Notifications
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…
  • MY DIARY (6)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SITATULIPOISHIA...Akanambia kuwa wamemwambia wapo East Africa Pub na tayari wamaeshaagiza mkuu wa mbuzi. Mmmmhhhh kusikia mguu wa mbuzi mate yalinijaa mdomoni. Basi kwa harakaharaka nikamwambia naomba niende niende nyumbani nikachukue viwalo vya club kisha nitawakuta hapo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinambia mbona hizo nguo ulizofaa zipo poa tu wewe twende hivyo bhana si upo na…
  • MY DIARY (5)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TANOTULIPOISHIA...Akanisimamisha na kuanza kuiuliza maswali mengi yasiyo na maana huko akionekana kutojiamini. “samahani dada, sijui unaelekea wapi”? Nikamjibu dukani. Akavuta pumzi ndefu na kuniambia ok, nisaidie namba zako za simu. Nikamwangalia juu na chini nikwambaia nimezisahau na simu nimeiacha ndani nikirudi ndani nitakuletea..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Akaishiwa pozi akanambia,…
  • MY DIARY (4)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NNETULIPOISHIA...Uchambuzi huu ulinigusa sana kwani hata mimi nilijihisi kuwa sikuwa na utando huo yaani bikira japo nilikuwa sijawahi kujamiana na mwanaume wa aina yeyote zaidi ya ile michezo ya utotoni ya kula mbakishie baba au ile ya kibabababa na kimamamama. Alianza kunishika mapajani na kunifanya nianze kusisimuka ajabu kwani japo alikuwa ni mwanaume mikono yake likuwa ni milani sana kama ya mtoto wa kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media…
  • MY DIARY (3)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TATUTULIPOISHIA...Nazani sasa unanielewa ninaposema nilikuwa sina ndugu kwani baba yangu hakuwa na ndugu yeyeote zaidi ya marafiki ambao na wao kwa sasa ndio hao wameshagawana mali zote. Nimebaki mimi na dunia yangu hivyo basi nilimwomba rafiki yangu wa kufa na kuzikana kwa jina Joyce anisaidie kunisitiri nyumbani kwao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Likizo ilipoisha tulirusi shuleni na…

SORRY MADAM (60)

SEHEMU YA SITINI
ILIPOISHIA...
“Eddy,japo mimi ni katili ila wewe umezidi”
“Manka naomba hiyo mada uiache”
“Eddy hata kama.Mwili wa binadamu mwenzako unaukausha kama nyama nya ng’ombe”

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Nikaanza kumuadisia Manka kuanzia mwanzo wa ugomvi kati yangu mimi na Derick.Hadi ninamaliza kumuadisia Manka akabaki kimya.Tukakaa nyumbani wa Madam Mery hadi mida ya saa moja waote wanne tukapata chakula cha usiku kilicho pikwa na Manka japo Madam Mery anapata tabu sana ya kula.Mimi na John tukaondoka na kwenda shule nikiliacha gari la kwa Madam Mery.
“Leo kuna welcome form five”

Kawaida kwenye shule yetu kila wanafunzi wa kidato cha tano wanapo jiunga na shule yetu huwa hufanyiwa sherehe wiki tatu baada ya kujiunga na shule.Wezangu ambao nilipotezana nao kwa kipindi kidogo wakaonekana kunifurahia.Mida ya saa mbili tukaingia ukumbini huku nikiwa nimevaa swete lenye kofia.Tuliongozana wanafunzi wa kidato cha sita wapatao nane ila mwalimu ambaye machoni mwangu ni mpya akanisimamisha na kuwaacha wezangu kupita
“Vua kofia ya sweta”

Alizungumza kwa sauti ya ukali kidogo.Nikiwa ninavua kofia,mkuu wa shule ambaye tunawindana kama paka na panya naye akawa anaingia ndani ya ukumbi huku akiwa ameongozana na mkuu wa shule.Akabaki akinitazama kwa hasira na kuanza kupiga hatua za haraka kunifwa huku mikononi mwake akiwa amekunja ngumi

Nikaanza kurudi nyuma huku nikimtazama mkuu wa shule,akazidi kuja kwa kasi ikanilazimu kusimama nikimtazama kwa umakini.Wanafunzi wote wakawa na hamu ya kuangalia ni nini ambacho atakifanya mkuu wa shule.Hatua chache kabla hajanifikia nikaifunua tisheti yangu sehemu ya kiunoni na kumuonyesha bastola niliyo ichomeka kiunoni.Kidogo akapunguza kasi hadi ananifikia munkari wote ulimuishia.
“Toka katika shule yangu”

Alizungumza huku meno yake ameyang’ata kwa hasira.Nikamtizama na macho makali na ukumbi mzima wa shule upo kimya hata kijiko kikianguka mlio wake utasikika vizuri.
“Sitoki”
Wanafunzi wote wakashangilia,mkuu wa shule akawatizama wanafunzi na wakakaa kimya
“Walinzi mupo wapi?”
Mkuu wa shule alizungumza kwa sauti kubwa,hapakuwa na mlinzi hata mmoja aliye nifwata kila mlinzi aliye niona kuwa ni mimi aliishia mlangoni na kusimama.Mmiliki wa shule akatufwata sehemu tulipo simama na mkuu wa shule
“Jamani,kuweni wapole.Mkuu unaniambisha bwana”

Mkuu wa shule akajifanya kama hamsikii muajiri wake,Kitu kinacho niumiza kichwa ni kwanini mkuu wa shule hadi leo yupo wakati amafanya mambo ya ajabu hadi muda huu hajachukuliwa hatua zozote.Akanisogea katibu yangu,nikastukia kibao kikali kikitua kwenye shavu langu.Nikataka kulipiza nikaisikia sauti ya John ikiniita jina langu na nilipo mtizama nikamkuta John akitingisha kichwa akiniashiria nisifanye chochote

Mkuu wa shule akanitandika kibao cha pili,Ila John akawa na kazi moja ya kuniomba hadi machozi yakawa yanamwagika,nisilipize chochote kwa mkuu wa shule.Machozi ya hasira yakaanza kunimwagika,huku kifua changu kikianza kutanuka kwa hasira kali,Akataka kunitandika kofi la tatu nikamdaka mkono wake.
“NITAKUUA”
Nilizungumza kwa sauti ya ukakamavu,huku macho yangu yakimtazama mkuu wa shule.Akajaribu kuuchomoa mkono wake kutoka kwenye mkono wangu ila akashindwa.John kwa haraka akaja na kuingia katikati yetu na kuniachanisha mkono wangu na mkuu wa shule na kunishika mkono na kuanza kunitoa nje

“Eddy achana naye huyo mzee”
Machozi yakazidi kunimwagika,pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote
“John niachie,tafadhali”
“Eddy siwezi kukuachia,nakujua.Tuliza kwanza hasira”
“John,yule mzee ananitafuta nini mimi?”
“Mpotezee bwana,hajui atendalo”
“John,mama yangu hata siku moja hajawahi kunizalilisha mbele ya watu kwa kunipiga.Sembuse yeye kikaragosi”
“Ndio,naelewa hilo Eddy ila punguza jazba”

Tukaingia kwenye moja ya darasa lililopo chini ya ukumbi kwani ukumbi upo gorofani.John akanikalisha kwenye moja ya kiti na yeye akakaa mbele yangu juu ya meza.Moyo na mwili wangu vyote vikawa vinajisikia vibaya sana kwa kitendo cha kuzalilishwa.Kwani katika maisha yangu tangu nikiwa mtoto sikupenda mtu kunizalilisha wala kunionea.Hata awe ni mkubwa vipi nilijitahidi kwa uwezo wangu wote kupambana naye hata akinipiga basi ipo siku nitamvizia hata kwa mawe nimpige,ndio maana hadi hapa nimekua bondia mzuri tuu.Nikaichomoa bastola yangu kwa haraka John akanibeta na kunipokonya

“Eddy,unataka kufanya nini?”
“Lete hiyo bastola”
“Ahaa Eddy sikupi”
John alikimbia nyuma ya darasa,huku bastola akiwa ameishika mkononi.Nikamtazama kwa macho makali sana yasiyo pepeseka hata kidogo.Kwa haraka nikatoka mlangoni na kumfungia John kwa nje.Nikakimbia na kuanza kupandisha ngazi za kuelekea kwenye ukumbi.Kitendo cha mguu wangu wa kwanza kukanyaga sakafu ya ukumbini nikatazama wapi alipo mkuu wa shule.Nikamuona akiwa amekaa kwenye meza ya wageni waalikwa akiwa katikati ya waalimu wengine na mmiliki wa shule.Kwa kasi ya ajabu nikakimbia hadi alipo kaa na kujirusha na sote wawili tukaanguka na kiti,mbaya zaidi yeye akangukia mgongo na kunipa mimi nafasi nzuri ya kumkalia kwenye kifua chake na kuanza kumshambulia kwa ngumi zisizi na idadi kwenye uso wake

Kelele za wanafunzi kushangilia zikazidi kuongezaka,Waalimu walio karibu yetu wakaanza kunivuta,kuniachanisha na mkuu wa shule.Wakanisimamisha na kunipeleka pembeni.Mkuu wa shule akasimaa huku akitaka kunifwata ila waalimu wezake wakanizuia.Ukumbi mzima wanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita wakawa na kazi ya kunishangilia huku wakilitaja jina langu na kupiga makofi

“EDDY......EDDY........EDDY........EDDY”
Mkuu wa shule akawazidi nguvu,waalimu walio mshika na kuja kutuvaa na waalimu ambao wamenishika mimi.Sote tukaanguka chini,kabla mkuu wa shule hajafanya chochote nikamuwahi kumdaka shingo na kumpiga kabali.Akaanza kunishindilia ngumi za mbavu,nikamuachia shingo yake na kumsukuma pembeni na kunyanyuka juu kidogo.Akanyanyuka kwa kasi na kunifwata,kabla hajanifikia nikaruka juu kwa kutumia mguu wangu wa kulia,nikautulisha kwenye kifua chake na kumuangusha chini.Waalimu wakaendelea kutushika,kelele za wanafunzi wezangu zikazidi kuongezeka.Hata ambao wawanijui vuzuri,nao pia wakawa katika mkombo wa kushangilia
“Nitakuua wewe kijana”

Mkuu wa shule alizungumza huku akiwa ameshikwa na wezake kwa nguvu.Nikabaki nikitabasamu kwa dharau zaidi nikamnyooshea kidole cha kati kama tusi.Ndio nikawa nimemfungulia hasira zake zote.Akajibabadua mikononi mwa waalimu wengine na kunifwata.Nikasikia mwalimu mmoja aliye nishika akiwaambia wezeke
“Hembu muachieni tuone atakacho kifanya,Mzee mgomvi kama nini”

Wote walio nishika wakaniachia,ila wakawa wamechelewa kwani mkuu wa shule alishafika mbele yangu na kuachia ngumi nyingi zilizo nijia kwa kasi mwilini mwangu.Kikubwa cha kwanza nilicho jilinda nacho ni sura yangu,Mikono yangu ikawa na kazi ya kuzizuia ngumi hizo zisiingie sana kwenye mwili wangu.Jinsi ninavyoziuia ngumi zake ndivyo jinsi ninavyo mpata wakati mzuri way eye kuzirusha ngumi zake.Nikaona ni ujinga
“Bora ngumi kumi kuliko mia”

Ni usemi ambao Mzee Godwin kipindi alipo kuwa akinifundisha kupigana utotoni alipenda sana kuniambia,akimaanisha nibora kupigwa ngumi kumi kuliko ukazuia ngumi miamoja.Nikaanza kuiruhusu mikono yangu kufanya kazi ya kumshambulia mkuu wa shule.Kila ngumi ambayo niliirusha sikukosea sehemu ya kupiga,kila ambapo ninahitaji kupapiga ndipo nilipo papiga.Nikaanza kumuona mkuu wa shule akishinda kustahimili,Nikazidi kuongeza kasi ya mashambulizi,Ngumi kama nne zikatu sehemu za njuu kwenye jicho lake la kulia na kuifanya sehemu hiyo kuchanika na kutoa damu nyingi.Mkuu wa shule akaanza kuyumba yumba akionekana kuchanganyikiwa
Nikampiga mtama ulio muangusha chini,akajaribu kunyanyuka ila akshindwa.Nikataka kumkanyaka kifuani,kwa haraka akanyanyua mikono yake juu
“EDDY NISAMEHE, NIMEKUKUBALI”

Kauli yake ikasikiwa karibi na wanafunzi wote,ukumbi mmzima ukanyanyuka kwa furaha,Wanafunzi walio na simu ambazo haziruhusiwa shuleni ila kwa furaha wakazitoa na kuanza kupiga picha,huku wengine wakirekodi tukio zima.Walinzi wakamsimamisha mkuu wa shule na kumtoa nje ya ukumbi.Baadhi ya waalimu ambao wakikuwa wamenishika wakaanza kupiga makofi,ila mmiliki wa shule alipo watazama wakaacha mara moja na kujifanya wakiwanyamazisha kelele wanafunzi ambao hawakuacha kuficha furaha zao.Japo nimeumia baadhi ya sehemu katika mwili wangu ili nikabaki nikiwa nimesimama mbele ya wanafunzi wezangu huku nikiwa ninahema sana.Nikawanyamazisha wanafuni wezangu na wakakaa kimya wakisubiri nizungumze

“Rafiki zangu,ndugu zangu,nawashukuru sana kwa upendo wenu.Ninaimani kwa kitendo hichi nilicho kifanya,sizani kama sheria za shule zinaniruhusu mimi kuwa mwanafunzi halali wa hii shule”
“Nawatakia masomo mema na mungu awalinde”
Ukumbi mzima ukawa kimya,macho yangu yakawa na kazi ya kuwatizama wanafunzi wezangu.Kuna baadhi ya wasichana wa kidato changu wakashindwa kuyazuia machozi yao na kujikuta wakiwa wanamwagikwa na machozi.Mwalimu wa nizamu akanitazama kwa macho ya masikitiko kisha akawatazama wanafunzi wengine

“Wewe,wewe leteni simu zenu”
Mlwalimu wa nidhamu aliwanyooshea wanafunzi wawili walio zishika simu zao,wengine kwa haraka wakazificha.Wanafunzi walio itwa wakabaki wakimtazama mwalimu wa nizamu.
“Hamunisikii?”
“BOOOOOOOO”

Wanafunzi wote wakaanza kumzomea mwaliwa na nizamu,
“Tunataka haki zetuu...tunatakaaa hakizetu”
Wanafunzi mmoja alianza kuimba na wengine wakaitikia,sauti zikaendelea kurindima kwenye ukumbi,Sikujua ni haki gani ambayo wezangu wanaitaka.
“Waambie wezako wanyamaze bwana”

Mwalimu wa nizamu alizungumza kwa sauti ya kuninong’oneza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.Kwa jinsi ninavyo wajua wanafunzi wezangu,muda wowote anaweza kuanzisha fujo.Nikajaribu kuwanyamazisha na kweli wakanyamaza na kila mmoja nikamuomba kukaa kwenye kiti chake na wakatii
“Jamani,munataka nini?”

Niliwauliza na karibia kila mmoja akanyoosha kidole juu akiomba nafasi ya kuzungumza.Nikamchagua mwanafunzi mmoja akasimama na wengine wakakaa kimya
“Kaka Eddy kwanza hatumtaki mkuu wa shule”
“NDIOOOOOO”
Wakaitikia wote kwa furaha

“Pili tangu hii shule tumefungua,chakula tunacho kula ni kibovu,sio kama pale awali.Sasa hizo milioni mbili za ada kazi yake ni nini?”
“Semaaa babaaaa”
Msichana mmoja aliropoka kwa sauti ya juu
“Yangu ni hayo kaka”
Nikamchagua mwengine na akasimama
“Kaka Eddy kwa niaba ya wezangu,kwanza tunakuomba urudi shule.Pili tunakuteua kuwa kaka mkuu wa shule kuanzi sasa hivi”

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
37 Simulizi Sorry Madam
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni