SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU
ILIPOISHIA...
Nilitamani kucheka bali nilitabasmu na kumwambia kwani hiyo ya kwako hiafai? Akatabasamu na kuniambia haitofaa yaaani haitofaaa kabisa inatakiwa iwe ya ndugu yako.Sikujua mantiki ya mashariti hayo zaidi nilifurahia ndani ya nafsi yangu kuona nimemuonja hata mganga wa kienyeji watu wanaogopwa sana huko vijijini kwetu.Basi akanifungiafungia dawa zake na kunikabidhi huku akinambia hizo ni muhimu sana kwa ajili ya kuniongezea nguvu za kiume.Yaani kusikia nguvu za kiume nilitamanani hata kuimeza hapo hapo.SASA ENDELEA...
Basi babadaye alianza mbwembwe zake za tawire tawiere upupuuuuuuuuuuu puuuuuuuuuuuu huku akitingisha kichwa kama mtu aliayepandisha majini.Nikaanza kuingiwa na uwoga maana alitoa sauti hizo kwa nguvu sana kabla ya kuniambia “Ndio ndio unaweza kwenda ila usigeuke rudi kinyume nyume.
Mmmh sauti haikuwa nyororo tena kama ile aliyotumia kunikaribishia au kama ile aliyokuwa akiitumia kule chumbani akinipa mautamu.Nilirudi kinyume nyume na kutoka zangu nje.Kwa kweli nilichanganyikiwa sana inawezekaje mwanamke mrembo kama huyu kuwa na sauti ngumu kama ya simba.
Nilimkuta mjomba hapo nje na yeye akiwa kama mtu aliyekata tama kabisa kutokana na kusubiri kwa mda mrefu sana. “Umesalimika?” mjomba wangu aliuliza kwa upole. “Niko saalama mjomba wangu husiwe na wasiwasi nilimjibu huku nikimpa ishara kuwa tuondoke zetu.
Mpaka nimehisi vibaya usikute na huyu umemkula maana kuna mda nlikuwa nasikia sauti za ajabu ajabu alisema mjomba “ Haaa unlce bhana una mawazo ya karibu sana nilimjibu ili kumkatisha tamaa hasiedelee na mada yake hiyo. “Kweli uncle nilikuja mpaka dirishani kusikiliza nini kinaendelea alizidi kueleza mjomba huyo. Utakuwa umesikia vibaya nilizidi kumwondoa awasiwasi ingawa ukweli utabaki pale pale kuwa ni kweli nilionja mautaumu yam ganga huyo.
“Kwa hiyo Uncle mda wote huo mlikuwa mkifanya nini aliendelea kuuliza mswali ya kudadisi mjomba huyo bila kuchoka. “Alikuwa akinikagua na kunipa aone ni kiwango gani kilitakiwa kiunguzwe? Basi tukiwa njiani tunarudi nyumbani huku mimi nikiwa naendesha baiskeli na mjomba nimempakia kwa nyuma.
Nilimuona binti mrefu sana mbele yangu huku akiwa amevalia mavazi meupe pee utazani jinni. Nilianza kupunguza mwendo huko hofu na woga vikizidi kunitawala. Yule bnti ambaye alikuwa kama mzimu Fulani ulizidi kunisogelea kabla ya yule binti huyo badaye kutokomea kwenye mazingira ya kutatanisha na kunifanya nizidi kuchachawa.
Nilihisi kama niikuwa naota na niliamaua kupotezea kuongeza mwendo wa baiskeli mpaka tukajikuta tumetoboa kijijini kwetu.Yaani nilikuwa nimechoka sana ukilinganisha na ile dozi ya malavidavi niliypewa na yule mganga kwa kweli nilikuwa hoi.Nilimweleza kwa kifupi baba yangu na niliwambia kuna masharti nimepewa ambayo sitaki kumwambia mtu yeyote zaidi zaidi niyafanye kwa siri ili kukamilisha mataibabu hayo.
Hakuana aliyekuwa na mashaka sana na mganga huyo zaidi yangu.Mimi nilikuwa na mashaka kwa maana niliwza nitazipata wapi nguo za ndani za dada zangu tena ziwe za kisasa. Nliona kabisa zoezi hilo ni kugumu,gumu kupita uwezo wangu.Na hili upate nguo ya ndani ya mwanamke maana yake nilazima utengeneze mazingira ya kufanya nao mapenzi au muwe karibu sana.
Nikakumbuka kuwa yule mganga alinipa dawa akanambia hiyo nikiimung’unya na kuongea na mwanamke lazima tu anikubali hata kama ni dada yangu.
Basi baada ya kuwaza sana mbinu za kupata Naniliu za kina dada nanii nilijikuta nikipitwa na usingizi.Kesho yake niliamka asubuhi na mapema nikafanya kazi za nyumbani na baadaye niliamua kwenda kumsalimia madam wangu amabaye alikuwa akinipenda sana kipindii kile nilipokuwa shuleni. Nilienda na ile dawa ya kumung’unya ili kuijaribisha kama ni kweli inafanya kazi.Nilitaka kujaribisha kwa sababu ingekuwa aibu sana kama ningeenda moja kwa moja kwa dada zangu na nikashindwa kuwashawishi kupata nguo zao za ndani.Ili kumshawishi mwanamke akaupe nguo zake za ndani maana yake ni kwambaa akubali kulala naye.
Basi siku hiyo nilijitoa ufahamu na kuongea mengi sana na mdam wangu.Huku nikiwakumbuka madam mrefuu na mada m Stella wale wa mjini kule nilipokuwa nasoma pre form one.Nilimtaimu madam huyo akiwa kwake hivyo niimkuta a alifurahi sana kunion.jambo lilonishangaza ni pale aliniambia kuwa amesikia jina langu likivuma na kuvuma kila kona ya kijiji chetu.Nlishangaa kwa sababu madam kama huyu mtu mzima sikutaka kuamini kuwa alikuwa akipata umbeya wote ambao ulikuwa ukiendelea kwenye pembe zote za kijiji.Tuliongea mengi sana na hapo niliweka ule mzizi mdomoni kama nilvyoelekezwa na mganga.Nilitaka kujaribu je ni kweli mzizi huo ulikuwa na ushawishi au ni uwongo.
Kwa kuwa madam alishanianzishia story kuwa anafahamu utumbo wangu uliokuwa ukiendelea nilimaua kufanya ushawishi wa namna ingine kabisa.Nilianza kumtongoza kuwa na shida na pesa hivyo anikopeshe. “Nikukopeshe au nikupe tu Jimmy jamani” aliuliza madam mara baabda ya kuanza sera zangu kuwa eti anikopeshe pesa nitarudisha mara baada ya wiki.Nilimwambia vyovyote ni sawa tu mradi niweze kutatua shida yangu.
Nilishanga kuona madam anaingia ndani na kutoka na pesa mara mbili zaidi ya zile nilizomwomba.Sikuamini nilichokiona na hapo nikaanza kuamini huenda ile dawa ya mganga kweli ulikuwa na ushawishi.Basi tuliendelea na story za hapa na pale na madam alinipongeza kwa ufaulu wangu mzuri na alinisihi sana niache tabia yangu ya kutembea na wake za watu kwani ninajitafutia majanga nikiwa bado mdogo na kuyaweka maisha yangu hatarini.
“Ujue kijiji hiki watu ni wachawi sana hivyo wanaweza kukuloga na kukuharibi maisha yako ukiwa bado mdogo” alisisitiza maadam.Nilibidiniwe mpole maana madam siku hiyo alinikamata pabaya na nilikuwa sina utetezi wa aina yeyote..Baadaye nilikaribisha chakula nikala na….
Baadaye nilipikaribishwa chakula nikala na kuondoka zangu.Nikaaanza kutafakari nianzie wapi kwa mjomba kwa shangazi au kwa baba mdogo.Hapo nikamkumbuka Hapy mtoto wa baba mdogo ambaye alikuwa amekuja likizo na yeya alikuwa ni mkubwa sana kwani kwa kipindi hicho alishafika ngazi ya chuo. “Yule atakuwa ni mjanja sana na lazima tu atakuwa anavaa zile naniliu ambazo mganga amenituma.
Ngoja nianzie hapo nilikuta nikipisha maauzi hayo na kesho yake asubuhi na mapema nilifika nyumbani kwao.Walifurahi sana kuniona na walilalamika kwa nini tangia nitoe Dar sikuenda kuwasalimia. Hawa walikuwa wanakaa hydom ambapo kwa kipindi hicho ndo palikuwa ni mjini kwetu.Happy toto lilofuata uzuri wa mama yake uzuri wa kabila la kimbulu weupe kama nyanya alinivutia sana tangia tu nilipofika nyumbani hapo.
Baada ya malalamiko kuwa kwa nini sikwenda kuwasalimia na mimi nilitumia malalamiko hayo kwa kuwaambia kuwa ndo nimefika rasmi na siku hiyo nitalala kwao.Happy akawa ananisifia kuwa eti nimekuwa mzuri sana yaani bonge la handsome boy.Kimoyo moyo nikawanajisemea kuwa mwache anisifie angejuua kuwa hiyo ziara ilikuwa ni yake hasingenisifia mchana angesubiri usiku ili anaisifie tukiwa kwenye yale mmabo yetu.Basi usiku ulifika na mimi nilishaanza mapema sana kusoma mazingira jinsi ya kumwingiza laini Happy.
Ila huyu ni mjanja sana sijui kama kweli nitamuweza nilianza kuingiwa uwoga mara baada ya kuoana swaga zake. Utata ulikuja zaidai mara baada ya kugundua kuwa alikuwa akilala na binti mwingine ambaye na yeye alikuwa ni ndugu yao kwa upande wa mama.Basi usiku niliamua kujitoa ufahamu na kwenda kugonga katika chumba cha dada Happy. Baada ya kugonga dada Happy alifungua huku akiwa kwenye vazi la kulalia vazi liloacha mautamu yake nje.
Hapo dada Happy alikuwa amepigwa na butwaa kabisa maana yeye kwa mawazo yake alikuwa akijua kuwa aliyekuwa akigonga alikuwa ni mama yake. “Unasemaje mdogo wangu aliuliza dada Happy huku akifikisha fikisha macho yake ishara kuwa alikuwa bado anausingizi.
Hapo sasa nilianza kukitafuna kile kizizi changu kwa nguvu ili nikisema neno basi liwe na ushawishi. “Ni jibu basi mdogo wangu mbona unajiuma uma?” alinitolea uvivu dada Happy mara baada ya kuona najiuma uma sana kueleza shida. “Dada Happy samahani sana huwezi kuelewa shida yangu mpaka hapo utakapokuja huku chumbani kwangu nikakuelezea huku” “Haya twende” alisema dada Happy kwa haraka kitu ambacho sikukitarajia.
Tukaingia chumbani kwangu huku akiniangalia kwa macho ya mahaba. “Nakusikiliza mdogo wangu Jimmy na kuwa huru na ufanye haraka maana sa hivi ni usiku” alisema dada Happy kwa kujiamini.Naomba ufunge huo mlango ili sauti isitoke nilijikuta namwambia.Dada Happy naye akafuata maelekezo jambo lililonifanya nianze kuamini kuwa ni kweli ile dawa ilikuwa ni kiboko.
“Ujue Happy nimeota ndoto kali sana ya mahaba mazito juu yako nikajikuta nashindwa kuvumilia, usingzini ukaniishia kiukweli nipo hoi mwenzio sijielewi” nilieleza utumbo wangu bila kuweka koma wala nukta. “Haaaa eti ndoto ya mapenzi, hivi Jimmy hujui mimi ni dada yako?” aliuliza Happy kwa mshangao. “Najua dada Happy lakini mapenzi hayachagui” nilijaribu kujitetea. Mapenzi hayachagui sasa hili litaitwaje?” aliuliza Happy kwa mshangao..” Hili litaitwa penzi la dada wa damu” nilijibu ujinga huku nikimsogelea zaidi.
“Jamani Jimmy unanipa mitihani mwenzio alisema dada Happy huku akishangaa boxer yangu kwa jinsi ilivyotuna. Alafu mdogo wangu Jimmy hicho kilichotuna wenye hiyo boxe ni nini?” Aliuliza kwa mshangao. “Dada Happy hichi ndicho kinachonisumbua yaaani ni Naniliu ya Nanii” nilijibu kukumbuka jinsi watu wengi walivyokuwa wanaiita hii Naniliu yangu “.Aaaaaaaaah kwa hiyo sio yako ni ya naniii?” alisema dada Happy kwa mtindo wa kuuliza huku akileta mkono wake na kujaribu kuthibitisha kama alichokuwa akikiona ni sahisi au naigiza.
Hapo nikaanza kuamini kuwa kweli duniani uchawi upo.Maana haiwezekani mwanachuo mzima akubali uupuuzi huo nilokuwa namwambia kiulaini hivyo.Nikaamini kweli ile dawa ya yule mganga ilikuwa ni kiboko. “Wakati nawaza hayo dada Happy akasema “sasa mdogo wangu Jimmy utaweza kumwagia nje maana mimi nipo kwenye siku mbaya za kushika mimba”
“Usijali dada Happy mimi huwa ni mmasai tena morani siku zote natembea na silaha aina ya sime lilionolewa vya kutosha” nilisema hivyo huku nifungua wallet yangu nakutoa kondomu.Usishangae ilishakuwa ni kawaida yangu kutembea na ngao sehemu yeyote niliyokwenda. “Mmmmmh wewe mtoto una majanga nahisi Mungu anweza kutulaani kwa kitendo tunachotaka kukifanya alisema dada Happy huku akinisogela zaidi.
Tukaanza kupeana romance ya kujiandaa na uupuuzi ambao tulikuwa tunataka kuufanya.Kwa akili zangu nilijua kama nikifanya mapenzi na dada Happy basi atafurahishwa na kunogewa na Naniliu yangu hivyo itakuwa rahis kupata nguo za ndani ili niweze kupeleka kwa mganga.Kwa haraka haraka nikapitisha mikono yangu seheu za makalio yake.
Nilijikuta nikitabasamu mara baada ya kukutana na Naniliu ingine tofauti na naniliu ile niliyokuwa nikiitafuta.. “Jamani dad happy kumbe na wewe unavaaga hivi naniliu” nilimuuliza huku nikiendeea kuperuzi na kudadisi kwenye maungio yake yenye mautamu
KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA