JAMANI DADA MARTHA... LOOO! (9)

Zephiline F Ezekiel
JAMANI DADA MARTHA... LOOO! (9)
Jina: JAMANI DADA MARTHA... LOOO! Mtunzi: 2jiachie SEHEMU YA TISA ILIPOISHIA... Mama Anna akapeleka mkono wake mmoja na kushika maiki akiashiria utayari wake uko wapi. Roi naye akaunganisha hisia, wakabilingishana mpaka wote wakawa hoi, wanahema tu. Mama Anna akavuta mpira uwanjani, JE UNAISOMA SIMULIZI HII NJE YA APP YA CnZ Media ? IPAKUE ILI KUPATA MWENDELEZO KWA WAKATI 👉 GUSA HAPA KU-INSTALL 👈 ENDELEA... mchezo ukaanza kupigwa huku ushangiliaji ukiwa mkubwa kwa pande zote mbili. Maneno yote, mama Anna aliyatumia, Roi akawa kama amepungukiwa akili, alisema yasiyosemwa. *** Martha alipoona muda unakwenda aliamua kutoka tena akiamini, Roi alishaziona funguo na sasa atapitia nyumbani kwake ili wakutane. Alipanda Bajaj tena mbele ya wale wapangaji wenzake. Ile anapotea tu, yule mpangaji aliyepigiwa simu na mama Anna akamtumia meseji mama Anna... “Martha katoka hapa tena, nahisi anakuja hukohuko.” Mama Anna hakupata nafasi ya kuisoma meseji hiyo kwani wakati inaingia ndiyo kwanza yeye alikuwa katikati ya …