Humo Pia Utakuta:
๐ KUSOMA SIMULIZI
๐ฌ FILAMU na TAMTHILIA za KITANZANIA
๐ VIDEO za KUCHEKESHA
๐ MAKALA za AFYA na MAPENZI
Install app hii GUSA HAPA utavipata vyote hivyo bure kabisa
Jina: KITU MNATO
Mwandishi: Jane Davis
SEHEMU YA TANO
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
Hakeem alijibu kwa kumaanisha,furaha aliyokuwa nayo Shamim akajikuta akijinyanyua na kwenda kumkumbatia mwanaume yule,waliongozwa sasa na hisia na waliziacha ziwaongoze…
Akapokewa na joto la haja,Hakeem naye alifurahia kukumbatiwa kule chuchu dodo zile zikamchoma na kuamsha hisia,akawa akiupapasa mgongo wa binti yule
WAKATI UNAFUNGUA KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE WALAU KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UPO NJE YA APP INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI
SASA ENDELEA...
"Wewe ni mwanaume ambaye umenirejesha katika furaha yangu" Shamim aliongea huku machozi yakimtiririka
hawakujua ni sangapi waliikutanisha midomo yao! Ila walipozinduka SHAMIM
Akatanguliza "Sorry," ambayo hata ivyo Hakeem aliikataa alisema yeye ndo mwenye makosa!,mchezo ukaanzia hapo,ikawa kama wamekutana siku nyingi!
"Mficha maradhi mauti humuumbua" naye Shamim hakutaka afike huko, akamweleza wazi jamaa yake kwamba ana pa kukaa amefukuzwa kwao kutokana na sekeseke lile!
Hakeem akamwomba akaishi kwake,Shamim hakuamini,alikuwa ni kama kashamloga kijana yule,wakatoka wakijua kabisa ni wapi wanapoelekea
Lilikuwa ni bonge la nyumba,mitaa ya matajiri Shamim alikaribiswa HAKEEM aliishi peke yake katika jumba ilo!
Jambo hilo likamstaajabisha sana binti yule!
'Sasa ni wakati wa kuyatumia mafunzo niliyoyapata' Shamim aliwaza akikitazama kitanda cha futi sita kwa sita alicho kikuta mule chumbani!
Bafu na choo pia vilikuwa ndani kwa ndani!,
"Sasa mpz we endelea kupika mi natoka dakika kumi tu ntakuwa hapa!"
Hakeem akaaga! hakuwa na ratiba tena ya kurudi kazini!
Shamim akaingia jikoni! , alipokuja kutoka akaingia bafuni kwani toka atoke mahabusu hakupata kuoga!
Huo ukawa ndiyo mwanzo wa mahusiano kati ya Shamim na Hakeem.
Waliishi kama mume na mke kwa Amani,furaha na upendo hadi Mzre Said baba yake Shamimu alipogundua na kuanza kumletea fujo hakeem(tulisoma mwanzo) akihitaji amuoe mwanae kwa ndoa inayokubaliwa na dini yao.
HAKEEM ANAKUBALI KUMUOA SHAMIM
Mipango ya harusi ikaendelea sambamba na kumfunda mwali "jinsi ya kuishi na mwanaume! Kipi umfanyie kipi usimfanyie
Kwa kuwa vingi alishafundwa utotoni mpaka anakuwa vingi havikuwa vipya!
Siku ya siku ikafika! HAKEEM akamchukua SHAMIM na kwenda kuyaanza maisha mapya kama mke na mume!,miezi sita ya awali waliishi kwa amani Shamim akifata mafunzo yote aliyopewa hawakufarakana ila upweke ulimsumbua sana binti yule
Kuishi mwenyewe katika jumba lile
Wivu! Ulimsakama pengine akiwa na msichana wa kazi angemwingiza majaribuni mumewe , vivyo hivyo hata kwa Hakeem hakutaka kijana wa kazi akijua fika angeweza Ku mshawishi mke wake
Si kwamba hawakuaminiana ila mapenzi yalipitiliza na wivu ni sehemu ya mapenzi!
Siku hiyo Shamim akiwa ameenda kusalimia kwao baba yake mzee Said akapeleka ombi!,
Ombi ambalo Shamim hakuwa na ubavu wa kulipinga!
"Kwa kuwa mumeo ana kazi nzuri na nyinyi hamna mfanyakazi kwa nini usimchukue mdogo wako SAMERA mkaishi naye awasaidie kazi za nyumbani huku mumeo akimtafutia kazi ya kufanya hata huko katika super market?!"
Angeanzaje kukataa kwa mfano!…
Damu ni nzito kuliko maji tena lile lilikuwa ndilo wazo lake hakuwa na ubavu wa kukataa, akamchukua mdogo wake yule ambaye naye alikuwa si haba,wowowo la maana ,mvuto wa kimapenzi, mpaka katika jumba lake
Katu Shamim hakujua kuwa kaingiza sumu katika maisha yake,kaingiza dosari katika furaha yake!,Samera alikuwa ni Malaya wa kutupwa na si kwamba Shamim hakulijua hilo
Yeye alijua pengine ni ufukara wa familia yake na akikaa naye pale akawa anafanya kazi na kumlipa vizuri angebadilika
Shamimu alijidanganya!
Umalaya ni tabia!,nayo ilisha ota mizizi katika moyo wa binti Yule,
Hakeem alifurahi kumuona shemeji yake,kikubwa alifurah mke wake kupata msaada! Ila moyoni KWA Samira alifikiria vingine
Ku mmiliki Hakeem awe wake, hata kwa kukosana na Dada yake kama ikibidi!
'Ntatumia vitendo mpaka atanielewa tu,ntamtega mpaka atategeka'
Lilikuwa ni wazo baya lililokuwa katika kichwa chake, wazo la hatari
Ila yeye akujali!
Ilikuwa ni kama bahati nasibu tu na siku hiyo shetani pengine alikuwa upande wake!
Kutokana na kuhisi kuumwa kwa maumivu makali ya Kichwa Shamimu akajiinua kwenye kochi na kuelekea ndani kulala!
Akimuacha mtu na shemeji yake sebuleni wakiendelea kuangalia "TV" ndo nafasi ambayo Samera aliisubiri kwa hamu!
Wabaki wawili!,naye hakutaka kuichezea rafu!
"Mmmh shemeji usije ukaenda kulala nakuja!" Akaongea kwa sauti laini na kujinyanyua akakatisha pembeni ya shemeji yake na kuelekea kilipo chumba chake,kuchukua dhana za kazi,tayari alikuwa katika muwasho mkali , vitu vikimnyevua nyevua na mkunaji alikuwepo
"Mmmmmh!" HAKEEM akaguna huku akimsindikiza kwa macho na kulifaidi wowowowo lile ambalo naye alijua kulitingisha!
Akameza mate,koo lilikauka ghafla!
Daaah ni nini tena ichi?! Kimeingilia furaha ya SHAMIMU?! Au ndo kikulacho kinguoni mwako hapana ni kwamba umdhaniaye ndiye kumbe siyo
Baada ya Samira kuingia chumbani kwake hakukawia akatoka,alikuwa kavaa kamtandio kalicholichora umbo lake,bila haya akaenda kuketi katika mkono wa kochi alilokaa shemeji yake
Hakeem akashikwa na mshangao,mkono wake akauweka katika shingo ya shemeji yake na kuanza kuipapasa taratibu!
Akili ya Hakeem taratibu ikaanza kuama,Samera alikosa haya
"Shemeji MUNGU kakujalia kwa kukupa uzuri wa ajabu katika wanaume wote unaongoza Shem mpaka namuonea Dada yangu wivu"
Bila kukosa Aibu Samera akaanza "kumtongoza" shemeji yake! Akijidondosha kabisa kwenye kochi
"Mmmmh mbona Mimi wa kawaida tu Shem" Hakeem akajibu huku akianza kubabaika,alijua yupo katika mtego na ni wazi alishanasa,alitamani kunyanyuka lakini ibilisi alimshika mkono na kumpa moyo mgumu
"Sioni ubaya ni kukupa na wewe shemeji mwenzio na hamu sijafanywa siku nyingi kuliko nikatoe nje nakupa wewe mpz wangu" wakati anaongea maneno hayo tayari mkono wake ulishazama katika suruali ya Hakeem na kuanza kumchezea mwanandani ambaye hakukawia kutuna kwa hasira
Bila kuona hatari iliyokuwa mbele yao ikiwa wangekutwa,Hakeem akaamua kumpa ushirikiano binti yule kwa kumpa mdomo,sasa ni milio ya miguno ilitawala,kila mmoja akiushambulia mwili wa mwenzake!
Kwa kuwa wote walikuwa katika wizi na eneo la hatari ilikuwa lazima waharakishe kusudi wasikutwe
Penzi La uwizi ni tamu,kwa Mara ya kwanza ikiwa hata hajamaliza week Sameera akamsaliti Dada yake kwa kutembea na shemeji yake,
Baada ya kutoshelezana kwa dakika zisizozidi 30 wakahitimisha kwa kila mmoja kuelekea katika chumba chake!,moyoni kwa Hakeem alijihisi mwingi wa hatia,na hakuacha kujilaumu kwa kitendo alichofanya,akajua ni kuteleza kufanya kosa siyo kosa ila kosa kulirudia lile kosa!
Kijana yule akajifariji,kwa malengo kwamba asingerudia,naaam alijidanganya kwani mlamba asali huwa halambi Mara moja!,kwa kuwa mkewe alikuwa katika maumivu makali ya kichwa wala hakukuwa na maongezi mengi baina yao hatimaye wakalala
Kwa upande wa Samera aliingia bafuni katika chumba chake na kujisafisha,alijiona ni mshindi kwa kutotumia nguvu na akili nyingi kumpata shemeji yake yule!
'Sasa hapa ni mwendo wa kumchuna,penzi ntakalompa hata Dada haliwezi'
Wazo hilo likapita katika kichwa chake akijipindua pindua katika kitanda kile,mzigo wake wote ukiwa juu
Asubui ya siku iliyofatia Samera alikuwa amechangamka kuliko siku zote, Dada yake hakuijua sababu ya kuchangamka kwake ,aliandaa chai na wote wakaketi mezani
Macho yake Mara kwa Mara yalimtazama shemeji yake yalipogongana aliangalia pembeni kwa aibu akiangua kicheko
' mmmh sasa huyu si atafanya mpaka tutashtukiwa?!'
Hakeem akawaza,ni wazi hakupendezwa na tabia ile, mbaya zaid pasina kumuogopa Dada yake akawa akiingiza mguu chini kwa chini na kumtekenya shemeji yake,kitendo kilichofanya Hakeem ashtuke Mara kwa mara.
'Lazima nifanye kitu kabla mambo hayaja haribika'
Wazo ilo likapita katika kichwa chake,na ili ainusuru ndoa yake hakuwa na budi kutekeleza ilo!Baada ya kumaliza kunywa chai akajinyanyua na kutaka kutoka
"Hakeeeeem"
Hakeem aligeuka nyuma mara baada ya kusikia ikimuita nyuma yake.
JINSI YA KUTUMIA MAFUTA YA ALIZETI KUKUZA UUME
Kutokana na maombi ya wasomaji wengi kuitaji kujua ni jinsi gani wanaweza kukuza uume zao kwa kutumia mafuta ya alizeti
Leo ningependa kuwaletea hapa!
Jua mafunzo haya na mengine mengi yapo katika kitabu hiki changu cha online so si vibaya ukijipatia kwa sh 3000 tu utapata kujifunza mambo mbalimbali
Ikiwemo kuufanya utamu wa wanawake uwe mnato kwa njia za asili ikiwa unamajimaji jinsi ya kuyakausha
INAWEZEKANA!
JINSI YA KURUDISHA NGUVU KWA WALOATHIRIKA NA PUNYETO
Pamoja na mafunzo mengi ya kisaikolojia
Mpz wako ananuna muda wote je ni namna gani ya kuishi naye ndani ya kurasa za kitabu icho utajua juu ya hili!
Ok twendelee na darasa!
Ukiwa utaitaj kukuza uume wako kwa mafuta ya alizeti
Loweka kitambaa chako katika maji ya uvugu vugu kisha anza kwa kuusafisha uume wako kwa kitambaa laini cheye maji ya uvugu vugu kama unauchua uume kwa kuuvuta mbele.
Ili likiwemo kama moja wapo ya zoezi Fanya zoezi hili kwa dakika tatu.
Pakaa mafuta yako kwenye viganja vyako viwili vya mikono yako kama vile unataka kujipaka mafuta mwilini.
Weka viganja vyako ili vipate mvuke wa moto kutoka katika ama jiko la mchina, stove au kitu chochote utakachotumia.
Ukiona viganja vimepata joto kiasi cha kutosha siyo mpaka uungue mikono, kisha
Kamata uume wako ukiwa unauchua kwa kuuvuta mbele kwa nguvu kidogo sana ukianza na mkono wa kulia alafu wa kushoto au kushoto halafu kulia vile utakavyoona inafaa.
Joto kwenye mikono likiisha rudisha mikono yako uipashe tena ili ipate joto kisha rudia kuuvuta vuta tena uume kwa muda wa dakika kumi.
Kumbuka
Mazoezi haya hufanywa mara mbili asubuhi tu mtu ukiamka na wakati ukitaka kwenda kulala na ni kwa muda wa wiki tatu utanambia majibu:
"mmmh sasa huyu si atafanya mpaka tutashtukiwa?!'
Hakeem akawaza,ni wazi hakupendezwa na tabia ile, mbaya zaidi pasina kumuogopa Dada Yake Samira akawa akiingiza mguu chini kwa chini na kumtekenya shemeji yake,kitendo kilichofanya Hakeem ashtuke Mara kwa mara.
'Lazima nifanye kitu kabla mambo hayaja haribika'
Wazo hilo likapita katika kichwa chake,na ili ainusuru ndoa yake hakuwa na budi kutekeleza hilo!
Baada ya kumaliza kunywa chai akajinyanyua na kutaka kutoka
"Hakeeeeem"
Akashtushwa na sauti ya mke wake kwa haraka akageuka kurudi alipo mkewe,wakati huo huo Samera akachukua vyombo na kutoka navyo nje ,akiwa na lengo kwamba amtege shemeji yake wakati akiwa anatoka amuage hata kwa kumpa mate yake!
Hakeem alipomfikia mkewe , Shamim akamweka kola ya shati lake vizuri na kumuaga kwa kumpa busu jepesi katika shavu lake!
"Kazi njema mume wangu jitahidi kuwa makini" akamuaga kwa mapenzi mazito
"Nawe pia mke wangu ukae salama nakupenda sana!"
USIIKOSE SIMULIZI INAYOFUATA
Umeyaona Matangazo?
Yabonyeze Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Yabonyeze Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni