Notifications
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…

SORRY MADAM (111)

SEHEMU YA MIA MOJA KUMI NA MOJA
ILIPOISHIA...
"Lile ndio gari lako?"
"Ndio twende tukapande"
Prety akanishika mkono hadi kwenye kagari hako. Akanifungulia mlango nikaingia, kisha yeye naye akaingia.
'Mungu wangu hiki kikipata ajali hatutoki humu'

NIPE SAPOTI KWA KUTAZAMA VIDEO HII NDIO MALIPO YAKO KWANGU

SASA ENDELEA...
Nilijisemea kimoyo moyo.
"Unakwenda wapi?"
Nikamtajia hoteli ninayo kwenda, akaonekana kufurahi.
"Mimi ninakaa hoteli ile ya pili yake. Nina mwaka sasa ninaishi pale"
"Una kazi gani inayo kufanya ukae pale kwa kipindi chote hicho?"
"Ohoo mimi ni mtaalamu wa mambo ya mtandao, chochote unacho hitaji kwenye mtandao ninaweza kukutafutia"
Prety ni muongeaji sana, kiasi kwamba nikajikuta nikiwa ninamshangaa.

"Kabla hatujafika kwako, twende ukapaone kwangu kisha ndio uende kwako"
"Kwa nini?"
"We twende tu"
Nikaanza kumtilia mashaka huyu Prety, isije akawa ametumwa na John. Nikajipa moyo hawezi kunifanyia chochote. Tukafika hotelini, tukaelekea kwenye chumba chake kilicho gorofa ya tano
Chumba chake kimejaa computer si chini ya kumi na zote zimewashwa. Akaanza kuminya moja baada ya nyingine akitazama ujumbe ulio ingia.

"Hapa ndio kwangu, jisikie huru"
Nikashangaa kumuona Prety akivua sura yake, aliyo nayo. Ndipo nilipo gundua ni sura ya bandia. Akabaki na sura yake halisi ambayo ni nzuri sana.
"Mbona unashangaa?"
"Nashangaa kukuon unavua sura ya bandia"
"Yaa unajua mimi ni Mrashia, dili zangu nyingi ni wizi katika mabenki makubwa na watu matajiri duniani. Huwa siwezi kuifanya kazi yangu kwa sura yangu halisi"
"Kwa nini unakua mwizi?"
"Ndio kipaji changu, njoo uone"
Akanipeleka kwenye chumba kimoja, kilicho jaa mitambo mingi kiasi, pamoja na picha nyingi za wasichana kwenye ukuta

"Hii mitambo huwa ninaitumia kutengeneza sura za wasichana ninao hitaji kufamana nao.
"Mmmm"
Akanionyesha jinsi ya anavyo tengeneza sura hizo za bandia. Sikujua ni kwanini emeniamini kwa muda mfupi.
"Kwa nini umeniami na kunileta chumbani kwako. Kama mimi ni askari je?"
"Hakuna mtu mwenye kuwajua askari wa nchi yoyote duniani kama mimi. Ungekua askari wala pesa yako nisinge ipoke"
Tukarudi sebleni ambapo akanipa kiti nikae nitazame tazame jinsi anavyo weza kuiba vitu kwa mtandao hususani pesa ndani ya mabenki.
Katika kufungua fungua baadhi ya picha nikamuona John na Sheila.

"Hembu rudisha nyuma hiyo picha niione vizuri"
Akafanya kama nilivyo muagiza, nikaitazama vizuri picha hiyo.
"Hawa ni najirani wangu, nimegundua nao ni matajiri sana. Nipo kwenye mpango wa kuwaibia pesa zao benki. Tena nimesha jenga urafiki na huyu dada."
"Anaitwa nani?"
"Coletha Agray"
Nikashangaa jinsi Sheila alivyo badilisha jina.
"Ahaaa naomba unionyeshe chooni"
Prety akaniobyesha chooni, nikaingia huku nikijitahidi kuficha wasiwasi wangu wa kuwajua John na Sheila. Baada ya muda nikasikia Prety akimkaribisha Coletha ambaye ndio Sheila, Nikatoka chooni na kujibanza sehemu ninapo weza kuiona seble vizuri. Nikamuona Sheila akikaa kwenye sofa, huku akiwa na tanasamu na furaha.

'Sheila kifo chako kitakua cha taratibu taratibu, sina haraka na wewe'
Nilijisemea komoyo moyo huku nikimtazama Sheila au Coletha Agrey. Anavyo shusha mafumba ya juisi aliyo andaliwa na Prety

"Prety kila nikija nakuta Tv yako ukiwa umeizima huwa uitazami"
"Coletha muda huo nadhani ninao"
Sheila akanyanyuka na kuichukua rimoti iliyopo mezani, akaiwasha Tv, kabla hajarudi kukaa kwenye kochi simu yake ikaita.
"Umesharudi?"
"Nakuja basi nipo hapa kwa P"
Moja kwa moja nikahisi Sheila atakuwa anazungumza na John.

"Huyo mwanaume ameaharudi"
"Kwani alikuwa ametoka?"
"Ndio alitoka kuna watu wake alikwenda kuzungumza nao. Kuna kazi amewapa"
"Kazi gani hiyo?"
"Ni story ndefu ngoja nikamsikikilize nikimaliza nitakuja kukuadisia"
Sheila akatoka, nikarudi sebleni na kumkuta Prety akiendelea na mambo yake.

"Mbona umechelewa kutoka chooni?"
"Hakuna"
"Yule dada niliye kuonyesha kwenye picha akiwa na mumuwe ametoka hapa ndani muda si mrefu"
"Ahaaa, mimi ngoja niondoke"
"Sasa Eddy, niachie namba yako ya simu"
"Sina simu ila natumia ya chumbani kwangu ambayo ni yamezani!"
"Ok basi chukua yakwangu. Usiku kuna sherehe nahitaji twende wote"

"Kabla sijasahau. Nahitaji unitengenezee sura nyingine"
"Kwa nini?"
"Nahitaji tu, sura nyingine"
"Poa mida ya saa moja usiku nipigie, itakuwa tayari."
"Asante Pretty"
Nikachukua mizigo yangu, nikatazama kila sehemu ya kordo, nikaiona imetukia hakuna fujo za watu. Nikatbea hadi kwenye lifti, nikaminya batani na kuingia. Nikafanikiwa kufika kwangu pasipo kuona dalili yoyote ya mtu kunifwatilia. Huku akilini mwangu nikkiwazia kazi ya John aliyo wapa hao watu wake.

Nikavitoa vitu vyote ndani ya mfuko nilio uchukua. Nikasimama mbele ya kioo, nikaanza kujibandika ndevu za bandia nilizo zinunua, muonekano wangu wa sura umebadilika kwa kiasi kikubwa, hadi mimi mwenyewe nikaanza kujishangaa. Kwani nimekuwa kama mtu mwenye umri wa miaka kama thelathini na tano kwenda juu.
"Muda sasa umewadia wakulipa kwa kila aliye nikosea"
Nilizungumza huku nikizipaka nywele zangu, dawa inayo itwa 'brich' iliyo zifanya nywele zangu kuwa na rangi ya dhahabu.

Nikachukua suti yangu nyeupe, nikaiweka kitandani, nikachukua viatu vyeupe na kuviweka kitandani kisha. Nilipo hakikisha kila kitu nilicho kua nimefikiria kukifanya. Nikarudi sebleni na kuiwasha tv yangu. Huku nikisubiria mida ya saa moja usiku itimie ndio nitoke kuelekea kwa Pretty.
Nikakumbuka Pretty amenipatia namba yake ya simu.Ilanilazimu kurudi tena ndani, kuichukua simu yamezani. Nikaziingiza namba za simu yake, ikaita baada ya muda ikapokelewa.

"Hii ndio namba yako?"
"Ndio"
"Kazi yako imekamilika njoo, mida ya saa kumi na mbili. Kama nikuvalia unaweza kuja kuvalia huku huku"
"Sawa nipe dakika chache nitafika hapo"
Nikakata simu, nikachukua nguo zangu na kuziweka kwenye begi la mgongoni. Nikalipo hakikisha usalama upo nikatoka na kufunga ndani kwangu. Nikaelekea gorofa la pili alipo Pretty. Nikamkuta akiwa ananisubiria.

"Eheee mbona hiyo?"
"Ni moja ya hatua za kubajibadilisha"
"No Eddy umetiaha bwana"
"Mmmmm"
"Kweli njoo nikupambee"
Tukaingia kwenye chumba, anacho tengenezea sura za bandia. Nikakaa kwenye moja, akanitoa ndevu zabandiia, kisha akanivisha sura yabandia iliyo nifanya nionekane kijana mzuri na mwenye umri sawa na huu wangu.

"Hii kwenye kuivua si itauma sana?"
"Ndio nilazima iume sana, kutokana hapo imeshikana na ngozi, tena gundi yake ni imara sana."
"Alafu kama nilijua vile, kuziweka hizi nywele brich. Vimeendana sana"
"Umeona ehee"
Sikutamani kuondoka mbele ya kioo kujitazama sura hii niliyo wekewa kwani si rahisi kwa mtu yoyote kugundua huu mchezo nilio ufanya.

"Nimekutengenezea kitambulisho chataifa, sasa kwenye jina nimepaacha wazi, sijajua niweke jina gani?"
"Henry Derulo"
"Haya bosi"
Tukarudi kwenye mitambo ya Pretty akamalizia kutengeneza kitambulisho changu, chenye uraia wa brazili, akanipiga picha kwa sura hii ya sasa hivi na kuiscan na kukimalizia kukitengeneza kitambulisho.

"Kwanza hiyo sherehe inahusiana na mambo gani?"
"Maswala ya kibiashara, ila kuwa watu ninakwenda kuwawinda. Yaani nikifanikiwa nitapiga pesa ndefu sana"
"Mmmmm sawa"
"Muda ndio unakwenda sasa"
"Ingia kwenye hicho chumba changu, badilisha tu nguo humo ndani"
Nikaingia chumba cha Pretty kilicho pabwa vizuri. Nikaingia bafuni na kuoga. Nikavaa suti yangu, iliyo nikaa vizuri mwilini.

"Waoooooo your looking so handsome"(Waooooo unaonekana mzuri sana)
"Kweli?"
"Ndio yaani sikutarajia utapendeza hivyo"
"Asante"
"Sasa ngoja tumechishe"
"Poa mimi nimesha maliza ngoja nitoke nje"
"Subiri kuna kitu ambacho nahitaji kikae mwilini mwako"
Pretty akafungua droo ya kabati lake akatoa saa nne za dhahabu, pamoja na cheni na dhahabu.

"Chagua utakayo penda uvae"
Nikachagua nilizo zipenda, nikazivaa nakutoka nje ya chumba na kukaa sebleni. Baada ya dakika kama kumi hivi Pretty akatoka akiwa amevalia gauni refu jeupe.

"Umependeza sana Pretty"
"Asante Eddy, alafu unajua kwamba wewe ni mzembe sana?"
"Kwa nini?"
"Hujaniuliza nimekijuaje kiswahili?"
"Ahaaa hiyo ni lugha kubwa, sio ajabu mtu mweupe kuzungumza kiswahili"
"Ahaa ninajua lugha karibia kumi na moja zilizopo duniani"
"Hongera kwa hilo, ila niite jina moja la Henry na si Eddy"
"Poa kitambuliaho chako hichi hapa"

Tukafika maeneo ya maegesho ya magari akalisogelea gari moja aina ya 'Jaguar'. Akaingia, nami nikwmafwatia. Sikushangaa binti kama huyu kumiliki gari kama hii yakifahari. Mwendo wa nusu saa tukafika kwenye moja ya gorofa refu, nje kukiwa na watu wengi hususani wapiga pucha wanao chukua tukio moja baada ya jengine. Pretty akauingiza mkono wake katikati ya mkono wangu wa kushoto nilio kuwa nimeukunja kidogo. Taratibu tukaelekea ndani tulipo kuta watu wengi sana. Prety akanipa simu moja.

"Tuwasiliane kwenye hiyo simu kuna namba moja tu humu ambayo niyangu"
Pretty alizungumza huku akiniachia mkono na kwenda upande mwengine, ambapo alianza kusalimiana na watu nahisi anafahamiana nao.

Nikatafuta sehemu iliyo tulia, nikakaa, huki nikiendelea kitazama mazingira ya ukumbi huu wagorofa. Kama zilivyo kumbi za madisco makubwa. Macho yangu yakatua kwa John na Sheila wanao ingia ndani ya ukumbi huu wakionekana kuwa na furaha sana.
Wakasalimiana na baadhi ya watu aaliopo ndani ya ukumbi huu. Nikawa makini sana kwa kila hatua anayo ipiga John na Sheila ndani ya ukumbi huu. Sikutaka niwapoteze hata kidogo kwani muda muafaka wa mimi kufanya malipo kwa kila walicho kifanya umewadia

Muongoza sherehe akatuomba tuoande kwenywe ukumbi wa gorofani. Ndipo kwenye makutano makubwa yatukio zima lililo tuleta hapa. Nikamshuhudia Pretty akiwa na jibabu moja lakizungu, wakionekana niwapenzi kwa maana Pretty anajiachia sana, mara kadhaa alimpiga mabusu ya mdomoni mzee huyo. Tukiwa kwenye gazi zakupanda kwenda gorofani, Pretty akanishika mkono kisiri pasipo zee hilo kuona chochote, akaniachia funguo za gari huku akinikonyeza.

Tuakuta viti vingi, kila mmoja akaka kwenye kiti anacho kihitaji yeye. Sikukaa mbali na walipo John na Sheila. Kila muda macho yangu yakawa kwao. Taa zote zikazimwa. Tv kubwa yenye uwezo wa kila mtu kuona kiancho onyeshwa kwenye tv hiyo, likawashwa. Sauti ya kipaza sauti ikatujulisha kwamba kila mtu aliye kaa kwenye kiti chake pembeni kuna kitufe kidogo chenye uwezo wa kufanya kazi kama maiki.

"Karibuni mabibi na mabwana kwenye mnada wetu wa uzinduzi wa gari ambalo nilakipekee"
Sauti ya dada huyo ilizungumza huku picha ya gari hilo kikionyeshwa kwenye Tv kubwa, iliyopo mbelw yetu.
"Hili gari, sifa ya kwanza haliingii risasi, hwala likipigwa bomu halilipuki"

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
KWA KUTUMIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK, LIKE UKURASA HUU USIPITWE NA SIMULIZI NA MENGINE HUKO FACEBOOK

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE NAOMBA TAZAMA VIDEO HII KAMA MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA

KWA TELEGRAM JIUNGE HAPA
39 Simulizi Sorry Madam
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni