Notifications
  • MY DIARY (3)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA TATUTULIPOISHIA...Nazani sasa unanielewa ninaposema nilikuwa sina ndugu kwani baba yangu hakuwa na ndugu yeyeote zaidi ya marafiki ambao na wao kwa sasa ndio hao wameshagawana mali zote. Nimebaki mimi na dunia yangu hivyo basi nilimwomba rafiki yangu wa kufa na kuzikana kwa jina Joyce anisaidie kunisitiri nyumbani kwao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Likizo ilipoisha tulirusi shuleni na…
  • MY DIARY (2)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA PILITULIPOISHIA...Kwa ufupi japo sitaki kueleza historia yake ila kwa sasa ni shoga na teja. Baba yetu alitupenda sana na alihakikisha tunapata elimu nzuri na bora. Mimi na kaka yangu wote tulisoma International school ya hapo Moshi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baadaye kaka yangu alianza kuvuta bangi kitu ambacho kilimtia hofu baba yangu na kuamua kumpeleka kusoma nje ya nchi.Alikosea sana…
  • MY DIARY (1)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KWANZANilikuwa juu ya jukwaaa nikifanya vitu vyangu ili hali nikijua kabisa watu wote waliokuwa wakinitizama walikuwa wanaumia roho kutokana na mvuto wa umbo langu niliokuwa nao. Nilisikia mijibaba miwili ikiulizana hivi lile wowoo ni la kwake au ni la mchina? Mmoja wao akaropoka “wee kitu original hicho,kwani umemsaahau huyu binti tulishakutana nae kule Arusha mpaka tukambatiza jina la soda kubwa tena ya fanta yaani BAMBUCHA.?” Yeah nimekumbuka alidakia…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (18)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...“Mamaaaaaaaa!” Anna akapiga kelele na kutereza vibaya, miguu yake ikaliacha daraja, Seidon akawahi kukaza mikono na kumzuia, lakini miguu yake tayari ilikuwa imeacha daraja na sasa ikining’inia chini ya daraja. Anna akalia kwa uchungu sana, akijua kuwa mwisho wake sasa umefika.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...“Jipe moyo Anna, tumefika mwisho sasa,” Seidon…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (17)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Amatagaimba kabla ya kuondoka akachukua maji kutoka kwa Seidon na kumpa Anna, akayanywa kwa fujo na kuyamaliza. Nguvu zikamrejea. Anna akapanda juu ya farasi na Amatagaimba akatua nyuma yake, safari ikaanza.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Seidon akapiga mbio kwa ustadi akipita vijilima vilivyo ndani yake, “Amatagaimba, Sherhazad na Wafuasi wake…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (16)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Seidon alikuwa katika hali mbaya sana, kama ni kupambana basi alikuwa kapambana na jitu la kutisha linalowaka moto kila upande. Ilikuwa ni wakati wa kumaliza kazi aliyotumwa, akasikia radi zikipiga huku na huko, yule malaika wa moto akashtuka na akajua kwa vyovyote mvua itapiga hapo muda si mrefu, na kweli alipogeuka ulikotokea mlio ule.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (15)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Amatagaimba akarudisha upanga wake na kumpa mkono, akamwinua.“Wewe ni nani?” Amatagaimba akauliza.“Anna, naitwa Anna, Anna Davis,” akajitambulisha kwa sauti ya kukwamakwama.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...“We umeingiaje huku?” Amatagaimba akauliza tena mara hii kwa mshangao zaidi.“Nilikuwa na wenzangu, tulikuja ah, sijui hata kufanya nini, mimi nika,…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (14)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Seidon alisimama kwa taabu, akaliendea fuvu lile lililokuwa chini katika mchanga, lakini kabla hajaliokota alibaki kinya wazi, pale lilipoangukia mchanga wote uliondoka na kufanya duara, kisha lile fuvu likaonekana likiwa juu ya kitu kama jiwe jeupe safi ambalo halikuwa na hata chembe ya vumbi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Seidon aliinama na kuokota…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (13)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...“Nimeiona shida yako, nimesikia kilio chako lakini jambo moja ninaloweza kukwambia ni kwamba, nguvu zetu na nguvu za huku ni kinzani sana, nikikuahidi kukuvusha katika daraja la pepo nitakuwa mkaidi mbele ya watu wangu, kwa kukusaidia ewe shujaa wetu, nitakuonesha njia ya kuzunguka ambayo itakufikisha katika lango la Hamunaptra,IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • HAMUNAPTRA - MJI ULIOPOTEA (12)
    Jina: HAMUNAPTRAMtunzi: Richard MwambeSEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...“Seidon na Amatagaimba, nilikuwa nikiwasubiri kwa hamu kubwa mfike hapa, niliwaona tangu mbali na nia yenu njema, nifuateni,” Yule mzee akawaambia, Amatagaimba na Seidon wakatazamana kisha wakapeana ishara ya kumfuata wakaenda pamoja naye.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Mbele kidogo wakaingia kwenye piramidi moja dogo lakini lililoonekana kumegekamegeka…

MAHABA NIUE (18)

Mwandishi: Emmanuel F. Kway

SEHEMU YA KUMI NA NANE
ILIPOISHIA...
Ramsey alitembea mpaka kwenye meza yake na kuchukua kinywaji chake na kuketi pembeni ya Joylah ambae muda wote alikua akimkagua Joylah kwa jicho la wizi, alianza kumkagua lips zake alishuka kwenye maziwa yake yaliyo kua madogo kiasi na jicho kutua juu ya kitovu cha Joylah kilichokua nje kutokana na Top aliyo vaa kuwa fupi , bado hakuishia hapo alishuka mpaka kwenye mapaja ya mrembo huyo ambae alikua amevaa kika mptura cha jins.

KABLA HATUJAENDELEA NIOMBE BURUDIKA NA VIDEO HII

SASA ENDELEA...
"Shem ume kogaaa"
"hahahahahahahaha acha zako Ramsey, Kway mzushi sana, leo ili kua twende kwenye show ya DIAMOND pale Darlive, kani fanya nivae ivi mwisho wake ana niambia eti ana mambo mengine, kanikera sana shemeji, katika maisha yangu mimi sipendi kufanywa kama mtoto, eti shem wewe una weza kumdanganya mtu wako?"
"mimi siwezi hata siku moja huwa ni mtu wa kutekeleza ahadi, hasa kwa mtu ninae mpenda, ila msamehe kway si unajua tena hawa waandishi tena wa stori mambo mengi"
"nime choka bana kwani leo mara ya kwanza sasa, sio mara yake ya kwanza, yaani yule anaangalia sana pesa kuliko mimi, muda wote yeye ana waza pesa,mara uta sikia kuna kazi ya mtu ya kuandika stori sijui niko bize"
"aaah sasa si kwa faida yenu iyo pesa ipo siku uta jua umuhimu wake, pia vile vile kabila lina ruhusu mchaga na pesa, hapana chezea"

stori ziliendelea huku Joylah kuonekana kufurahi muda wote kukaa na Ramsey sababu muda wote alikua akicheka mpaka wakati mwingine anamgonga Ramsey ,mgongoni..

baadae Kway ana kuja na kukaa pembeni ambapo pombe ziliongezwa tena
"mmmh yule dogo kama nam fananisha embu nisubirini nakuja"

ramsey aliongea huku alimuendea mtu aliye muona kavaa kofia nyeusi huku pembeni akiwa na warembo wawili.
"DEDI MWITA, mwambaaaaa"
"oooyaaaaaa Ramsey vipi mwana, nishai nishai babuuu, upo wapi? nipe code nipe code."
"hahahahah DEdi hawa wakina nani tena"?
"huyu ana itwa GYna na huyu ni shemeji yako ana itwa Bernadita nime kuja one time nini REAL NIGA SHIT,nigee namba zako nita kucheq naenda DARLIVE kumcheq platnumz"

pale wali badilishana namba na DEDI kuondoka huku akiingia ndani ya VITZ yake na kuchapa mwendo Ramsey alirudi kukaa juu ya kiti na kuendelea na stori, walibadilishana namba na joylhah pamoja na Kway na kuondoka zake akiwaambia kuwa kesho ana takiwa kuwahi kazini, baada ya kuingia ndani ana sikia ujumbe mfupi na kuusoma

"RAM GUDNYT IT WAS NICE TO SEE YAH TODAY"

ulikua ni ujumbe mfupi kutoka kwa Joylah na kumfanya Ramsey amwangalie pale alipokua amekaa na macho yao kugongana, aliwasha gari na kurudi Mikocheni,
hakujibu sms ile baada ya hapo aliingia bafuni na kujimwagia maji na kuji tupa kitandani.

***********

"kwichi kwichi kwichi"

zilikua ni kelele za kitanda kutoka kitandani ambapo Ramsey alikua akimla uroda Josephine huku akibadili kila ina ya mkao kitandani hapo,
"aasshh aaaaah Ram stooo..p ba,,,,,by"
pilika zilianza Ramsey akiwa makini sana juu ya kiuno

cha Josephine aki shughulika na mrembo huyo.

"ngongongo"
ulikua ni mlio wa hodi kutoka kwenye mlango na kuwa fanya wakurupuke na kustaajabu nani aliyekuwa akibisha honi na kuwa katisha raha zao.
"nani"?
aliuliza josephine
"wewe mwana mke fungua mlango?"

ili kua ni sauti ya Mr, mwasha ambayo ili sikika ikiwa na jazba nyingi sana.
"mungu wangu mume wangu"
"unasemaje wewe si ulisema amesafiiri?"
"mimi mwenyewe nashangaa"
"sasa ita kuaje"?
"ita kuaje kivipi"?
"sasa ingia bafuni"

purukushani ilianza na Ramsey kuanza kuji ficha bafun huku akibeba boxa pamoja na nguo zake aliingia bafuni haraka haraka na kitulia.
"wewe mwanamke fungua na huyo unaye mficha sasa hivi naomba atoea maana nita ua mtu ."

Mr, mwasha aliongea maneno hayo na kumfanya Josephine azidi kuchanganyikiwa, kweli alifungua mango na Mwasha kuingia huku akionekana kumtaffuta mtu aliingia ndani ya makabati moja kwa moja na kuonekana kumtafuta mtu, baada ya kumkosa aliuendea mlango wa bafuni ambapo Ramsey alipo kua amejificha huku jasho jembamba likiwa lina mtoka na kujutia kwanini ali kua ana tembea na mke watu.
"mume wangu nini tatizo/"?
"hivi una niona mimi fala sana eeeh,? mimi sio fala wala bwege humu ndani kuna mtu, na sasa nita mpata na nita muuwa mimi mwenyewe na kelele usiiongee MALAYA mkubwa wewe,pumbavu sana wewe, pumbavu mwili mzima"

Mr, MWasha laitoa bastola kiunoni na kuufungua kitasa cha mlango. macho kwa macho alikutana na Ramsey ambae alikua ameshika boxa mkononi huku akiwa na jasho jingi mwilini....

"Ramsey.... njoo pumbavu wewe yaani leo nakuuwa ,, toka nje fala wewe kacha kacha"

Mr, mwasha alikoki bastola yake huku akimtaka Ramsey atoke nje..



jasho jingi lililo ambatana na uwoga mwingi vili mfanya Ramsey tumbo la kuhara limbane alichokua ana kiona mbele yake si kingine bali ni kifo.
"nisamehee mzee wangu"
"si una jifanya una jua kuto**** wake za watu si ndio, sasa leo ndo uta kiona cha mtema kuni"
"mume wa,,,,"

kabla ya kumalizia sentensi josephine alipokea kitako cha bunduki kichwani na kudondoka chini, RAmsey alivutwa mpaka sebleni ambapo baadae Josephine ana letwa na kukalishwa chini.
"mzee wangu nisamehe sana, ni shetani tu, sitorudia tena haki a Mungu tena,"
"shetani sio?! nataka nimtoe huyo shetani leo ndani yako una leta mambo ya kise**** hapa kama uli zoea kuwa tia tia wana wake wengine za watu , huko huko ila hapa umeingia sipo, sasa kwa taarifa yako nili kua nakufuatilia mwanzo mwisho hata nikikuua sasa hivi nina kithibiti"
"basi basi basi, naomba simu nimpigie dada yangu Loydah jamani mzee wangu, usiniue nipo chini ya miguu yako"
"okay chagua moja, nikate iyo Mb***** yako au niwa ite vijana wakufi*****, chagua moja kati ya hayo mawili"

ki ukweli upande wa Ramsey hakua na jibu la kuchagua kutokana mambo aliyoa mbiwa achague kwake yote yalionekana kuwa magumu, aliji kuta ana babaika sana na kuanza kulia kama mtoto mdogo huku akitoa machozi mengi akiomba msamaha.
"naomba unia chagulie mengine mzee wangu"
"sasa basi nime kupa uchague umeshindwa, mimi nakuchagulia yote mawili ufi*** na iyo ikatwe"

baaada ya hapo Mr, mwasha aliingia chumbani na kutoka na baasha ya kaki na kutoa picha kadhaa ambazo alionekana Ramsey akiwa na Josephine wapo bich na nyingine wakiwa sehemu mbali mbali.
"huu ndo usha idi tosha"
KIpindi hiko josephine alikua kainama akilia sana akimuomba mume wake msamaha asifanye kile ana chotaka kukifanya kwa wakati huo.
"Nawewe malaya nyamaza, nili kupenda sana mke wangu, nili kupa kila kitu, ukawa mwana mke wa kisasa, leo hii una tembea na huyu mchimba chumvi, wewe kesi yako baadae ngoja nima lizane na huyu anae jiita kidume"

Mr, Mwasha alitoa simu na kubonyeza namba fulani ambapo baadae ana iweka loud spika na kufanya sauti isikike mule ndani

"halloo shebby kuna kazi hapa, uje kwangu, mwambie na Abby aje sasa hivi, mje na vijana wengine kama nane hivi"
"bosi kazi kama ile ya mara ya kwanza?"
"ndio njoeni ila hii ongezeni vijana wenye mashine kubwa"
"sawa bosi usijali sasa hivi wapo vijana wana mashine kama nguzo"
"hao hao njoo nao sasa hivi tena tafuta wengine wenye mashine kubwa hata zaidi ya nguzo"

simu ile ili katwa na Mr, Mwasha akiwaangalia Josephine na Ramsey ambao muda wote walikua wakitokwa na majasho mengi sana,
alisimama na kuingia chumbani ambapo baadae ana toka na kamera ndogo na kuiwasha ambapo alianza kuchukua mkanda wa video huku akimchukua Ramsey na kamera ile,
"hii video nita irusha kwenye mitandao ili wenye tabia kama zako waweze kuji funza kuwa mke wa mtu ni sumu kali sana"
baadae vijana wana ingia wapatao kumi wenye misuli sana na kuambiwa wamshughulikie Ramsey kwa nia ya kumuingilia kinyume na maumbile.

"aya bong"oa mwenyewe ili zoezi hili liweze kuisha kiulaini bila kutumia nguvu yoyote ile sababu ukileta ubishi utafanya upate maumivu makali, shika kiti hiko fasta fasta inama dogo"

jitu lile jeusi lenye misuli mingi lilianza kumvuta Ramsey na kumvua boxa yake aki tumia nguvu na kufanikisha zoezi la kuivua boxa na kumfanya RAmsey abaki kama alivyo zaliwa kilicho kuwa kina tokea mbele yake hakutaka kuamini huku video ikiwa ina chukuliwa.
"blazza blazza . sisi wote ni watanzania, leo kwangu kesho kwako kaka, subiri tuzungumze kaka, jambo unalotak kufanya sio zuri mshkaji, embu subiri kwanza kaka"
"shika shika iyo stuli,"

jamaa lile halikutaka kusikia alicho fanya alifungua zipu yake na kutoa mashine yake iliyo kua kubwa sana na kuanza kuipiga piga juu ya makalio ya Ramsey,

baadae wana kuja wengine na kumshika mikono na kumfanya asiweze kufanya fujo, walivyo hakikisha katulia jamaa lile lilichomeka mashine yake ndani ya mku*** wa Ramsey

**************

"griiii griiiiiii grrriiii"

mlio wa simu ulio kua ukiita ndio ulio mshtua usingizini na kumfanya akurupuke cha kwanza kufanya alianza kuji shika makalio yake , hakuridhika aliingia bafuni na kuvua nguo zote na kugeuka ili azidi kuya chunguza makalio yake ili aha kikishe kweli alikua ndotoni.
"ndoto gani hiii"?! aliropoka

Ramsey ndoto ile aliyoota ili mchanganya sana alivyoangalia saa ya ukutani aliikuta tayari ime timu saa tano asubuhi na kugundua kuwa muda ume kwenda sana na amechelewa ofisini, aliiendea simu na kuona simu ya Josephine ndo

inakata alivyoangalia vizuri alikuta missed call sabini na tatu zote za Josephine, baadae simu iliiita na kuiweka sikioni.

"Ramsey una matatizo gani, muda wote nakupigia simu hupokei?"
"Josephine achana na mimi, usije ukani tafutia matatizo na mumeo, sitaki tena na kazi yako sitaki , njoo uchukue kila kitu chako na ndo uwe mwisho wetu mimi nawewe"
"Ramsey mbona sikuelewi mpenzi wangu?!"
"hunielewi nini sasa?, siku taki sitaki kuwa nawewe, hunielewi nini sasa"?
"baby naomba ukacheki malaria"
"kwaio nina malaria mimi sio."?
"baby sio ivyo jamani ina wezekana maana siku izi huwa zina panda kichwani nakuja twende hospitali basi, nime fanya nini lakini? basi nakuja tuongee"
"tuongee nini siku taki alafu mimi sina malaria shenzi wewe, yaani ukija hapa uje kuchukua gari yako na nyumba yako , tena huto nikuta uta kuta funguo mezani"
"Ramsey no. please nakuomba ngoja nije basi uniambie vizuri"

Ramsey alikata simu huku akiendelea kuta fakari nini maana ya ndoto ile na kumfanya akose raha, alienda mpaka jjikoni na kutengeneza chai na baada ya hapo kuanza kunywa,

alitoka hapo na kuingia kuoga ili atoke ila kabla ya kutoka tayari josephine aliingia akiwa mwenye sura ya unyonge sana,

"Ram baba nambie nini tatizo"?
"mumeo ndo tatizo,"
"kafanya nini"?

ili bidi ramsey aanze kumuhadithia ndoto ile aliyoota kila kitu bila kumficha.
"hahahaha Ramsey baby wangu ile ni ndoto tu"
"lak...."

Ramsey alitulizwa kauli baada ya Josephine kuanza kumnyonya mdomo huku wakianza kulana denda taratibu ,
ambapo josephine alimpandia kwa juu yake wakiwa juu ya sofa lile, Ramsey aliji kuta ana sahau habari za ndoto na kuanza kucheza na mdomo wa Josephine ambapo anaanza kumvua blauzi ya juu na mwishowe kumtoa sidiria na

kuanza kumnyonya maziwa nayeye josephine hakuta ka kutulia alichukua mkono wake na kufungua zipu ya Ramsey na kuitoa koki hiyo ya Ramsey ambayo ili kua nene na ndefu ambapo tayari ili kua imesimama na kuwamba.

USIIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
KWA KUTUMIA AKAUNTI YAKO YA FACEBOOK, LIKE UKURASA HUU USIPITWE NA SIMULIZI NA MENGINE HUKO FACEBOOK

KWA KUWA NAKUPA SIMULIZI BURE TAZAMA VIDEO HII KAMA MALIPO YAKO KWA KAZI NINAYOIFANYA

KWA TELEGRAM👇BONYEZA HAPA
40 Mahaba Niue Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni