Notifications
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…

KIBAMIA (4)

Jina: KIBAMIAH
Mwandishi: Geofrey Malwa

SEHEMU YA NNE
ILIPOISHIA...
“naomba nisaidie kuingiza umeme kwenye luku,ni zamu yetu watu wasije wakalalamika wakirudi,”

“kwani umeme umekatika?”

“acha masihara bwana,njoo uingize umeme,”

“sikutanii,umeme huku unawaka,” aliposema hivyo Cheche aliwasha swichi iliyokuwa mlangoni mwake

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
“si unaona,taa inawaka,” aliongeza kusema hivyo Cheche akiwa hana hata chembe ya utani usoni mwake.Basi kitendo cha Jasmin kupiga kushikilia mlango na kuchungulia ili athibitishe kama taa inawaka kweli,hiyo nafasi ndio Cheche alikuwa akiisubiri kwa hamu zote,alipochungulia tu,alimvuta na kujikuta ameshaingia ndani tayari,

“Cheche pumbavu wewe!” alisema hivyo huku akijitetea Cheche asifunge mlango.Mwanaume ni mwanaume tu,Cheche alijitutumua mpaka akafanikiwa kufunga mlango.Wakabaki wawili ndani ya chumba,hapo ndio palikuwa patamu.

“Cheche,huo ujinga wako wafanyie mademu zako,fungua mlango!” aliongea akiwa makini hasa jasmine

“Jasmin…punguza jazba,kakae kwenye kochi mlango nitafungua tu,”

“Cheche usinchukulie poa ujue!” baada ya kauli hiyo,Cheche alimfuata Jasmin aliyeegemea ukuta karibu kabisa na mlango kisha akambana hapo ukutani huku Jasmin akijizuia kwa maana angepiga kelele,watu wangejiuliza kafikaje chumbani kwa watu! Kwahiyo alichokuwa akijitahidi ni kumwepuka Cheche kwa amani na hata hivyo wakati wa kutoka lazima atoke chumbani humo kwa akili maana hakuwa na mazoea ya kuingia chumba hicho…

“Cheche bwana,acha ujinga wako,” ni kwa sauti fulani ya chini yenye ukali wa wastani aliitoa Jamsin akizungumza hivyo huku akijitahidi kurusha mikono kujinasua kwa Cheche.Mtoto wa kike mpaka kwenye kona ya chumba alifikishwa,Cheche alikuwa akihema kweli maana haikuwa kazi nyepesi ni nguvu tu ndio zilitumika.Hapo kwenye kona Cheche alifanikiwa kuidhibiti mikono ya Jasmin kwa mkono wake mmoja kwahiyo mkono mwingine ulikuwa huru,mguu wake mmoja uliiingia katikati ya mapaja ya Jamsin na kumsababisha Jasmin kushindwa kukibana sawasawa kitumbua chake.

Basi taratibu mkono wa Cheche ulianza kutambaa tumboni mwa Jamsin ambapo kucha ya Cheche ilivyokuwa ikikuna ile sehemu ya kitovu,Jamsin hakuweza kuficha kuwa amesisimka.Alishtuka kabisa ambapo Cheche alipakazania kwa dakika kadhaa,alipanda juu ambapo mtoto hakuvaa sidiria,kifua kizuri kilichosimamisha milima vyema,alikivamia na kuanza kuziminyaminya chuchu zake,alijinyonganyonga kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa,

“Bwana Cheche sio vizuri lakini…niiaaachiiieeeee huuukoooo…mi siipeendiiii bwaaanaa…Cheeee

cheee mmh…” aliongea hivyo Jasmin huku akijua kabisa kwa jinsi alivyobanwa asingeweza kutoka.

“basi ntakupa mwenyewe niachie kwanza,” alipoongea hivyo Jamsin,Cheche moyoni alijisemea “unadhani mi mjinga hivyo!”

Cheche aliposhusha mkono wake kwenye chini ya kitovu,hapo ni kama aliamsha ugomvi mwingine,vidole vilipofikia eneo la mavu…mavumbi ya kokoto,Jamsin alikukuruka n akumwomba kwa huruma zote Cheche amwachie,hata hela atampa ili mradi asitishe kufanya hivyo.Cheche hakuongea kitu alikuwa akihema huku akiendelea kummamliza nguvu Jamsin kwa vitendo.Kidole kilipopata nafasi ya kupenya na kufika kunakohusika,hasa alipoguswa Rais wa utamu kwenye nchi ya kitumbua ndipo Jasmin alitoa ile miguno ya mahaba laivu bila kificho,alihisi raha.Cheche hakumwachia,taratibu nguvu za kujitetea zilianza kupungua na kuachia mwili wake huru,mguu wa kushoto ndipo ulianza kwenda kushoto zaidi na wa kulia kulia zaidi.

“Cheche subiri kwanza jamani,” ni sauti iliyolegea hasa,Cheche alimwachia.Jasmin alipoachiwa alijikongoja mpaka kitandani na kujilaza kifudifudi. “tulia nikusaidie mrembo,msambwanda wote huo niuachie hivihivi!” alijisemea hivyo kimoyomoyo na kutoa taulo lake,kisha boksa.Aliliachia huru Rungu tata lake lililosimama haswa.Jasmin hakuwa na hali huku chini,yaani ilikuwa akigeuzwa anakwenda kama mrenda,miguu utadhani inapelekwa kwa rimoti,wa kushoto ulipelekwa kushoto na wa kulia ulipelekwa kulia zaidi,mtoto alikuwa amelala kifo cha Mende,nguo yake ya ndani ililowa sehemu kubwa,basi Cheche kiulaini alijisogeza kwa pembeni na kupenyeza Rungu tata lake lililoingia taratibu likitelezeshwa na ute wa kitumbua hicho.

Mtoto alilipokea Rungu kwa miguno..ile mirefu tena kwa sauti ya taratibu.Alipampu mara kadhaa ambapo ambapo wazungu walikuja,akawatolea nje,haraka alimgeuza n akamlaza kifudifudi,mtindo anaoupenda hasa Cheche kwa wanawake wenye makalio makubwa.Mtoto chura ilituna hasa,basi kwa mikono miwili aliyeweka sawa hayo makalio ili Rungu lipite vyema,alipopenyeza tu mtoto alizidi kuguna,muda huu ndio alimpa pigo za kiutu uzima mpaka mwenye Jasmin akawa anamsifia Cheche kuwa ni fundi na anamfikisha anapotaka.Baada ya masaa mawili ndio jamaa alishuka akiwa hoi,jasho mpaka mgongoni,Jamsin naye alitokwa jasho japo sio sana,kilichomtawala usoni mwake ni aibu,

“yaani umenifanya kweli Cheche!”

“ila we mtamu sana,shemeji anafaidi jamani,”

“una tabia mbaya,ngoja ufumwe,”

“nifumwe au tufumwe?”

“wewe apo,mi sipo!”

Muda wote huo wakijibizana hivyo,wote wawili walikuwa kama walivyozaliwa.Mtoto wa kike alijipitisha upande wa shuka na kumfunika makalio yake tu,basi Cheche alianza kuyatikisa makalio hayo kwa mikono yake na kuyachapa makofi ya kimahaba “yallaah…ujue naumia mwenzaaakooo…” alisema Jasmin kwa kudeka huku akimalizia kama analia kiuwongo na kweli,basi Cheche ndio alijiona kidume ndio yeye.

“twende cha pili jamani..” aliongea Cheche huku tayari vidole vyake vikifanya kama vinamtawaza Jasmin ambavyo vilifika mpaka kwenye ikulu…aaah…eeeeh unaseeemaaa…aaah…alianza kuhema kwa kasi huku akijibinua makalio ili mkono wa Cheche uingie vizuri…

“bwaaaanaaa tutafumwa,tutafanya siku nyingine toa mkono wako jamani,”

“mi nataka leo,angalia ilivyosimama na uionee huruma,”

“sawa lakini mume wangu anaweza akarudia,huwa anatabia ya kurudi ghafla,”

“leo hawezi kurudi,pliiiz mamii jamani,kimoja tu,”

“bwaanaa..aaaaashiiiiiiii weeeeweeeee…aaah acha buaaanaa…”

Wakiwa kwenye ubishi fulani wa kimahaba ambao Cheche ndiye aliyekuwa na alama nyingi za kushinda,ghafla walisikia sauti kubwa ikisema

“sapraaaiiiiziiii”

Jasmin ndiye aliyeshtuka na kuruka kutoka kitandani kwani aliijua vyema hiyo sauti,ni ya mumewe.Mtoto wa kike kijasho chembamba kilimtoka,mizuka yote ilikata,Cheche na ukidume wake alipohakikishiwa huyo ni kweli mume wa Jasmin,naye joto la roho lilianza kumpanda Asijue cha kufanya…

…Machozi yalishaanza kumtoka masikini Jasmin.

“ngo ngo ngo! Nego!” mlango ulibishwa Hodi kisha jina la Nego liliitwa,alikuwa ni huyo mume wa Jasmin,alijuana na Cheche kidogo.Ilibidi Cheche aitike kwa sauti “ndiyo mkubwa,Nego hayupo” Alipojibu hivyo jamaa alionyesha uchangamfu kwa Cheche kitu kilichopelekea Cheche afungue mlango,hapo Jasmin alikuwa chini ya uvungu,khanga na chupi yake vyote aliingia navyo huko,

“mbona jasho,mambo ya shoo nini?” alihoji Mume wa Jasmin aliyeitwa Franko

“eeh si unajua baba! Vipi lakini kwema?”

“we mbaya wewe! Ila ukumbuke kutumia ndomu mzee,sema nini…huyu shemeji yako kaenda wapi?”

“kuna mida asubuhi sana ndio nilimwona,ila tangu nijichimbie ndani sijajua tena,kwa simu vipi umemcheki?”

“bado,ila nitamcheki,poa mida basi…”

“haina noma.”

Maongezi yaliishia hapo ambapo Cheche alirudi ndani huku akili haiko sawa kabisa,alijikaza sana alipokuwa akiongea na Franko.Jasmin alitoka uvunguni huku uso ukiwa umelowa kama amemwagiwa maji,mchanganyiko wa machozi na jasho.Alijilaza kitandani Asijue atafanya nini,

“simu umezima?” Cheche alihoji hivyo ambapo Jasmin alimjibu kwa kutikisa kichwa akimaanisha ameizima.

“toa na betri kabisa isije ikawaka kwa bahati mbaya,” aliongeza kusema hivyo ambapo bila hata kuhoji Jasmin alifanya hivyo,hakuelewa hata anafanya nini muda huo jinsi alivyochanganyikiwa.

“unaona mambo yako!”

“nisamehe Jasmin ila nakuhakikishia mumeo hatajua chochote,na utakuwa salama kabisa,”

“utafanyaje?”

“ila lazima tukubaliane,Nego atajua..”

“ha! Hapana,ajue?”

“lazima kwasababu yeye ndiye mwenye uwezo wa kutusaidia,”

“mmh…sasa atafanyaje?”

“hilo niachie mimi.”

Baada ya maongezi hayo,Cheche alimpigia Nego na kumweleza kila kitu,Nego ni mtu wa mipango sana huwaga hashindwi kitu.Majira ya saa moja na robo,Nego aliwasili geto kwake na kumkuta Jasmin akiwa amekaa kwenye kochi,uso wake ulijaa aibu sana,hata kumtazama Nego alishindwa,

“usijali shemeji,ni kawaida,kwahiyo naomba uondoe hofu” alisema hivyo Nego aliyekuwa ameshika mfuko mweusi wa Rambo.Ndani ya mfuko huo alitoa gauni la bluu na viatu fulani vya vyeusi vya wazi na kumpa Jasmin.Mtoto wa kike alivaa na kutokelezea kweli maana alikuwa na umbo matata,

“Japokuwa tupo kwenye matatizo lakini lazima nikusifie,umependeza sana Jasmin,” ni cheche alisema hivyo,Jasmin aliishia kumlalia tu Cheche maana alishaanza kuyaona matumaini ya kuepuka na msala.Nego alichungulia nje huku na kule hali ilikuwa shwari,wakamtoa Jasmin nje mpaka maeneo fulani mbali kidogo.Baada ya muda ndani ya geto la Nego aliwasili mdada mmoja wa makamo aliyeonekana kuwa na maneno mengi sana,alivua nguo na kubaki na taiti na sidiria,kisha akavaa khanga.Nego hakuelewa kitu mpaka majira hayo,

“nimetumwa na Nego,kuwa na amani,nisubiri nakuja sasahivi…” aliposema hivyo msichana huyo alikwenda mpaka mlangoni kwa Franko na kumgongea,

“mambo!” alisalimia huyo msichana

“poa karibu,”alijibu Franko

“aah samahani shemeji,Cheche anaulizia kama una pasi ya nguo umsaidie,”

“aah sawa,hilo halina shaka,”

Mtoto wa kiume aliingia ndani kisha akatoka na pasi na kumkabidhi huyo msichana,alimsindikiza kwa macho kwa jinsi alivyopiga khanga moja maana nyuma alitingisha kiaina mpaka alipozama chumbani kwa Nego.Cheche alishangaa mtu amekuja na pasi kisha akaichomeka kwenye umeme,baada ya hapo alivaa nguo zake kama alivyokuja na kumwambia Cheche amsindikize,kwa bahati nzuri walipokuwa wakitoka mlangoni,Franko naye alikuwa hapo nje,yule msichana alijilaza kifuani mwa Cheche huku akiwa wa kwanza kumuaga Franko.

Baada ya muda Ndio Jasmin naye alijifanya amerudi kutoka kwenye mizunguko yake akiwa amechoka haswa,huwezi amini jamaa hakuchukia hata kidogo walikumbatiana na kuchangamkiana ambapo Jasmini alishukuru Mungu kweli.Yule msichana na Cheche walikutana na Nego njiani kwani walikuwa wanawasiliana kisha wakaagana,Nego alirejea na Cheche geto kisha wakacheka sana.

“ila baba yule mtoto mtamu asikwambie mtu,”

“aah…ulitaka kujinyea mjinga wewe!”

“lazima nitamtafuta tu,namba yake nimeichukua bila yeye kujua,akiondoka mume wake mi kama kawa,”

“sa anakosa nini kwa jamaa yake?”

“baba! Mwanamke kitandani tu unamlogea,wanao

USIKOSE SEHEMU IYOFUATA

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
56 Kibamia Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni