Notifications
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…

KUMBE TAMU (4)

Mwandishi: Yona Fundi

SEHEMU YA NNE
ILIPOISHIA...
Huku nikikumbuka mbinu za dada Mariamu wakati huo Mamdogo hakiwa hoi niliona tu akiondoka ndani kwangu bila kusema kitu chochote huku akiwa amelisahau lake kufuri kwenye kitanda changu nilijikuata na tabasamu nikaamini ile ilikuwa tamu sana kwa upande wangu na hata kile kitendo cha Mamdogo kusahau kufuri lake kwenye kitanda changu ilinipa wazo kuamini kuwa mchezo niliucheza vizuri sana

SASA ENDELEA...
kwa sababu nilishawahi kumsikia rafiki yangu Bakari akisema ukimwona mwanamke mbaka anasahau lake kufuri katika mambo haya ya kikubwa ujue wazi mchezo ulimkolea na hatakusahau atakusumbua huyo hivyo jambo lile lilinitamanisha hata kucheka kufurahia ile kazi yangu huku nikiwa na imani ule ndio ulikuwa mwanzo wa utamu ule na inavyoelekea nitakuwa ninaupata kila siku kama wadada Mariamu

Nahapo hata isingizi haukuja tena nilifikila utamu ule muda wote habari za dada Mariamu nilishaanza kuzipoteza hata nilivyofikilia habari za kuniambia jambo ambalo alikuwa anataka kuniambia siku ile nilijuwa wazi atakuwa niwivu wake hivyo hata sikujali mawazo yalitawala na hata usingizi uliponichukua sikujua japo nakumbuka vyema ulichelewa kuja na hata saa kumi na mbili ilitaka inipite nikiwa nimelala wakati si kawaida yangu siku za shule huwa na wahi mapema na si kama baba kuja kunigongea nisinge amka mapema

Ila niliweza kuamka haraka na kujiandaa kwenda shule wakati huo dada Mariamu alikuwa ameshamka mapema hivyo nilivyoenda jikoni kunywa chai kama sikuzote ninavyofanya siku za kwenda shule nilionana nae huku nikiwa na ona aibu kumwangilia wakati nikitafuta maneno ya kumwambia nilishangaa tu
dada Mariamu akinipatia ujumbe ambao moja kwa moja niliuweka kwenye mfuko wangu huku nikiwa ninahamu ya kujua kilichokuwemo mule ndani Nilikunywa chai haraka na kuondoka pale nyumbani nilipiga hatua kadhaa huku nikiwa nafikilia kile ambacho kimo ndani ya ule ujumbe niljivuta tena hatimaye uvumilivu ulinishinda nikaitoa ile barua na kuanza kuifungua

Macho yangu yaliweza kuona vyema yale maandishi ambayo yalikuwa makubwa kiasi kwamba kile kilichoandikwa kilionekana wazi mbele ya macho yangu yaani haikuwa kawaida kutoka kwenye ule ujumbe nilijiona wazi ni mkosefu wa kile nilichokuwa nakifanya na kwanini ? Niliamua kuwa vile punde tu Mamdogo alipofika nyumbani kwetu ule ulikuwa usaliti wa wazi wazi mbele ya Dada mariamu hata cha kufanya nilishindwa

Na hata hapo ndani ya ujumbe ule ambao ulionekana vyema umejaa maneno yenye hisia kali ndani yake niliokuwa kama namwona 

Dada mariamu nilijikuta hata napoteza muelekeo wa njia hile ambayo nilikuwa naenda na hata kuingia kwenye majani kabla sijagutuka kama ule muelekeo ulikuwa si sahihi na kibaya zaidi dada mariamu alisisitiza bado anajambo la muhimu anataka aniambie na kibaya zaidi amesema usiku wa leo atakuja ndani kwangu jambo ambalo nilikuwa 

Niliofia uwenda mama mdogo atakuja kuifata yale chupi pindi tu atakapo gutuka kuwa ameiyacha yake chupi ndani kwangu yaani hata nilishindwa cha kufanya nilibaki tu natembea njiani mule huku akili ikiwa mbali na pale na hata ile nilivyofika kwenye geti la shule sikujua nilishituliwa tu nakengele ya kuhesabu namba hapo ndio niliweza baani nipo ndani ya shule haraka haraka niliurudisha ule ujembe ndani ya mfuko wangu

Haraka haraka nilienda mahali usika mara moja na kufanya taratibu zote kabla hatajaingia darasani kama kawaida nusu saa tu ilitosha kukamilisha taratibu zote na kuruhusiwa kuingia darasani kwa upande wangu nilichelewa kuingia darasani kama dakika tano kutokana kuna mwalimu alinipa kazi yake hivyo nilivyoimaaliza nilielekea zangu darasani kama kawaida ila kwa siku hiyo ilikuwa tofauti nilikuta tu darasa linapiga kelele nilijuwa wazi kutokana na kikao cha walimu muda ule

Hivyo na mimi nikaenda sehemu ile ya nyuma ya darasa ambayo tulishazoe kuita kamati ya ufundi hapo ni story tu na haswa story zenyewe za mapenzi na mara nyingi si wananijuaga mimi bwege sijui mapenzi hivyo wananitaniaga sana eti mimi ni bikra wa kiume hivyo nilivyofika tu na kukuta mada zao nikaona sasa ndio muda wakuonesha na mimi kama ni mjanja wa mambo hayo we!!!

Sikuhiyo niliwapoteza vibaya kila mtu alikuwa ananiskiliza mimi hakuna aliyetia neno walitulia kimya kama maji ya wapo mtungini na hata kengele ya mapumziko ilivyopigwa hakuna aliyetamani kuondoka waliendelea kunisikiliza tu na kilichokuja kuharibu baada ya mapumziko vipindi viliendelea kama kawaida hivyo hatukupata tena muda na nilivyotoka tu niliwakimbia niliogopa wataniganda tena Ila njiani mawazo yote yalikuwa kwa dada mariamu nilijikaza tu hivyo hivyo na hata nilipolifikia geti la nyumbani nilikuwa naogopa mbaya niligonga kwa muda kabla geti alijafunguliwa ila ile kufunguliwa nilichokutana nacho hakielezeki

Tabasamu mwanana la dada Mariamu mboni zangu zilikumbana nalo huku akinipokea langu begi hata sikujua kwanini dada Mariamu aliamua kufanya vile wakati ni wazi alikuwa anahasira na mimi nilikumbuka ujumbe wake ila nikashindwa hata cha kufanya ilinibidi na mimi nioneshe uchangamfu juu ya jambo lile huku nikiwa nyuma 

Dada Mariamu akiwa mbele na yangu yake kanga moja aliyonifanya nione vizuri sehemu za nyuma za Dada yule wa kazi niliona yake makusudi kabisa hata kama utamu ule ninaujua vyema ila ile ilikuwa ni jambo la kiuchokozi kabisa kuelekea kwenye yangu ikulu ila nilimezea tu kwa muda ule

Nilipiga hatua na hatimaye nilingia chumbani kwangu na hapo jambo lile linirudia punde tu nilipoingia ndani kwangu niliwaza na kuwazua uwenda dada Mariamu atakuja kweli chumbani kwangu kama alivyosoma kwenye ule ujumbe na ananini? 

Anachotaka kuniambia inaonekana amedhamiria katika hili huku machale yakiwa yamenicheza mno kwa upande wangu suala la mamdogo nalo likinijia kama na yeye atamua kuja inakuwaje nilifikilia kwa muda kabla akili ile ya liwalo na liwe haijanijia kwenye kichwa changu

Hapo haraka haraka nilibadilisha nguo zangu za shule na kuelekea sebuleni ambapo nilikaribishwa na taswira ya Mamdogo ambaye alinipa salamu japo kwa shida shida kabla hajaizoe hali ile mmh nilibaki tu nikiguna kimya kimya nikiamini kweli kile nilichokuwa tumekifanya usiku wa kumkia leo hakikuwa cha kawaida kabisa kwa upande wangu angalau nilijona fundi katika gemu ile ila roho ilikuwa ikinisuta
Ile raana kabisa ila sawa kwa sababu alikuwa wa kufikia akuzaliwa pamoja na Mama yangu mzazi vyovyote vile nwenyewe kaamua kunipa utamu sasa kunahaja gani ya kuogopa utamu ule niliisemea tu kimoyo moyo

Nilipakua chakula taratibu nakuendelea kula wakati huo Mamdogo alikuwa jikoni na Dada Mariamu wakiongea kwa vile nilikuwa na njaa hata sikuwa nikifatiria maongezi yao niliendelea kupakia matonge kwa namna tofauti huku nikishushia na maji yalikuwepo pembeni ya sahani yangu

Niligonga msosi kweli na hatimaye tumbo lilikubali mziki ule na hata kasi tena ilipungua na hapo nilitafuta beseni la kunawia maji taratibu na kuhisafisha mikono yangu kabla sijapeleka vyiombo vile nilivyokuwa nikilia jikoni mhh nilingia jikoni huku vicheko vikiwa vinawatoka Madogo na 

Dada Maraimu ambapo muda mfupi tu niliweza kubaini uswahiba ule sikutaka kudili sana niliweka vyiombo vile na kutoka ila wakati natoka kunajambo nilisikia Dada Mariamu akimwambia Mamdogo linishitua kweli

Mmh niliona sasa linaweza likawa tatizo kwangu kwa dada Mariamu amwambie Mdogo jambo lile inamaana walikuwa wananiteta tangia niliporudi na kama si kutwa nzima kipindi ambacho nilikuwa shule au vipi mmh haya inamaana walikuwa wanipeleza mpaka kwa kila nilichokuwa nakifanya kutofunga zipo tu imekuwa nongwa je? 

Ningekuwa sijavaa mjupi ndani ingekuwaje na mijicho yake dada Mariamu ilifata nini kwenye maeneo yangu ya ikulu au walikuwa wanachunguza ukubwa wa fimbo yangu nini we waache tu nitawachapa wote wakiniletea ujinga ujinga nilijisemea yale maneno huku nikitambua wazi wanafahamu vyema utamu wa fimbo yangu

Nilipiga hatua na kuelekea sebureni na kuiwasha tv huku nikitafuta kipindi ambacho ninakipenda cha music bahati nzuri nilikutana na ngoma kali hivyo nilizidisha sauti ya juu kidogo huku nikitumbua yangu macho kwenye tv huku nikitingisha Kichwa changu kuashiria kile kilichokuwa kinaimbwa kwenye ile tv kimekonga wangu moyo si masihara

Hata sikuangalia ngoma nyingi mara dada Mariamu na Mamdogo walikuja kukaa mahali pale dakika kadhaa wakiangalia kile nilichokuwa nikiangalia kabla ya dada Mariamu kwenda kwenye kabati la cd na kuchagua cd moja na kuomba niwaekee hivyo nilinyanyuka kuweka cd hile kwenye deki na kuonganisha waya za deki na hapo wakaanza kuangalia cd ile iliyokuwa ya kizungu huku na mimi nikiwa sambaba kutazama cd ile ambayo kiukweli ilikuwa kali vibaya mno tuliangalia kama nusu saa kabla cd ile ijaanza kuonesha mambo ya kikubwa kwenye kipande kimoja

Nilitamani nikatoe ila niliona noma tu huku Mamdogo na Dada Mariamu walikuwa makini kufatiria kile kipande ambacho kilichokuwa kama dakika tano huku mtalimbo wangu ukiwa umesima mbaya nilikaaa kimya tu sikutaka hata kutia neno uku nikiwatupia mijicho ya wizi 

Dada Mariamu na Mama mdogo ambao walikuwa wamekaa sehemu moja wakionekana wazi wanafurahia ule utamu walikuwa wakipeana wale wazungu ndani ya tv

Mmh kipande kile kilileta usumbufu kwangu na hata kilivyoisha kidogo kilileta unafuu kwangu hivyo mkao wangu ulijea kama ule wa hawali tofauti na kilipokuwa kile kipande tuliendelea kuangalia ile picha kama kawaida na ata muda ulivyoenda hatukafahamu kigiza kilianza kuingia wakati dada Mariamu na Mamdogo walikuwa tiyari 

Wameshaanda chakula hivyo tuliendelea kukaa pale sebuleni huku tukipiga story wote watatu na hata saa tatu ilitufika pale hivyo kwa upande wangu nilienda kuchukua chakula ila ilikuwa tofauti pale kwenye meza ya chakula mpaka ilinifanya niiulize mbona hivi jibu lilikuwa jepesi kumbe Mama na Baba walikuwa wamesafiri kikazi grafla bila mimi kujua hivyo taarifa waliwachia

Dada mariamu na Mamdogo mmh kiukweli jambo lile linitisha na kuwaza usiku utakuwaje mmh kusikia kufa si ndio huku nilikumbuka habari ile ya mvulana moja za kuingaia hostel ya wanawake kwenye shule moja ya boding alipewa utamu hadi ukageuka uchungu na kufaa akili ilinicheza na kumbuka namna siku ilivyokuwa nilijuwa wazi leo shughuli naweza kuwa nao mara kabla hata sijapakua chakula nilisikia sauti ya Mamdogo ikiniita

Aliita kama mara tatu hivi wakati tiyari nishafahamu yake shida hivyo nilifanya kama alivyokuwa akitaka sikuona tabu kumpakulia tu chakula haikuwa kazi kwangu nilifanya vile punde tu nilipomaliza kupakua yangu sahani nilimwekea sahizi aliyokuwa akitaka na kumpelekea mahali pale alafu nikarudi mezani pale kwa upole nikianza 

Kusukuma matonge huku jambo lile likinirudia mara mbili kwenye kichwa changu hata sikujua itakuwaje kwenye usiku ule kama wataamua kunichangia maana nilishaanza kuhisi uwenda wameambizana au wanajuana kama wanafanya michezo ile mitamu na mimi ilo liniumiza kichwa kwasababu siku ilikuwa tofauti hata na siku nyingine maana haikuwa kawaida tangia Mamdogo afike pale nyumbani hakuwa na ushangamfu ule kati ya 

Dada Mariamu na Mamdogo ila leo ilikuwa jambo la kushangaza hata jibu sikuwa nalo niliendelea kula tu na hatimaye nilimaliza kula kwa vile muda ulienda niliwaaga kwenda taratibu niliongoza njia kuelekea kwenye changu chumba mdogo mdogo nikiwa nasonga nilihisi kama kuna mtu anakuja nyuma yangu mmh niligeuka macho yangu yaligongana moja kwa moja na 

Dada Mariamu sikujua anataka nini ila alinisogelea karibu na kuniambia amemis mautamu yangu hivyo lazima atakuja chumbani kwangu baada ya Mamdogo kulala hata kujibu nilishindwa nilimuangalia tu nakuishia chumbani kwangu

Nilifungua wangu mlango na kuingia ila hali ya chumbani kwangu ilikuwa tofauti ila hata sikujali niliusindika tu mlango nakujitupia kwenye changu kitanda changu nakuanza kuutafuta usingizi nusu saa ilitosha usingizi kunichukua baada ya usingizi ule kiukweli niliota ndoto mbaya kweli inatisha vibaya jini si jini hata sikujua ila nilistuka 

Huku nikiwa na pumua vibaya hali ile ilinitisha hata usingizi haukuja tena nilitulia kimya tu kuutafuta tena usingizi dakika kumi zilipita lakini haukuja dakika kumi na tano zilipita ila haukuja ila safari hii nilianza kuhisi kama mlango wangu unafunguliwa mmh kweli haikuwa kuhisi tena mlango ulifunguka tena bila kificho ijapokuwa usiku ila muonekano wake ulitosha kujua hakuwa mwingine alikuwa Mamdogo

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

12 Kumbe Tamu Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni