TUPEANE (3)

0

JINA: TUPEANE
Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA TATU
Asubuhi ndio kuna pambazuka nikasikia sauti ya vyuma vyuma vikigongana nikaitoa shuka kucheki babu akiwa na jembe begani anatoka wakafatia watoto wa mamkubwa binafsi sikuwa na mazoea nao kiviile zaidi ya kuzoeana na Mjomba Mwichande tu nae nikamuona akitoka nikamwita

SASA ENDELEA...
"oyaa Ankor, niambie mjomba,' naona hasubuhi hasubuhi na majembe kwa mapanga wapi hiyo?" tunaenda kuwajibika makazini, "khaa kwani huku kuna viwanda au kampuni za kwenda kufanya kazi au?" hahahaha Ankor usinichekeshe huku sisi viwanda vyetu au kampuni zetu ni mashamba tu, "oky nimekupata Ankor ningojee basi nipige mswaki twende wote shamba nami nikajifunze kulima, "sawa fanya haraka basi nikaenda kujiswafi tukiwa shambani Ankor akaniuliza "Hafidhi mbona hupendi kupiga story na Rukia Hussen na Hamissi? "unajuwa nini Ankor katika dunia hii huwezi kumzoea kila mtu kwahiyo nimekuzoea wewe kama Ankor wangu, "ndio umenizoea mimi lakini wenzako wanasononeka kwa kuwatenga, mara tukasikia salamu "jamani za hasubuhi?
kucheki moyo wangu ukafanya pahaa. ni Mwajuma begani kabeba jembe Ankor akaitikia salama tu sijui wewe mwenzetu?
mi niko poa ndio naenda kuwajibika hivi, "haya kazi njema mamaa, sikuchangia chochote zaidi ya kumsaminisha barafu wa moyo wangu tu mpaka akaondoka nikamuuliza "Ankor hivi yule ndio shangazi nini? "hapana yule ni binti wa mwenyekiti wa kijiji hiki anaitwa Mwajuma, nikatupa jembe chini na kumwambia Ankor nisubili narudi sasa hivi nikatoka mbio kumkimbilia Mwajuma kule alipo elekea hatua kazaa tu nikamuona mbele yangu akiwa anaimba imba nyimbo nzuri nahisi hakutambua kama nyuma yake kuna mtu kwa mwendo wa minyato nikachuma jani na kumsogerea nikamgusa na jani shingoni akapuna kwa mkono huku akiendelea na hamsini zake nikamgusa tena akapangusa na kutukana zinga la tusi na msonyo mkali "huyu mdudu m**nge nyooo kunidandia dandia kama mi mzoga nikamgusa tena akapangusa na kugeuka akastuka na kufumbua mdomo wake ili apige kelele nikamziba kwa kumdaka na mdomo wangu kitu denda

Akageuka nazani hakuamini akataka kupiga kelele nikamdaka kwa kumziba mdomo nikatumia mdomo wangu kitu denda, mmmmmh,,,bwana nini? assssssss,,,ohoooo. nikamvutia vichakani zaidi tukiliacha jembe pale pale njiani mtoto macho yashakuwa ndembe ndembe kwa minyege hapana chezea hii kitu ohoooossss,,,,nikamvua kanga yake mmh akabaki na gaguro tu kitu kimewamba mbaya nikaitandika kwenye majani nikamshika na kumlaza chini huku tukiendelea kunyonyana denda kwa pupa mmmmmm,,,,nikampanua mapaja na kuanza kuchovya urimi wangu kwenye kisima cha maji ya chumvi akawa anajinyonga nyonga tu ahaaaaaa,,,babiiiiii kachukuwe jembe litaibiwa bwana nikaenda faster nikarudi nalo na kuliweka pembeni mapenzi ya vichakani hayana kuvuana nguo zaidi ya kuziacha wazi sehemu husika tu nikauchomeka mkomboti japo niliupaka mate ukawa unaingia kwa shida sana nikazamisha kichwa tu aaaaassssssss,,,,hapooooohapooo,,,,,uwiiiiiiiiiiiiiiiiinaumaaaaaaa, ndio kwaanza nakandamiza tu,,unaniumizaaaa,,,bwana chomoaaa,,,wee speed ya kupampu ikaongezeka na kuwa kubwa huku akipiga mayowe ya kuomba pohoo nikamwaga uji wangu humo humo ndani ya kipochi manyoya nikalichomoa dudu likiwa na damudamu "khaa! kumbe ni bikra kumcheki usoni analia nikampa pore "pore sana Mwajuma, "pore yako haisaidii kitu kwa kunifanya hivi, "ndio nafahamu haisaidii kitu kwa sasa kutokana na maumivu uliyo yapata usijari utapona tu,' "sio kuhusu maumivu kinacho niliza ni kuhusu vifo vyetu mimi na wewe juwa la kesho hatutoliona tena, "kivipi tusilione?"
binafsi mimi ndio mwenye makosa sababu kwanza naomba utambuwe ya kwamba katika kijiji chetu kuna mira na destur ukifanya mapenzi bila ndoa lazima ufe nafahamu wewe ni mgeni umekuja juzi tu hutambui hilo,' "sikia Mwajuma achana na mira za kizushi hizo, "sio uzushi ni kweli watu wengi wamekufa katika kijiji hiki, embu nyanyuka twenzetu kisimani nikakusafishe kwanza kuhusu ilo swala niachie mi kidume nitapambana kiume tu,' "Hafidhi usiseme hivyo humjui nipe nikupe ni mtu hatari sana huyo, kwa mwendo wa kuchechemea tukafika kisimani nikachukua maji kwenye kata nikamlaza pembeni kimachale zaidi asije mtu akatokea na kutukuta si unafahamu visima vya kijijini inaweza kupita hata nusu saa asije mtu maji yanatulia tu nakuwa ya baridi nikamsafisha tukashika njia kurudi nyumbani "Mwajuma baby, "abee. "naomba uvae hii iwe kama kinga kwako, "kinga kivipi?" hii inaitwa kacha nilipewa na bibi mzaa baba popote niendapo au nikilala navaa hii ijapokuwa bibi kaniambia nisiivue abadani sasa leo naitoa kama zawadi kwako mpenzi wangu, akageuka nimveshe nikamvesha shingoni ikampendeza akatabasamu na kuondoka nikarudi nyumbani kufika tu mama akaja kunishika mkono akawa ananikagua kagua na kunusa mavazi yangu, "mama nini mbona hivyo?" gafla akapiga yowe na kuweka mikono kichwani "mama weeee Mungu wangu, "mama nini kwani?"
hakuongea kitu zaidi ya kuingia ndani akatoka na mkongoja wa bibi akaanza kunichapa nao kila maeneo nikajitahidi kumzuia lakini wapi nikapokea maumivu tu nikatoka mbio kukimbia kipigo dahaa nikawa natembea huku nikijiuliza "hivi mama amegundua nini kwani?
nikakosa jibu nikazidi kutokomea msituni bila kuhofia chochote kile mpaka giza linaingia sikutaka kurudi nyumbani kwanza nilichukia kitendo cha mama kunichapa nikaona bora nilale juu ya mti tu pakikucha nitafuta jinsi ya kwenda kujitetea, nikapanda juu ya mkuyu nikatafuta tawi zuuri nikakaa mawazo tere kichwani kwa mbaali nikaanza kuona kama taa za toch hivi zikija upande ule ambao mimi nipo kila nikicheki zikazidi kusogea na kuweza kusikia sauti ya mama akisema "nitam bebea wapi mimi mme wangu iwapo huyu mtoto asipo onekana?" bibi akamwambia siku zote hasira hasara sasa baada kugundua ya kwamba katenda kitendo kibaya cha kuvunja mira zetu ungenisubili mimi nirudi uniambie tungeenda kufanya tambiko kila kitu kingekuwa sawa,' sasa mama tukafanye ilo tambiko sasa hivi basi,' "kufanya tambiko bila ya muhusika kutokuwepo haiwezekani kabisa, nikatamani kushuka niende kuwaambia mimi hapa haya twendeni ila kwa uboya wangu nikajisemea wacha niwape jamba jamba kwanza wakazunguka huku wakiita kwa sauti nikajikausha kimyaa

usingizi ukanipitia nikaja kustuka na kujishangaa nipo chini ya mti sio juu tena mbele yangu kuna kiumbe cha ajabu sana ana kichwa mchanganyiko nusu binaadamu ana mapembe makubwaa macho yanawaka moto na minjino miwili mirefuu mwili wake wote simba dume nikawa najikojolea huku nikitetemeka akawa ananitizama kwa hasira mbaya kisha akaanza kucheka iko kicheko chake kama transforme imebutuka nikaziba masikio "khakhakhakha! wewe ndio kidume wa vidume katika kijiji hiki wengi wameangamia kwa kuvunja mira na desturi sema wewe umefanya kitu kuwa tou much kwa kutembea na mjukuu wangu kwahiyo basi lazima wote muende kuzimu kijiji hiki hakiitaji wazinifu wachafu kama nyinyi,' nikajikakamua na kumuuliza "wewe ni kama nani mpaka unatenda mambo ya kijinga kama haya?" khakhakha naitwa nipe nikupe kijana umefanya kitu kibaya sana kumpa mwenzio kinga mpaka nimeshindwa kumchukua akikitoa tu kile kidude shingoni lazima aungane na wewe kuzimu,
akaja kwa kasi na kunipiga kikumbo nikaenda chini puhuu akaondoka huku akicheka dahaa hakwenda mbali kufika sehemu akasimama na kunitizama tu,
nikaja kustuka hasubuhi tayari kumekucha nikajikuta bado nipo juu ya mti nikakumbuka mbona jana usiku nilikuwa chini naongea na kiumbe cha ajabu au ni ndoto tu nikakata shauli nirudi nyumbani kama vipi nisepe town tu, nikiwa natembea kurudi nyumbani nikakutana na watu wakiwa wanaenda mashambani wengine visimani kufika tu home sikuamini macho yangu baada kumuona baba akiwa ndani gwanda zake za kijeshi mkononi kashika SMG nikaenda mbio kumkumbatia cha ajabu kumfikia nikagusa hewa baba akatamka "sijui nimeikosea nini dunia hii au majina ya Hafidhi yana majanga naapa wallahi nisipo mpata mwanangu hiki kijiji nakitia moto chote na wewe mwanamke nakuchinja mtoto wa pili huyu ohoo embu twendeni tukamtafute nikamsogerea tena na kumwita "babaa..baba mwanao niko hapa jamani. hata sauti baba haisikii nikamfata mama empty kila niliyemshika na kumwita ina maana sionekani hata sauti yangu haisikiki dahaa wakaongozana kwenda porini kunitafuta wakati mimi niko hapa nikapaza sauti "jamanii mnaenda wapi mimi niko hapa wakatokomea nikazama ndani kwakuwa kiu kilinibana na njaa nayo shida nikakishika kikombe ninywe maji hewa hakishikiki nikaona viazi vya kuchemsha nikashika kimoja nile hewa siwezi kushika chochote nikajikuta napiga kelelee "mama weeeeeeeeeeeeeeeee.....kudadeki zako nipe nikupeeeeee..gafla nikasikia sauti ya kicheko nnje kutoka dahaa...

Kitendo cha kusikia kicheko nnje kikanifanya nitoke kucheki anaecheka ni nipe nikupe nikamkata jicho baya sana yeye hata akujali akaendelea kucheka tu "hahaha! hahaha! nikainama niokote jiwe kama vipi nimpige nalo kila nikijitahidi kulishika nashika hewa tu hasira zikanipanda zaidi na kujikuta namtukana matusi ya nguoni "mpumbavu weee m***nge fuc***k you ndio kwaanza akazidisha kicheko sijui aelewi kama namtukana au vipi? gafla tukasikia sauti ya vilio vya watu wakija huku nyumbani nipe nikupe akapotea kama upepo wale watu hawakuwa wengine bali ni baba mama na wengine nikimtizama mama hajiwezi kwa kilio baba akiwa kaubeba mwili binafsi kuanzia sura hadi mavazi coprait na mimi dahaa ule mwili ukaingizwa ndani baba akatoka na kutoa cm yake mfukoni macho yamekuwa mekunduu kwa kilio akabofya bofya number kazaa na kuweka cm sikioni "hallo kaka, "vipi kashapatikana, "kaka wee acha tu, "vipi kwani ndugu?
sijui hata nikwambie nini uniamini kwa kifupi tu mwanangu mpendwa Hafidhi j ikram hatunae tena duniani..baada kusema vile akashindwa kuendelea kuzungumza cm ikamdondoka na kuanza kulia "hivi nina mkosi gani mimi katika dunia hii yani watoto wangu wawili hawa wanakufa kizembe namna hii nifanye nini mimi eee Mungu ni kipi nimekukosea, "usiseme hivyo baba Hafidhi jikaze wewe ni mwanaume tena kamanda yote ni mipango yake mola muweza wa kila kitu mbele yake nyuma yetu", mama nae akapoteza fahamu zaidi ya mara 3 analia wee anazimika wanampepea na kumwagia maji akizinduka kilio kinaendelea dahaa nikabaki katika hali ya sito fahamu kabisa, majilani wakamiminika na baazi ya ndugu na marafiki zangu kutoka town wengine iringa, nilijitahidi kumfata kila mtu niweze kumwambia mimi sijafa ikawa ngumu kufikisha ujumbe hawanioni wala kunisikia, nikashika tama katika hali ya sitofahamu nikaingia ndani kuucheki huo mwili amini usiamini ni mimi kabisa cha ajabu nikajalibu kuushika nikawa nautikisa kwa kusema

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU


TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)