MASHINE YA NANI? (27)
Jpt
8 min read
SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA
ILIPOISHIA...
“Acha uwoga bhana Jimmy mimi ni mlinzi wako tosha alisema madamu huku akiendelea kunipapasa papasa mapapaso uliosababisha mshawasha wa mapenzi. Sijui nimuoje tu maaana ni siku nyingi sana sijawahi kuonja hii kitu nimieimiss sana nilijikuta najiseea huku naniliu yangu ikianza zile mbwembwe zake za kupiga pushapu huko kwenye suruali..SASA ENDELEA...
Kinguo alichokivaa madamu kilizidi kunichanganya na kujikuta naanza na mimi kumpapasapasa.Nilimpapasa papasa huku na yeye akijisogeza karibu zaidi.Utamu njoo, utamu kolea tukazidi kujisahau na kupeana romance ya nguvu.
Mizuka ikapanda tukazidi kujisahu hapo sebuleni tuakaanza kupekenyuana pekunyuana. “Hivi kweli ni yale masharti ya mganga au niendelee tu nilijiuliza maa mbili mbili kabla ya kusema acha tuagane tu na madam huyo na nilipanga siku hiyo kufanya utundu wote kama zawadi yangu kwake maana nilijua anatanipa zawadi kubwa sana kama vile alivyonihaidi.Wakati nawaza hayo madam aininyanyua kizembezembe kama walvi wa mahabati na kunipeleka chumbani.Huko nilimlaza na kuendelea na romance.
Ndio kulikuwa hakuna namna ingine maana mbuzi akijipeleka machinjoni hawezi toka salama.Siku hiyo sikutaka mbwembwe nilitumia tu ule utaalamu wangu wa kumfikisha mwanamke kileleni niliofundisha na dada Aisha msichana ambaye kwa kweli na mimi sitomsahau.Ila jamani madam alibarikiwa huyu naweza kusema mashime yake ilikuwa kama asali ambayo ilikuwa haijawahi kurinwa.
Nilifaidi sana nta nta niliyokutana nayo kwenye mzinga wake ambao pamoja nyuki walikuwa wakali lakini niliweza kukabiliana nao vyema na kuirina asali kirahisi sana.Umbo lake lilitosha kabisa kumfaidi kwa kutumia staili yamgongo mgongo.Kweli mapenzi yana raha sana hasa ukiyajua.Nilikua nacheza na zile sehemu tano muhimu za kumla kuku wa kienyeji.
Nilianza na kisima nikakichezea vya kutosha mpaka mtoto wa watu akawa hoi bini taabani.Nilikuwa nimemlaza kwa tumbo nikawa nacheza sana na makalio yake.Nilikuwa napitisha upanga wangu kwenye mifereji ya makalio yake na kuwa kama nazisugua sehemu hizo.Niliinyanyua ile sehemu inayotenganisha njia kubwa na ndogo na kuichezea chezea kabla ya kuingiza
Naniliu yangu kwenye tundu linalostahili.Mchezoo ulikuwa ni ule ule kusugua sehemu za juu za uke, kuta, katikati na sehemu za mwisho.Pamoja na kufanya hivyo kwa mda mfupi lakini ndo kwanza madam huyo alikuwa anataka tena.Alipandisha midadi na alidiriki kuniambia niongezee spidi hapo nikajua mziki wake ulikuwa ni mkubwa hivyo natakiwa nitumie staili nyingi ili kummaliza kabisa.
Hiyo staili ambayo nilikuwa nimemuweka inaitwa Flatiron kwa kizungu yaani nilimlaza kitandani huku uso wake ukiangalia chini na makalio yake juu alivyosema niongeze spidi nilimwambia abinue nyonga na makalio juu ili niweze kuzisugua angle zenye raha na stimu za ajabu.Alifanya hivyo na kwa kumsaidia nilimuekea mto ili mbinuko uwe mkubwa wenye kugusa mapaja yangu vizuri.Hapo madam alianza kurelax na kufurahia tendo hilo na kwa kuwa miili yetu ilikuwa imebanana Naniliu yangu iliweza kutwanga na kupepeta vizuri.
Raundi ya kwanza iliisha hivyo nikatoa nikafuta vizuri na kupumzika kidogo.Nilimuona madam akinyanyuka na kwenda bafuni nikaona hakuna haja ya kumuacha aoge alafu apunguze midadi ngoja nimfuate huko huko.Kabla hajafungua bomba na maji tayari nilimshika begani akageuka kwa nguvu na tayari akanivamia nikajua kumbe alikuwa bado hajarizika tukaanza kupeana denda huku tukiwa tumesimama.
Sikutaka kumchelewesha hivyo hivyo tumesima nilimwambia madam anyanyue mguu wake wa kulia auweke kwenye kiuno changu na mimi nikaushikilia mguu huo ili kumpa balance kisha mkono mwingine nikawa nimeshika mgongoni hapo niliweza kumwingilia na mchezo ukaendele.Staili hii wazungu wanaiita Ballet dancer.Hii staili iliruhusu na kutupa nafasi ya kuangaliana uso kwa uso huku miili yetu ikipeana hashksi za kila aina.Kwa kuwa hakuwa mtu wa mazoezi sana hivyo sikutaka kumchosha sana nilimbeba juu juu na kumrudisha kitandani.
Hapo sikutaka alialaze nikamuulekeza akae staili ya Leap Frog au kwa wale waliozoea doggy style ni mkao wa namna hiyo ila hii inakuwa tofauti kidogo yaani nilimwambia madam ainame alafu hips na makalio yake ainue juu kabisa huku mikono na kichwa chake avilaze juu ya mto.Mimi nikapiga magoti miguu yangu ikaenda mbele kidogo na ya kwake ikarudi nyuma.
Hapo madam akawa amepumzisha kichwa chake kwenye mto huku akizungusha nyonga na mimi kuingiza mashine yangu yote kupata asali ya ndani kabisa ya mzinga wake.Jamani hii staili ina raha mmmh mda mchache tu nilihisi kabisa namwaga na sikutaka kujichosha mimi nilimwaga huko huko ndani si niliambiwa yupo safe day.
Hapo nilichoka na nikahitaji kupumzika.Madam alijua mapenzi bwana maana alichukua mashine yangu akaifuta vizuri kisha akanambia nipumzike kidogo lakini yeye bado anataka.Nilishangaa kwa sababu tayari tulishaenda araundi mbili lakini eti bado anataka.Nikaaanza kujiuliza kwani namkosea wapi mpaka nisimrizishe atulie.Nikagungua huenda alikuwa ana mda mrefu sana hajafanya mapenzi.Hivyo baada ya kupumzika niliamua kuja na staili nyingine kabisa ambazo zitamfanya arizike na achoke yaani asitake tena.
Baada ya kuvuta pumzi nilianza uchokozi kwa kumpapasapapasa makalio yake.Aligeuka kwa nguvu na yeye kuishika Naniliu yangu na kuanza kuichezea.Mimi naye nikapitisha vidole vyangu kunako nikawa nasugusugua sehemu za juu.Utamu ukamkolea akaanza kulalama kuashiria kuwa anataka dozi.
Nikaona huo ndo mda wake ajipimie wenyewe nikampa ishara kuwa apande juu yangu.Mimi nikalala na mgongo kisha miguu nikainua kidogo kisha yeye akapiga magoti juu yangu usawa wa uume wangu akaikalia kwa utaratibu na akaweka mikono yake juu ya kifua changu. Madam akawa anaenda juu na chini kujiingiza kadiri anavyotaka. Kwa wale wale wanaopenda kujua jina la staili hili kwa kizungu inaitwa cowgirl. Madam alipoona amechoka alipumzika kidogo huku akitumuia vizuri mikono yake kunitomasa tomasa kifuani kwangu.
Kwa kweli ilikuwa ni zaidi ya raha maana nilipata msisimko wa hali ya juu. Staili hii ilimsaidia sana madam maana yeye ndo alikuwa ni dereva hivyo alijua jinsi ya kujiweka ili sehemu gani ya ikulu ambayo ilikuwa haijaguswa iguswe na kumaliza ugwadu wote aliokuwa nao.
Nilioana anaanza kuchoka na kukata moto na mimi sikutaka azime mapema maana bado raha nilikuwa nahitaji.Nilimsukuma kwa nguvu ili nimbadilishie staili.Sasa hapo ndo ulikuwa wakati wa staili inayoitwa Face off yaani hii mwanaume akakaa juu ya kiti au pembeni ya kitanda alafu mwanamke aje akae juu yake.
Sasa mimi sikutaka kukaa kitandani nilienda kukaa kwenye sofa lilokuwa hapo chumbani na nikampa ishara aje anikalie hivyo midomo yangu ikawa bize na chuchu zake huku yeye akiangalia nyuma yangu yaani hii hakuna kuangaliana. Hapa ikawa nafasi ya kupeana raha kwa spidi kubwa na nilijua awezi kuchoka maana alikua juu ya mapaja yangu.Nilimgusua sana na kumkumbatia kwa nguvu ili kukamilisha body sex.****
Leo nilitaka nifanye kila kitu kwa madam kwa sababu ilikuwa ni siku yetu ya mwisho kama alivyodai kuwa mme wake anarudi wiki ijayo. Basi nikambeba juu juu na kumrudisha kitandani huku Naniliu ikiwa bado ipo ndani ya chungu chake chungu chenye joto na rha ya huba. Hapo nikamalizia na staili inayoitwa funga kazi au kwa kizungu G- WHIZ.Hapa nilimaliza chali uso na matiti vyote vikawa vinaangalia juu.
Kisha nikapiga magoti mbele yake baada ya hapo nikamwambia aweke miguu yake kwenye mabega yangu kisha nikaweka mto chini ya makalio ili awe free na asichoke kwa haraka.
Staili hii naita funga kazi kwa sababu kwa kitendo chake cha kuweka miguu mabegani mwangu ni kwamba naniliu yake inakuwa sawa na naniliu yangu.
Hapo sasa Naniliu yangu iligusa zile sehemu za G spot na kuzisugua kiulaini.Madam akawa anajileta mbele na kujirudisha nyuma kunionesha kuwa sehemu hiyo ndipo kipele G kilipo hivyo nikisugue taratibu kabisa mapka kiwe chekundu na kumwaga asali juu ya mtungi wake.Naniliu yake ikawa inazidi kujibana kadiri mda ulivyokuwa unaenda na baadaye alipiga makelele kuashiria kuwa alikuwa amefika kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro na kwa kuwa mimi nilikuwa bado niliiachia miguu kutoka mabegani kwangu ikashuka chini.
Madam akavuta pumzi ndefu kuashria kuwa alimaliza ila mimi nilimchelewesha kidogo kwa kumalizia na staili maarufu ya kifo cha membe hapo alilia milio yote maana niliongeza spidi sana na kabla sijafunga goli nilisikiaaaaaaaa papaaaaaaaaaaa paaaaaaaaaaaaa mshindo mkali wa mlio wa risasi iliyopigwa kwenye paaa la chumba hicho.
Hofu kuu ilitawala haja kubwa na ndogo zote zikataka kutoka kwa pamoja. Alikuwa ni mme wa madam bila shaka maana alikuwa kwenye magwanda ya kijeshi huku akiwa amekunja sura kama mtu aliyechanganyikiwa.Hakuongea hata neno moja na alikuwa amesimama wima huku sura ikiwa imemkakamaa. “Hivi wewe mwanamke ulikosa nini, mpaka umeamua kutembea na huyu mtoto mdogo kabisa” aliuliza jamaa huyo huku machozi yakimtoka.
Kwa kweli omba tu kusimuliwa lakini yasikukute nilitamani hata kutokea dirishani. Madam hakuwa na jibu la kumpa alikuwa akitetemeka kama ameshikwa na degetdge kabla ya kutulia kudondoka kitandani na kutulia kimya ishara kuwa alipoteza fahamu. “Haya simama juu alitoa amri mwanaume huyo”.Niliamua kutii amri huku nikitetemeka. “Kumbe una naniliu kubwa ndo inayokupa kiburi kutembea na mke wangu.,Sasa leo nitatoa fundisho kwako na kwa wengine” alisema mwanaume huyo kwa hasira.
Akanambia nishuke kitandani akanichukua akanifunga kamba na kitambaa usoni kama wafanyiwavyo mateka.Akanitoa taratibu akaniingiza kwenye gari na kwa mwendo wa kasi akaliwasha huku akiwa anaendesha kwa mkno mmoja na mkono mwingine akiwa amenishika mimi.Nilikuwa sijui ananipeleka wapi ana alinionya kamwe nisipige kelele.
Uzalendo ulinishinda nikaanza kupiga kelele.Mara nilishangaa kuona amesimamisha gari.Akaanza kunipulizia dawa usoni kabla ya kuhisi usingizi mzito.Hivyo hivyo nikasikia kama ananifungua zipu yangu na kutoa Naniliu yangu.Mara nilihisi maumivu makali sana ambayo kwa kweli hayakusimulika.Sijakaa sawa nikasikia akiwasha gari na hatua chache mbele alinitupa nikaangukia barabarani.
Nilidondoka chini pembezoni mwa barabara nikawa naangaika nikipiga kelele.“Jamani tumsaidieni mbona damu zinamtoka sehemu za siri ilisikika moja ya sauti ya msamaria mwema. “Masikini ya mungu amekatwa Naniliu yake” ilisikika sauti ya kike ikisema.Sikujua hata nini kiliendelea zaidi nilijikuta nipo hospitali nikipatiwa matibabu.
Nilipitisha macho pembeni nikamuona shangazi yangu akiwa na dada Debora huku wote wakiwa wenye huzuni kubwa. “Usilie shangazi haya ni matokeo ya imani za kishirikina walizoziendekeza huko kijijini kwetu”.
Mganga alinionya kuwa nisifanye tena mapenzi kwa sababu aliyeniloga anataka nife kwa ukimwi au kwa kupigwa mapanga” nilimwambi shangazi huku na mimi machozi yakinitoka. “Hata hivyo tumshukuru Mungu kwa sababu ulitokwa na damu nyingi sana lakini hukupoteza fahamu a ni bora hata kipindi kile ulivyozaliwa na jinsia mbili tungekuacha na zote kuliko hayo mateso unayoyapata alisema shangazi na kuniongezea machungu.****
Mungu aliendelea kunipigania na hatimaye nilitoka hospitalini nikiwa tena si lolote si chochote kwa maneno mengine mimi ni mwanuame suruali.Nilikuwa mpole sana sikuweza kuendelea na swala lolote na nilimsihi sana shangazi kamwa hasiangaike kufuatiia kesi yangu kwa sababu mchezo niliokuwa naufanya wa kutembea na wake za watu si mzuri.
Ukiachilia kuamini kuwa imani za kishirikina ndo zilitufikisha hapo maana wachawi walikata mti wa mboribo lakini pia niliamini ni laana ambayo mungu amenipa kama pigo la mimi kutembea na ndugu zangu wa damu.Sikuona haja ya kuendelea kuishi mjni zaiidi nilirudi zangu kijijini.Nilakaa kijiji lakini nilizidi kudhoofu kiafya siku had siku.Nikaanza kuumwa magonjwa mengi kifua, malaria na mengine.Baaadaye nilipelekea hospitali na baada ya vipimo niligundulika kuwa nilikuwa muathirika wa ugonjwa wa ukimwi.
Zilikuwa ni habari za kusikitisha lakini nilikubaliana na matoke.Baada ya siku mbili tatu niliamua kwenda kwa yule mganga na nilishangazwa sana kumkuta akiwa na mtoto mdogo.Hata yeye alifurahi sana na kuniambia kuwa alikuwa akinisubiri kwa hamu na jamu ili niweze kumwana mwanangu.Hata mimi nilifurahi pia kwa maana mtoto huyo alikuwa akifafanana sana na mimi na nilijifariji kuwa pamoja wameikata naniliu yangu bado nimeacha mbegu huku duniani.
Baadaye nilimweleza ukweli mganga kile kilichonitokea na yeye alisikitika sana.Akaniingiza chumbani akanikaugua jinsi nilivyotibiwa na kupona lakini kubaki kilema kwenye sehemu zangu za siri.Mganga alishindwa kujiuzuia na yeye machozi yalimtoka na alilia kwa nguvu sana.Hakuamini kama kweli eti jebeli mimi, jembe kali leo nimekua butu na kuishiwa makali.
Dunia ilikuwa imenifanya hamna na hata sikutamani tena kuendelea kuishi duniani.Mganga mara baada ya masikitiko hayo akasema usijali baba mtoto wangu mimi nataka tufunge ndo ukiwa hivyo na baada ya hapo nitaanza kukupa tiba “Unataka kufunga ndo ana mwanaume hasiye na uwezo na pia ni muathirika nilimuuliza kwa mshangao? Ndio nataa kufunga ndo na wewe mana wewew ni binadamu nab ado unastahili kupendwa.
Kweli sikuwa na kipingamizi juu ya kumuoa mganga.Mipango ikafanyika nikakabiziwa mke.Siri hii haikuvuja sana kijijini kwetu japo ukweli ulibaki kuwa hiyo ni ndoa ya kipeeke kuwahi kutokea duniani.
Kaka Eliado mpaka mda huu uliponipa nafasi ya kusimulia hii simulizi kwa kweli bado nipo kwa mganga na napata matibabu makali sana ambayo naamini siku moja nitarudi kwenye hali ya kawaida.Kwa mujibu wa mke wangu ni kwamba kuna kitu amepandikiza mahali hivyo ipo siku nitalala na kuamka na kujikuta ni mwanaume kama wanaume wengine.Sitaki kuamini au kutoamani ila kaka
Eliado naomba uwaambie wasomaji wako kuwa siku nikipona nitarudi na simulizi hii sehemu ya pili. Asanteni sana, naamini mtakuwa mmejifunza kitu kupitia simulizi hii.Licha ya kujifunza staili na maujanja ya mapenzi lakini pia mtakuwa mmejifunza kuwa huku dauniani kuna visa na mikasa mingi sana ambayo inawapata wanadamu.Mungu awabariki na kuwalinda muendelee kufuatilia simulizi nyingine za kaka Eliado.
KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU
MWISHO
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni