BALAA LA MCHUNGAJI (4) - CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Jumatatu, 15 Mei 2023

BALAA LA MCHUNGAJI (4)

Je unajua kwamba Simulizi zote unazozipata hapa zipo kwenye app ya CnZ Media?

Humo Pia Utakuta:
๐Ÿ“– KUSOMA SIMULIZI
๐ŸŽฌ FILAMU na TAMTHILIA za KITANZANIA
๐Ÿ˜‚ VIDEO za KUCHEKESHA
๐Ÿ“‘ MAKALA za AFYA na MAPENZI

Install app hii GUSA HAPA utavipata vyote hivyo bure kabisa
Mwandishi: Unknown

SEHEMU YA NNE
ILIPOISHIA...
” Aaaah nilimwambia mchungaji aende kwa Halima bila kumpanga Halima ,mmmmh! Mchungaji ataona nimemsumbua bure” Aliwaza .Aliandika namba ya halima kwenye simu yake na kupiga.

Simu iliita bila kupokelewa, alipiga tena iliita hivyo hivyo bila kupokelewa.

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Akiwa anatombwa vilivyo kwenye kochi, Halima alilalama kama mtoto, katika angaika angaika alipokea simu yake bila kuelewa.

” Ta..ra…ti…bu …..she..m ,taratibu” Aliongea kwa shida Halima, Dozi ilimkolea,alihisi moto unawaka chini ya kitovu.

” Aaaa.aaaaaaa…….aaaaaaa….taratibu” Alilalamika.

Nyumbani mama mchungaji alistaajabu, simu ilipokelewa, kilichoongelewa hakukielewa.

” mmmmh kuna nini? Mbona kama anagumia?” Alijiuliza . Aliiweka simu sikioni na kusikiliza kwa umakini.

” She.. M…..ta…ra.. ti… buu……unaniumiza” Alisikia sauti ya halima ikilalamika.

Moyo wake ulilia paaaaaah, alitupa simu chini na kutoka nje.

Alitoka nje, aliangaza kushoto na kulia ,hakuona alichokitaka, alianza kuchanja mbuga kwa mguu,hakufika mbali aliiona piki piki, aliisimamisha, akapanda.

” Dada mbona unamunkari sana,hebu relax kwanza” Dereva boda boda alimwambia.

” Nenda nilikokuelekeza,usiniulize maswali” Alimjibu.

Piki piki ilikata mitaa kuelekea kwa Halima. Wakiwa wanakaribia mama mchungaji alimuona chale.Alimuamuru dereva yebo asimame.Alisimama,alishuka na kumkimbilia Chale.

” shem ….shem…..” Alimuita huku akihema kwa nguvu.

” Eeeeh vipi shem mbona mkuku?” Aliuliza Chale.

” Halima na Mchungaji wako wapi?”

” Niliwaacha nyumbani”

” Twende,”alimshika mkono na kumkokota .

Wakiwa hawajafika mbali dereva boda boda aliwazuia.

” Dada haufanani na kuwa tapeli.” Aliongea

” Tapeli nani?” Chale aliuliza

” Huyu dada,amenikodi na kunikimbiza mkuku mkuku hadi hapa halafu hataki kunilipa” Aliongea

” Eeeeh kwahiyo iyo buku ndio inakufanya utoe maneno machafu hivyo?”

Aliongea mama mchungaji.

” Buku? Aliyekuambia buku ni nani? ”

” Aaaah kwani bei ya kutoka pale mpaka hapa sh ngapi?” Aliuliza mama mchungaji.

” Bei yake ni Elfu moja kama ni safari ya kawaida,lakini kama ni safari ya haraka ni elfu kumi ,kwakuwa njia nzima nimekimbiza sana pikipiki, nimehatarisha maisha yangu” Aliongea Dereva yebo.

” Mmmmh” Chale aliguna.

” Hapana aisee ,bei ni elfu moja ,kama hautaki acha” Aliongea mama mchungaji,alitoa elfu moja na kumkabidhi dereva yebo.

” Dada nitakuzibua hadharani hapa, usilete mchezo kwenye biashara yangu, nipe elfu kumi niondoke” Aliongea Dereva yebo. Sura yake haikuonesha masihara.

” Shem kama unayohela mpe kuondoa shari” Chale alimwambia mama mchungaji. Mama mchungaji alijisachi hakuwa nayo, chale naye aliangalia mfukoni hakukuwa na kitu,Elfu mbili aliyokuwa nayo alinunulia supu ya pweza.

” Bro hapa hatuna hela,twende nyumbani pale tukakupe hela yako” Aliongea Chale, waliongozana. Mama mchungaji aliongeza mwendo,ubongo wake bado ulisikia zile kelele za mahaba kutoka kwenye cm.

” Halima ananisaliti mimi? ” Aliwaza,

………….

” ooo..aaaaaa……e…….i…..” Alilalama Halima, utamu uliisha ,kilichofata kilikuwa ni maumivu, uboo wa mchungaji ulizidi kurefuka na kutanuka. Uvumilivu ulimshinda Halima. Alimsukuma Hans chini na kukimbilia mlangoni, alifungua mlango ili atoke nje, kwa mbali alimuona mama mchungaji akiwa na chale .

” Eeeh ! ” Alistaajabu ,alirudi ndani.

Akiwa anarudi ndani alidakwa na mchungaji , aliinamisha na kuingizwa mboo tena, ajitutumua ajichomoe,alishindwa.

” Jaribu kujicontrol ,mkeo anakuja, mkeo” Aliongea Halima, alijaribu kumtuliza mchungaji.

Maneno yake yalipita sikio moja na kutokea lingine. Mchungaji hakuelewa, mzuka ulikuwa umempanda kweli kweli. Alimuinamisha chini kwa nguvu na kumchomeka uboo kwa nguvu.

” pyuuuuuuu”. Uliingia.

“Pyuuuuuuu” Uliingia, maumivu aliyoyahisi Halima alitamani ardhi ipasuke, alihisi kuma yake imepasuka.

” Eeeh….eeeh….eeee……eeeeh” Aligumia mchungaji ,aliendelea kumtomba mfululizo.

Uvumilivu ulimshinda Halima, aliona kifo na kudharilika kupo mbele yake. Alijitutumua,alimsukuma pembeni, aliwahi mlangoni na kuufunga mlango kwa ndani.

Alimsogelea mchungaji na kumzaba kibao cha nguvu.

” Paaaaaah” kilitua shavuni.

” Mkeo amekuja, hebu tuliza mzuka” Aliongea Halima.

Mchungajinakili yake ilirudi, alijishangaa.

” Unasemaje?” alimuuliza

” Mkeo yupo nje anakuja”

” Mungu wangu!” Alistaajabu,alijishika mikono kichwani.

” Aaaah unajishika kichwa tena. Acha upumbavu,hebu ingia chumbani” Alimshika mkono na kumuingiza chumbani .

” ingia uvunguni”

Mchungaji hakubisha,aliinama na kuingia uvunguni, hofu ilituliza munkari wake. Uboo wake ulisinyaa.

Halima kuma yake bado iliwaka moto.Maumivu aliyoyahisi hayakuelezeka.Akiwa anahangaika barazani, mlango uligongwa.

” ngoo ngooo ngoooo”

” Halima funguo mlango,tabia ya kujifungui umeanza lini” Aliongea chale.

Halima huku akitetemka aliusogelea mlango na kuufungua.

” Ka….ri….bu.. ni..” Aliwakaribisha, hofu ilimpa kigugumizi.

” Eeeeh hiko kigugumizi vipi? ” Alistaajabu Chale

” Mchungajinyupo wapi?” Aliuliza kwa shari mama mchungaji.

” Nipeni hela yangu kwanza,habari ya huyo mchungaji mtajuana wenyewe” Aliongea dereva yebo.

” Hebu chukua elfu kumi mezani umpe huyu dereva” Chale alimwamrisha Halima. Bila ubishi aliingia ndani na kuchukua hela. Alitoka na kumkabidhi Yule dereva. Aliondoka .

” Mchungaji yuko wapi? Nakumbuka nilimuacha hapa.” Aliongea chale.

” Ametoka, muda si mrefu ameondoka” aliongea Halima

” mmmmmh! ” Aliguna mama mchungaji.

” Ungempigia simu kujua alipo” aliongea chale. Mama mchungaji alichukua simu na kupiga, simu iliita kwenye kochi.

” Aaaah ! Ameeondoka bila simu, simu yake si hii hapa” Aliongea Chale,aliichukua simu kwenye kochi na kumkabidhi mama mchungaji.

” Atakuwa alihisahau” Aliongea Halima.

” mtakuwa mlipishana,ungemuwahi nyumbani.” Aliongea chale.

Mama mchungaji alielekea mlangoni, alitaka kuondoka ila nafsi yake ilisita. Aikumbuka miguno aliyoisikia kwenye simu. Aliishiwa nguvu, alimwangalia shoga yake kwa jicho baya sana.

Alitaka kupiga hatua alishindwa, alikaa chini.

” shem kwani vipi? Mbona hivyo?” chale aliuliza.

” muulize mkeo” Alijibu mama mchungaji

” Aniulize mimi nini?” aliuliza halima.

” Usijifanye hujui , wewe sio wakunifanyia hivi, tumetoka mbali sana”

” Ndio nakushangaa shoga, tumetoka mbali halafu unakuja kunishutumu kwa vitu nisivyovielewa”

” Aaah nyie wanawake mbona siwaelewi?” kuna nini kinaendelea?” Aliuliza Chale.

Kwa dakika kadhaa mama mchungaji alikaa kimya, alijifikiria na kujiona mkosaji.

” Naanza kuchanganyikiwa sasa, naanzaje kumfikiria shoga yangu vibaya?” Alijiuliza moyoni .

” Nisamehe shoga,nimechanganyikiwa tu” Aliongea mama mchungaji,alielekea mlangoni.

Halima alihema kwa nguvu.

” Eeeh Halima,mbona michirizi ya damu miguuni?” Aliuliza kwa mshangao Chale.

Maneno haya yalimshtua mama mchungaji ,moyo wake ulipiga kwa nguvu,aligeuka haraka.

Maneno yale yalimpa taharuki mama mchungaji ,moyo wake ulipiga paaaah,aligeuka haraka,alimsogelea Halima.Alizitazama damu, zilikuwa zinachuruzika kutoka mapajani.

” Mmmh shoga hiki nini?” Aliuliza

Halima haraka alijifuta.

” Hamna kitu,ni bridi hii,nimeanza kubridi gafla” Alidanganya

” Mmmmh mke wangu hiyo bridi ya gafla hivi imeanza lini,wewe si umemaliza kubridi juzi tu?” Aliuliza kwa mshangao Chale.

Mama mchungaji alimsogelea Halima, aliiitazama ile michirizi vizuri.

” Hii sio damu ya bridi shoga.” Aliongea.

” Aaah! Sio,basi mimi sielewi” Alijibu Halima.

” Huelewi? Kama huelewi wewe sisi tutajuaje?” Aliuliza chale.

” Nimechoka na maswali yenu,naomba muondoke,nahitaji kupumzika” Aliongea kwa hasira Halima. Aliwashika mikono na kuwasukumia nje.

” Huyu mwanamke ameanza kuchanganyikiwa,ila acha kwanza apunguze hasira. Nitaongea naye muda mwingine” Aliwaza Chale. Wakati chale anawaza hayo, mama mchungaji aliwaza yake.

” Kwanini Halima adanganye ile damu ya bridi wakati sio ya bridi? Kuna nini anaficha?” Alijiuliza maswali . Hakuondoka,alibaki mlangoni kwa nje.

” Shem twende” Chale alimuita.

” Aaah hapana shem,siwezi kuondoka,Shoga yangu anamatatizo ni lazima nimsaidie kwanza” Aliongea mama mchungaji.

” Sasa utamsaidiaje wakati amesema tuondoke?” Aliuliza chale.

” Hasira ndio zilizomfanya atufukuze,ila sio busara kuondoka, nakuomba na wewe usiondoke ,tumsaidie” Aliongea mama mchungaji. Chale alikubaliana na maneno yale,alirudi.

” Shoga yako tangu nianze kuishi naye sijawahi kumuona akiwa kama alivyo leo.Sijui anatatizo gani?” Aliongea Chale

Mama mchungaji hakumjibu alimtazama bila kusema lolote. Kichwa chake kiliwaza mengi. Wivu pia ulimshika. Gafla,ujumbe uliingia kwenye simu ya mumewe aliyoishika mkononi.

” Tniiii tniiiiii tniiiiiii” Sauti ya ujumbe ilisikika.

Aliufungua ujumbe ili ausome. Alikutana na PIN,ilibidi aweke PIN namba ndipo aweze kuusoma.

” Huyu mwanaume sio mwaminifu kabisa,anawekaje PIN kwenye simu?” Alijiuliza.

Alikisia PIN,Aliingiza mwaka wa kuzaliwa mchungaji ,iligoma,haikufunguka.Aliugeuza mwaka na kuingiza tena,ilikataa pia.

” Mmmmh namba ya PIN ni ipi?” Alijiuliza tena. Alibuni tena,aliingiza namba moja mpaka nne,haikufunguka.

Alifikiria kwa dakika kadhaa ,aliingiza mwaka wake wa kuzaliwa,ikafungika. Haraka akaingia kwenye sms,akasoma ujumbe uliongia.

” Habari mchungaji!, mimi mama sele,nina shida na huduma yako,kama hutojali naomba tukutane sehemu” Ulisomeka ujumbe.

” Mmmmh” Aliguna mama mchungaji. Aliutazama ule ujumbe hakupata majibu.Kichwani alijiuliza mengi.

” Huduma gani hii ya kukutana sehemu?, kama anataka huduma si aje kanisani?” Alijiuliza Moyoni. Akiwa anawaza hayo alishikwa bega na Chale.

” Shem ngoja mimi niingie ndani nimuangalie rafiki yako,uenda akawa katulia sasa” Aliongea huku kasimama.

………

Chumbani kwa Halima,mchungaji alikuwa uvunguni,aliyasikia yote ya barazani ,Hofu ilimshika na alitetemeka kwa woga.

Aliwaza mengi.

” Hivi mama mchungaji akinifumania hapa si ndio basi,ndoa yangu itakuwa imekufa. Mungu nisaidie lisitokee hilo,nampenda sana,sipo tayari kuachana naye” Aliomba kimya kimya mchungaji.

Akiwa anaomba alisikia mlango wa chumba ukifunguliwa.Alitulia tuli.

Halima aliinama .

” Toka haraka,mkeo kaondoka” Aliongea

” Kweli?” Aliuliza mchungaji.

” Ndio ni kweli”

“_Asante ” Alijibu mchungaji huku akijivuta kutoka uvunguni.

Akiwa anakaribia kutoka mlango wa chumbani ulisukumwa .

” Eeeeeh!” Alishtuka mchungaji. Haraka akarudi uvunguni .

Mlango ulisukumwa wote ,aliingia chale.

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni