SEHEMU YA TANO
ILIPOISHIA...
Kitendo cha kuziona zile kinga kilimfurahisha sana akajipa moyo kuwa ngoja apige kimoja asije akamwona boya bure.Akamuweka mkao vizuri na yule binti kwa kutambua kitu kilichokuwa kinafuata alijipanua vizuri tayari kwa kuliwa kwa staili hiyo ya juu ya meza.SASA ENDELEA...
Dullah Alitumia mikono yake vizuri kuukagua mwili wa yule binti ambaye alikuwa hoi bin taabani akisubiri tiba ya mkali huyo. Huwezi amini Dullah alichojoa viwalo vyake na kuanza kumshughulikia binti wa watu.Hapa nitatia neno kidogo “kumbe hata watakatifu wanaweza kufanya dhambi wakitengenezewa mazingira”. Alimpanua vizuri mapaja yake huku yeye akiwa amesimama kisha kumwiingiza nyoka shimoni.Iiiiiisssssssssssss uyyyuuuuuuuuuuuuuuu mmmmmmmmmmmmmmmh ,, oooooooooooooooooo yeeessssssssssssss yalikuwa ni baadhi ya maneno ya binti huyo.
Ugwadu wa mda mrefu aliokuwa nao Dullah ulimfanya aongeze spidi huku akisikilizia utamu utamu wa binti huyo.Alichochea kuni kwenye jiko la mkaaa huku wazungu weupe wale wa kwanza wenye kiherehere wakikimbilia kutoka.Dullah alifanikiwa kufunga bao la kwanza kwa mda mchache sana lakini kwa utamu wa nta nta ya asali aliyokutana nayo ilimfanya aunganishe raundi ya pili na kujikuta akivunja kanuni za mchezo huo.
Binti yule mwenye makeke na miguno ya huba alimbana zaidi kijana huyo kwa kuzungusha miguuu yake kwenye kiuno cha Dullah huku matiti yake makubwa kama matikiti maji yakijibana na kujibinya kwenye kifua cha Dullah.Uuuuuuuuuuuuuuuuuuh,,hapoooooooo,,hapoooooooooooooooooooooo........mmmmmmmmmmhhhhhh ni sauti ambazo zilisikika pia kwenye ile deka ya chini ambapo waziri wa chakula alikuwa akimshughulikia binti mwingine.
Utamu utamu, raha raha na manjonjo ya huba ziliwafanya wasisikie mlio wa mlango ambao Dullah aliusahau kuufunga aliporudi kutoka nje ambapo alikwenda kuongea na mpenzi wake Alice. Kuna mwanafunzi mmoja aliingia kwa ghafla kitendo kilichowafanya wale waliokuwa kwenye kitanda cha chini kushtuka, lakini kwa kile alichokiita ustaarabu mwanafunzi yule aliyeingia aliaamua kufunga mlango kwa ndani. Kila mtu alpatwa na hofu asijue jamaa atachukua uamuzi gani.
Cha ajabu akumsemesha mtu aliingiza mkono wake kwenye wallet yake na kutoa kondomu kitu ambacho kimshangaza kila mtu, kwa nini atembee na kondomu wakati shuleni hapo walikuwa wanasoma wanaume tu na kumpata msichana wa kufanya nae mapenzi ilikuwa ni swala gumu sana. Alipomaliza kuivaa tu alizima taa kitu ambacho kilimtia hofu kila mtu. Dullah kuona vile aliamua kumlinda yule binti aliyekuwa naye yeye asiingiliwe tena.
Jamaa kuona pingamizi aliamua kumvamia yule wa chini, hapo napo mambo yalikuwa magumu, yule binti wa kitanda cha chini alianza kupiga kelele kuwa amechoka kwani haiwezekani akafanya na kila mtu ili hali hakuna uhakika wa kupata kilchowaleta hapo.
“Basiiiiiiii basiiiiiiiiiiiiiiii nimechokaaaaaaaa sitakiiiiiiiiiiiiiii teeenaaaaaa” alilalamika binti huyo. Purukushani zikaanza huku jamaa akiwatishia kuripoti tukio hilo, akaongeza kusema “yaani nyie ni wajinga kweli, muwape hawa viongozi mimi mninyime na laiti mngejua nilivyoingia hapo kitendo cha kwanza ilikuwa ni kuwapiga picha na kama hamtaki ntazisambaza kwenye mitandao ya kujamii”.
Tishio lile lilionekana kumwingia yule binti wa deka ya chini, akajikuta akiingia uwanjani tayari kwa mapambano na mtu mwingine. Kitendo kile kilimuumiza sana Dullah akajuta kwa nini na yeye aliingia kwenye tamaa. Akamuuliza yule binti aliyefanya nae mapenzi, “nataka niwatoe alafu hayo majibu tutawatumia kwenye simu kama kweli watakuwa nayo, ebu nambie mliingiaje hapa”. Yule binti akamjibu, “ tulivalishwa makoti marefu mpaka chini ili tusionekane” Dullah akawasha taa na kuangalia hayo makoti asiyaone, akaauliza “hayo makoti ya kwapi sasa tuwapeleke kwenu maana mda umeenda saana”.
Yule binti aliyelazimishwa kwenda raundi ya mwisho na mwanaume mwingine akamwambia “watakuwa wametoka nayo nyie mlivyoingia”. Dullah akawaza cha kufanya bila mafanikio, akawaambia chukueni hayo mashuka mjifunge kimasai then tunatoka wote mimi ni kiongozi wa ulinzi hakuna atakaye wazingua. Wazo hilo lilionekana kuwa na mashiko kidogo. Walitoka mpaka nje na kwa kupitia gheti la nyuma walifanikiwa kutoka, lakini hatua mbili mbele wanakutana na mwalimu wa nidhamu.
Huyu alikuwa na kiherehere sana maana hata mida ya usiku yeye alikuwepo mazingira ya shuleni. Kukimbia wakashindwa wakabaki wameduwaaa. Mwalimu kwa haraka haraka akauliza “ haya nyie wavuta bangi mnaenda wapi usiku huu” Dullah ikabidi ajitoe muhanga kwa kusema “hamna shida mwalimu mimi ni kiongozi wa ulinzi tunajaribu kuangalia hawa walinzi wetu kama wanafanya kazi yao vizuri”.
“Ni vizuri lakini mbona siwaelewi vizuri hao watu uliokuwa nao ebu fungueni mashuka ni wafahamu” alitia shaka mwalimu huyo.Dullah kwa kutumia cheo chake akamwambia “mwalimu tena kwa ukali, mbona hatuaminaiani tena siku hizi? Ebu naomba tuache tutimize majukumu yetu hiki ni kikosi changu ninachofanya nacho kazi usiku”. Kutokana na umaarufu Dullah aliokuwa nao na kuaminiwa kuwa ni kiongozi mzuri mwalimu aliamua kuwaacha na kuendelea na shughuli zake za kuwafuatilia wanafunzi.*****
Alice alichukizwa sana na kitendo cha Dullah kutokupokea simu hili hali siku nzima alikuwa hapatikani, na alipoambiwa awe na subira kuna tatizo limetokea alizidi kuchukia na kuvimba nusu kupasuka. Hapa ngoja nitiie neno kidogo “hivi kwa nini dada zetu wanakosaga subira pindi wanapotaka kuongea na wenzi wao?.... sijui lakini tutawauliza wana saikolojia”. Wakati akijiuliza ni tatizo gani lilotokea mara simu yake ikaita, kuiangalia alikuwa ni rafiki yake kipenzi Jesca ingawa yeye alimsevu Alba kwa wale wanao mjua Jesca Alba mtajua nini alimaanisha.
Walisalimiana na kupiga stori za hapa na pale huku kila mmoja akimuuliza mwenzake kuhusu boyfriend wake. Alice hakusita kulalalamika kwa rafiki yake kuwa Dullah amebadilika na suala la mawasiliano juu yao yamekuwa ni tatizo. Jesca alimfariji na kumwambia awe mvumilivu kwani huenda kuna vitu vinavyomfanya afanye hivyo. Jesca akamwambia aendelee kumfuatilia Gaston kwani wanaume hawatabiriki anaweza kuwa na msichana mwingine hapo chuoni. Basi Jesca alikata simu kwa kumwambia take care my love.
Alice alifikiria jukumu alilopewa na rafiki yake eti kumfuatilia Gaston, akakuta anajichekea moyoni alafu akajisemea “kweli wanawake tuna kazi hivi utawezaje kumchunga mwanaume kama Gaston jinsi alivyo handsome kama sio kujitafutia magonjwa ya moyo”. Mara akakumbuka lile tukio lilotokea wakiwa kwenye vimbweta wakiangalia mechi ya wenzao live, hisia zake zikaenda mbali zaidi akakumbuka jinsi alivyokuwa karibu na Gaston. Mara akajisemea shetani shindwa usinifanye niwaze ujinga yule ni shemeji yangu eti...Akajitupa kitandani akachukua blangeti lake akajifunika akalala.*****
Dullah mara baada ya kurudi kutoka kule walikokwenda kuwasindikiza wale mabinti ambao walikuwa wakizulumiwa kimapenzi aliamua kuwatafuta madogo wa form four ambao ndo chanzo cha yeye kuingia kwenye majanga.Alifanikiwa kuwapata baadhi ambao walisemekana kuwa ndio wakichangisha hela wenzao kwa ajili ya kuwapatia majibu ya mtihani..
Ilibidi atumie umaarufu wake na uongozi kwa kuwalazimisha wampe hiyo pepa awatumie wale wadada. “sasa broh tataizo sio kukupa majibu ila ni kwamba mpaka sasa tushatumiwa zaidi ya pepa tatu na zote zina maswali tofauti tofauti” alisema mmoja wa wanafunzi hao.Dullah kuona hivyo alisema “basi kila pepa chagua maswali unayohisi yanaweza kutoka tuchanganye tupate pepa moja”. Basi kazi ikaanza ya kutunga mtihani na kutengeneza pepa moja kati ya matatu yaliyokuwepo. Na baada ya hapo Dullah usiku huo huo aliondoka na kumpelekea mmoja wa mabinti wale ambao aliwasindikiza.
Alimpata Pendo mmoja wa binti ambaye yeye alifanikiwa kufanya nae mapenzi. Baadaye alirudi na kuingia chumba alichokuwa akilala wenyewe waliita chember na kuaamua kujipumzisha.Alitafakari sana kilichotokea lakini aliamaua kupotezea na kuchukua simu na kumtafuta mpenzi wake Alice. Alice alipokea simu kwa unyonge kama mtu aliyekata tamaa na maisha.
Ni dhairi kuwa alichoshwa na ukimya wa Dullah wa kutopokea simu wala kujibu sms.Dullah ilibidi atumie uwongo wa kila namna kumwelewesha Alice kilichotokea japo hakumwambia kuwa kulikuwa kuna mabinti ambao walidanganywa na wanafunzi wa form four bali yeye alimwambia kuwa kulikuwa kuna wizi mkubwa umetokea hivyo yeye kama waziri wa ulinzi aliitajika kutatua suala hilo kwani mwizi alipatikana na alikuwa amejeruhiwa vibaya sana.
Hapa Alice ilimbidi awe mpole kwani alishazidiwa ujanja. Waliongea mengi na kubwa Dullah alimweleza Alice kuwa amepata chumba mjini kwenye moja ya mitaa maarufu mjini Moshi. Alice hakuweza kumpinga moja kwa moja kwenye simu zaidi ya kumwitikia na kumwambia “babee si tutaonana wikiendi tuweke mambo yote sawa”.Basi wakakubalina hivyo kisha kila mmoja akapanda kitandani na kulala.****
Gaston alikurupuka kutoka usingizini saa mbili kasoro asubuhi jambo lilomanisha kuwa tayari aikuwa amechelewa kipindi ambacho kilikuwa kinaanza saa mbili kamili.Kwani kutoka hapo gheto lake lilipo mpaka afike chuoni ilikuwa ni mwendo wa robo saa ukilinganisha yeye alikuwa bado hajajiandaa. Aliingia bafuni haraka haraka akijimwagia maji kisha akavaa na kujaribu kumuuamsha Mwajabu ambaye alikuwa bado anakoromaa kwa dozi nzito aliyopewa usiku huo.Alimuaga na kumwambia yeye anaondoka zake.
Mwajabu kajigeuza vizuri na kumwambia “kama nilivyokwambia, mimi utanikuta humu humu ndani, wewe nenda huko chuoni alafu ukija uje na ripoti kamili kama watu wanajua kilichotokea au la”.Hapo alikuwa ana maanisha habari za lile fumanizi zito lilotokea usiku wa jana yake.
Gaston ikabidi amfungie Mmwajabu kwa ndani na alimuachia ufunguo mmoja ili kama kuna dharura ikitokea basi aweze kufungua na kutoka.Pamoja na kumuachia ufunguo Mwajabu yeye alimuhadi kuwa hatotoka eneo hilo mpaka ajue nini kinaendelea.
Gaston wakati ananyanyua mguu tu na kutoa mguu kuelekea barabaarani ili aweze kupanda hice na kukimbizana na mda meseji iliingia kwenye simu yake ikimueleza kuwa mwalimu kaingia na ametoa quiz yenye Marks 5.Hapo akachanganyikiwa kabisa maana alijua jinsi mwalimu huyo alivyokuwa na msimamo na hata ukichelewa dakika mbili huwezi kuingia darasani.
Alitembea kwa kasi huku akiomba hice itokee lakini hakuna iliyotokea nyingi zilikuwa zikipanda kwenda juu KCMC.Alitembea kwa kasi mpaka akafika kwenye geti la kuingia chuoni na kuelekea moja kwa moja Lecture room 8 sehemu ambayo kipindi kilikuwa kinaendelea.
Alivyofika akakuta wanafunzi wenzake wakiwa wamejazana nje na hiyo ilimaanisha kuwa walizuiwa kungia ndani na mwalimu na wenyewe walimuita mkuda.Gaston alishuhudia mwalimi huyo akikusanya karatasi zake na kuondoka. Ilibidi kumuomba awasaidie kwa sababu marks tano zilikuwa ni nyingi sana ukilinganisha na jinsi mwalimu huyo alivyokuwa anatunga mtihani mgumu.
Wakiwa kwenye harakati za kumbembeleza mwalimu huyo ili awasikilize awasaidie kuna sms iliingia kwenye simu ya Gaston.Sms ilieleza kuwa aende haraka darasani maana mwalimu mwingine alishaingia.
Hapa ni kwamba vipindi vilikuwa vimefuatana hivyo wakati wale wanafunzi waliokuwa nje wakimbembeleza mwalimu aliyekuwa akitoka wale wanafunzi waliokuwa ndani wao waliamia darasa lingine na tayari mwalimu mwingine alishaingia.Gaston akaona kuliko kukosa vyote bora akimbilie huko darasani tu na kuwaacha wenzake wakiendelea kumbembeleza mkuda.
KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA