Mtunzi: 2jiachie
SEHEMU YA NANE
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
Roi alikaribishwa chumbani kwa Martha kwa mabusu mfululizo huku akipewa pole kwa kazi za mchana kutwa halafu akaambiwa…
JE UNAISOMA SIMULIZI HII NJE YA APP YA CnZ Media?
IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI
IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI
👉GUSA HAPA KU-INSTALL👈
ENDELEA...
“Baby, nilikumbuka kwamba kule nyumbani kwako baada ya kufunga, funguo uliiweka kulekule au ulikuja nayo?” aliuliza Martha…
“Iko kwenye gari.”
“Nilipenda kwenda kufanya usafi baby, labda kesho sasa.”
“Kesho sawa, utakwenda. Saa ngapi?”
“Jioni, kwenye saa kumi hivi.”
***
Usiku wa siku hiyo, Martha alihisi kitu tofauti kwa Roi. Licha ya kumshikashika ili achaji lakini alionekana hana habari na kwanza alikuwa mbali…
“Sweet, mbona kama upo mbali kimawazo?” aliuliza Martha…
“Hapana, kuchoka tu na shughuli.”
“Mmh! Baby jamani! Sasa ukichoka hivyo mimi nitapataje haki yangu?”
“Kesho bwana,” alisema Roi akilala baada ya kutoka kuoga.
***
Saa kumi na mbili, Martha alimka na kuamza kumshikashika Roi sehemu mbalimbali za mwili, hasa zile zenye kuamsha joto la mahaba. Roi alimgeukia, wakapashana joto zaidi na kuingia uwanjani kusakata mechi.
Kulikucha kabisa, Martha alitoka kwa lengo la kumtengea maji ya kuoga jamaa yake ambapo alikutana na mama Anna…
“Mambo mama Anna?” alisalimia Martha…
“Poa, umeamkaje?”
“Ah! Mi mzima bwana. vipi shemeji yangu?”
“Ameamka salama, anataka kuondoka kwenda kazini kwake muda si mrefu, namwekea maji ya kuoga.”
“Sawasawa, lazima upalilie bwana. Waoaji siku hizi hakuna,” alisema mama Anna akiingia ndani kwake. Lengo lake lilikuwa ni kumtumia meseji Roi kwani alijua Martha hatarudi muda ule chumbani…
“Baby umeamkaje?” alituma meseji Mama Anna.
“Poa, vipi wewe sweet, umeamkaje?”
“Mimi mzima tu. Ni kukumisi tu.”
“Mh! Je, mimi? Yaani natamani tungelala wote.”
“Usijali baby, kuna siku. Unakwenda kazini?”
“Yeah! Ndiyo nataka kujiandaa.”
“Leo vipi, tutaonana baby wangu?”
“Muhimu, si nilikwambia muda ule mpenzi wangu!”
“Saa ngapi na wapi?”
“Nitakujibu maana…” Roi aliikata meseji hiyo na kumpa wakati mgumu mama Anna kutafuta kwa nini meseji iliishia kwenye maana…
“Maana nini tena baby?”
“Nitakwambia Martha.”
Roi alisema maana kwa sababu, jana yake, Martha wake alitaka funguo ili akafanye usafi nyumbani kwake siku hiyo jioni.
***
Roi alitoka kitandani kwenda kuoga ambapo uani alikutana na wale wapangaji wenzake na Martha akiwemo mama Anna…
“Jamani mmeamkaje?” alisalimia Roi akiwa ndani ya taulo tu, kifua wazi. Alishangaa kuwaona wanawake wote wakimtumbulia macho yeye tena waziwazi na si kwa kuibia…
“Tumeamka salama, sijui wewe?” walimjibu, lakini mama Anna akaenda mbele zaidi kwa kusema…
“Sijui wewe baby wangu.”
Wakati anamalizia kusema baby wangu, Martha alitokea, akasikia.
Ili kuonesha kwamba alisikia kitu kisicho cha kawaida, Martha alimtumbulia macho mama Anna kama anayemuuliza unasemaje wewe?
“Vipi wajina?” mama Anna alijibalaguza kiaina kwani hata yeye alihisi maneno yake yalisikika na Martha…
“Poa tu,” Martha alijibu kwa mkato sana tena akiwa ameuelekeza uso wake chini.
Wakati huo, Roi alishazama bafuni kuoga lakini naye akijua maneno ya mwanamke huyo yamesikika na Martha…
“Hawa wanawake wa uswahilini hawa. Yaani kuvumilia hawawezi kabisa,” alisema moyoni Roi akiwa ameshaanza kuoga.
***
“Baby,” Martha alimwita Roi chumbani akiwa amekaa kwenye kitanda…
“Yes baby…”
“Yule mwanamke pale uani alikuitaje?”
“Yupi?”
“Yule mama Anna.”
“Mama ni yupi kati ya wale?” Roi alijizungusha huku akijua anazungumziwa nani.
“Yule mwenye umbo namba nane!”
“Mi sikumsikia, kwani alisemaje baby?”
“Ha! Una uhakika sweet? Mi nimemsikia akikusalimia kwa kukwambia sijui wewe baby?”
“Mh! Kweli anaweza kunisalimia hivyo mimi? Mbona sifahamiani naye zaidi ya hapa kwako. Sasa mimi niwe baby wake kivipi jamani?”
“Ndiyo nimeshangaa pale baby.”
***
Roi aliondoka kwenda kwenye shughuli zake, nyuma Martha aliamua kuumiza kichwa kuhusu mama Anna.
Kuna wakati alivizia mama Anna yuko bize, akamwingia mmoja wa wapangaji wenzake...
“Mambo shosti?”
“Poa, vipi Martha?”
“Poa. Hivi, asubuhi pale wewe si ulikuwepo uani wakati mgeni wangu anakwenda kuoga?”
“Nilikuwepo ndiyo, vipi kwani?”
“Hivi, mama Anna alimsalimia vipi mgeni wangu?” aliuliza Martha huku akimkazia macho mpangaji huyo.
“Alimsalimia kawaida tu. Alimwambia salama sijui wewe hapo?”
“Kweli?”
“Kweli. Kwani wewe ulisikiaje?”
“Mimi nilisikia akisema salama sijui wewe honey.”
“Hapana, alisema sijui wewe hapo.”
“Oke basi, lakini usimwambie chochote mama Anna.”
“Sawa, wala simwambii.”
***
Jioni, saa kumi na moja, Roi ndiye aliyeanza kumtumia meseji mama Anna ambapo mchana kutwa wa siku hiyo hawakuwasiliana...
“Mzima baby?”
“Mzima sweet, wewe?”
“Mzima. Wapi hiyo?”
“Niko home, wewe?”
“Mimi nipo njiani. Unapakumbuka vizuri nyumbani kwangu?”
“Ndiyo. Kumetokea nini kwani baby wangu?”
“Unaweza kuja?”
“Sasa hivi?”
“Yes, mimi naelekea huko muda si mrefu nitakuwa nimefika.”
“Poapoa.”
Mama Anna aliwafuata wenzake, akawatonya kuhusu kuitwa na bwana wa Martha nyumbani kwake...
“Safi sana. Nenda katese mwanamke mwenzetu.”
“Sawa, baadaye basi.”
Mama Anna alibeba nguo pea moja. Alipanga atakazovaa akienda siyo atakazovaa akirudi.
Wakati anatoka, Martha alikuwa amekaa nje na wapangaji wenzake...
“Mwenzetu mtoko wa wapi huo?” aliuliza Martha.
“Kwa shemeji yako.”
“Msalimie basi, siku nyingine mlete tumwone.”
“Wewe hujatuonesha wako lakini. Sanasana huyu wa sasa unasema ni kaka yako.”
“Ee! Kaka yangu jamani. Mjue ni kaka yangu, lakini mbona huwa mnamuita shemeji wakati niliwaambia ni kaka yangu!” alisisitiza Martha.
Walicheka wote, mama Anna akatokomea zake kwa kuchukua Bajaj hadi nyumbani kwa Roi. Anashuka tu, Roi naye anaegesha gari hapo.
Waliingia sambamba ndani huku Roi akimuuliza habari za alikotoka...
“Martha hajakuuliza kitu?”
“Hapana, kwani kuna kitu?”
“Aliniuliza asubuhi vile ulivyonisalimia kwa kuniita baby.”
“Kweli?” alishtuka mama Anna...
“Kweli, lakini usijali, yaliisha palepale. Alijua alisikia vibaya.”
Wawili hao hawakutaka kupoteza muda, waliingia chumbani, wakachojoana na wakapanda kitandani kuanza mechi.
Safari hii, mama Anna aliongeza gia namba kubwa zaidi kuliko jana yake. Mfano, wakiwa uwanjani, alimtoa kitandani Roi wakatembea mpaka bafuni na kurudi huku wakiendelea kucheka, Roi akapata ushindi wa kwanza ile anafika tu kitandani. Alianguka chini kwa jinsi alivyochokeshwa.
***
Martha kule nyumbani, akakumbuka kwamba alipanga kwenda kufanya usafi nyumbani kwa Roi, hivyo alijiandaa, akatoka akipanga kwamba atakapokaribia kufika ampigie simu Roi kumwambia ampitishie funguo za nyumba
Aliwaaga wapangaji wenzake akisema anatoka mara moja...
“Jamani natoka, nitarudi lakini,” alisema Martha akiwa tayari kwenye ngazi.
“Poapoa.”
Martha alichukua usafiri wa Bajaj, akapanda hadi alipokuwa akikaribia nyumbani kwa Roi, akampigia simu...
“Uko wapi baby?”
“Niko Magomeni.”
“Mi nakaribia kwako, nipitishie funguo nifanye usafi.”
Roi moyo ulimlipuka puu! Maana alijua Martha atakumbana na mama Anna, kama si nje basi mitaa hiyo.
“Mh!” aligunia moyoni, akatafuta uongo wake...
“Funguo niliziacha nyumbani kwako mbona.”
“He! Kweli?”
“Yes! Kwenye nini?”
“Kwenye begi langu, kama siyo basi kwenye suruali niliyovaa jana. Kacheki.”
Martha alimwamuru dereva wa Bajaj ageuze amrudishe nyumbani kwake. Wakati anageuza, mama Anna alimwona mita chache, yeye alikaa kwenye kiduka jirani na kwa Roi, akauchuna, akazungusha sura.
Alipoiona Bajaj imepotea, akampigia simu mpangaji mmoja...
“Martha yuko hapo?”
“Ametoka.”
“Alisema anakwenda wapi?”
“Hajasema, kasema natoka kidogo tu. Vipi kwani?”
“Mh! Kaja mpaka nje kwa huyu jamaa yake, kageuza. Yuko na Bajaj.”
Wakati mama Anna akiendelea kuongea na mpangaji mwenzake huyo, mara simu yake ikawa inaita, kuangalia ni Roi, akakata simu hiyo na kupokea ya Roi...
“Niambie baba.”
“Uko wapi mama?”
“Niko nje kwako hapa.”
“Ha! Martha hajakuona kweli? Maana kaja hapo.”
“Nimemuona, lakini yeye hajaniona. Kwani kaja kufanya nini tena?”
“Eti alikuja kufanya usafi. Nimemdanganya kwamba funguo ipo nyumbani kwake.”
“Kwa hiyo kaifuata?”
“Kaifuata. Sasa mimi nakuja hapo dakika tano tu.”
“Poa.”
Baada ya dakika tano kweli, Roi akawa amefika nyumbani kwake, akashuka, akafungua geti na kuingiza gari ndani. Akamwingiza na mama Anna ndani, tena mpaka chumbani.
“Uzuri wake hata akija, hawezi kuliona gari ndani. Nitamwambia niko njiani bado,” alisema Roi kwa sauti ya kuibiaibia.
Martha alifika na kuangalia funguo sehemu zote alizoambiwa, hakuziona, akampigia simu...
“Baby, sijaona funguo bwana, utakuwa nazo kwenye gari, hebu angalia vizuri.”
“Ngoja niangalie.”
“Kwani uko wapi?”
“Nipo barabarani bado.”
“Poa.”
Roi alifunga milango yote, akazama chumbani ambako alimkuta mama Anna akiwa amejilaza na ameshajichojoa nguo zote. Alikuwa kama alivyozaliwa. Na kwa kujua hilo, alipomwona Roi ameingia, akajitingisha makusudi pale kitandani, Roi hoi. Alianza kuhema kimahaba.
“Si unaoga kwanza baba?” aliuliza mama Anna akiitoa sauti kwa kupitia kwenye tundu za pua.
“Yes,” Roi alisema kwa sauti nzito huku macho yako kwenye mwili wa mama Anna pale kitandani.
Roi alizivua nguo zake na kuzitupa chini kama vile hatazivaa tena katika maisha yake...
“Teh! Teh! Teh!” alichekacheka kwa kicheko cha uchu huku akimfuata mwanamke huyo pale kitandani...
“Jamani baba, si umesema unakwenda kuoga kwanza.”
“Yeah! Lakini kuna nini kama nita...nita naniihii kabla sijakwenda kuoga..? Teh! Teh!” Roi alibabaika. Hapo tayari alikuwa mwilini mwa mama Anna. Alilala na kumpapasapapasa sehemu mbalimbali za mwili.
Mama Anna naye akachangamka maana aliguswa, akapatwa na hisia za mapenzi, hasa kwa joto la Roi...
“Kwa hiyo utaoga baadaye?” aliuliza mama Anna...
“Au ngoja nikaoge sasa hivi,” alisema Roi, mama Anna akamzuia maana sasa na yeye mzuka si ulishapanda!
“Hakuna hapa, kama ungetaka ungekwenda tangu muda ule. Mimi mwenzio tayari sasa,” alisema mama Anna.
“Tayari nini?” aliuliza Roi akijifanya hajui lakini ukweli ni kwamba alikuwa anajua tayari nini.
“Kwani hujui?”
“Sijui,” alijibu Roi.
Mama Anna akapeleka mkono wake mmoja na kushika maiki akiashiria utayari wake uko wapi.
Roi naye akaunganisha hisia, wakabilingishana mpaka wote wakawa hoi, wanahema tu. Mama Anna akavuta mpira uwanjani,
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
Share CnZ Media App kwa Wapenzi wa Kusoma Simulizi Ili Tuwe Wasomaji Wengi
