Notifications
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…
  • THE NIGHTMARE (1)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA KWANZANi kipindi cha mvua za masika. Upepo mkali, na mvua kubwa iliendelea kunyesha kwa kasi kila kona ya nchi ya Tanzania.Ipo mikoa iliyofurahia mvua hizo kwa kuwa walikua wanaisubiria kwa hamu kwa ajili ya kilimo. Lakini ipo mikoa iliyokua inapata shida kwa uharabifu wa mazingira na mengineyo mengi.Moja ya miko hiyo ni Dar-es-salaam. Watu wanaoishi katika mkoa huo walichukia mvua mfululizo kutokana na sababu mbalimbali. Biashara nyingi…
  • MY DIARY (50)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA HAMSINITULIPOISHIA...Nilimnongo’oneza kuwa atumie kinga ili nisimwambukize ukimwi akanijibu kwa sauti ya mahaba nisiwe na hofu yeye yupo tayari kufa kwa ajili ya penzi langu hivyo hawezi kutumia kinga kwa mke wake aliyemoa tena siku muhimu kama hiyo.Sikutaka kumbishia yeye ndo muaamuzi wa mwisho kuhusu afya yake hivyo nilimuacha aendelee kufanya yake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kumbe na…
  • MY DIARY (49)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki, basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni mwenyezi mungu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuna vitu vingi sana…
  • MY DIARY (48)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NANETULIPOISHIA...Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu…
  • MY DIARY (47)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SABATULIPOISHIA...Lakini ilifikia mahali ndoto hiyo inanijia hata mchana nikiwa nimekaa mahali tulivu.Ilikuwa inanipa taswira nzuri ya sehemu ambayo madini yalikuwepo.Basi nilianza mikakati ya kulitafuta eneo hilo na hiyo ni mara baada ya ushauri wa mpenzi wangu Candy hapo akimaaanisha yule dada aliyekuwa naye pale jukwaaani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Candy alinisihii sana…
  • MY DIARY (46)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SITATULIPOISHIA...Nilikuwa kama niliyepigwa butwaa nisiamini nilichokuwa nakiona mbele yangu. Oooooh my God hold me on yalikuwa ni maneno yaliyonitoka kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu mara baada ya kumuona James kwa uzuri zaidi na kuamini kuwa yule kweli alikuwa ni kaka yangu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilishindwa kuelewa nini kimetokea mpaka yeye kurudi katika hali yake ya…
  • MY DIARY (45)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TANOTULIPOISHIA...Ndio niliona hipo haja ya kuokoka na kuishi maisha ya utakatifu kwa maana nishaishi maisha yote ya kuwa mbali na mungu. Nakumbuka nilipokuwa mdogo kipindi hicho naujua mlango wa kanisani tuisahawahi kufundishwa kuwa mtetezi wa kweli wa maisha ya mwanadamu ni Mungu.Na siku zote alaaniwe mtu yule amtegemeaye mwanadamu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Sio kazi ya…
  • MY DIARY (44)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NNETULIPOISHIA...Yani alianza kutaka uhusiano na mimi tena uhusinao wa mapenzi.Mda wote alikuwa akiniganda kama luba.Na mimi nilikuwa mjanja sana maana nilijifanya sinywi pombe wala kuvuta sigara.Pia baada ya kugundua kuwa wahusika wengine walikuwa wanajiachia niliamua kujifanya mshauri wa mapenzi na mahusiano.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilikuwa nawasshauri sana mshiriki wa…

NANII TAMU (7)

Mtunzi: ___

SEHEMU YA SABA
TULIPOISHIA...
Baba ake aliongea maneno hayo kwa kilevi lakini alisikika na alionekana kumaanisha. Amini kila nyumba ina siri zake maana baada ya kusema alianza kumlazimisha Merry.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA CnZ Media INSTALL ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Nilivumilia kusikia kelele na hatimae moyo wa kusaidia uliniingia nilitoka kwa spidi huku nimeshika kiatu na kujifanya kuwa mimi ni mwandishi wa habari na kuanza kuongea maneno ya kumuogopesha Baba ake na Merry.
‘Leo nimeamini Merry alichokuwa akinambia sasa hayo yote nimeyarekodi hivyo kaa mkao wa kufungwa na pia nitamwambia mke wako’. Niliongea huku nikiwa bado nimeshika kiatu huku nimewaoneshea.

‘Kijana haya yote yaishie hapahapa maana kwenye jamii nitaonekanaje na pia kiasi chochote cha hela nitakupa’. Baba ake na Merry pombe zilimuisha baada ya kuona kuwa nilikuwa kama mwandishi wa habari pindi nimeshika kiatu.
‘Naam sasa mimi sitaki pesa yoyote ila usirudie na inaonekana uwa unafanya nae matendo ya kipuuzi’. Niliongea huku nikiwa najiamini baada ya kumfunga kamba, Baba ake na Merry na kuweza kuamini kuwa ni kweli. Baada ya kumdanganya hivyo nilifungua mlango na kutoka nje. Nguo nilikuwa nimeishavaa nikiwa kwenye kabati hivyo haikuwa kazi ya kujiofia kutoka nje, nilifungua geiti na kutoka na kuelekea nyumbani.

Safari hii niliweza kuwakuta wazazi wangu wakiwa wanakula ilinibidi na mimi nijiunge kupata chakula, baada ya kula nilienda kulala.
‘Kaka jamani simu yake inatupigia kelele ipokee basi’. Mdogo Filipo aliongea huku akiwa ananitingisha.
Ilinibidi niamke huku nikijinyoosha na kutazama simu, nilishangaa sana baada ya kuona namba ya Suzi ikiwa inanipigia, Ilinibidi niipokee
‘Ehe mbona ulikuwa utaki kupokea au umeishapata mwingine’. Upande wa pili uliongea lakini kwa ukali kidogo.

‘Samahani Merry aha Suzi nilikuwa nimelala’. Nilimjimbu huku nikichanganya majina maana jina la Merry lilikuwa limeisha kaa kichwa ni.
‘Mbona unaniita Merry jamani au ndo wako wa sasa nini?’. Suzi aliongea huku akisikika kuwa amechukizwa na kutamka jina ilo. Na mara simu yangu ilizimika nilijaribu kuiwasha lakini haikuwaka tena nilijaribu kuiweka kwenye chaji haikuwaka.

Nilijua wazi kuwa Suzi atafikiri kuwa nimemkatia hivyo ilinibidi ninyanyuke kitandani na kwenda mpaka bafuni na kujimwagia maji kwa haraka ili niweze kwenda kwa kina Suzi. Na kweli nilifanikiwa kufika kwao na wakina Suzi baada ya kukodi pikipiki iliyonipeleka mpaka kwao.
Nilipofika ilinibidi nimuite mtoto aliyekuwa anachezea karibu na nyumba ya wakina Suzi. Mtoto alienda na kumuita Suzi, Suzi alikuja na kuonekana amechukizwa na kitendo changu
‘Yaani umenichukiza unanikatia simu kwaajiri ya Merry wako kweli’. Suzi aliongea akiwa anatokwa na machozi.

Sikutaka kupoteza mtu katika harakati zangu za kupata tamu hivyo niliona bora nimbebeleze ili anisamehe.
‘Ndo maana nimekuja kwenu simu yangu imezima ghafla hivyo ndo maana nimekuja kwenu kukuelezea hivyo’. Nilimweleze huku nikiwa namsogelea na kumshika mkono.
‘Yaani wewe una maneno ila sawa twende ndani basi’. Suzi aliongea huku akinivuta ili nielekee kwao.
Sikutaka kumbishia nilimfuata mpaka sebuleni baada ya kukaa Suzi alionekana kutolizika na pale kwani alinishika mkono na kutaka niende nae chumbani.

‘Najua unachotaka ila kwasasa siwezi maana nimechoka sana’. Nilimwambia huku nikijitoa mikono mwake na kusimama ili niondoke. Kitendo cha kufanya hivyo Suzi alionekana kuchukizwa na hicho kitendo.
‘Yaani Merry ameisha kuchosha kweli, maana nilijua ukija huku lazima unipe tamu yako ilivyo na radha yake’. Suzi aliongea huku akienda chumbani, baada ya kufika nilisikia vilio vya kelele huku akiomba msaada.

‘Nyooka jamani nyoka, Devi njoo unisaidie’.
Kelele zilizidi sana maana nilijua ni njama zake za kutaka niingie kwenye chumba chake, hivyo baada ya kusikia kelele zimezidi nilikata shauri la kumfuata chumbani kwake.
Nilienda kwa tahadhari sana na kuingia chumbani kwake baada ya kufika Suzi alinikumbatia huku akiwa ananioneshea chini ya kitanda. Kitendo cha kutoka mlangoni Suzi alifunga mlango na kuanza kunitomasatomasa.

‘Mmmmmm nini sasa unafanya.’ Nilijiongelesha huku nikijua wazi kuwa anataka nini.
‘Niko vibaya hivyo nataka unikojolesha kwa tamu yako’. Suzi aliongea kwa taabu sana maana alionekana kuwa ameishadata na alionekana wazu kuwa na nyege kali sana. Sikuwa mbaili na mtoto wa kike katika suala la kumpa tamu hivyo nilijitahidi kuvuta hisia japokuwa nilikuwa nimechoka sana.
Nilimpapasa kama kazi yangu na safari hii nilimbetua mguu mmoja juu na kuweka kwenye mabega yangu kum* yake ilionekana kwa utamu zaidi, hivyo nilivyoweka tu Suzi alilalama sana.

‘Mmmmh kumbe hii ndo nzuri sasa ndo nitakuwa nawapa’. Nilijiwazia hivyo baada ya kuona Suzi akilalama sana pasipokawaida ya wasichana ambao nilikuwa nimeishawapatia tamu yangu.
Aliendelea kulalama mpaka nilipofikia hatima yangu ya kukojoa, nilizamisha kabisa kitendo cha kuzamisha kabisa binti wa watu alipiga kelele huku kwa miguno ya hali ya juu sana.
Nilimuaga Suzi baada ya kumaliza shughuli yangu ya kumpa tamu nilienda mpaka nyumbani.

BAADA YA MIAKA MITANO KUPITA….

Nikiwa nahitimu upadri wazazi wangu walifurahia sana pindi napewa taji la kuwa padri, aisee siku hiyo siwezi kuhisau maana kila mzazi aliyekuwepo pale alifurahia sans mwanae kupata shagada ya upadri. Baada ya kupewa shahada mgeni rasmi alikuwa ni kardinali wa Tanzania.
‘Jamani mapadri wapya kwenye shahada zenu kuna sehemu ambazo mmepangiwa kwenda kwahiyo itakuwa vema mkiensa kesho maana makanisa hayo hayana padri’. Baada ya mgeni rasmi kuongea hivyo, kila aliyekuwepo pale alipiga makofi.

‘Unajua mwanangu siamini kabisa kuvalishwa hiki na pia kupelekwa kuwa padri’. Baba aliongea akiwa meenye furaha iliyonekana kujidhihilisha pasipo kukuambia kuwa ana furaha. Ilinibidi niifungue shahada ambayo nilikuwa nimepewa na kutazama naenda wapi. Nilifurahia sana baada ya kukuta mkoa wangu ambao nilikuwa napenda kufika ili niweze kuwapa tamu watoto wa huo mkoa maana nilisikia kwa marafiki zangu kuwa mkoa huo una mabinti wazuri.

‘Baba, Mama nimechaguliwa Arusha’. Niliongea kwa furaha sana na palepale wazazi wangu nao walifurahia sana. Na hatimae muda wa kuondoka katika sehemu hiyo kila mtu alitoka katika sehemu hiyo, niliongozana na wazazi wangu kwenye gari ambalo nilikuwa nimepewa na kanisa ambalo nilikuwa naenda.

Baada ya kufika nyumbani nilimsabahi mdogo wangu na kumuaga baada ya dereva kusema kuwa safari inapaswa ianze siku hiyo, Wazazi wangu nao niliwaaga kipindi nimepiga hatua chache nilikumbuka bahasha ambayo nilipewa na kardinali kipindi ananipa shahada.
‘Mama kuna bahasha nimepewa hivyo ngoja nitazame kuna nini’. Niliongea huku nikiwa nafungua bahasha hiyo. Baada ya kuifungua nilikuta pesa kadhaa na kwa juu kulikuwa na Barua fulani ilinibidi niisome kwa sauti

‘WAZAZI WA HUYU MTOTO TUNASHUKURU SANA NA PIA HIYO NI KAMA SHUKURANI.’ Barua iliishia hapo huku ikiwa imeandikwa kwa herufi kubwa.

Nilitoka ndani kwa haraka baada ya kusikia honi za gari zikipigwa mara kadhaa, baada ya kufika tu dereva aliwasha gari kwa kasi na kutoka katika sehemu hiyo. Dereva aliendelea kuchochea gari na huku akionekana yuko bize na usukani wake. Nikiwa nabofya simu yangu mara iliita, ilinibidi niipokee baada ya kuipokea tu sauti kutoka upande wa pili iliuliza swali.
‘Umepelekwa wapi?’. Lilikuwa ni swali ambalo lilitoka upande wa pili wa simu.
‘Nimepelekwa Arusha je wewe?. Nilimjibu na pia nimuuliza swali na yeye.
‘ Mimi nimepelekwa Tanga’.

Baada ya kuzungumza kwa muda nilikata simu na hatimae, nilianza kutafakari jinsi nitavyokuwa nasimama mbele ya mimbari huku nikiwa natenda dhambi,
‘Ahaa kwani dhambi zimeletwa ili nani afanye ni sisi’. Niliongea hivyo huku nikiwa najijibu baada ya kuwaza sana

Baada ya masaa kama matano tulifika Arusha, kwa mwendo wa dereva ilikuwa ni rahisi kufika kwamaana alikuwa akikimbiza gari. Tulifika kwenye jengo lililofanania na kanisa.
‘Father tumefika katika sehemu yako’. Dereva aliongea huku akiwa ananifungulia mlango.
Nilishuka kwa madaha baada ya kuona nadhaminika kwa watu.
‘Ohooo Father karibu sana’. Zilikuwa sauti za masista baada ya kuniona, Moyo ulinidunda sana na kwenda kasi ambayo si ya kawaida baada ya kuona wasichana wazuri wa maumbo.
‘Mmmmh asante nimeishakaribia’. Nilijiongelesha ili nisionekane nimeduwaa tu.

Sikuwa nabagua sura sijui heti mweusi au mweupe, nilikuwa najari nanii tu hivyo vya kuchagua sikuwa navyo kama vijana wengine, baada ya kukaribishwa Masista walinibebea mabegi yangu na kwenda nayo na huku mimi nikiwafuata kwa nyuma.
‘Jamani Father mimi naondoka ila mimi ndo dereva wako hivyo ukitaka usafiri uwe unanipigia simu’. Dereva aliongea huku akiwa anachochea gari na kuondoka.
Niliongozana na Masista mpaka kwenye jengo lililokuwa kubwa na ambalo lilikuwa mbali kidogo na kanisa, tulifika katika chumba kilichokuwa kimeandikwa kwa herufi kubwa juu ya mlango.
‘FATHER DAVID’.

Nilitabasamu sana baada ya kuona chumba changu kikiwa kimewekewa jina langu.
‘Karibu hiki ndo chumba chako’. Ilikuwa ni sauti mmoja wa masista waliokuwepo aliongea huku wakiweka mizigo chini.
‘Haya nashukuruni sana kwa kunikaribisha ila tuwe tunajuliana hali’. Niliwaambia nikiwa naingiza mizigo yangu chumbani.
‘Sawa’. Wote waliitikia na kutoka katika sehemu hiyo na kwenda kwenye shughuli zao.
Niliingia bafuni na kuoga baada ya kuoga, nilirudi kitandani na kulala,
‘Hodi, hodi, hodi’. Nilishtuka baada ya kusikia mlango wangu ukigongwa.

‘Ohoo karibu’. Niliongea huku nikifuata mlango na kufungua.
‘Karibu chakula’. Alikuwa ni binti aliyeonekana ni mfanyakazi wa ile sehemu, alinionesha sehemu ya kula.
Ilinibidi nivae haraka na kwenda sehemu hiyo, baada ya kufika nilikuta Masista wakiwa wamekaa na baadhi ya watu nao wakiwa wamekaa katika sehemu hiyo.

Udenda ulinitoka baada ya kuona Masista waliokuwepo walikuwa wengi sana na wote walionekana watamu.
‘Aisee hivi vitu vyangu navifaidi mwenyewe sio kama shule maana kila mtu uja kuombaomba ila hapa nitakula wote aisee wamenijua tabia angu mpaka kunipatia tamu zote hizi’. Nikiwa naendelea kuwaza hivyo mmoja wa masista alinishika mkono na kunikalisha kwenye kiti ambacho kilikuwa pembeni yake. Mwili wangu ulipigwa ganzi baada ya kushikwa na mkono wa mtoto wa kike ulionekana kuwa na kazi moja tu ya kulisha watu ekali takatifu, mkono ulikuwa mlaini sana.

Nilipowatazama masista wengine walionekana kutopendezwa na hiyo tabia ya sista huyo kunishika mkono.

USIKOSE SEHEMU IJAYO

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
66 Nanii Tamu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni