Notifications
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…
  • MY DIARY (11)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MOJATULIPOISHIA...Wakati akiongea maneno hayo mara mtarimbo ukaanza kusimama nikajisemeha nimeshakosea nilitakiwa niondoke nilivyoona kimelele tu, nikajua hapo lazima atanitafuuna bila huruma. Basi akaingia bafuni akachukua sabuni akajipaka ili kujisisimua ngoma isimame vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yaaani nilichanganyikiwa na huko bafuni nilisikia maneno ambayo yalinichekesha…
  • MY DIARY (10)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMITULIPOISHIA...Nikamwambia Joyce ndo maana mimi nakupendaga. Nikamwambia “nitakuapa feedback ngoja nimpigie asije akaja na makufuli yake leo hii. Nikampigia baba mwenye nyumba eti kwa kujiamini kabisa akapokea nakusema “ Halow mrembo” Nikamwambia Yes mpenzi kitu ambacho kilimfurahisha sana..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuokoa hela ya vocha nikamwambia nimekubali ombi lako alafu nikakata…
  • MY DIARY (9)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TISATULIPOISHIA...Basi Dj wangu aliendelea na mautundu yake akaniwekea mambo ya pwani na hapo ndipo uvumilivu ulipomshinda akaja kunibambia na mimi sikuona haja ya kumbania kwa kuwa ni mali zake mwenyewe. Nilizungusha nyonga na kiuno mpaka nikachoka nikajitupa kitandani ili nipumzike. Nafsi yake ilikuwa imeridhika kwani hakutka tena penzi bali alichukua lap top yake na kuanza kunionesha picha na vitu vingine ambavyo vilinipa raha.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA…
  • MY DIARY (8)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA NANETULIPOISHIA...Sijui hata haya maneno yalitoka wapi, fahamu zilinitoka na Ticha aliamua kuninyanyasa maana nilishajikojolea zaidi ya mara tano. Basi na yeye kwa kutafuta mbwembwe alianza yale mambo yao ya katerero, siunajua tena mwalimu John alitokea pande za Bukoba.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Alinichezea sana na baadaye nilishangaa kukuta jamaa ameshaingiza kunako. Sikujielewa kwa…
  • MY DIARY (7)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA SABATULIPOISHIA...Kwaito zilivyonoga uzalendo ulinishinda nikajikuta na mimi nashuka ngazi kuelekea chini sehemu ya kuchezea.Nilizijua kwani shuleni tulikuwa tunazicheza sana hasa kwenye yale madisco yetu ya mwisho wa mwezi.John wangu alibaki juuu akiniangalia jinsi nilivyokuwa nikicheza vizuri.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Yeye alishindwa kushuka akiofika kile kitu kukaliwa na watu…

SORRY MADAM (52)

SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI
ILIPOISHIA...
“Kuna tangazo lilikuwa linatolewa kwa mtu atakaye fanikisha kukupata wewe atapewa dola milioni mbili za kimarekani na baba yako na sasa ni mwezi wa tatu ndio sisi tumekupata”
Nikatabasamu ila ikawa ni tofauti kwa mama ambaye nahisi kuwa anajua ni mume wake mzee Godwin
“Eddy waambie wanipige risasi ili nife sipi tayari kurudi tena mikononi mwa baba yako”

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
“Mama sio baba wa Tanzania?”
“Unataka kusema wewe baba yako yupi huyo mwenye roho ya kibinadamu atakaye toa pesa yake ili amzawadie mtu?”
“Mama sio baba unaye mjua wewe…tambua kuwa ukweli wote ninauju na ninamshukuru Mungu kuwa nimempata baba yangu ambaye yeye ndio damu yeke japo amepitia yaliyo mengi ila ninamshukuru Mungu yupo hai”

Mama akabaki kimya huku macho yake yakiwa chini akimtazama mtoto tuliye mlaza chini,Tukaona boti nyingine kubwa ikija na kusimama karibu na sehemu ilipo boti hii ndogo,wakatuwekea kingazi na tukaanza kupanda na kuingia kwenye boti kubwa iliyo kuja na jamaa watatu wakingia na kumuacha mwezao mmoja kwenye boti ndogo.Ndani ya boti wakatupa makoti makubwa kwa ajili ya kuzui baridi kali iliyo kuwa ikitukung’uta.Wakampa msichana mdogo huduma ya kwanza na sisi wakatupatia vyakula na chai ya moto kutoa njaaa tumboni.Mimi wakanihudumia kwenye sehemu niliyo jeruhiwa na jiwe kisha wakanipa suruali mpaya,nikavua kitaulo nilicho pewa na kuivaa suruali hii.Boti ikazidi kusonga mbele huku moyoni mwangu nikijawa na amani tele ya kuweza kumpata mama yangu na kilicho salia ni kuwaunganisha baba mzazi na mama.

“Samahani kaka nyinyi ni kina nani?”
“Sisi ni wavuvi wa samaki wakubwa sasa yule papa tuliye muua tulikuwa tunamkimbiza alitusumbua sana na pale tumemuacha yule mwezetu akilinda sisi tutamrudia kumchukua na boti nyingine”
“Sawa”
Tukafika ufukweni na jamaa wakatupeleka kwenye moja ya Hotel isiyo mbali sana na bahari na kutuchukulia chumba,wakamchukua daktari maalumu na kuja kutuhudumia.Tukakaa hotelini kwa wiki moja tukijitahidi kuirudisha miili yetu katika afya zake za kawaida kwani kwa muonekano tulio nao ninaweza kujifananisha na misukule.Mudu wa wiki moja kukatika Afya yangu ikarejea kama awali japo sio sana ila kidogo niliweza kusimama mbele ya mtu au watu na kujiona ni mtu.Gharama zote zikalipwa na mama kutokana na kuwa na akaunti yake ya siri iliyopo huku Afrika kusini na kwakipindi chote hatukuwasiliana na mtu yoyote zaidi ya jamaa walio tuokoa ambao nao mama aliwakanya wasizungumze ummbea wa aina yoyote kwa mtu yoyote ili waweze kupata donge lao nono wanalo lisubiria kwa hamu kubwa kutoka kwa baba yangu mzazi

Msichana mdogo alilazwa kwenye moja ya hospitali na madaktari wanaendelea na juhudi za kuweza kumtibu kama ataweza kuzungumza tena ili awe miongoni mwa mashaidi wa kumuhukumu baba Mzee Godwin katika kesi ya kuwatumikisha watu kikatili na kuwakatili katika kuzungumza nao

“Mama unampango gani na baba?”
”Nitahakikisha ninamfunga hadi magereza yanabomoka”
“Sawa mama je baba yangu mzazi naye una mpango gani naye?”
“Mmmm sijui hata ni wapi nitaanzia kwa maana kwa niliyo mfanyia baba yako kidogo yananipa hata ugumu wa kusema ninaanzi wapi”
“Ninafurahi kusikia hivyo mama ila kwa hilo ninaomba uniachie mimi kwa maana baba ananipenda sana”

“Ila Eddy roho yangu imejawa na dukuduku kubwa ambalo sielewi siku ninamkamata Godwin nitamfanya kitu gani?”
“Hilo mama wala lisikutie mawazo sana cha msingi ni kuweza kumuomba msamaha baba yangu ili kama ni maisha yaweze kuendelea kwa amani”
“Sawa mwanangu nitafanya hivyo”
“Je umewasiliana na serikali ya Tanzania?”
“Mmmm siwezi kufanya hivyo kwanza kutokana huwezi jua baba yako ana mtandao mkubwa kiasi gani ila nitarudi kimya kimya”
“Hapo umesema ila yule daktari wako ni mnoko sana na kama unaweza awe miongoni mwa watu wa kushuhulikiwa”
“Kwa nini?”

“Ana vitu vingi sana ambavyo wewe ukimuambia humuambia baba,kwa mfano swala la kuwa mimi sio mwanaye wewe siku ulipokuwa unamwambia pale sebleni kama sisi.Yeye kaenda kuyang’aza kwa lile jijambazi ndio maana likatumia uwezo wake wa kijeshi kufanya mambo ya ajabu kama haya”
“Kumbee hapa ndio ninaanza kupata picha kwa maana siku ambayo waliniteka hospitali baba yako akawa analalamika kuwa nimemdhalilisha na lazima na mimi anidhalilishe”
“Ndio hivyo mama je ile siku walikupeleka wapi?”
“Walinipeleka sehemu moja hivi wala sikujua ni wapi ila nikaja kukutana na binti mmoja aliniambia anaitwa nani vileee…..”
“Nani…..?”

“Jina lake limenitoka mara moja alisema na yeye anatokea Tanzania na anakufahamua sana wewe na mumeshirikiana sana kwenye mambo mengi”
“Sheila”
“Eheee huyo huyo….yule binti alinisaidia sana kipindi nipo matesoni kweni baba yako alinipeleka kwenye jijumba chakavu msituni huko wakanifungia…cha kushukuru Mungu yule binti alikuwa akiniletea chakula kila siku usiku kwani wao walikuwa wakinipa vyakula vibaya?”
“Kina nani?”
“Si hilo jibaba lako na watu wake”
“Ahaaa ila sio baba yangu”
“Basi siku kama mbili zilipita sikumuona Sheila sasa sikujua ni wapi walimpeleka binti wa watu sijui walimuua au”

“Hawakumuua….nilikutana naye hapa kipindi cha katikati akiwa amelishwa makaa ya mawe hawezi kuzungumza”
“Weeee ndio maana baba yako akaamua kunipeleka kwenye lile jipango na kuniambia kuwa nitalisha keki za moto”
“Ndio”
“Basi nakumbuka kipindi ninaingizwa mule sikubahatika kulishwa hayo makaa na walinipiga na kuninyanyasa sana hadi ikafikia kipindi wakanitenga na wezanu na kunifungia kwenye kile kijichumba”
“Unajua siku ya mwisho unapigwa mimi ndio niliye kusadia kuuziba mwili wako ili nipigwe mimi badala yako”

Mama akabaki akiwa mdomo wazi na taratibu chozi likamtoka na akanivuta na kunikumbatia kwa uchungu na machozi yakaendelea kumtoka hadi akalowanisha bega langu alilo pitishia bega
Niambembeleza mama hadi akanyamaza na akaniaga na kuingia chumbani kwake kulala na mimi nikabaki nikitazama Tv na nikapitiwa na usingizi kwenye sofa nililo kaa.Asubuhi kama ilivyo kawaida daktari maalumu anayetuhudumia akaja kututembelea na kutupa maelezo ya nini tuweze kufanya ili afya zetu ziweze kuhimarika.Nikwasiliana na jamaa walio tuokoa kili waje kutuchukua na watupeleke nyumbani kwa baba.Baada ya nusu saa jamaa wakawa wamefika na sisi tukawa tayari kwa safri,njia nzima ndani ya gari mama akawa amenishika mkono huku akiwa na futaha sana.Tukafika kwenye jumba la baba na nikamuona mama akitazama tazama kila sehemu

“Mama mbona unashangaa?”
“Hili jumba lote ni la kwake?”
“Ndio”
“Amejitahidi”
Walinzi wakazungumza na dereva anaye endesha gari letu na baada ya kuniona mimi wakaturuhusu.Nikawa mtu wa kwanza kushuka na nikamuomba mama kusubiri ndani ya gari hadi nitakapo kuja kumuita wenyewe wazungu wanasema kumfanyia Suprize baba.Nikafungua mlango ndani huku nikiwa na shuuku kubwa sanaya kumuona baba,
“Nimesema sitaki kumona huyo kinyago wako humu ndani”
“Lazima…….”
Nilizisikia kelele za baba na mke wake wakibishana ila sentesi ya baba haikumalizika na kwakasi kubwa nikashuhudia akinguka kutoka juu gorofani alipo sukumwa na mke wake na akatua kwenye meza ya kioo na kutulia kimya

Nikabaki nikiwa nimesimama kama sekunde kadhaa huku macho yangu nikimtizama baba kisha ninayahamishia kwa mke wa baba ambaye hakuzungumza kitu cha aina yoyote,Akaondoka na kukimbilia ndani kwa haraka nikamsogelea baba na kumuwekea mkono kifuani na sikuyasikia mapigo yake ya moyo yakifanya kazi,Nikapiga kelele za kuomba msaada na walinzi wa baba wakaingia akiwemo mama na akaonekana kustuka baada ya kumkuta baba katika hali kama hii
“Eddy amefanya nini?”

Sikumjibu mama zaidi ya kunyanyuka na kuanza kupandisha ngazi za kuelekea gorofani na nikakutana uso kwa uso na mke wa baba akiwa ameshika begi la kuburuza huku mkono wake mmoja akiwa na bastola,Akiwa anababaika kuikoki bastola kwa haraka nikamrukia na kusukuma na akaanguka chini na bastola yeka ikaangulia pembeni.Nikamuwahi kumshika kifuani kwenye shati alilo livaa na nikamnyanyua hadi akasimama na nikumvuta karibu yangu na ngumi mbili za haraka zikatua usoni mwake,Akainama huku akiwa ameizima pua yake kwa mikono yake miwili na damu nyingi zikaanza kumtoka,sikuhitaji kumuonea huruma zaidi ya kuiacha mikono yangu kufanya kazi ya kuzichomoa ngumi zenye kasi kubwa na kutua katika mwili wa mke wa baba ambaye aliendelea kulia kama mtoto mdogo

Mke wa baba akaanguka chini na kunipa fursa nzuri ya kuanza kumpiga mateke ya tumbo yaliyo mfanya ajikunje kama samaki mbichi huku damu zikiwa zinamwagika puani na mdomoni.Nikaikota bastola yake na kuikagua kwa haraka na kugundua kuwa ina risasi za kutosha na nikaielekeza kwake kwa hasira
“Eddy......Eddy”
Nikaisikia sauti ya mama ikiniita kwa nyuma
“Eddy mwangu ninakuomba usifanye hivyo baba yangu nakuomba tena sana mwanangu mpendwa usifanye hilo mwanangu”
“Mama huyu mwanamke ndio chanzo cha baba kuanguka kutoka juu na kufa,na hana haki ya kuishi duniani kwahiyo niache nifanye ninacho kitaka kukifanya”

Nilizungumza kwa sauti nzito na nne iliyo jaa uchungu na hasira na machozi yakiwa yametapakaa kwenye sura yangu kiasi kwamba hata mimi mwenyewe nikajishangaa ni wapi hii sauti imetokea
“Eddy nakujua mwangu....nakuomba utulize hasira zako nakuomba mwanangu tafadhali”
Mama alizungumza huku akinisogelea taratibu huku walinzi watutu wa baba wakiwa nyuma yake,Nikamtazama mke wa baba jinsi anavyo hema kwa tabu nikayakaza meno yangu kwa kuyang’ata na kwa hasira nikaipiga risasi moja chini karibu na eneo alilo lala na bastola yake nikaitupa pembeni na mama kwa haraka akanikumbatia na kuanza kunibembeleza huku akinipiga piga mgongoni
“Shiii....nyamaza baba yangu usilie baba hajafa tumemuwahisha hospitalini”

Milio miwili ya risasi ilinistua na nikatizama nyuma yangu na kumshuhudia mlinzi wa baba aliyekuwa na mahusiano na mke wa baba akianguka chini na damu nyingi zikiwa zimetapakaa kifuani mwake huku bastola ya yule mama ikiwa mkononi.Mlinzi aliye mfyatulia risasi mwenzake ni yule ambaye alinipeleka bank
“Aitaka kuwaua”

Jamaa alizungumza huku akiusogelea mwili wa mwezake na kuuchunguza kama kweli amefariki dunia,Mke wa baba akazidisha kulia baada ya kumuona mpenzi wake akiwa amelala chini.Mama akanishika mkono na kuniondoa katika eneo la tukio na kunitoa nje huku akiendelea kunituliza hasira hadi nikarudi katika hali yangu ya kawaida

“Baba anaendeleaje?”
“Wamemuwahisha hospitalini”
“Nani amempeleka?”
“Amepelekwa na wafanyakazi wake pamoja na wale vijana walio tusaidia,tuwasubiri warudi ndio tutajua ni hospitali gani ambayo wamempeleka”
“Ahaa sawa”
“Yule uliye kuwa unampiga ni nani?”
“Si ni mke wa baba”
“Ahaa na yule mwengine aliye pigwa risasi?”
“Ni mshenzi mwenzake ambaye walikuwa wakitembea pamoja na kumzunguka baba”

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA YA KUKUSOGEZEA SIMULIZI

KWA USHAURI NA MAONI ANDIKA HAPA:
Inbox: Messanger
36 Simulizi Sorry Madam
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni