na inimeze kwani likiisha tatizo hili linaanza jengine kubwa kupita la kwanza
“Hatukujua tatizo ni lipi lililo mfanya anywe vidonge vingi.Ila jitahidi uwahi kufika hapa hospitalini”
“Haaa...yaaa nesi”
Nikakata simu kwa haraka haraka nikaiweka mfukoni nikakumbuka nguo niliyo ivaa ambayo ni jeans inanibana ndio maana simu ikajiweka silence kutokana ni screan touch kujiminya minya kutokana na mishemishe nilizotoka kuzifanya muda mchache ulio pita.Nikatoa wallet yangu na kuchuomoa kiasi chote cha pesa kilichopo ndani ya wallet na kumuwekea daktari mezani
“Hakikisha mgonjwa wangu anapona.Kama pesa imepungua nitakuja kuilipa”

Nikafungua mlango na kutoka huku nikikimbia na nikapishana na manesi wakiwabeba baadhi ya wanafunzi wa shule yetu walio jeruhiwa katika vurugu zinazo endelea shuluni kwetu.Nikaliwasha gari na kuondoka eneo hospitali kwa kasi huku kichwa changu nikihisi kitapasuka kwa mawazo makali yaliyo nizonga.Nikajikuta nikikanyaga breki gafla kwa nguvu hadi gari ikaanza kuserereka barabarani huku nikijitahidi kumkwepa muendesha baiskeli aliye jiingiza barabarani na kukuta nikimvaa dada anaye tembea pembezoni mwa barabara na kumtupa kwenye mtaro uliopo mbembezoni mwa bararabara

Nikatulia kama dakika tatu nikiyasikilizia mapigo ya moyo jinsi yanavyo nidunda yakienda sambamba na mwili wangu kutetemeka.Watu wenye hasira kali wakaanza kulisonga songa gari kangu huku wakiniomba nishuke kwenye gari.Nikapiga honi na kukunyaga mafuta na kuwafanya watu watawanyike na kulikwepa gari langu huku wengi nao wakijirusha kwenye mtaro.Kwa kupitia kioo cha pembeni nikaona pikipika zikinifukuzia.Nikaongeza mwendo na nikafanikiwa kuwapoteza kwenye macho yao na kuingia katika barabara ianyo elekea porini.Baada ya umbali wa kilomita 7 taratibu gari ikaanza kupunguza mwendo huku sauti ya kike ikiniambia niongeze mafuta haraka iwezekanavyo la sivyo gari itazimika

Nikaliingiza gari kwenye kichaka na kulizima nikashuka na katika eneo zima nililopo hakuna nyumba ya aina yoyote na sijui kama kuna uwezekano wa binadamu kuishi katika eneo hili.Nikainama huku kichwa changu nikiwa nimekiweka kwenye sehemu ya juu ya gari huku machozi yakinitirikika na kwaharaka haraka nikaanza kuyakumbuka maneno ya mama alivyokuwa akiniambie nikasome.Nikaona kulilia sio suluhisho la mimi kuweza kupata msaada wa kujitoa ndani ya msitu huo kwani kuna umbali mkubwa sehemu niliyopo hadi barabarani.Nikakumbuka nimemuweka Madam Rukia kwenye buti la gari,nikazunguka kwa hatua za taratibu zilizo jaa uvivu na nikalifungua buti la gari na kumtoa vitambaa Madam Rukia bya mdomoni

“Eddy wewe ndio umenifanyia hivyo”
“Zungumza taratibu la sivyo nitakusokomeza hii mitambara”
“Eddy una akili vizuri wewe?”
“Usinivuruge na wewe”
Nikalifunga buti la gari kwa nguvu na kuufungua mlango wa nyuma na kukaa na kumuacha madam Rukia akiniomba nimfungulie.Nikanyanyuka kwa hasira na kuulifunga buti na kumtazama madam Rukia kwa macho makali

“Eddy naomba unifungue sinto piga kelele tena”
“Ukipiga”
“Nifanye chochote unacho taka”
“Ole wako sasa unizingue nitakuacha huku huku porini”
“PORINI....!!?”
“Ndio porini kinacho kushangaza wewe ni kipi?”
“Eddy jamani mbona unaroho mbaya hivyo umeamua kweli unilete huku porini”
“Bwanaa wee sitaki maswali yako ya ajabu na kama unataka kukaa humu ndani ya hili buti wewe endelea kunikera”

Nikamfungua kamba ya miguu madam Rukia kisha nikamtoa kwenye buti na akasimama kwa miguu yake.Nikamfungua mikono yeke na mkanda nikuaweka ndani ya gari na Madam Rukia akaanza kushangaa shangaa
“Eddy huku ni wapi?”
“Hata mimi sijui ni wapi?”
“Umefikaje fikaje?”
“Sitaki maswali hembu niache kwanza hapa kichwa kimevurugika”

Madam Rukia akawa mpole na kukaa kwenye moja ya gogo la mti lililopo kwenye kichaka hichi huku sura yake ikianza kujawa na hofu na machozi yakaanza kumwagika taratibu
“Eddy ina maana Mery ndio amefariki?”
“Hajafa”
“Hajafa wakati nimemuona kabisa ahemi?”
“Nimekuambia hajafa”

Nikaito simu yangu inayoita mfukoni na kukuta ni namba anayo itumia Sheila mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kiasi kwamba nikasita kuipokea ikaita hadi ikakata,Ikapigwa tena na kuipokea pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote
“Eddy mume wangu upo wapi?”
Sauti ya Sheila ilizungumza huku akionekana kuchangamka kiasi kwamba nikabaki nikiwa na mshangao
“Eddy mbona huzungumzi kitu chochote mume wangu?”
“Wewe nesi si ameniembai kuwa umekunywa sumu?”
“Tulikudanganya mume wangu........”
“Kwanini sasa ulinidanganya?”
“Nilipoona ninapiga simu hupokei nikajua utakuwa umekwenda shuleni kwenu kwenye vurugu ndio maana nikaamua kula mchongo na nesi”
“Huo sasa ulio ufanya wewe ni ujinga.....Unaona sasa nimejikuta nipo porini?”

Sheila akaanza kucheka huku nikisikia sauti nyingine ya nesi akicheka
“Mume wangu huku porini umekwenda kufanyaje au umekuwa ndege”
“Sheila kuna wakati wa utani na mwingine kuna wakati wa serious na ninavyo zungumza hivi sasa nipo kwenye msitu ambao sijui unaitwaje na gari imekata mafuta”
“Wee.......kweli mume wangu acha kunitania!!?”
“Nimesha wahi kukutania mimi?”
“Hapana mume wangu sasa ilikuwaje?”
“Bwana nilimgonga mtu barabarani ndio nikakimbikia huku porini baada ya watu kunifukuzia na laity ningekuja huko hospitalini ingekuwa ni majanga”
“Mungu wangu sasa itwakuwaje mume wangu?”
“Sijui hata itajkuwaje?”
“Na mimi simu yangu imepotea jana kwenye ugomvi kuna majina ya watu ambao ningekuwa nayo ingekuwa rahisi kuwasiliana nao”
“Sasas itakuwaje.......”
“Nimekumbuka tazama kwe.......”

Ukimya ukatawala kwenye sikio langu nikaitazama simu yangu na kukuta ikiwa imezima chaji
“Madam una simu hapo?”
“Sina simu zangu zote nimeziacha nyumbani kwa Mery”
Nikajaribu kuiwasha simu yangu ila ikawa ina zima kiasi kwamba ikafika hatua hata nikiwasha haionyeshi mwanga wa aina yoyote.Nikangia ndani ya gari na kukunjua siti na kujilaza nikaanza kuyafikiria maneno ya mweisho ya Sheila yana maana gani
“Tazama kwenye nini sasa?”

Nikajikuta nikijiuliza swali nanikaanza kufungua kwenye kimlango kidogo kilichopo mbele ya siti ya abiria na nikakuta waya wa USB cha kushukuru Mungu unaingiliana na simu yangu.Nikaichomeka kwenye sehemu ya USB iliyopo kwenye gari na chaji ikaanza kuingia taratibu.Gafla nikasikia vishindo vya mtu akikimbia nikanyanyuka kwa haraka na kumuona Madam Rukia akipotelea kwenye miti nikalifunga gari na funguo nikaziingiza mfukoni na nikaanza kumkimbiza
Kadri ninavyozidi kuongeza mwendo ndivyo jinsi Madam Rukia anavyo ongeza kasi ya kukimbia.Nikaongeza kasi ya kukimbia zaidi yake na nikafanikiwa kumnyaka na nikamlaza chini huku akijitahidi kujichomoa mikononi mwamngu huku akinipiga makofi mfululizo
“Mbona unaabari za ajabu wakati wewe ni mtu mzima ulikuwa unakwenda wapi?”

Mamda Mery akaendelea kunipiga makofi akiniomba nimuachie gafla nikaanza kusikia mazungumzo ya watu wakiulizana sauti ya kike inatokea wapi.Nikamziba mdomo Madam Rukia kwa kutumia kiganja changu kisha tukajificha kwenye miti iliyo banana.Watu hao wakendelea kutafuta huku na huku ila hawakutuona na baada ya muda wakaondoka zao.Madama Mery akanikumbatia huku akilia sikujua kilicho mliza

“Unalia nini?”
“Eddy nasukuru kwa kuniokoa”
“Nimekuokoa wapi?’
“Kwa maana kama ningekutana na hao jamaa wangenibaka”
“Una uhakika gani kama wange kubaka?”
“Nina uhakika kwani ndio kazi yao.Wanaitwa BLACK FOREST PEOLPLE”(Watu weusi wa msituni)

Nikaanza kupata wasiwasi juu ya gari nililo liacha kwenye kichaka,nikamuachia Madma Rukia na akaanza kunifwata kwa nyuma hadi tukafika kwenye gari.Nikalikuta lipo katika hali yake ya kawaida kama nilivyo liacha.Simu yangu kidogo ikawa imeingia chaji nikaiwasha na kuipiga namba aliyo itumia Sheile ila mtandaao ukaanza kusumbua
“Shiiti”
“Nini Eddy?”
“Network imekata kabisa”
“Labda ujaribishe kusimama pele juu ya kile kisiki”

Nikasimama juu ya jisiki cha mti ambao inaonekana ulikatwa kwa matumizi ya mbao nikaunyoosha mkono wangu juu ila mtandao haukukaa sawa na muda tayari ulisha songa sana huku baridi kali ikitawala ndani yam situ tuliopo.Hadi inafika saa moja usiku hatukuweza kupata mawasiliano kwenye simu niliyo nayo.Tukaingia ndani ya gari na kujifungia kwa ndani huku kila mmoja akiwa amejilaza kwenye siti yake akatafakari yanayo msibu

Madam Rukia akaanza mchezo wa kunishika shika mapaja nikajikausha huku nikimsikilizia ni nini atakacho fwatia.Akanifinya na kunifanya nigune kwa maumivu makali kisha akauchukua mkono wangua ambao kwa sasa nikaanza kuhisi maumivu makali kwenye viganja vya mikono na akinishikisha kifuani kwake na nikaanza kuyaminya maziwa yake taratibu kiasi kwamba Madam Rukia akaanza kutoa mihemo ya nguvu
“Tushuke kwenye gari humus into kufaidi”

Madam Rukia akaniambia na sikuwa mbishi tukashuka kisha nikatafuta sehemu iliyo tulia ambayo sio mbali na lilipo gari.Madam Rukia akawa kama amelishwa pilipili kichaa kwa maana akaanza kazi ya kuinyonya koki yangu kwa fujo kisha akaikalia taratibu na kazi ikaanza huku kiuno chake kikiwa na kizi ya kuikatikia koki yangu.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)