SHEMEJI MCHOKOZI (7) - CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Jumanne, 30 Machi 2021

SHEMEJI MCHOKOZI (7)

Je unajua kwamba Simulizi zote unazozipata hapa zipo kwenye app ya CnZ Media?

Humo Pia Utakuta:
πŸ“– KUSOMA SIMULIZI
🎬 FILAMU na TAMTHILIA za KITANZANIA
πŸ˜‚ VIDEO za KUCHEKESHA
πŸ“‘ MAKALA za AFYA na MAPENZI

Install app hii GUSA HAPA utavipata vyote hivyo bure kabisa
Mwandishi: Bikora Saidy

SEHEMU YA SABA
ILIPOISHIA...
Hatimae mose alifika kwa kaka yake na aliingia moja kwa moja hadi ndani alivyoingia alifika sebuleni aliduwaa na kushangaa sana kumkuta latifa yuko kwa Ivan tena ameshikilia mtoto duuuuuuu aliwaza sana na latifa alishangaa kumuona Moses pale!
SASA ENDELEA...
Moses alishangaa na alisimama kidogo huku akimshangaa latifa kuwa pale kwa kaka yake na akiwa ameshika mtoto mdogo aliyezaliwa Latifa pia alikosa la kuongea hakuamin kinachotokea pale.

Ivan alikuja maana alikuwa kuoga na alimkaribisha mdogo wake na kusema karibu tukae nadhani unashangaa kumkuta mwanamke hapa huyu anaitwa latifa ni mke wangu baada ya kwenda kijijin nilimuona nikaamua tu nimchumbie huyu na kuwa mke wangu.
Latifa Alita ivan
Abee mme wangu.aliitika latifa

Huyu anaitwa Moses ni Mdogo wangu
Ooooh ! Karibu shemeji alisema latifa
Moses alishindwa kuitikia

Ivan alishangaa sana kumuona mdogo wake amekosa amani aliamua kumuuliza vip moses mbona hivo?

Moses alishindwa kuongea maana aliwaza akisema atazua mgogoro mwingine macho yake yalikuwa mekundu kwa hasira mwishowe aliamua kuongea na kusema wanawake wanaroho ngumu!.
.
Ivan alishangaa na kumuuliza kivipi?
Moses alisema huyu anaitwa latifa Ismail
Ivan aliitikia ndio kulikoni kwani!

Mdogo wangu umeanza mambo yako yani wew kutambulishwa tu umeshaanza kumpenda tena mke wangu unataka uniharibie kama ulivyoharibu kwa recho siyo?

Hii awamu sikubali nitakucharanga mapanga sitojali kuwa wew ni mdogo wangu maana umezidi na tabia yako mbaya hata hivyo nimekuheshim usingekanyaga kwangu tena na huyu muacha ni mke wangu na huyu ni mtoto wangu sawaaaaaaaaaa !!

Pumbavuuuuu usiyeheshimu maisha ya watu wengine nakuambia hivi nitakucharanga mapanga!

Ivan aliongea sana siku hio lakin Moses alishindwa kujizuia na kusema huyo aliyezaliwa sio mwanao nadhani ulivyomuoa ulimkuta latifa anaujauzito unajua ulikuwa wa nani?

Na hukujiulizi kwa nini nimeshangaa kumuona latifa hapa? Embu stuka brother huyu latifa alikuwa mpenz wangu nilimuacha kijijin na huyo mtoto unayemuona na unajiringia kuwa ni mtoto wako siyo

Huyo nimwanangu brother na mimi hapa sikubali! Ivan alichanganyikiw maana ilkuwa ni kesi nyingine na hakujua atafanyaje.

Kwa upande wa latifa alikuwa hajui kuwa moses ana kaka yake mkubwa maana kwa kipindi chote alikuwa hajawahi kumuona pale nyumbani kwa baba yake na Moses

Lakinn Ivan kulingana na kuchanganyikiwa na kushindwa kuelewa aliamua kumuuliza latifa kama ni kweli lakin latifa alikana na kusema sio mtoto wa moses

Hapo moses alichaluka na kumchukulia kisu latifa aseme ukweli na alimshika bila kujali kuwa anamtoto mkononi na kusena ukiacha kusema ukweli nakuchoma kisu

Mimi sitanii unataka unidhurum dam yangu mwambie kuwa ni mwanangu umbwa wew Malaya mkubwa semaaaaaaaa.!!

Latifa alitetemeka na kutaka kuongea alianza kuongea tu na simu ya Ivan ikaita kuangalia alikuwa ni baba yake
Hellow mzee
Hellow ivan
Shikamoo mzee
Marahabaa hujambo?
Sijambo baba.

Sasa mwanangu huku nyumbani kulitokea tatizo Mara baada ya wew kutoka huku inasemekana ulimtorosha Latifa Ismail na kwenda kuishi nae na uliamua kumfanya awe mkeo hivi hukuona kuwa anaujauzito mwanangu ulikosa binti ambaye hajapata ujauzito,?

Mbona elimu yako haijakusaidia utawezaje kumtorosha binti bila wazazi wake kufaham wala kujua yuko wap na anaishi na nani?

Na isitoshe ujauzuto huo ulikuwa wa moses mdogo wako na alikuwa amemsuburia kwa ajili ya kuolewa nae sasa wew ulikurupuka na kumtorosha huoni kuwa umejiletea matatizo

Akifaliki utamleta kwa nani umenidharilisha kabisa sikutegemea tukio hili kutokea kwako!

Na kwa taarifa yako unatafutwa na police kwa kosa la kumtorosha mtoto huyo na mimi sikubali kufungwa kwa ajili ya ujinga wako nitawaleta! Mzee alimsonya na kukata simu yake

Ivan alibakia ameduwa na kukosa cha kufanya na latifa alianza kumueleza moses jinsi ilivyokuwa hadi yeye kuolewa na ivan maana alikuwa hajui kama ivan ni mkubwa wake.

Latifa ndio hapo alimkana Ivan na kusema huyu mtoto sio wako ni wa moses hivyo anayestahiri ni mdogo wako na kwa kuwa amekuja itabidi ampe jina mwanae na sio wew ivan latifa alimaliza kuongea

Huku moses alimuangalia kaka yake na kusema kumbe kazi yako ni kutorosha watoto wa watu Recho ulimchukua tu barabaran hukujua anatokea wapi na latifa wangu uliamua kumtorosha bila kufahamu wala kutaka kujua wazazi wake

Jifunze maisha maana maisha sio darasani tu ndio haya elimu itabidi ifanye kazi ipasavyo fikilia kwa kina ndio ufanye maamuzi usipelekeshwe na hisia bro sasa subiria ukanyee debe! Moses aliongea na kukaa kimya
.
Ivan alianza kulia na kuesma Leo umeongea hayo yote bila kujua kuwa wew ndio chanzo cha matatizo hayaa maana usingelala na mke wangu recho yasingetoke haya sawa umeongea lakin kumbuka mimi ni kaka yako hukupasa kuongea hayo mbele ya mke wangu latifa..

Weeeeeeeee koma nani mkeo ? Aliuliza latifa na kusema hunahaki ya kuwa na mimi Moses ndio mwenye mamlaka na sio wew maana ulinilaghai tu hivyo kuanzia Leo naondoka na moses wangu!

Walimaliza kuongea Moses alimchukua latifa na mwanae wakaanza kuondoka walifika tu nje kidogo wakaona police wanaingia nyumbani kwa Ivan lakin damu ni nzito kuliko maji Moses alirudi kuangalia kinachotoke kwa Ivan,.......

Kelvin na faraja walianza kushirikian baada ya kuona hakuna mmoja anaye mzidi mwenzake maana wote walikuwa wanaweza kusoma na kuelewa baada ya kelvin kuona vile alijisogeza zaidu kwa Faraja ili watengenez group moja la kujisomea

Na faraja alikubali na kutengeza group la watu kadhaa huku wao wakiwa ndio viongozi wa group lile maisha yaliendelea na walikaribia kumaliza darasa la saba hivyo walijiandaa vilivyo huku kila mmoja akiwaza kufaulu na kuendelea na masomo yake!

Walifanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba baada ya kuhitimu kila mmoja alienda kwao na kwa kipindi chote hicho hawakuweza kujuana kuwa wao ni ndugu maana wazaz wao walikuwa hawajuliani hali wala kutembeleana .

Faraja alimueleza mama yake kuwa anarafiki anayeitwa kelvin alimtaka kuwa makini nae na kusema angalia urafiki huo.mwnangu usikuponze!

Kelvin na faraja walikaa nyumbani kwao bila kuwasiliana maana walikuwa hawaana simu baada ya miez kadhaa matokeo yalitoka na wote walifaulu kwa alama nzuri zilizowafanya kuongoza mkoa wa Mwanza

baada ya matokeo kutoka faraja na kelvin walichagulia shule moja hivyo iliwafanya kuweza kurudi sehemu mmoja Kelvin alijindaa na kwenda kuripot shulen pale maana palikuwa ni mkoa tofauti na mwanza

Hivyo Moses ambae ndie baba yake Kelvin alimpatia kiasi cha fedha kuondoka wakat yuko stand ya mabus Nyegez alimuona Faraja akiwa amesindikizwa na mama yake kwenda kupanda gari

Kelvin alivyomuona alimkimbilia kwa furaha na kumpa hongera mama yake recho hakujali sana na alimuuliza amepangiwa wap na kusema ulipo wew na Mimi nipo hapohapo basi Kelvin alifurah na kusema basi tupande gari moja

Maana mimi mwenyew naelekea hukohuko walipanda bus aina ya TAKBIR na walikaa sehemu moja waliweza kusafiri kutoka Mwanza hadi Kigoma maama ndipo walipangiwa

walifika na kupokelewa vizuri na kila mmoja alioneshwa bweni lake na waliingia mkuu wa Kigoma secondary kipindi hicho aliweza kuwapatia maelekezo na kuwakaribisha kwa ajili ya kuyaanza maisha mapya!

Maisha yalianza pale shuleni kigoma na wote walikuwa wageni wa mazingira Yale kitu ambacho kiliwafanya kuwa karibu zaidi kwa ajili ya kujisomea zaidi!

Walikaa pale shule na baadhi ya wanafunzi walianza kuhisi kuwa wale ni wapenzi maana muda wote walikuwa pamoja kama mapacha!

Na waliweza kukaa pale na kumaliza mwaka wa kwanza walivyoanza mwaka wa pili baada ya likozo Mwalimu wa michezo na burudani aliweza kuwatangazia kuwa kuna disco hivyo yawapasa wote kushiriki sehemu moja na kucheza pamoja

Baada ya tangazo lile wanafunzi walishangilia na kusambaa hapo Faraja alimfuata Kelvin na kumwambia tutacheza wote kelvin alitabasam na kusema usijali Faraja

Hapo hapo kelvin aliwaza kutoipoteza nafasi ile na kuijutia maana alikuwa akiikosa kwa muda mrefu na aliapa na kusema lazima amfanye faraja.

Muda wa discko ulifika na wanafunzi walianza kuingia kwa ajili ya kucheza na kufurahi Faraja alivaa skin tigth iloyobana mapaja yake na Kelvin nae aliva pensi na t- shirt

music ulianza na kwa muda huo kila mmoja alicheza kivyake giza lilivyoanza kuingia faraja alimtafuta kelvin na kumuona alimfuata na kumshika mkono alimpeleka kwenye kona ya mwisho ya ukumbi ule kelvin alianza kucheza na faraja huki akiwa amemuweka kifuani kwake na ameshikitia kiuno chake

Faraja alishikiria mabega ya kelvin kitu ambacho kilimfanya kelvin kuanza kumchezea pelepole bila faraja kutegemea aliendelea kumgusa gusa sehemu mbalimbali za mwili wake huku akipandisha hadi kwenye chuchu zake na kusisugua polepole

Faraja hakuona hatari maana alihisi ni kucheza tu baada ya muda kidogo faraja alianza kuhisi mabadiliko ndani ya mwili wake kadri kelvin alivyozidi kumchezwa ndipo na hisia zilianza kumpanda na yeye alianza kuonesha ushirikiano kwa kuacha kuchezea rungu la kelvin

huku akilalamika kuachiwa lakin alikuwa hatoki kifuani mwa Kelvin baada ya muda alianza kutaka kuingiziwa rungu na kumtaka kelvin aingize rungu lake mle mle ndani

Maana hisia zilipanda akawa anahisi yuko dunia nyingine na sauti za music hakuweza kuzisikia tena maana midadi ilikuwa imeshampanda

kelvin baada ya kuona hali ile aliona isiwe kesi alimtoa ukumbini na kumpeleka mbali kidogo na pale alifika kichakani na alimlaza faraja na kushusha skintigth yake

Alianza kumtomasa tena alishuksha mkono wake hadi kwenye kitumbua chake na kukuta kimeshalowana vya kutosha alichomeka kidole ndani ya kitumbua na Faraja alitoa sauti ya kulalamika kwa utam na kusema

jomoniiiiiiiiii kelvinnnnnnn toaaaaaaa basiiiiii sssssssssssshh ahaaaaaaaaaaaa bebyyyyyyyy suguaaaaaa hapohapoooooooooo mmmmmm ooooh my Gooooood tammmmmmmm yeaaaaah sssssss

kelvin aliendelea kusugua huku faraja akizidi kupanua matako yke na kutaka kuingiziwa rungu bebyyy tayariiiii wekaaaaaaa bwanaaaa utaniuwaaaaa mwenzioooooo wekaaaaaaa faraja alishika rungu la Kelvin huku akitakia kujiwekea mwenyewe lakin kelvin alikwepesha

Hapo alimuweka sawa na kuingiza rungu lake Jomoniiiiiiiii uwiiiiiiii usinichaneeeeee kubwaaaaaa ingiza polepoleeeeee bebyyyyyy mmmmmmh aaassssssssssh aaaaaaaaaaaa bebyyyyy ingiza yoteee basiiiiii tammmmm jomoniiiiiiiiii sssssss sugumaaaa usichomoeeeee babyyyyyy nakojoaaaaaa beby be by beby ahaaaaaaaaaaaa nakojoaaaaaaaaa ssssssssssss tammmmmmmmmmmmmm alimkumbatia kwa nguvu Kelvin na kuvunja dafu la kwanza

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni