Notifications
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…

SORRY MADAM (61)

SEHEMU YA SITINI NA MOJA
ILIPOISHIA...
“Yangu ni hayo kaka”
Nikamchagua mwengine na akasimama
“Kaka Eddy kwa niaba ya wezangu,kwanza tunakuomba urudi shule.Pili tunakuteua kuwa kaka mkuu wa shule kuanzi sasa hivi”

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Ukumbi mzima ukanyanyuka kwa furaha,Sikuamini na ukorofi wangu wote kama ipo siku nitakuja kukubalika shule nzima.Mwalimu wa nizamu akabaki kimya asijue nini cha kuzungumza
“Jamani asanyti kwa uchaguzi wenu.Ila swali langu ni Je nitaruhusiwa kurudi shule?”
“Ndiiooooo”
Lengo la swali langu,alijibu mwalimu wa nazamu ila nikashangaa wakijibu wanafunzi wezangu.Nikamgeukia mwalimu wa nazamu akabaki akiduwaa
“Ndio....ndio....ndio.....ndio”

Wanafunzi wezangu walipiga kelele za ‘NDIO’.Mwalimu wa nizamu akakubali kwa kunijibu Ndio
“Ila siku utakayo rudi uje na mzazi wako”
“Sawa”
Ratiba nzima ikavunjika,kama kaka mkuu mpya wa shule nikamuomba DJ kufungulia mziki na wanafunzi wakaanza kuserebuka.Furaha ikarudi moyoni mwangu,baadhi ya rafiki zangu wakanifwata na kunipongeza,Nikakumbuka kuwa John nimemfungia darasani.Nikaanza kushuka kwenye ngazi za kuelekea madarasani.
“Eddy...Eddy”

Nikasikia sauti ya kike ikiniita,nikageuka nyuma na kumkuta msichana mmoja ambaye sikuwahi kumuona siku hata mmoja ila sketi aliyo ivaa nikatambua watakuwa ni miongoni mwa wanafunzi wapya walio jiunga na kidata cha tano

“Samahani mwaya kaka Eddy”
“Bila samahani”
“Ninaitwa Hellen,najua utakuwa hunijui?”
“Ahaa umesha niambia jina lako,ndio nimesha kujua”
“Kweli kaka,nimeona nikikaa kimya pasipo kukupongeza nahisi leo nisinge lala vizuri”
“Kwa nini?”
“Ahaa sijawahi kuona mwanafunzi anaye jiamini kama wewe”
“Asante”
“Naweza kukupa zawadi?”
“Ndio”
Hellen akanifwata taratibu na kunibusu shavuni
“I LIKE YOU”

Alizungumza kwa sauti nyororo na taratibu akaondoka huku akinipiga busu la upepo(busu la mbali) huku akikichezesha kiganja chake cha mkono wa kulia akiashiria kuniaga.Nikaachana na Hellen na kufika katika mlango wa darasa nililo mfungia John.Nikaingia ndani na sikumkuta John,kabla sijatoka nikastukia meza iliyopo nyuma ya darasa ikianguka na John akasimama huku bastola akiwa ameielekezea kwangu

“EDDY NAKUUA,NALIPIZA KWA KILE ULICHO NIFANYIA LEO ASUBUHI”
John alizungumza huku akiwa anamaanisha kile anacho kizunguma kwani macho yake yamekuwa mekundu na machozi membaba yanachuruzika kwenye machavu yake na sura yake ikiwa imetawaliwa na mikonjo na tangu niwe na urafiki na John sikuwahi kumuona katika hali kama hii

Nikabaki nikimtazama John kwa macho yaliyo jaa mshangao mwingi.Nikajaribu kupiga hatua moja nyuma
“Ukisogea nakuchangua ubongo wako”
John alizungumza huku jasho likiwa linamwagika huku akitetemeka mwili mzima,nikameza fumba la mate ili kusawazisha koo langu kabla sijazungumza chochote

“John wewe leo hii ni wakunishikia mimi bastola?”
“I don’t care”(Sijali)
“Even if,remember am your friend......Real friend”(Hata kama,kumbuka mimi ni rafiki yako.....tena rafiki yako wa kweli)
Nilizungumza kwa hisia kali,kwa sauti ya chini sana ya unyenyekevu,kwa mbali machozi yakinilenga lenga

“Eddy usiniigize mkanda wa kuigiza,wewe nikatili sana wewe ni muuaji,wewe ni hustahili kuishi kwenye hii dunia.Kumbuka ulimuacha yule dereva wa watu wa shule aliye pata ajali,alikufa mikononi mwangu,kisa ulikuwa unamuendekeza yule Malaya wako Salome”
John alizungumza kwa uchungu,huku sauti yake ikiwa imebadilika sana.Ucheshi wote ulimpotea
“John,kumbuka tumefanya mambo mengi.Kumbuka ‘O’ level wewe uligongwa na nyoka tukiwa shamba la shule,Ni nani aliyekuwa wa kwanza kuyaokoa miasha yako”
Nilizidi kuzungumza kwa sauti ya upole sana kwani nikifanya ujinga wowote John anaweza akanifumua kichwa

“Hiyo sio kigezo Eddy,wewe sio rafiki wa kweli.Wewe ni muuaji Eddy”
Nikakosa cha kuzungumza,ikanilazimu nianze kutafuta njia nyingine ya kuepukana na tatizo lililopo mbele yangu.Nikaikazia macho bastola aliyo ishika John,nikavitazama vidole vyake nikagundua hakuna kidole hata kimoja kilicho ingia sehemu yenye traiga ya kufyatulia risasi,nikashusha pumzi nyingi na kutabasamu.Nikaanza kupiga hataa moja baada ya nyingine mbele huku nikiwa nimejiamini kupita maelezo

“Eddy ukinifwata nitakuua,ninakuapia haki ya Mungu”
John alizungumza kwa kubabaika,nikazidi kupiga hatua mbele zaidi huku macho yangu yakiwa kwenye vidole vya vilivyo ishika bastola.Hatua mbili kabla sijamfikia akakiingiza kidole kimoja kwenye sehemu yenye traiga ikanilazimu kusimama kama namba moja
“Eddy rudi nyuma,Moja........Eddy rudi nyuma,Mbili......”

Sikumpa nafasi John aendele na mchezo wake wa kunihesabia namba zake kama mtoto mdogo.Urefu wangu ukanisaidia kurusha teke lilikoupiga mkono wa John wenye bastola na ikaangukia pembeni kwenye meza na viti.John akataka kuikimbia bastola sehemu ilipo simama ila nikamuwahi kumshika shati lake na kumvuta nyuma hadi akaanguka chini.Nikaiwahi bastola na kitu cha kwanza nikaichomoa magazine na kuiweka mfukoni

John akanyanyuka na kunifwata kwa hasira hadi sehemu nilipo simama,akataka kunipiga ngumi,nikaikwepa na kurudi nyuma hatua haraka nne na kuacha umbali kidogo
“John usimtafute Mungu maneno”
Nilizungumza huku nikimtaza John machoni,hakunisemesha chochote zaidi ya kuendelea kuhema kwa hasira,Ili kuepusha mafarakano nikaanza kupiga hatua kuelekea mbele ya darasa kwenye mlango,Hellen akaingia akachungulia kwenye mlango
“Eddy nilikuwa ninak.......Eddy nyuma yakoo”

Nikageuka kwa haraka na kukutana na kiti alicho kirusha John,kwa juhudi zangu zote nikajitaidi kukikwepa kiti,ila nikawa nimechelewa na sehemu ya kuegemea kwenye kiti alicho kirusha John ikanipiga puani na kuniangusha chini.Kizunguzungu kikali kikanikamata huku damu zikaanza kunitoka puani.Nikajaribu kunyanyuka ila nikashtukia teke la kifua lililo nilaza chini
“Wee kaka,muachie mwenzako”

Hellen alizungumza huku akiwa amemshika mkono John,kofi zito likatua shavuni mwa Hellen na kumuangusha chini huku akito ukele mmoja tuu akatulia.John akanigeukia na kutaka kunivamia ila nikajitahidi hivyo hivyo kumpiga teke kwenye miguu yake na akaanguka chini.Nikajikaza kumtazama ila machoni mwangu ninaona vitu vya ajabu ajabu(mawenge mawenge) na kwambali ninaona vitu vilivyopo humu ndani ya darasa.John akaniwahi kunikalia kifuani na kanza kunitandika ngumi za uso nilizo zizuia kwa mikono yangu.

Nikauingiza mkono wangu mmoja ndani ya mfuko wenye magazine ya bastola na kuichomo,nikaishika vizuri na kumpiga nayo John ya kichwa na akaangukia pembeni.Sote tukabaki tukiwa tumelala huku mimi nikiwa ninatafuta chanel ya kichwa changu irudi vizuri kwani hadi sasa hivi inasoma no signal(hakuna mwasiliano).Nikaanza kujihisi vizuri kwa msaada wa ukuta nikaasimama huku ninayumba kama mlevi aliye pitisha kiwango cha ulevi.Nikatafuta kiti na meza,nikakaa huku kichwa changu nikiwa nimekilaza kwenye meza na damu za pua taratibu zikawa zinamalizikia kutoka.Nikashusha pumzi mara kadhaa na kusimama juu.

Nikamtazama John na kumuona akiwa anayafumbua fumbua macho yake,Hellen bado emejikunyata chini.Nikaiokota magazine na kuanza kuitafuta ilipo bastola.Nikaiona bastola na kuikota.Nikaichomeka magazine na kurudi kwenye kiti nilichokuwa nimekikaa na kusubiria John aamke.John akakaa kitako na kunitazama huku kwenye kichwa chake akivuja damu sehemu ya upande wa kichwa nilipo mpiga na magazine ya bastola

“John,ni nani aliye kuroga?”
John hakunijibu kitu cha aina yoyote zaidi ya kuendelea kunitazama.Tukatazamana na John kama dakika mbili kisha nikacheka kichoko cha kejeli na kusimama na kumpita.Nikachuchumaa na kumtazama Hellen
“Hellen”
“Mmmm”
“Amka”
Hellen akainuka huku akiwa na mawenge mawenge
“Unajisikiaje?”
“Ehee”
“Unajisikiaje?”
“Mmmmm”

Nikajua bado Hellen anakiwewe,nikamnyanyua na kumkalisha kwenye kiti na kumtazama John ambaye alianza kulia pasipo kuwa na sababu ya msingi
“Hujaingia kwenye idadi ya watu ninao wachukia na usitake uingie kwenye idadi hiyo”
Nikafungua mlango wa darasa na kuondoka huku bastola nikiichomeka kiuoni na kuifunika na sweta nililo livaa,nikashusha ngazi za gorofa la shule na kueleka zangu nyumbani kwa madam Merry.Kabla sijafika nikakuta gari ya polisi ikiwa nje ya nyumba ya geti la madam Mery.Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio,nikarudi nyuma na kutafuta sehemu yenye nyumba nikajibanza na kuangalia kitu kinacho endelea.Nikamuona Manka na Madam Merry wakiwa wanatoka kwenye geti wakiwa wanazungumza na askari mmoja.Wakasimama kwa muda nje huku wakizungumza na mimi
Askari akawaaga na akaingia kwenye gari na kuiwasha na kuondoka,nikawasubiri waingie ndani ya geti.Nikakimbia kwa kasi hadi kwenye geti na kulipiga kikumbo kabla Manka hajalifunga vizuri.Mstuko wa geti kufunguka ukamstua sana Manka na madam Mery.

“Yule ni nani?”
Wote wakaa kimya wakinishangaa kwani sweta zama limejaa damu
“Si ninawauliza nyinyi kenge,yule ni nani?”
“Mumekwenda kunistaki sio?”
Wakatazama,pasipo kunijibu swali langu.Nikichomoa bastola na kuwaishika mkono wa kushoto,kwani ni mkono wangu wenye nguvu kuliko mkono wa kilia.
“Eddy,sisi yule askari ni rafiki yetu tuu na naa......”

Manka alinijibu huku akipata kigugumizi cha hapa na pale
“Yaani wewe Manka leo hii ndio unaamua kwenda kunistaki polisi si ndio?”
“Hapana....yule ni naniliuuuu”
“Naniliuu nani?”
“Eddy mpenzi wangu ni.....”
“Wewe Mery koma mimi sio mpenzi wangu.Manka tambua mimi ni ndugu yako,Baba yangu ni baba yako sasa wewe endelea ku........”

Nikasikia milio ya magari polisi kwa mbali kidogo ikionekana kuja ilipo nyumba ya madam Mery.Nikaacha mazungumzo na kwaharaka nikaingia ndani ya gari na kuliwa,Madam Mery na Manka wakakimbilia ndani.Nikakanyaga mafuta kwa nguvu huku nimekanyaga breki na kuyafanya matairi ya gari kusereleka chini,nikalitazama geti lililo jifungua kidogo,nikajifunga mkanda wa siti yangu ya dereva na kushusha pumzi nyingi zilizo changanyikana na vichembe chembe vya damu vilivyo toka puani mwangu.Nikaachia breki za gari na kulifanya liende kwa kasi na kugonga geti na kufumba na kufumbua nikajikuta nikiwa nje huku geti ni kiwa nimelivunja.Nikakanyaga breki galfa na kuifanya gari kuzunguka mzunguko mmoja katikati ya barabara,ulio ifanya gari ya polisi iliyo tangulia kupita kwa kasi.Gari ya pili ya polisi ikanikwepa na kwenye kuuvaa ukuta wa madam Mery.

Uzuri wa gari hili,unaweza kutumia mfumo wa ‘MANUEL’ au ‘AUTOMATIC’ katika uendeshaji wake.Nikabadilisha mfumo kutoka Automatic hadi Manuel ambayo inaniruhusu kuingiza gia mimi mwenyewe tofauti na automatic gia zinajiingiza zenyewe.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
37 Simulizi Sorry Madam
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni