MAMA VANESSA (10)

Zephiline F Ezekiel
0

SEHEMU YA KUMI
ILIPOISHIA...
“Lucas asante sana jana umenipa penzi tamu ambalo sijalipata tangu niingie kwenye ndoa. Wewee ni mwanaume lijali.

“Nashukuru Mama Vanessa hata mimi nimefurahiswa sana na nakiri wewe ni mwanamke mtamu kuliko hata mapenzi yenyewe.”

KAMA SIMULIZI HII UNASOMEA NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI KUPATA VIPANDE VYOTE KWA WAKATI
👉GUSA HAPA KU-INSTALL👈

ENDELEA NAYO...
Wote walifurahia na kuendelea kuweka mikakati huku mama Vanesa akisisitiza na anatamani raha hizo ziendelee milele katika maisha yake. Mama Vanesa aliongea kwa hisia sana na alionesha ni jinsi gani alivyokuwa amechoshwa na penzi la baba Vanessa. Hadi muda huo mama Vanesaa alikuwa hajawasha simu. Na alikuwa hataki kufanya hivyo mpaka hapo atakapofika nyumbani.Alijua kabisa ugomvi wake utakuwa mkumbwa sana.

“Kwa hiyo Lucas mimi kwa raha nilizozipata naomba tuendelee kuwa wapenzi wa siri. Kama tatizo ni pesa, hilo niachie mimi nitakusadia utafanikiwa ..Nihadi kama utaweza huu mpango.

“Nitaweza mama Vanesaa lakini mwish wa hili ni nini?”

“Utakuwa aumelipa kisasi na dawa ya kisasi ukilipe kwa muda mrefu..Tusiwe na haraka sana maana hatutafanikiwa kama baba Vanesaa akigundua kwa haraka nia yetu.

“Sawa mama Vanesa mimi nipo tayari kwa yote ila hakikisha unanisaidia kutoka kwenye hali hii ya umasikini..

“Hilo ondoa shaka kwa kuanzia …” alisita kidogo kisha kuvuta mkoba wake na kutoa hundi. Alimwandikia pesa ya kutosha ili aende kutoa banki. “Hii itakusaidia ulipe kodi na ningekushauri kama ungeweza hama Musoma..

“Kwa nini nihame Musoma?

“Kwa sababu za kiusalama maana baba Vanesa sio mtu mzuri kabisa anaweza hata kutoa uhai wako..

“Sawa basi nitahama kwa kuwa kodi yangu na yenyewe imeisha lakini….”Lucas kabla hajamaliza alikatishwa.

“Lakni nini? Sikia nakuomba usiwaze tena kuhusu ile kazi yako ambayo ulikuwa ukiifanya mwanzo. Ile itakutia matatizoni zaidi. Tena usiangaike na habari za kwenda sijui idara ya kazi ni kupoteza muda wako. Baba Vanesa ni mtu anayeheshimika sana na ni mtu muhimu sana kutokana na michango yake ingawa hayo yake ya ufirauni na uhuni huwa hayapewi uzito. Ana watu wengi sana hivyo hutoweza kumshinda.

“Mama Vanessa nakuelewa sana na nipo tayari lakini tambua roho inaniuma sana. Kwa nini anipokonye mke wangu?.Mwanamke niliyetoka naye mbali. Mwanamke ambaye nimemsomesha na kumgharamia sana.

“Pole sana najua unaumia lakini ngoja nikuulize kitu, kwenye maisha wewe unataka nini hasa?

“Furaha amani upendo na maisha bora”

“Unahisi siwezi kukupa vyote hivyo”

“Sina uhakika”

“Ok mimi nitakupa chochote utakacho na ata ukitaka aniwe mke wake itakuwa sema nini unahitaji ambacho ndicho hofu yako kubwa?”

“Familia, mimi ni kijana ambaye umri umeenda nilivyooa nilitarajia yule mwanaume anizaliwe mtoto na mimi niitwe baba.

“Jambo rahisi sana mimi nipo tayari kuuzalia mtoto ila kwa sharti moja?

“Kunizalia mtoto!!! Sharti gani hilo?

“Kwamba tutafanya siri na tutammbambikizia hiyo mimba baba Vanesa. Alafu baadaye mtoto akishakuwa ndo utamchukua.

“Mmmm sikuwahi kuwaza kama unaweza kuwa tayari kwa kila jambo. Lakini mama Vanesa kwanini unataka kunifanyia yote haya?

“Kwa sababu nakupenda”.

Lucas ilibidi awe mpole alishindwa kuelewa huyo mwanamke kwa nini aliamua kujitoa muhanga kiasi hicho. Hakuelewa na haukamini kama mke wa boss wake anaweza kumkubali kiasi hicho na eti yupo tayari hata kumzalia mtoto.

“Mama Vanessa nahisi hujui ulisemalo. Nahisi wewe umachanganyikiwa na ndio maana unaongea vitu ambavyo hutoweza kuzifanya. Yaani wewe kila kitu unataka kunifanyia.. Nikuombe nikupe muda ukatafari kila jambo tulilotenda na yulilopanga kutenda na ni madhara yake.. Ukishatafakari ndo tuje tuzungumze tena hata mimi nahitaji tafakari kidogo.

“Asante Luas usiwe na hofu maihsa ni mipango na kwa kuwa unaonekana uniamini nipe huo muda unaousema nitakuaminisha. Kwa sasa mimi narudi zangu Musoma tutazidi kuwasiliana na utanitafuta kwa namba ile ya siri ambayo nimeinunua kwa ajali yako tu.

“Sawa haina shida safari njema.”

Walaigana kwa mtindo huo na mama Vanesa aliondoka na safari ya kurudi Musoma ilianza. Alipanga kushukia Bunda ili kufuatilia mambo yake ya biashara na akifika huko ndo ampigie mumewe. Alifika Bunda baada ya masaa mawili. Alifika kwenye moja ya sehemu yao ya biashara. Hapo alipigwa na butwaa mara baada ya kumkuta mme wake. Alipanga kumdanganya kuwa alikuwa huko..

Alirudi kinyumenyume na kuamua kuondoka zake. Mishale ya hatari ilipiga kichwani mwake na kuhisi kama wataonana huko inaweza kuleta shida. Alihisi kuwa ataulizwa maswali ambayo kwa kweli atashindwa kuyajibu na kufanya mambo kuzidi kuwa magumu. Alirudi kisha kupanda gari na kuanza safari ya kwenda Musoma. Baada ya kupanda gari aliamua kuwasha simu ili kuona sms zilizoingia na jinsi ya kujipanga kama atakuta za mme wake. Akiwa njiani kuna sms iliingia kupitia namba ngeni.

“Najua hunijui lakini mimi nakujua. Kama mwanamke mwenzangu hili linaniuma sana maana si kwa umalaya huu. Ni hivi mumeo yupo Bunda na anauhusiano wakimapenzi na binamu yako Lisa yule ambaye anasimamia biashara zenu huku Bunda. Ingia WhatasApp nimekutumia ushaihidi wa picha usije sema nataka kuivunja ndoa yako.” Ilikuwa ni sms iliyotumwa na mtu ambaye hakujitambulisha ni nani. Mama Vannesa alirudia kuisoma ile sms zaidi ya mara tatu kisha akawasha data ili kuona hizo picha. Ni kweli mme wake alikuwa yupo na ndugu yake huyo. “Jamani Lisa mbona ataniua kwa presha” mama vanesaa aliropoka mara baada ya kuona moja ya pozi ambalo lilionesha kuwa kuna kitu kilikuwa kikiendelea. Machozi yalimlengalenga na alijuta kuolewa na mwanaume huyo. Roho ilimuuma sana na alishindwa kuelewa baba Vanesa alikuwa na pepo gani.

Ingawa picha hizo hazikuonesha moja kwa moja kuwa kulikuwa na ushaidi kuwa watu hao ni wapenzi lakini kilichomuuma ni binamu yake kumdharaua. Anakumbuka alishamuonya kuwa kamwe hasiweke mazoea na shemeji yake lakini yeye amaemua kumgeuka. Atakipata anachokitafuta na kumuoneshea kuwa mimi huwa sijaribiwi safari yake ya kurudi kijijini imeiva. Nitamrudisha ndio nitamrudisha hata kama ndugu zangu watanichukia ila hawezi kuwa na uhusiano na mme wangu.” Mama Vanesa aliwaza vitu vingi sana huku akijiuliza kwa nini mambo hayo yanamtokea wakati huu. Alijiuliza pia kwanini mme wake hakumtafuta jana na kutaka kujua alilala wapi. Aliona ishara zote kuwa kwa sasa ndoa yao inakwenda kuharibika.

Alifanikiwa kufika Musoma salama na moja kwa moja alienda nyumbani kwake. Alivunguliwa gati na mlinzi. Alitaka kuuliza kama mumewe mara ya mwisho kupita kwenye geti hilo ilikuwa saa ngapi lakini roho yake ilisita na kuona kama jambo hilo halijakaa vizuri na sio vizuri. Aiingia ndani na alimkuta dada wa kazi hapo sebuleni. Dada huyo kwa heshima alimpokea mkopa na kuupeleka chumbani.Baadaye alimwita na kumuuliza maswali mawili matatu ili kujua kama kweli mme wake alilala hapo au la.

“Hapana dada hakulala maana jana wewe ulivyoondoka muda mchache tu na yeye aliondoka. Na mimi kwa akili yangu nilijua labda amekufuata.”

“Sawa enedelea na shughuli zako na akija akikuuliza kuwa nimelala hapa mwamabie ndio.”

Mama Vanessa alaiingia ndani ya kujimwaga kitandani. Mawazo ju y mustakabali wan do yake sasa yalimtawala. Roh ilikuwa ikuuuma sana. Baba Vnaesa afaney umala wake sehemu zzoet sio kwa ndugu zangu huku ni kunizaliisha na kunishushia thamani. Hivi kweli anaweza kutembea na ndugu zangu. Yaani hili pepeo la umaaya siji ameliapa wapi. Mama Vvanesa aaliendelea kutingwa na mawazo, Mawazo yaliyofanya kitanda kuonekana kichungu. Aliamka na kwenda bafuni kuoga. Airudi akajilaza. Alipitiwa na kausingizi kausingizi kilichochagizwa na mlindikano wa uchovu wa raha alizokuwa akipewa usiku kucha wa jana.****

Lucas Manyama kijana ambaye alikuwa na chuki ya kulipa kisasi baada ya kuachana na mama Vanesa alimtafuta rafiki yake Kimaro. Kimaro alitakiwa kufika eneo lile la hotel kabla muda wa kurudisha chumba haujafika. Lengo lilikuwa ni kuweka mikakati mipya na kufanya tathimini kama mipango yaliyopanga ilikuwa imefanikiwa. Lucas alikuwa mweye furaha sana maana kazi aliyotumwa alifanikiwa. Alifanikiwa kwa sababu zile kamera zilimuonesha akiwa na mama Vanesa chumbani. Si kuwa naye tu bali alionesha jinsi walivyokuwa wakishiriki tendo la ndoa. Kimaro macho yalimtoka kama mjusi aliyebanwa na mlango. Hakuamini kile alichokiona hasa ule wakati Lucas alipoamua kufanya mapenzi na mama Vanesa bafuni.

“Aisee brother wewe ni fundi sana aisee umemkula bafuni tena umemuweka pozi kama anakunya”

Picha hiyo mama Vanessa amekaa kwenye sinki la choo huku Lucas akifanya yake ilimshangaza sana. Tayari walishapata walichokuwa wakikitafuta.

“Nini sasa kinafuata maana kuna vitu mama Vanesaa amenishauri hivyo lazima tushauriane kabla ya kufikia uamuzi wowote.

“Amekushauri nini Kimaro aliuliza kwa utulivu.

“Kwanza nitafute chumba Mwanza nihame Musoma. Pili niachane na kesi yangu maana sitoshinda. Tatu yeye yupo tayari kunisapoti kwa kila jambo hasa kifedha. Ila la msingi lilinifurahsha yupo tayari kunizalia mtoto.”

“Wewe utakuwa umechanganywa na mapenzi. Yaani unaamini huyo mwanamke kweli anaweza kukusaidia ukalipa kisasi na kuwa mtu bora huku duniani?.”

“Anaweza kufanya kwa ajili ya kisasi na mapenzi. Nilichogundua ni kuwa yule mwanamke boss alikuwa hamsugui vizuri. Yaani jana alikuwa na nyege nyigi sana kwa kifupi alikuwa hapati raha ya mapenzi na alikuwa harizishwi kitandani..

“Sasa kaka Lucas hizi pointi zako bwana.. Hivi kama wewe ulikuwa unamrizisha mke wako angekuacha n kumfauta boss wako?

“Acha kufanya mambo yawe magumu. Ipo hivi twende tukatafute chumba hapa Mwanza. Mimi nitaamisha vitu vyangu maana mama Vanesa ameahidi kunisapoti kwa hili.Pili hizi picha tuzihifadhi kama tukiona wanazingia basi tutatumia ile njia yako ya kumchafuta na ikibidi tutatumia hizi picha kupata fedha. Mimi naamini kama tukizipeleka kwa waandishi wa habari kwisha habari yake.

“Hayo ndo maneno sasa. Chumba nitakutafutia na hata kazi ya kujishikiza. Pia nakupa miezi mitatu tu wewe na mama Vanesa mkishindwa kufanya hicho mlichodanganyana basi mimi nitafanya yangu. Sitokuwa na huruma kwenye hili kwa maana nimetumia pia fedha zangu.”

“Usiwe na hofu maisha ni mipango.Nakuamaini wewe ni rafiki yangu wa muda mrefu najua utatunza siri hasa za hizi picha maaa hizi zikivuja sio aibu kwa mama Vanesa tu bali hata kwangu”.

“Ondoa shaka kwa hilo” Kiamaro aaljibu na kunyanyua simu.

“Vipi bwana Lugamba nahitaji rooma moja nzuri ya self container”

“Ipo ya vyumba viwili chumba na sebule ni nzuri sana kama inakufaa uje uangalie”

USIKOSE SEHEMU IJAYO

Ili Kunipa Nguvu ya Kuendelea Kuwaletea Simulizi Share App kwa Wapenzi wa Kusoma Simulizi

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)