BABU UTAMU (16) - CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Jumapili, 19 Machi 2023

BABU UTAMU (16)

Je unajua kwamba Simulizi zote unazozipata hapa zipo kwenye app ya CnZ Media?

Humo Pia Utakuta:
๐Ÿ“– KUSOMA SIMULIZI
๐ŸŽฌ FILAMU na TAMTHILIA za KITANZANIA
๐Ÿ˜‚ VIDEO za KUCHEKESHA
๐Ÿ“‘ MAKALA za AFYA na MAPENZI

Install app hii GUSA HAPA utavipata vyote hivyo bure kabisa
Mwandishi: Pablo Hernandes

SEHEMU YA KUMI NA SITA
ILIPOISHIA...
"Mariamuuu hebu toka haya nyanyuka mie nilale." Mama Mariamu akamwambia binti yake aliyeleta mambo ya kudeka.Ni kweli alikuwa ni binti yake ya mwisho aliyekuwa na haki haswa ya kudeka lakini kwa muda ule kudeka kulikuwa hakuna nafasi kwake kwa maana mama yake alikuwa na hamu kubwa ya kumaliza mtanange mkali baina yake na Emmanuel aliyekuwa chini ya uvungu akisikilizia.

WAKATI UNAFUNGUA KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE WALAU KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UPO NJE YA APP INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Dakika kumi na tano zikakatika Emmanuel kuwa chini na kusikiliza malumbano baina ya mama na mtoto ambaye aligoma kabisa kuondoka na kufika hatua mpaka ya kulala kabisa kitandani na kumuacha mama yake aliyemfokea.

"Weeeee mlalavi kwanza haya nenda." Hatimaye Mariamu akakubali kutoka kwa shingo upande na kuondoka.Mariamu yeye alikurupuka na kwenda kuchunguza kwa mama yake labda anamkuta Emmanuel maana alikurupuka tu baada ya kupitiwa na usingizi ambao mwisho wa siku aliulaumu pasipo kuwa na makosa yoyote.Alipoona hakuna mtu ndio iliyokuwa furaha yake licha ya kutopata majibu sahihi ya kwanini kulikuwa na sahani chini ya kitanda ambayo ilikuwa na chakula na kwanini pia kitanda kilikuwa kimevurugika sana.

"Au Emmanuel aliingia na ameshatoka.Kesho nitambana." Alijisema Mariamu na kujibwaga kitanda na palepale usingizi ukamchota….

Huku ndani Emmanuel akatoka chini ya uvungu na kumtazama mama Mariamu aliyefura kwa hasira za kuingiliwa kwenye utamu wake na binti yake huyo.

"Yani mtoto mshenzi huyu ametukatisha patamu ms***e kweli huyu."

"Hahaha halafu baby bwana sasa tumbo linamuuma akimbilie wapi nyanyuka tuendelee inaelekea saa nane hii kesho nataka niwahi kazini." Emmanuel akalalama kiume akiwa amesimama.Mama yule akasimama kwa madaha na kuifungua kanga yake iliyodondoka chini na kubaki kama alivyozaliwa.Akamsongela Emmanuel aliyekuwa amesimama na kumlaki vyema.Emmanuel yeye mikono yake akipitisha nyuma na kushika makalio ya mama yule na kuyabinya binya vyema mpaka mama yule akajisikia raha.

Taratibu wakapelekeana midomo na kila mtu akaanza kula shurubati ya mdomo ya mwenzie.Mama Mariamu hakuwa naye mnyonge sekta ile aliitendea haki ipasavyo.Wakawa wanyonyana mate huku wakipapasana vyema sana.Mkono wa mama Mariamu ukazama mpaka kwenye boksa na kuanza kuchezea mtalimbo wa Emmanuel vizuri.Emmanuel naye vidole vyake alikuwa ameshazimisha katika ikulu ya mama yule na kuanza kuvizungusha.

"Asssss……ishalainika hii Emmanuel aaah…..mmmmmh ingizaa….c.humaaa hicho sitaki kumwaga bwana niko hoi mwenzio." Akalalama mama Mariamu akitaka haki yake ndio Emmanuel alipopenda.Wakiwa wamesimama wakapelekana mpaka kwenye kabati.Emmanuel akamkandamiza mama yule kwenye kabati wakiwa vile vile wamesimama.Akauchukua mguu wa kushoto wa mama yule akauleta mpaka kwenye bega lake vyema.

"Uwiiii……weeee……Emmaaaa utaniuaa!" Mkao ule mama Mariamu wa kuchechemea na mguu mmoja hakuwa kukaa hivyo kwake ulikuwa mgeni.Emmanuel baada ya kumuegemeza akachukua mtalimbo na kuuzamisha katika ikulu na kuanza kukizungusha na kukaaza kiuno chake kwa kuingiza rungu lake ndani nje ndani nje.

"Aaaaaah……Emmaaa….mmmmh….asssss…..weeee utaniuaaa mie oooooh aaaaasssss yalaaaa!" Mkao ule ulikuwa mwingine.Emmanuel alipokuwa akifanya vile alikuwa pia ameshikilia vyema kiuno pia cha mama yule aliyeshindwa kufanya lolote.Na Emmanuel hakuishia hapo tu akatumia nguvu zake zote katika kusukuma gurudumu na ukweli ni kwamba alimuweka mama yule kungwi mfukoni.Kwa mkao ule alimpatia na haikuchukua muda mama yule akafunga goli lake la kwanza pasipo kupenda lakini hakuwa sababu ya Emmanuel kumuacha palepale akatumia nguvu zake na kubeba mama yule.

Miguu akaitanua ya mama Mariamu aliyepeleka mikono yake na kuipitisha shingoni ili ashindoke na mkao ule ambao alikuwa ameshapata kuuona katika kanda hizi za pilau kama wanavyoziita waswahili wa mjini.Mkono wake mmoja akautoa shingoni mama yule na moja kwa moja akaupeleka mpaka kwenye rungu la Emmanuel kisha akauseti mwenyewe mtalimbo ukazama kwenye ikulu na Emmanuel akawa anamrusha rusha vyema na kumvuta ule mtalimbo ukawa unazama wote na kutoka kwenye ikulu ya mama Mariamu aliyepagawa mno na staili ile.

"Ooooooh…..mamamaaaaaa asssss…..baby…..aaaauwiiii….asssss….naku…..nakuu…..pendaaa Immaaa..wanguuu ooooh!"Mama mtu alikamatwa raundi hakuacha kulia kama mtoto kwa hakika siku ile aligushwa mpaka kwenye gsport sehemu ambayo wataalamu wengi husema utakapofanikiwa kumgusa mwanamke sehemu hiyo basi utakuwa ukimsababisha raha za ajabu sana.Na kweli Emmanuel alifika huko na raha alizokuwa akipata mama Mariamu alijihisi raha isiyoelezeka.Alithibitisha na moyo kuwa kijana yule kazi yake ilikuwa ikizidi ya marehemu mume wake ambaye naye hakuwa mchovu alikuwa akimshughulikia ipasavyo.

"Leooo nimemuweza huyu mama." Emmanuel alijiwazia mwenyewe na kuvimba kichwa na kuendelea kumkaza yule mama mwenye nyumba wake na alipochoka mkao ule maana alikuwa akitumia nguvu nyingi pambano likahamia kitandani.Mkao wa mbuzi kagoma ndio uliofuatia.Mama Mariamu akampa mgongoni Emmanuel alikuwa ameshika kiuno rungu lake akalizamisha kilele na akawa vyema anacheza vyema na mama yule akiwa amepiga magoti akijipatia utamu ambao alikuwa naye anausikia.Hapo nafasi ya mama Mariamu ikachukua nafasi yake.Kwenye sekta ile alikuwa hatari pia kiuno chake kikageuka feni bovu.Kiuno chake hakikutofautiana na binti kigori anayekuwa kilikuwa vyema kwenye kuzunguka na kweli alikizungusha vyema na kwa haraka sana pasipo kuchoka mpaka Emmanuel alipofunga kwa kisigino goli la pili na wote wakawa hoi katika mechi ile….

"Aaaah hakuna siku uliyonitendea haki kama leo wewe mtoto umenifurahisha sana umenikuna utamu nimefurahi Emmanuel nakupenda sana mume wangu mpya." Yalikuwa maneno ya mama Mariamu wakati huo kichwa chake kikiwa kifuani mwa Emmanuel aliyekuwa akiangalia juu ya dari na kuwaza mengi kuhusu umalaya wake ambao ilikuwa ngumu kwake kuacha na hii ilisababishwa na ujogoo wake.Hali ya tabasamu ndio iliyojingeka katika uso wake Emmanuel akamtazama mama yule aliyekuwa anarembua tu usingizi ulionekana kumjaa na alikuwa ameshochaka.Saa ilisomeka saa kumi usiku ukutani kwa wakati ule.

"Asantee kwa kushukuru hata wewe pia umenitendea haki asante." Emmanuel naye akamshukuru mama yule aliyepatwa bichwa na kujiona yeye ndio yeye.

"Saa kumi hii nikisema nilale hapa nitakuja kushtuka asubuhi halafu itakuwa balaa hapa ngojea niondoke." Mama Mariamu kwa shingo upande akakubali hakuwa na jinsi ya kumzuia mwanaume yule ambaye alitamani angelala katika kifua chake ikiwezekana mpaka achoke yeye.

"Basi na wewe kunipa utamu mpaka ujifikiriee weeee unaniudhi sana Emmanuel unakuwa unitendei haki.Basi nitakapokuwa nakuhitaji ujue kwa wakati basi tatizo lako unaringa.Kunipa mie utamu baby utakusaidia vitu vingi hautanunua umeme humu hautalipa kodi vyote nitakuwa ninavifanya mie humu ndani."Mama Mariamu akaongea na Emmanuel akaitika kwa kutikisa kichwa lakini moyoni alikenua kwa ushindi.Aliona kabisa mwaka huo Mungu alimpangia ajenge kutokana na mtelemko na bahati alizokuwa anakutana nazo.

Baada ya kuvaa akagaa na kutoka katika chumba cha mama mwenyenyumba kilichokuwepo ukumbuni na kutoka mpaka uwani.Safari yake ya kutembea ikaisha katika chumba chake akazama mfukoni na kutoa funguo na moja kwa moja akaenda kujitupa katika kitanda chake na usingizi haukuwa naye mbali ukamchukua.Saa moja na nusu aliamka akiwa na uchovu mwingi akaingia zake bafuni na kuoga haraka na alipotoka chooni uso kwa uso akapambana na David mume wake Rozinta aliyemkata jicho kali na wala hakuunyanyua mdomo wake kumsalimia Emmanuel na hata yeye hakufanya hivyo.

"Ungejuaaa mke wako nisham*a sana hata usingeniwekea hivyo ungekausha tu." Emmanuel akajisemea kimoyomoyo na kucheka peke yake tu na kuona kuwa David hakuwa na haja ya kumkunjia kwakuwa alishajua na kuzoea utamu wa ikulu ya mke wake wa ndoa.Kidume alipomaliza moja kwa moja akaelekea kazini kwake mabibo ambapo alikuwa anashughulika na uuzaji wa nguo na alikuwa na duka lake.

"Mzeee umekuwa hadimu siku hizi yani wateja zako wanakuulizia ndugu maisha safi nini wewe." Mmoja wa wafanyakazi wenzake ambaye alikuwa naye na duka lake alimuuliza Emmanuel ambaye aliishia kutabasamu tu na kutojibu chochote kwa maana ni siku moja tu ndio akafungua biashara yake.Kazi zikaendelea kuchukua nafasi yake na kwakuwa alikuwa na mzigo mpya wateja kama kawaida walimiminika katika duka lake na kuendelea kununua nguo zake.Wakati huo simu yake ya mkononi alikuwa ameizima na wala hakupendelea sana kuwa anaitumia kutokana na kusumbulia na mwanamke ambaye hakuvutiwa naye kitandani na wala akajikuta akimshusha thamani kwa sababu yakumuhisi kinyume chake.

Mida ya saa nane na nusu wakati huo Emmanuel akijipatia chakula cha mchana alicholetewa na mama ntilie ambaye huwa anawaletegea chakula.Gari kali aina ya prado nyeusi ikawasili maeneo ya maduka ya pale na uzuri wa gari lile jipya na lenye kuuzwa bei liliwashangaza wengi waliolitumbulia macho.Mrembo Anna ndiye aliyeshuka na Emmanuel alimuona vyema akatulia na kujifanya kuwa bize na chakula chake.Wafanyakazi wenzie na watu waliokuwa eneo lile wakabaki wanamtumbulia macho na safari ya Anna ikaishia dukani kwa Emmanuel.

"Daaaah! Huyu mchizi Emmanuel siku hizi anazali mamae noma sana."

"Sijui anatumia dawa gani halafu huyu mrembo si jana alikuwa kumchukua na gari wakaondoka si alikula mambo aaah ningepata mie bahati hiyo mbona wangenikoma mtaani." Yalikuwa maneno ya wafanyakazi wenzie ambao walikuwa wakitamani sana bahati ya Emmanuel imdondokee yeye.

"Emmanuel mpenzi" Anna akamuita Emmanuel ambaye alinyanyua shingo yake kumtazama mwanamke yule aliyekuwa amependeza sana kwa jinsi alivyopangilia mavazi…….

"Naaam karibu Anna ingia." Emmanuel akamkaribisha Anna aliyefurahi ndani ya moyo kukaribishwa ndani hata hivyo hali ya upole wa Emmanuel ilimshangaza alitegemea mwanaume yule labda atamfukuza ama kumwambia maneno machafu yatakayomkera.

"Mbona nakupigia simu upokei mpenzi.Kama msamaha nimeshaomba na mimi binadamu nahitajika kusamehewa najua nilikukwanza nakukukera nilivyokutamkia maneno yale ambayo yalinitoka tu mpenzi naomba unisamehe yaishe tuendeleze penzi letu changa ambalo linahitaji upendo wa dhati mimi na wewe kukuaa." Anna akaongea kwa upole na kumtazama Emmanuel aliyekuwa makini kusikiliza kile alichokuwa anakizungumza mwanamke yule ambaye kiukweli alikuwa amenaswa hasa na mtego wake wa mapenzi.

"Sawa mie nimeshakusamehe wala usijali haya nambie."

"Asante mpenzi nimekuja kukuona na kuna pesa nataka nikuachie naomba keshokutwa tuonane mimi na wewe uje nyumbani kwangu tupange mengi sawa baby….pia nataka nikupe inshu nzuri tu uepuke kadhaa ya kufanya kazi hii ambayo sio mbaya lakini nataka nikupe kazi nzuri kuliko hii."

USIIKOSE SIMULIZI INAYOFUATA

Umeyaona Matangazo?
Yabonyeze Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni