Notifications
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…

WEKA YOTE (28)


JINA: WEKA YOTE
Mwandishi: Gaooh Musah

SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE
ILIPOISHIA...
"Mh,unaweza na hiyo sauti yako kama Rich mavoko mwenyewe."alizidi nisifia.
"sawa asante."
"mhuu nambie."alisema na kukaa kitako pale kochini,sikuwa na chakumwambia hivyo nilikaa kimya.
"gao nikuulize kitu."

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
"Kitu gani hicho tena."
"wewe kubali ili nikuulize."
"sawa niulize."
"hivi una girl friennd"alinipachika swali Doreen hapo sikujua nimjibu nini.
"mbona umeuliza hivyo kwanini.?"
" nimependa kujua tu kama unae au huna."
"mmmh swalu lako gumu sana."
" gumu gani si ujibu tu kama unae au huna ila mimi nahisi huna."
"eeh ndii....."kabla sijamaliza kauli Careen alitokea pale akitokea chumbani,nilipotezea ile mada pale nnakuendelea na vitu vyengine hata Careen hakujua tulichokuwa tunaongea.

"Doreen leo mama kasema tuna toka eeh"Careen Alisema huku akisogea karibu na kochi ili akae.
"ndio tena huyo amekuja nasikia gari nje huko."Doreen alijibu tena aliposikia mlio wa gari akaju shangazi amerudi, hivyo wote tulikaa kumsubiri kisha akaingia ndani.
"haya nikerudi wanangu jiandaeni tuondoke muda ndio huu."
"sawa mama, ngoja nimwambie dada Neema"
"sawa haraka bas tuna safari ndefu, gao kajiandae na wewe mwanangu"aliniambia na mimi nikajiandaa kisha wote tukawa tayari tulipanda gari yake na kuitoa kasi, sikujua tunaenda wapi.

Ila shangazi alianzabkusema tunakopita alitaja sehemu mbali mbali zenye vivutio hasamakumbusho na nyengine, gari ilitembea mpaka kufika makumbusho hapo tulitalii tulipo ridhika tukapitia sehem nyengine za kutalii nilifurahi sana kuingia sehemu ambazo sijategemea kuingia hasa mlimani city na makumbusho.
masaa yakiyoyoma mpaka jioni tukaelekea beach.

Wote walivua nguo zao tayari kuoga na kubaki na zandani kasoro mimi nashangazi tulijitenga nao na kukaa kivyetu nao wakanza kuingia majini kuoga waliniita nikaoge nao mara ya kwanza nikakataa.
"nenda kaoge mwanangu na wenzio"Shangazi alisema hapo nikaenda tu kumridhisha shangazi nilivua nguo na kubaki na boksa kisha nikaingi kwenye maji ile kuingia walikuja wote na vichupi vyao wakigombania kuoga na mimi huku wakini vuta vuta katika kuvutana nikajikuta Neema kanivuta mpaka nikamwangukia juu akanikumbatia tukiwa ndani ya maji huku akicheka cheka.

*********************************
Tupo ndani ya maji Neema kanivuta na kusababisha nimlalie na yeye kunikumbatie kitendo kile kilinisisimua na ile boksa niliyokuwa nimevaa ndio kabisa nilishindwa kukwepa hali ile ilisababisha nipate mshawasha wa kutaka tendo lile nilipokea mwili wake vizuri chini ya maji na kubinua kiasi cha kunipa nafasi kuona maungo yake vizuri, hivyo nikajiongeza moja kw moja na kukimiliki kiuno chake nilicho kipapatia nà kumpakata, wakati hayo yote yanaendelea mimi na neema tulikuwa mbali kidogo hivyo wenzentu hawakujua kinachoendelea walichoona ni kuwa tunafundishana kuogelea hivyo hawaja tia shaka juu yetu kumbe sisi tupo kwenye huba zito lilianza kunoga, sikumcherewesha na wala sikuruhusu ageuke nilipekenyua nguo yake aliovaa huku nimempakata kisha moja kwa moja niliingiza dushelele chumvini hapo.

"mmmmgh"Neema aliguma kidogo pale ilipoingia mpaka moyoni, nilianza ingiza toa ingiza toa za ndani ya maji, huku utamu ukinoga na kule kuteleza tukiwa ndani ya maji ndio kabisa sikutaka hataa sekunde kumuachia, nilizidi mng'ang'ania kama ruba kiunoni kwake nilikuwa nikijivuta huku nikiingiza alikuwa akidinha kidogo kidogo kuzuia sauti isije penya sikioni kwa shangazi, nilichomoa na kuelekeza mkono wangu chini ya maji na kukifakamia kindulele kilichopo kwenye tompoo yake nilikisugua na dole gumba.

"aaah, ooooh, shiiiiit aaaa sssssshhhh sssss"alikuwa akilalamika pale dole langu gumba likifanya yake baada ya kutosheka nikapeleka dushelele chumvini tena kutafuta gori la tatu baada ya kufunga gori mbili nilipump kwa kasi zaidi ya upesi pale ndio nimezidisha nilikuwa nikimbinua binua tu ndani ya maji kama tunacheza mieleka ya kina john cena.
"Neeema na Gaao tokeni twende muda umeisha tunasafari ndefu."Shangazi alisema kule nje hatukumjali mzigo ulikuwa unakaribia kutua hivyo nilizidi mkumbatia mpaka nikafika mshindo hspo ndio nilikumbuka kama tumeitwa nilijitoa haraka na kumuachia Neema.

"wewe tunaitwa."
"haaah, katuita muda kwani."
"wewe toka tu kwenye maji tangulia nakuja."Nilimforward Neema atoke ili mradi huku mchuma ulale nisije kuwa kituko mbele ya shangazi.
Kasheshe ni pale kila nikijilazimishe dushele lipate kulala ola halikulala kila nikililaza ola ilikiwa kazi bure, nilijitahidi bila mafanikio.
"wewe gao toka sasa, tunacherewa unafanya nini muda unaenda tu."
"nakuja shangazi."nilimwambia kwa sauti ya juu juu.

Nilijitahidi kwa muda ila kibaya ni pale kila nikiwaza mtu yoyote mwenye jinsia ya kike linasimama tena ilinibidi niibane na mapaja nikatoka nje ya maji yake yenye chumvi.
Nilitoka mpaka nje niliwa nimebsna vile vile na hiyo tembea sikuwa na tofauti na wale vilema ila sikujali.
"mmmh"Shangazi aliguna,sikujua kaguna nini ila mguno wake ulisindikizwa na vicheko vya wanae hapo nikajuafika nachekwa mimi.
"mnacheka nini sasa."Shangazi aliwauliza,
"hapana mama tumefurahi tu."Walisema huku vicheko vikiwa bado vinywani mwao ila haikunipa shida kwakuwa Neema na Careen nimeshapita kwao.

Niliwaacha pale na kuzichukua nguo zangu kisha moja kwa moja nilikiendea moja ya kichaka kwa ajili ya kubadili nguo, nilipofika niliivua ile boksa iliyolowa kutokana na kuoga nayo nklivua na vest.
Kisha nikavaa nguo zangu nilivaa sarawili pasina boksa ya ndani inayobana hivyo nilivaa tu.
Pale pale Shangazi aliamka alipoluwa akipata kinywaji kisha tukaelekea kwenye gari ya shangazi tayari kwa safari kuanza, ndani ya gari niliwekwa nyuma mimi na Neema pamoja na CAREEN huko mbele akikaa Doreen na Shangazi.

Safari ilitia kasi na pale shangazi alipowasha mziki uliokuwa ukiimba hawakuangalia nyuma, wakina neema walivurugwa walianza kubadilishana kunichezea huku wakijipakatisha ilinibidi nitulie tu, mziki unavyopiga ndio kama wanacharuka alikuja Careen alienikalia huku akisugue kama anasakata rumba nilihisi utamu wa ajabu ila hakukaa sana akatoka hapo sasa akaja neema alievaa nguo ya kuteleza tena akionekana pindo za chupi tu hakuwa na kitu ndani muda huo dushelele limesimama kidete tayari nikaamua nilitege vizuri na vile boksa niliyovaa haibani ndio kabisa, nikasimamisha dushelele nae Neema alikuja kukaa pale pale ilipo simama na kufanya ikutane na mstari wa ikweta, ambao ile kukalia tu nilihisi joto la ajabu sikutaka hata acheze mana angekuwa akinikatia utamu kama umeme wa luku,nae alilijua hilo hivyo akakiachia zaidi, nilimshuudia Careen aliangalia kwa wizi wizi, kitendo kile kikiendelea alikuwa anatamani, aweyeye nilimkonyeza tu ili atulie nae akatulia akikodoa macho hasa pale Neema alivyopandisha sketi yake na kufanya nimpakate akiwa na chupi tu ila aliitoa sambamba na kufungua zitu ya suruali yangu.

Mziki ulikuwa ukiendelea wambele hawajui kinachoendelea hata kile kioo cha kuangalia nyuma kilichopo kwa dereva hakikuwepo pale hiyo ni baada ya kuvunjika, sikujua kilivunyikaje ila nakumbuka nilishawahi kukiona store ikiwa kimetelekezwa kabatini.
Haikuwa rahisi kutuona hivyo tuliendelea na mchezo ule hatari, Careen alikuwa akituficha nilipo funga gori la uwanja duni ule ndio Careen nae akaja sasa baada ya zamu ya mwenzake kuisha.
nae alivua haraka na kujitumbukiza mwenyewe, alianza kutia mbwembwe kwa kizungusha kiuno bila mfupa alizidi nipa mshawasha utamu usioelezeka ukinizidia kiasi kwamba nusu nipige kelele za utamu ila Careen aliniziba mdomo na mlio ule wa mziki ndio kabisa, wambele hawakuwa wakujua kinachoendelea, niliendelea na mchezo hadi pale tulipo tosheka akajibinua na kuanza kulinyonya dushelele na mimi nikipapasa makalio yake yalioko mviringo.

Mchezo tulikatisha pale gari iliposinsma Careen akajiweka sawa na kukaa kando sasa bahati mbaya nilisahau kufunga zipu yangu huku nikiwa sina hata habari,wenzangu walishuka.
"tumefika shukeni sasa twende tukatembee humo ndani."Shangazi aliongea akiwa kashatoka sasa kasheshe ni pale nilipo toka mimi nilijistukia Doreen akicheka huku akielekeza vidole kuwaonesha wenzake kwenye suruali yangu..........

Wenzake walipoondoka na kutuacha wawili tu ilinibidi nna mimi nitake kuondoka ila Doreen Alinivuta nisiondoke kisha akanikumbatia.

Haikunipa wakati mgumu kuweza kutambua anachokitaka doreen, kwa kuw nilikuwa mzoefu na mambo yale lile kumbato lake na vituko alivyokuw akinifanyia vilijenga taswira kwangu yakuwa anahamu zimempanda hivyo anaitaji kusuguliwa.
Na kwa kuwa MTOTO AKILILIA WEMBE RUKSA KUPEWA ILI UMKATE WAKATI UJAO ASILILIE TENA.

Hivyo sikuremba mwandiko kwenye imla nilibadilika na kuwa wa kikazi zaidi pale nilipomgeuza na na kukupapatia kiuno chake nilichokishika kalibia na makalio yake huku amenikumbata akisogeresha mdomo wake kukutana wangu hapo nilimkadhibisha kama zake nae akaadha kujinyonyea juisi ile adimu isiyopatikana hata dukani, ilinibidi nimwangushe kwenye kochi mana kule kusimama niliona hakunogi hata kidogo.
Nae aliendelea na harakati za kunipapasa kifuani.

Doreen alikuwa kavaa khanga ambayo ndani ni chupi tu hivyo nilipo mwangusha kwenye kochi moja kwa moja nilimtanua miguu na kuingia kati kati.
Sikuonesha papara sana hivyo nilimuona vizuri na kuitoa ile khanga na kumuacha mtupu alibaki kama alivyozaliwa, baada y kumpembua nguo zake zote hapo moja kwa moja nikaanza kumtambalizia ulimi nikitokea kwenye tompo hado akaguna kidogo na mimi ndio nikaanza kupanda juu na ulimi hapo nikakutana na garden love ambayo haikuwa imara sana kwa uchache wa nyasi nikapitisha tu uliminwangu kama mtalii.

"Yeeeeh oooooh shiiiiiit aaaaasssssssssss sssssss ooooopssssss"alikuwa akilalamika vile nikimramba alafu nilimshuhudia akijiminya minya maziwa yake huku akijing'ata lips.
Nikaanz na mimi kuvua nguo zangu na kubakiwa na boksa tu tena ile niliyotoka nayo beach.
Doreen alikuwa tofauti na Careen, Careen hakuwa na manyonyo yaliotutumka na makalio kama ya Doreen, nae Doreen Umbo lake mashaallah alikaa kimpangilio àkibeba makalio yaliojenga umbo lake huku akiwa na ufudu uliokuwa mkubwa wa uswazi huita 'inye' nilimmezea mate kabla sijaingia chumvini,
Nilipo maliza kuvua na mimi ndio nikamrudia sasa huku mapaja yake yakinipa mshawasha nianze kazi yangu, nilidaka kinywa chake na kuanza kujinywea juisi ile ashimu.

Muda kadhaa nilianzvkumpapasa kila mahali utamu ukinoga zaidi, ndio nikarusuhu dole langu la matusi kidole cha kati kirefu, nilikitumbukiza kwenye tompoo yake, hapo alikuwa bado sikuonesha papara nikifatilia msemo wa njiwa wa kwako manati ya nini, hivyo nilisogeza mdomo pàle pale moja kwa moja nakuanza kuramba mashavu ya kitumbua chake sikuwa na tofauti na mbwa anaedoea makombo kwenye masufuria yaliopakuliwa jinsi nilivyokuwa nilipekecha ulimi.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho


28 Simulizi Weka Yote
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni