MAMA ALISHIKWA KALIO MBELE YANGU (31)

0

SEHEMU YA THERATHINI NA MOJA
TULIPOISHIA...
Kitendo hiki kilimfanya Rafiki aanze kujinyonga na kutanua miguu yake huku akiwa anatamani kama vile avuliwe nguo.
Dr kelvin alilielewa hili akaamua kuitoa chupi ya Rafiki na kupandisha nguo yake juu kisha mapaja mazuri meupe ya Rafiki yakawa wazi.

IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI

TUENDELEE...
Aliponyanyuka avue zake akakuta sura ya mtu ikiwa imekodoa macho kule ndani kwa hasira za kufura…………

Sam aliondoka hospitalini kwa kutoroka akielekea kule hospitali kwa lengo la kuonana na mke wake amuombe msamaha.
Alifika hospitalini huku anahema sana kwa kukimbia kwani hakutakiwa aonekane kwa askari wengine ambao wangeweza kumpa taarifa RPC.
Alipofika pale hospitali ilibidi apenyeze rupia kidogo kwa walinzi ili wamruhusu kupita kwani muda wa kutazama wagonjwa ulikuwa umekwisha.
Alizama mpaka ndani akaulizia alipolazwa mke wake akaonyeshwa.
Wale manesi walimwambia asubiri kidogo kwani mgonjwa wake yuko na Dr ndani.
Sam ilibidi aulize kuwa Dr atakaa muda gani kwakuwa alipaswa arudi mahabusu kabla wakaguzi hawajapita.

Wale manesi walimwambia kuwa hatachukua muda mrefu hivyo asiwe na wasiwasi.
Sam alikaa kwenye benchi akasubiri, alisubiri na kusubiri lakini Yule dokta hakutoka.
Akili yake sasa ikawa iko juu juu na muda wote akawa anatazama saa yake, alipoona kuwa muda unaenda sana ilibidi asogee kwenye ukuta wa kile chumba alicholazwa Rafiki.
Pale alikuta vioo vinavyoonyesha mpaka ndani isipokuwa mapazia yalishushwa na kuacha mwanga kidogo kwenye maeneo ambayo mapazia hayakufunika vyema.
Alichokiaona kilimtia wasiwasi kidogo lakini akahisi kuwa huenda ndio matibabu yenyewe na hakutaka kuharibu mambo ikiwa amekuja kwa ajili ya hitaji la msamaha.
Aliamua kurudi tena kwenye benchi na kukaa, alikaa kama dakika tatu hivi na kurudi tena, safari hii alishihidia mapaja ya mke wake yakiwa wazi kabisa na ni muda huu ambapo dokta Kelvin alikuwa anaamka ili vue nguo afanye yake.
…………………………….
Dr Kelvin alipotaka kufungua suruali yake aliona mtu akiwa anaangalia kwa kuchungulia mule ndani na tayari alimjua kuwa ni mume wa Yule dada kwani alikuwa anamfahamu.
Alichezesha akili yake haraka haraka na kujifanya anaokota kifaa cha kusikilizishia masikioni kisha akaondoka nacho hadi pale alipolala Rafiki na kumuwekea kifuani huku kwa sauti ya chini akamwambia Rafiki
“Mumeo yupe pale dirishani ila usishtuke”
Dr Kelvin aliucheza vizuri ujanja wake kisha akamwambia Rafiki kwa sauti sasa kuwa usiache kumeza dawa ambazo umeambiwa umeze sa nane usiku.
Aliposema hivyo aliondoka kisha akasalimiana na Sam ambaye alimkuta pale mlangoni lakini Sam hakuweza kumjibu kwani akili yake bado ilikuwa kwenye ganzi.
“Sam umefwata nini hapa?”
“Nimekufwata wewe mke wangu”
“Mimi sio mkeo, tafadhali naomba uondoke la sivyo nampigia simu Baba”
“Siwezi kuondoka mke wangu, naomba usinifukuze, nakupenda sana”
“Ondoka sam sitaki kukuona shetani wewe”
“SIondoki na mimi sio shetani mimi ni mume wako”
“Nakuhesabia mara tano usipotoka napiga makelele”
…moja…mbili…

Sam alipoona vile alianza kurudi nyuma taratibu huku akiwa anahofu ya kupigiwa makelele kitendo ambacho kingemfanya azidi kuharibu maana taarifa zingeweza kuwa amefanya fujo hospitali.
Alipofika mlangoni aliona sio sawa kuondoka bila kutimiza lengo.
Alichofanya alipiga magoti na kuanza kutembea nayo kitendo kilichomstaabisha Rafiki, sam alianza kulia kiuongo akisihi sana asamehewe.
“Tafadhali Rafiki, wewe ni mke wangu, kumbuka tumefunga ndoa kanisani, kumbuka wewe ndie kila kitu kwangu, tafadhali usiniache nimekuzoea mama, ukiniacha mimi le oleo najipiga risasi”
Rafiki aliduwazwa na kile kitendo cha sam kujishusha kiasi kile kwani alikuwa hajawahi kumuona kamwe akiwa vile.
Hii ilikuwa ni mwanya kwa Sam ambaye alifanikiwa kutembea na magoti yale mpaka pale alipolala mkewe na kulaza kichwa chake pale huku akilia asamehewe.
“Mke wangu..mke wangu, nisamehe mke wangu”
Rafiki alianza kujiwa na roho ya huruma akajikuta nae machozi yakimjia. Alitamani kutamka nimekusamehe lakini alipokumbuka alivyoachwa nje akiwa amezirai hasira zilirudi upya na kumsokomeza Sam hadi chini kabisa ambapo alidundiza kichwa na kutulia kimyaaa!
Rafiki alishtuka mno ikabidi aamke pale kitandani na kushuka hadi chini amuangalie Sam ninini kimempata.

Alimuita kwa sauti ya upole…sam, sam..Sam, Sa…m lkini alikuwa kimya kabisa.
Aliita tena mpaka akafika hatua akaita mme wangu…mme wangu….mume wanguuuu lakino Sam alikuwa kimya kabisa.
Alimtingisha na kumgeuza usoni akakutana na Sura ya Sam ikiwa imetoa jicho kama mtu aliyekata roho kabisa.
Hapa ndipo alipoanza kuogopa zaidi akijua kuwa ameua.
Alitamani awaite madaktari lakini alipokuwa anafika mlangoni akawa anajikuta anarudi tena, akiwa katika hali hiyo alimuona mama mmoja nesi akija kule chumbani kwake.
Aliwaza kama Sam atakuwa amekufa na Yule nesi akimuona si itakuwa anaenda kufungwa! Woga ulikuwa umemshika barabara.
Mlango ulifunguliwa Yule nesi akaingia na kukutana na mwili wa mtu pale chini akapigwa na mshangaoo, kwa jinsi alivyomuona Rafiki anahaha aligundua kuwa moja kwa moja kuna kitu Rafiki amemfanya Yule mtu pale chini.
………………………………..
Familia ya Gwakisa ni kama vile ilikuwa na Msiba, Verity ndani ya siku chache alikuwa kakonda kwa kumkosa mwanae wa pekee.
Pamoja na jitihada kubwa za jeshi la Polisi na vyombo vingine vya usalama lakini Princess alikuwa hajapatikana.
Taratibu Verity alianza kukata tama akiamini kuwa huenda hatomuona tena mwanae. Mbaya zaidi ushiriki wa Mume wake kwenye lile jambo ulionekana kukatika mara tu baada ya kutekwa na kupigwa na watu wasio julikana.
………………………
Gwakisa akiwa ndani ya Gari na Yule dada askari walisimamishwa ili wakaguliwe ili hali mule ndani walikuwa wamebeba kiasi kikubwa cha madawa ya kulevya aina ya Cocaine na Heroin.
Hofu ilimshika sana Gwakisa lakini Yule dada alikuwa hana hata chembe ya Woga.
Wale askari waliwaamuru washuke kwenye gari, Gwakisa alikuwa wakwanza kushuka lakini Yule dada hakushuka.
Wale askari walianza kulisogelea lile gari huku Bunduki zikiwa zimeelekezwa kwa Yule Dada ndani ya Gari………………
Askari aliyekuwa ametangulia mbele alimuamuru Yule dada kwa mara nyingine ashuke kwenye gari lakini wala hakutii.
Alimwambia kuwa ile ilikuwa ni mara ya mwisho ashuke na kama asingefanya hivyo angemfyatulia Risasi lakini wala Yule dada hakujali.
Ghafla milio ya Risasi ilisikika huku askari wawili wakiwa wameangushwa chini kwa kupigwa risasi visogoni na maaskari wenzao.

Yule dada alimuita Gwakisa..
“Weeee ku..Ma njoo uendeshe gari twende”
Gwakisa na uanajeshi wake Tena meja wa Jeshi kabisa lakini kilichotokea pale hakukielewa.
Yani askari waliokuwa pamoja badala wawaue wao waliokuwa wahalifu lakini wanawaua wenzao waliokuwa pamoja.
Hii ilimshangaza sana Gwakisa akatamania amuulize kitu Yule Dada lakini akaona aache kwanza
Aliendesha kwa kasi mpaka wakafika sehemu yao ya kila siku na kutua mzigo kisha wakaenda sehemu maalumu ya kupumzikia wakakaa kisha kuanza kupata vinywaji mbalimbali.
Kulikuwa na mabwawa ya kuogelea ambapo wale washirika wenzao baadhi walikuwa wanaogelea huku wengine wakinywa wine.

Gwakisa akili yake yote ilikuwa inawaza lile tukio la mauaji ya askari wawili kule walikotoka.
Ghafla akiwa anawaza alitokea Yule baba ambaye mwanzoni ndie alionekana kuwa kiongozi wa wale wengine hata siku ile ndie akamkabidhi kitita cha fedha.
Alimsalimia Gwakisa kwa furaha hku akimsifia kuwa anaendelea kufurahishwa na utendaji wake wa kazi.
“umeona kilichotokea kwa wale maaskari kule njiani Gwakisa?”
“Ndio nimeona”
“sawa sawa sasa pale nilitaka tu nikuoneshe ni jinsi gani nina nguvu kubwa, wale nimewaua kama somo kwako tu ili usihofie unapofanya kazi namimi na ujue unafanya kazi ya mtu wa aina gani na mwenye nguvu kiasi gani”
“lakini si watatutafuta tutakamatwa mkuu?”
“Kwani umeua wewe au wameuawa na maaskari wenzao?”
Gwakisa ilibidi akae kimya kwani ukweli ni kuwa hakuua yeye.

Gwakisa alikuwa benki anataka kutoa hela ili akamalizie malipo ya mafundi wanaojenga nyumba yake ya ghorofa katikati ya mji wa Mbeya.
Lengo lake ni akatoe shilingi milioni themanini lakini alikuwa hana kumbukumbu kuwa fedha kwenye akaunti yake ilikuwa imebaki kiasi gani kwani alikuwa na akaunti mbili.
Moja kwamoja alielekea mapokezi na kukutana na wadada wawili warembo ambao walikuwa wamevalia sare za kazi akasalimiana nao.
“Samahani dada,”
“bila samahani, ”
“Naomba niangalie salio langu”
“Sawa naomba kadi yako”

Gwakisa alitoa kadi yake akaikabidhi kwa Yule dada wa mapokezi kisha akapitisha kwenye kijimashine na kusoma kwenye komputa yake.
Yule dada alionyesha kama mshtuko flani hivi kisha akamuangalia Gwakisa kwa jicho la wizi huku akiwa kama anarembua macho yake mbele ya Gwakisa.
“Kaka samahani naomba unifwate”
Gwakisa alifwatana na Yule dada hadi wakafika kwenye mlango umeandikwa ‘Branch Manager’ kisha ukaminywa ukutani na kufungunguka.
Waliingia hadi kule ndani wakakuutana na mama mmoja ambaye alikuwa amevaa suti nyeusi na kitambulisho chenye jina na cheo kinachoonyesha yeye ndie meneja wa lile tawi.
Yule dada aliongea na Yule mama maneno machache kisha akatoka huku Gwakisa akikaribishwa akae kwenye kiti kilichokuwa mbele yake.

Alichotakiwa Gwakisa ni kutoa maelezo kuhusu fedha zilizokuwa kwenye akaunti yake kwani zilikuwa nyingi sana kiasi ambacho maelezo yake yalihitajika.
Siku zote kuna kiasi cha hela ambacho kikiwa kwenye akaunti yako inatakiwa ifahamike na iwe na maelezo kwani ni katika kujiepusha na fedha haramu.
Ukweli ni kwamba Gwakisa alikuwa hajui kama akaunti yake ilikuwa na fedha nyingi kiasi hiki na aliwekewa bila taarifa.
Wakati wa mahojiano alikuwa anababaika kitendo kilichomtisha Yule meneja ikabidi awekwe kizuizini.
Alipokuwa kizuizini ilibidi ampigie simu Yule dada askari ambaye ndani ya muda mfupi alifika pale huku akiwa kwenye mavazi yake ya uaskari.

Kile alichoongea Yule dada kule ndani Gwakisa hakukijua ila baada ya dakika chache alitolewa huku akikabidhiwa na kiasi cha hela alichotaka kutoa.
Moja kwa moja waliingia kwenye gari la Yule dada mpaka kule alikokuwa anaenda kulipa mafundi wake akamalizana nao huku akishuhuia ujenzi wa ghorofa lake unavyoendelea kwa kasi.
Walipomalizana waliondoka mpaka nyumbani kwa Yule dada askari kisha wakaingia ndani na kitu cha kwanza Yule dada alimfwata Gwakisa na kuanza kumpapasa kifuani.
“Baby kifua chako kinanimaliza kabisa ”
Gwakisa aliguna tu huku anatabasamu, alishajua kile ambacho huyu mrembo anataka, alijiachia ili amruhusu apapase kifua chake atakavyo.

Naomba Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

JIUNGE KWA UPDATE NA BURUDANI ZAIDI
WhatsApp Channel=> CnZ Media(Follow)
Telegram Channel=> CnZ Media(Join)

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)