Notifications
  • THE NIGHTMARE (3)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA TATUILIPOISHIA...Akiwa hewani akikata mawingu kurudi Tanzania, kichwa chake kilikua na mawazo mengi sana juu ya mume wake. Aliikumbuka siku waliyofunga ndoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Pia alijua kwanini mume wake alipendelea kufanya kazi uingereza na yeye kumfungulia ofisi huku huku Tanzania. Hakujua kuwa kazi anayoifanya mumewe ni ile ya kutembea na tajiri mkubwa…
  • THE NIGHTMARE (2)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA PILIILIPOISHIA...Khalidi alishangaa kuitwa na mtu asiyemfahamu. Alitoka na kwenda kumuangalia huyo mtu maana kiukweli hakua na ndugu aishie hapa Dar hata mmoja anayemfahamu..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈ENDELEA...Alipigwa na butwaa baada ya kumuona Sabra pale.“ahsante mungu.” Aliongea Khalidi baada ya kumuona tu yule binti pale.“pole sasa kaka yangu, nisamahe mie.” Aliongea Sabra kwa…
  • THE NIGHTMARE (1)
    Jina: THE NIGHTMAREMtunzi: Hussein O MolitoSEHEMU YA KWANZANi kipindi cha mvua za masika. Upepo mkali, na mvua kubwa iliendelea kunyesha kwa kasi kila kona ya nchi ya Tanzania.Ipo mikoa iliyofurahia mvua hizo kwa kuwa walikua wanaisubiria kwa hamu kwa ajili ya kilimo. Lakini ipo mikoa iliyokua inapata shida kwa uharabifu wa mazingira na mengineyo mengi.Moja ya miko hiyo ni Dar-es-salaam. Watu wanaoishi katika mkoa huo walichukia mvua mfululizo kutokana na sababu mbalimbali. Biashara nyingi…
  • MY DIARY (50)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA HAMSINITULIPOISHIA...Nilimnongo’oneza kuwa atumie kinga ili nisimwambukize ukimwi akanijibu kwa sauti ya mahaba nisiwe na hofu yeye yupo tayari kufa kwa ajili ya penzi langu hivyo hawezi kutumia kinga kwa mke wake aliyemoa tena siku muhimu kama hiyo.Sikutaka kumbishia yeye ndo muaamuzi wa mwisho kuhusu afya yake hivyo nilimuacha aendelee kufanya yake.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kumbe na…
  • MY DIARY (49)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki, basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni mwenyezi mungu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuna vitu vingi sana…
  • MY DIARY (48)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NANETULIPOISHIA...Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu…
  • MY DIARY (47)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SABATULIPOISHIA...Lakini ilifikia mahali ndoto hiyo inanijia hata mchana nikiwa nimekaa mahali tulivu.Ilikuwa inanipa taswira nzuri ya sehemu ambayo madini yalikuwepo.Basi nilianza mikakati ya kulitafuta eneo hilo na hiyo ni mara baada ya ushauri wa mpenzi wangu Candy hapo akimaaanisha yule dada aliyekuwa naye pale jukwaaani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Candy alinisihii sana…
  • MY DIARY (46)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SITATULIPOISHIA...Nilikuwa kama niliyepigwa butwaa nisiamini nilichokuwa nakiona mbele yangu. Oooooh my God hold me on yalikuwa ni maneno yaliyonitoka kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu mara baada ya kumuona James kwa uzuri zaidi na kuamini kuwa yule kweli alikuwa ni kaka yangu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilishindwa kuelewa nini kimetokea mpaka yeye kurudi katika hali yake ya…
  • MY DIARY (45)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TANOTULIPOISHIA...Ndio niliona hipo haja ya kuokoka na kuishi maisha ya utakatifu kwa maana nishaishi maisha yote ya kuwa mbali na mungu. Nakumbuka nilipokuwa mdogo kipindi hicho naujua mlango wa kanisani tuisahawahi kufundishwa kuwa mtetezi wa kweli wa maisha ya mwanadamu ni Mungu.Na siku zote alaaniwe mtu yule amtegemeaye mwanadamu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Sio kazi ya…
  • MY DIARY (44)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NNETULIPOISHIA...Yani alianza kutaka uhusiano na mimi tena uhusinao wa mapenzi.Mda wote alikuwa akiniganda kama luba.Na mimi nilikuwa mjanja sana maana nilijifanya sinywi pombe wala kuvuta sigara.Pia baada ya kugundua kuwa wahusika wengine walikuwa wanajiachia niliamua kujifanya mshauri wa mapenzi na mahusiano.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilikuwa nawasshauri sana mshiriki wa…

UTAMU WA KITUMBUA (14)

Mwandishi: Chas360TZ

SEHEMU YA KUMI NA NNE
ILIPOISHIA...
""why daddy.........!!! kwanini umeamua kufanya hivi tungekua masikini tusinge ishiii ona sasa yaliyo kukuta sita kuona tena baba yang....uuuu please nisaidieni......jamani baba azikwe hapa hapa nyumbaniiii ......."" aliongea errycah kwa uchungu mkubwa.

SASA ENDELEA...
Akachukua simu yake na kumpigia mwanasheria wa mjomba simu haikuita.na baada ya mda mfupi tuliwaona wale (BHG) wakiingia ndani huku wakiwa wamepanga foreni walikua wengi sana.wake kwa waume nilipo jaribu kuwachunguza wengine niliwafahamu kabisa.kuna baadhi ya wasanii wa 

Dini,bongo fleva,hiphop wa hapa nchini wachungaji matajiri wakubwa wandishi wa habari watangazaji wanasiasa hata baadhi ya wanafunzi wa vyuo walikwepo.tuliwekwa pembeni na police ili kuwapisha wale (BHG) kufanya ibada ya kumtoa ndugu yao jeneza la dhahabu lilitolewa mle ndani na likawa linapita mikononi mwao huku kila aliye libeba alilitemea mate.sikuelewa wana maanisha nini ila mlinzi alituambia ile ndo ibada yao ya mwisho ya kumuaga mwenzao na wakioka hapa wanapanda ndege na kwenda kuzika.

Errycah na manka wao ulikua ni mwendo wa kilio tu.Mimi na merry hatukuumia hata kidogo kutokana na madhambi aliyo tufanyia mjomba.kwa kutuondolea wazazi wetu.walipeleka jeneza kwenye gari na wote kwa mstari ulio nyooka waliingia kwenye magari yao na safari ya kuelekea airport iliianza tulibaki na viulizo kichwani huku mlizi akiendelea kutupa stori "wote unao waona hapo wanaenda Nigeria moja kwa moja hiyo ndio sheria yao lazima mwenzao akifariki wamzike na hao wote watazikwa Nigeria cha msingi nacho washauri wanangu. kaeni meza moja muongee myamalize na mjue mtaanza vipi maisha ""ACHENI WAFU WAWAZIKE WAFU WENZAO.""

"ama kweli mshahara wa dhambi ni mauti"alimalizia errycah huku tukielekea kwenye gari.tulipokua njiani tuliendelea kukumbushana mambo tuliyo yaona kule hospitali.mpaka tukaanza kubishana na Merry.ubishi wenyewe merry alisema kwenye ule msafara amemuona mwandishi wa story ya utamu wa kitumbua chas360tz nilimkatalia kwa sababu chas360 namfahamu vizuri Jamaa hapendi mambo ya kijinga kwanza saizi yupo zake studio anaanda kitabu chake.ubishi ule uliisha pale mlizi alipo ingilia kati na kusema chas360 ni baba yangu mdogo msimsingizie mambo ya ajabu ajabu.tushuka kwenye gari na kuingia ndani moja kwa moja huku wote nia ikiwa moja kwenda kufungua chumba cha siri.kabla ya kwenda kufungua simu ya mezani iliita tulitazamana huku tukisakiziana kila mtu apokee.kidume nikajitosa nika pokea na kuanza kusikiliza maelezo unaongea na OLOMO IGWE kutoka (BHG) samahani naongea na KENNY .J. SIMBULI nilishanguu kuona kalijuaje jina langu nika mjibu ndio.

"nadhani unatambua mjomba wako kafariki kuna baadhi ya document zake tumezipitia na tumeona kakuandika wewe ndie mrithi wake.unatakiwa kufika Nigeria kesho ili tukufanyie usajiri na kama ukikataa basi ukoo mzima mtakufa na Mali zote mtanyang'anywa mana ni Mali ya brotherhood gang (BHG). kuhusu usafiri na kupata utaratibu wote nenda horena hotel chumba namba #966 utakutana na agent wetu atakuelekeza kila kitu." uzuri simu niliweka loudspeaker kila mtu akasikia

Nili mjibu kwa dhalau "sikia bro nikwambie siogopi kufa mana hamna uwezo wa kuondoa maisha yangu hamuwezi kuiteteresha imani yangu.na kuacha kumua budu mungu wangu aliye juu.kama Mali njoeni mchukue bora nife masikini kuliko kua na Mali nyingi sio halali.kwa imani ya Mwenyezi Mungu hii vita nitaishinda na hamniwezi kwa chochote kile."

"sikia kijana naona ume panic sana bora uishi naisha mafupi yenye raha kuliko maisha marefu yenye shida.kama umekataa cha moto utakiona wewe na ndugu zako nikimaliza kuzungumza na wewe nakupa masaa 48 mkusanye kilicho chenu wewe na ndugu zako na mtoke kwenye nyumba.ila kitu chochote cha mjomba wako naomba chumba namba #966 msikifungue........nadhani nimeeleweka."alikata simu

Tulianza kujadiliana kutokana na ile simu iliyo pigwa.nikaonyesha msimamo wangu kama mwanaume hapa tunaenda kufungua kile chumba ili tujue kuna kitu gani tukitoka hapo tubebe kilicho chetu tuhame uzuri wa Mali za kishirikina kama ukichukua kabla ya marehemu ajafariki hiyo Mali ni yako ila ukichukua baada ya marehemu kasha kufa utakacho kutana nacho ni juu yako.zile million hamsini ndo

Zitakua Mali yetu ya uhalali mana tulichukua kabla ya mjomba hajafariki ukiangalia erycah na yeye alikua amewekewa hela toka utotoni mwake kuyumba hatuto weza.maumivu yalikua kwa manka yeye hakulipwa chochote kibaya zaidi alicho jiharibia ni ile tabia yake ya kutoa Tigo ningeweza kumuoa alijiharibia CV alicho kiomba yeye ni nauli arudi Rwanda akaanze maisha.mlizi hatuwezi kumuacha tumezoeana naye sana hata tukisema arudi kijijini tuta mtesa tu.

Errycah alileta ufanguo wa chumba cha siri nikauchukua na kwenda kukifungua.nilifika mlangoni wote walikusanyika pale kutaka kushuhudia kitu gani kipo kwenye chumba kile.nilianza kufungua kufuri la kwanza nikatekenya kitasa kitu kikajibu.nilifungua taratibu na kuona chumba kipo tupu tena kuna Giza Nene nilitangulia kwanza peke yangu nikawapa ishara waje ndani waliingia hatukufanikiwa kuona kitu chochote nisogea kwenye ukutu nilishangaa kuona kama mlango ukutani nilipo ugusa 

Ulifunguka.kumbe kule ndio chumba chenyewe namba #966 tulipo ingia tuliona vitu vya ajabu tulikuta kabati mikufu ya dhahabu vibuyilu chungu na kiti cha kifalme errycah alifungua lile kabati tukaanza kusikia harufu mbaya nilipo mulika na vizuri na tochi ya simu yangu.oooooooh mungu wangu sikuamini nilicho kiona niliona mafuvu ya vichwa nilipo mulika vizuri niliona fuvu LA kwanza likiwa likeandikwa jina la baba na lingine jina LA mama nilianza kutokwa na machozi niliumia sana..hakukua na mtu wa kuvumilia wote tulianza kuangua kilio.hiyo ilikua ni flem ya kwanza.

Flem ya pili ya kabati tulikuta fuvu moja kuangalia pale juu kwenye paji LA uso lilikua limeandikwa jina LA shangazi mama yake mzazi errycah. errycah baada ya kuona vile aliishiwa nguvu kabisa alikaa kimya huku akitoa kilio...

Huku akisema ""baba kumbe ulimuua mamaaaaa.....""

Nikafungua flem ya 3 tukakuta mafuvu ma tano yaliyo wekwa pamoja kumulika vizuri tuliona majina kwenye mafuvu yale lilikua fuvu la vannesa nasma husna yule shangazi na dereva.......

""mungu wangu huyu dereva kafariki lini nakumbuka sikuile tulimkuta mwanza akiwa anaokota makopo.jamani duniani kuna watu wabaya.""aliongea manka kwa majonzi

Tukaendelea na fkemu ya 4 tutakuta viperushi vya majina yetu inaonesha na sisi tulikwepo kwenye list.

Mlinzi alituamuru tuvichukue kisha tukavichome moto ili hata wenzake wakija kuchukua madude yao majina yetu yasiwepo... uwezi kuamini nilisahau utamu wa vitumbua nilivyo kula na kujuta kuzaliwa mana si kwa vitu hivi.

Kutupa macho pembeni niliona nyele zikiwa kwenye kindoo na hapo ndipo nilipo gundua kwa nini mjomba hakua na nywele na sikuwai kumuona akienda saloon kunyoa.nilisogea mpaka pale kwenye kiti cha kifalme nikakuta bahasha niliichukua na tukatoka kwenye kile chumba.nilikifunga kama nilivyo kikuta tukaenda sebreni kuifungua ile bahasha na kukutaa ma dhambi yote aliyo yafanya mjomba kama kafara ya kuongeza Mali ameyaandika.kweli mjomba amewaua wazazi wangu mkewake (mapacha) husna na nasma na dereva .........

Karatasi ya pili tulikuta majina yetu yakiwa yameandikwa kwa rangi nyekundu.........niliumia sana ila nilijikaza kiume tukiwa bado tunasoma zile karatasi.walikuja ma agent wa (BHG) wakatumbia tubebe kila kilicho chetu na tuondoke la sivyo tujisajiri na chama chao wote tuligoma kila mtu akaingia chumbani kwake na kupaki nguo.nilifika ndani na kuanza kupanga kila kilicho changu nilipofungua kabati LA chumbani kwangu nilishangaa kuiona ile bahasha niliyo achiwa na sethi kule horena hoteli.sikupata mda wa kuifungua niliweka kwenye begi na kutoka nje kuwapisha wale ma agent wa BHG.kibaya zaidi tulimwona na yule wakili wa mjomba akiwa nao sambamba wale ma agent. alijifanya kama hamjui errycah.ama kweli MWISHO WA MAWINDO MBWA HANA THAMANI.

Hatuweza kuondoka na gari tulipotoka nje nilimwona yule boda boda aliye nileta juzi.tuka salimiana nika muulizia hamna nyumba inayo uzwa ?

"bro hapa umefika Mimi ndo dalali wa mijengo sema ikifika mida kama hii napiga boda boda jina langu naitwa dalali kiongozi kuna mjengo masaki hii hii unauzwa million 450 kama upo vizuri unaingia leo leo."

Nilidata kuisikia ile bei.nilishangaa kuona errycah akidakia ok twende hela ipo.ndo ikawa nafuu yetu alimwita mwenye nyumba baada ya lisaa limoja tulikamilisha kila kitu na kuingia kwenye nyumba mpya huku zile million 50 tulizo mwibiaga mjomba alikua Nazo merry.niliingia ndani na kufungua begi langu ili nipange vitu vyangu niliiona tena ile bahasha nilipo ifungua sikuamini macho yangu nilikuta majibu ya hospitali ya sethi ya kipimo cha damu na kuonyesha ni mwathilika nilihisi Ku data mana yeye alikua msichana wangu wa kwanza Ku lala nae ukiangalia sikutumiaga condom.

"""ina maana na mimi nimeathilika Mungu nionee huruma Mimi sito ludia tena kwaiyo kama Nina HIV inamaana wote nilo lala nao na wenyewe wanao oooohh mungu wangu nimekwisha nikianza kulia kwa sauti mamaaaaaaaa.........nimekwishaaaaaa.............sethi..........umeniponza........ .kwanini...........Mimi.....nimesha......upoteza u padri........na nimewaua ndugu zangu..........nime muua mpaka mdogo wangu..........bora nife siwezi kuendelea kuishi kama nimewaua ndugu zanguuuuuu"""

Kumbe kina merry walikua wana nisikiliza lakini hawakuelewa walipo fika waliniuliza sikua na mengi ya kuongea zaidi ya kuwaonyesha Yale matokeo na kuwaambia Huyo ndo alikua msichana wangu wa kwanza kutembea nae........

"Kenny kwaiyo umetuua woteeee"wote watatu waliniuliza kwa Mara moja

Niliumia sana niliwaomba samahani ila mlinzi alitushauri twende hospitali tuka hakikishe hatukua na mda wa kupoteza tulienda hospitali kwa yule doctor wa Rwanda bahati nzuri tulimkuta yupo zamu ya usiku nilimwelezea akachukua vipimo vyetu.akatuambia turudi baada ya wiki tatu hapo ndo tutapata majibu ya uhakika alinichana ukweli mda ule ule na kuniambia hauto kua na uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote yule labda muujiza wa mwenyezi mungu niliona dunia ngumu na kujilaumu sana kwa kunogewa na UTAMU WA KITUMBUA...............

MWISHO WA SIKU KENNY NA WALE WOTE ALIO FANYA NAO MAPENZI WALIPATA UKIMWI (NGOMA) ILA MAISHA HAYAKUISHIA HAPO YALISONGA MBELE KENNY HAKU BAHATIKA KUPATA MTOTO

ALISHINDWA KURUDI SEMINALINI ALIMRUDIA MUNGU ALIFUNGUA KANISA LAKE NA KUA MCHUNGAJI.......!!!!

ERRYCAH NA MERRY WALIOLEWA

MANKA ALILUDI NCHINI KWAO

NA MLINZI ALIRUDI KIJIJINI KUANZISHA BIASHARA YAKE

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

MWISHO

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

16 Simulizi Utamu wa Kitumbua
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni