Notifications
  • THE NIGHTMARE (9)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TISAILIPOISHIA...“mmenifananisha, mimi ndio kwanza naigia ofisini mida hii.” Aliongea yule afande na kuigia kituoni.“sasa aliyekuwa anatuhoji ni nani kama sio huyo?”Alijikuta anajiuliza mwenyewe swali lililompa utata mkubwa kichwani mwake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wakati wakiwa hawajui hili wala lile, walishangaa kuona maaskari wakijazana pale na ambulance ikafika…
  • THE NIGHTMARE (8)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NANEILIPOISHIA...Walipofika feri, walipewa nahodha mwingine tofauti na yule aliyemuota na boti ilikuwa ndogo tu ya kawaida tofauti na ile aliyoiota.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Sharji alijikuta anapiga makelele baada ya kumuona Balqis akiwa amejaa damu mdomoni huku ametoa makucha yake akimfata kwa nia ya kumdhuru.“AAAAAAAAAAAGH”Sharji alipiga kelele na kukurupuka.…
  • THE NIGHTMARE (7)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SABAILIPOISHIA...“kha!!!!”Ulikua mshangao mkubwa kwa watu karibu wote baada ya kumuona Sharji akiwa na taulo akitoka chumbani kwa Balqis.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Wengine walicheka na kaka yake alionekana kutoifurahia hali ile.“sasa wewe unatutia wasi wasi bure, si ungesema tu kama unaenda kulala kwa huyu dada?” aliongea kaka yake na kukirudia kile chumba alichompangia…
  • THE NIGHTMARE (6)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA SITAILIPOISHIA...“toa loud speaker bwana.”Aliongea Balqis baada ya Sharji kubonyeza kitufe cha kupaza sauti.“kwanini hutaki nisikie maongezi yenu?” aliongea Karimu kwa sauti ya ukali kidogo.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...“kwani kuna ubaya mimi nikiongea private na mdogo wako?” alijibu Balqis baada ya kuisikia sauti ya Karimu.“hakuna ubaya.” Alijibu Karim kwa sauti ya…
  • THE NIGHTMARE (5)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TANOILIPOISHIA...Alijikuta outomatic akijisemea kwa mshangao baada ya kumuona dada mmoja mrembo mwenye asili ya kiarabu akiingia mule ndani. Hakuvaa ushungi kama alivyowazoea kuwaona waarabu wengi ambao alikutana nao. Huyu alivaa suruali ya jeanz nyeusi na juu akiwa na kikoti chake cheusi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Kati kati kulikua na nguo Fulani nyeupe iliyonakshiwa…
  • THE NIGHTMARE (4)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA NNEILIPOISHIA...Aliongea Khalidi na kuufungua mkanda wa suruali yake na kuanza kumtandika Karim.“unanipiga mimi?...utaona!”IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Aliongea Karim na kuondoka huku analia.*****************************Zilipita wiki mbili bila ya Karim kuonekana nyumbani kwao. Sabra alisikitika kidogo kutokana na kuwapenda sana watoto wake japokuwa huyo mtoto mkubwa hakuwa…
  • Fumanizi la Mchepuko Mwizi😂 | Comedy
    Mume amefuma viatu vya mchepuko wa mke wake mlangoni lakini akakosea kuingia ndani kabla aweke umakini kwenye hivyo viatu mwisho wa siku akaibiwa na vyake😂Hili tukio lazima lichukuchekeshe sana hata kama ulikuwa haujataka kuchekaItazame kisha nipe like na ukinipa maoni kwenye comment nitashukuru sanaUsisahau kubonyeza Subscribe kama haujajiunga na fungua #ChekanaZephiline kupata video zangu zote ambazo zipo mtandaoniNashukuru sana kwa wewe ambaye unanipa nguvu ya kuendelea kuwaletea kazi nzuri…
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…
  • THE NIGHTMARE (1)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA KWANZANi kipindi cha mvua za masika. Upepo mkali, na mvua kubwa iliendelea kunyesha kwa kasi kila kona ya nchi ya Tanzania.Ipo mikoa iliyofurahia mvua hizo kwa kuwa walikua wanaisubiria kwa hamu kwa ajili ya kilimo. Lakini ipo mikoa iliyokua inapata shida kwa uharabifu wa mazingira na mengineyo mengi.Moja ya miko hiyo ni Dar-es-salaam. Watu wanaoishi katika mkoa huo walichukia mvua mfululizo kutokana na sababu mbalimbali. Biashara nyingi…

TUPEANE (22)


JINA: TUPEANE
Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI
Nikiwa tayali nishaingiza muwa wangu kwenye mpododo wa mke wa mwenyekiti yeye alionekana ni mzoefu katika mabo haya, sauti ya kicheko ikasikika kwa nnje bila shaka atakuwa ni Nipe nikupe nikatoka nnje speed ni kweli nimuonaye mbele yangu ni huyu boya

SASA ENDELEA...
“Ha!ha!ha!ha!
kijana naona unafanya mambo kwa hasira sio busara yani unadiliki kumuingilia kimwili Mama mkwe wako kweli!"
sikutaka kumjibu kitu zaidi ya kufutuka na kombora moja tu likaenda kumpata sehemu za mbavu na kurushwa hewani nikaruka kwenda juu kumuwai kabla hajatua nikamtandika kifuti na kuja nae hadi chini akapotea na kuacha damu zake tu zilizo mwagika baada kumshambulia kwa kustukiza nikarudi ndani na kuwakuta wale wachawi wananingojea kwa shauku maana walikuwa kama vile kuku wakizungu mwenzao anachinjwa hapo wao hata kukimbia hawawezi mke wa mwenyekiti akiwa kabong'oa vile vile nikamfata na kuendeleza gemu akawa anazungusha kiuno balaa, baada kumaliza mtanange na mke wa mwenyekiti nikawatoa nnje kasoro mama mkwe tu usiku kucha nakula kiboga chake usiulize nguvu nilitoa wapi ni magic wall ndio niliyotumia usingizi nao ukanipitia nikaja kustuka baada kusikia kelele za watu “jamani!!! wachawi huku wamenasa!"
watu asubuhi ile walikuwa wakijindaa kwenda mashambani wakaja kujazana nyumbani kwa kina Veronica,

“hii jamani huyu si mke wa mwenyekiti Mama Mbwana?"
“ndio yeye kwani kinacho kushangaza hasa nini siku zote huwezi kumjuwa mchawi kama wewe mwenyewe sio mchawi ndio huyu sasa yani kipindi kile alikuwa mstari wa mbele kutaka Biti manjawila achomwe moto kumbe yee mwenyewe ndio walewale!"
ikawa aibu kubwa kwa wachawi wale tena kukutwa uchi wa mnyama “ehee umenikumbusha kitu na yule pale ndio alimtandika bakora za maana mama wawatu siku ile!"
“unajuwa nini kaka kuna usemi unasema hivi ukiona mwenzio ananyolewa basi nawe jiandae kutia kichwa chako maji nazani hawa kina Mama washatia maji vichwa vyao kilicho baki hapa ni kuwatia moto tu!"
kila dakika iliyo songa mbele wanakijiji wakazidi kujazana na kuanza kuwatandika bakora za maana na kuwapeleka sehemu wanayo iita machinjio ya wachawi,
Mama yake Veronica akawa anatetemeka huku mchozi ukimtoka na kuniomba nisimtoe “tafadhali baba usinitoe nnje nikiwa hivi nitakufa mie!"
“kumbe unaogopa kufa sio je wewe mwenyewe umeuwa na kuwapoteza watu wangapi mpaka sasa?"
“ni wengi mno!"
“kumbe umeuwa na kuwapoteza kwa kuwatesa watu wengi mno kwanini na wewe usife?"

“hapana baba usifanye hivyo nipo tayali kukupa chochote kile utakacho kihitaji kutoka kwangu, akanipigia magoti kabisa nikapiga moyo konde kwa kumwambia “oky nimekusamehe iwapo tu ukiwa teyali kuacha uchawi na kunitajia wanachama wenu wote niweze kumfatilia mmoja baada mwingine!"
“ahaa sawa niko tayali kwa kila kitu!" nikamwambia avae mavazi yake na atoke nnje ajifanye kama sio yeye vile, nikamuamsha Veronica akastuka kwa kunikumbatia huku akiongea “naogopaa!"
naogopaa!"
“unaogopa nini baby?" hakuweza kuniambia kile anacho kiogopa basi tukatoka nnje na kwenda huko machinjioni wakati napiga hatua kazaa nikastuka baada kusikia sauti ya kaka ikisema “dogo ushaota mabembe sio yani unafanya vitu visivyo sahihi kabisa!" nikageuka kucheki sauti ilipo tokea sikuweza kuona mtu kabisa, akaendelea kusema “kumbuka wewe ni mtetezi na wala sio muuwaji ila ushauwa mtu mmoja hukutosheka unaitaji kuuwa na hao!" “kaka!!! uko wapi kwani na yupi niliyemuuwa?"
“huwezi kuniona kwa sasa tambua ya kwamba yule uliye muacha mbagara kwenye bajaji kashauwawa kwa kutiwa moto palepale ila muuwaji ni wewe na hao watu watatu wakifa muuwaji ni wewe!" baada kusema vile kaka akacheka sana “ha!ha!ha!ha! itabidi dogo ukae pembeni nije kusafisha dunia mwenyewe yani hufai kabisa!"

yale maneno ya kaka yakanichanganya kabisa kwa kuniambia mimi muuwaji nikajiambia moyoni nitafanya juu chini kuwaokoa wachawi hawa kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali
tukaweza kufika eneo la tukio na kukuta tayali wamefungiwa sehemu husika kwa kutiwa moto
kuna baazi ya watu wakawa wanalia kuwalilia ndugu zao
nilicho kifanya ni kwenda kusimama mbele ya watuhumiwa na kusema “hakuna mtu yeyote kuuwawa hii adhabu sio sahihi kabisa!"
nikastukia napigwa na jiwe moja tu la kichwa nikayumba na kwenda chini huku watu wakipaza sauti “huyo nae mchawi!!! nikajikuta nashikwa na kuanza kushambuliwa kwa bakora ila nikapiga mruzi kilocho tokea hapo kila mmoja alijuta kwa nini kafika eneo hilo
yani mzinga wa nyuki sijui walitokea wapi wakavamia eneo lile kawaida ya nyuki ukilala chini akufati ila hawa walikuwa tou much hata uzame shimoni unao ambao hawakung'atwa ni mama mkwe Veronica na waliofungwa pamoja nami
Veronica akaja kunifungua mimi na mie nikaenda kuwafungulia wale wengine nikarudi nyumbani kwa bibi ajabu kabla sijafika nikaweza kuisikia sauti ya Mama akisema “binafsi mwanangu kwa sasa hawezi kuja huku tena!"

Bibi akadakia kwa kusema “mwanao gani unaye mzungumzia hawezi kuja huku tena?"
“si Hafidhi naitaji kwanza asome maana jana tu karudi kutoka shule akiwa na furaha baada kushika number moja katika mtihani wa mathematics!"
“mmh Rehema mwanangu nahisi ushaanza kuchanganyikiwa si bure Hafidhi gani unae mzungumzia wewe wakati Hafidhi yupo hapa wiki ya tatu sasa hii!"
“Mama acha masikhara bwana yani Hafidhi si yupo mjini jana tu ndio kanisindikiza hadi stendi na kusema msalimie mke wangu huko pamoja na Ankor wake Mwichande sasa unavyo sema Hafidhi yupo hapa unataka kusema mzimu au?"
“mi sijui kwakuwa wote tuna macho na masikio subili akirudi utamuona tu!"
nikabaki kujiuliza ina maana siku niliyo toroka nyumbani na kuja huku kumbe kuna mtu amekaimu nafasi yangu sio! je ni nani?"
sauti ya kaka ikaniambia “usishangae sana kijana siku zote fikili kabla ya kutenda ile siku uliyo toroka mama angegundua basi angeweza kupoteza maisha kwa mstuko, sasa basi hutakiwi kujitokeza hapo tafuta mbinu ya kuondoka urudi mjini haraka sana!"
“sasa kaka nitaondokaje wakati Nipe nikupe sijamalizana nae?" “hahaha kumbe hofu yako Nipe nikupe piga mruzi faster!!! nikapiga
pale pale nikabadirika na kuwa mwanamke mrembo, “khaa! kaka ndio nini sasa nimekuwa wa kike?"
“kuwa mpore bwana mdogo hilo ndio umbo lako utakalo ishi nalo mpaka siku Mama atakayo rudi mjini!"
nikapiga ukelele hapanaaaa!!!

mzimu au?"
“mi sijui kwakuwa wote tuna macho na masikio subili akirudi utamuona tu!"
nikabaki kujiuliza ina maana siku niliyo toroka nyumbani na kuja huku kumbe kuna mtu amekaimu nafasi yangu sio! je ni nani?"
sauti ya kaka ikaniambia “usishangae sana kijana siku zote fikili kabla ya kutenda ile siku uliyo toroka mama angegundua basi angeweza kupoteza maisha kwa mstuko, sasa basi hutakiwi kujitokeza hapo tafuta mbinu ya kuondoka urudi mjini haraka sana!"
“sasa kaka nitaondokaje wakati Nipe nikupe sijamalizana nae?" “hahaha kumbe hofu yako Nipe nikupe piga mruzi faster!!! nikapiga
pale pale nikabadirika na kuwa mwanamke mrembo, “khaa! kaka ndio nini sasa nimekuwa wa kike?"
“kuwa mpore bwana mdogo hilo ndio umbo lako utakalo ishi nalo mpaka siku Mama atakayo rudi mjini!"
nikapiga ukelele hapanaaaa!!!

SONGA NAYO SASA
Sikuweza kujuwa wala kufahamu kwa nini Kaka kaitaji mimi niwe vile yani mwanamke, sio siri nilidata vibaya sana huku nikijiuliza nitaishi vipi nyumbani kwa bibi katika umbile lile la kike,
ajabu sehemu zangu za siri zilikuwa zipo vile vile vile yani Dudu ninalo ina maana Kaka kanigeuza Shemale hii ni hatari sana, nikaondoka nyumbani kwa bibi nikiwa bado sijui wapi nakwenda, “psiii mambo vipi mrembo?"
kwa mara ya kwanza nasikia naitwa mrembo si handsome tena ilikuwa sauti ya kijana mmoja hivi akiwa kabeba begi lake dogo nikajuwa bila shaka amekuja kutoka town, “naona binti nakusalimia hutaki kuitikia sio kumbuka salamu haitii mimba!" binafsi yale maneno yake yakazidi kunitia hasira vibaya mno, nikahisi harufu ya damu tu, “oky binti naona umesimama tu hujibu kitu chochote wenzako nikija huku bush wananigombea handsome kama mimi nahisi wewe mgeni ehee?"
wakati anaongea hivyo kwa mbwembwe mkono wake usiokuwa na adabu ukatua kifuani kwangu na kunitomasa titi langu la kushoto nikastuka baada hisia flani kunijia hivi, nikatamani aendelee kunitomasa tu maana kila anavyo nitomasa tomasa basi dudu langu linatuna vibaya mno nikavuta hisia mbele yangu yupo Veronica nikaitaji kitumbua tu wakati huyu wambele yangu hana hiko kitu zaidi ya mpododo tu nikaitaji kuifunza jamii hasa wanaume wakwale wanao penda kudandia dandia wanawake wa kila aina sasa mimi ni Shemale yangu inatia mimba pia, yule kijana baada kuona nimekuwa mpore nikimuacha anishike shike tu vile anavyo taka yeye akanivutia kichakani, kwa pupa aliyokuwa nayo akalitoa dudu lake ajabu hakuweza kusimamisha akabaki kujishangaa tu nilicho kifanya kwake ni aibu kusimulia nikaondoka kichakani na kumuacha akiwa hajiwezi kwa lolote maana alijinyea kabisa,

nikiwa bado narandaranda kijijini nikatokezea kwenye nyumba moja wapo hivi nikamkuta bibi mmoja akiwa anatwanga mtama lakini nguvu hakuwa nazo kabisa, nikamuamkia “shikamoo Bibi!"
akaacha kutwanga kisha akaniangalia na kuitikia salamu yangu “marhabaa binti vipi hujambo?" “sijambo bibi sijui wewe tu!"
“mie sijambo sijui nikusaidie nini mjukuu wangu?"
ilibidi nitunge uwongo ya kwamba nimekuja hapo kijijini na shogaangu flani hivi tukitokea nyumbani kwetu Nachingwea ajabu ndugu zake shogaangu wakanitimua nirudi nyumbani kwetu wakati nauli sina, nilizungumza hayo huku nikilia basi yule bibi akanionea huruma akaja kunishika na kuniambia “usilie mjukuu wangu binafsi utaishi hapa kwangu mpaka siku itakayo patikana nauli na uweze kurudi kwenu ila leo utalala hapa kesho nitakupeleka kwa rafiki yangu kukuombea hifadhi umesikia mtoto mzuri ehee?"
nikaitikia huku niki furahi moyoni binafsi sikujuwa ninge lala wapi leo,

nikamsaidia kutwanga mwisho akaenda kusaga ili upatikane mchele usiku familia iliongezeka akaweza kunitambulisha kila mmoja aliweza kunisifia kwa jinsi nilivyokuwa mrembo hatimae usiku ukapita bibi yule akanichukuwa moja kwa moja mpaka kwa rafiki yake kwanza nikashangaa nikajikuta naganda nishindwe kutembea kumbe rafiki yake mwenyewe ni Bibi yangu, yani kama kuku aliyekata kamba leo hii anarudishwa nyumbani kwao,

“vipi tena binti yangu twende sehemu yenyewe tushafika!" ilinibidi niende japo shingo upande tu,
“whao shost wangu huyo vipi tena naona Asubuhi yote hii umeongozana binti mrembo za wapi tena mwenzangu?"
yalikuwa maneno ya bibi yangu akimwambia yule bibi niliyekuja nae

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU


TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

12 Simulizi Tupeane
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni