SEHEMU YA ISHIRINI
Tokea siku ya kwanza anaajiliwa kuja kufanya kazi za ndani miezi sita iliyo pita sikuwai kumsaminisha au kumtamani kwa chochote kile hii ni kutokana kutokuwa na hisia na wanawake kabisa toke yanitokee majanga kule kilwa kiwawa nikatokea kuwaogopa wanawake kabisa ila sasa nimenasa gafla kama short ya umeme kwa kitoto kutoka zenjiSASA ENDELEA...
Nasra mwenye dimpozi za maana akicheka ana mwanya basi
nilichokifanya ni kuzidi kuzitomasa zile chuchu zake mchongoko nikakipandisha kisketi cha kwa juu na kumvua brauzi yake na kumwacha wazi kabisa mtoto huyo mbichi ambaye kifua chake kilipendezeshwa na Chuchu laini zilizosimama kwa nyege,kabla ya yote nikazivamia na kuanza kuzinyonya,mikono yake akaipeleka kichwani kwangu na kuanza kunishikashika nywele akifanya kama anani didimiza kifuani kwake,,,aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,sssssssssssssssssh,,,,mmmmmmh,,,alilalamika Nasra mbapo alifumba macho yake ili ausikilizie utamu uliokuwa unafika mpaka ubongoni ,meno yangu niliyatumia vizuri kung'ata ng'ata chuchu zake basi pale nilipo kuwa nikifia kwenye ile Chuchu ilichomoza kwa nyege,akafanya kama ana nizuia lakini sio kwa nguvu,ilikuwa ni kwa kuzuga zuga tu,,,mmmmmmmmmh,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,Nasra alizidi kulalamika ambapo bila shaka mtoto ana nyege za karne basi nilishuka chini mpaka kwenye kitumbua chake,kabla sijafika kwenye kitumbua nilikisalimia kitovu chake kilichoingia ndani
,,,bossiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,niiiiiin,,,ngizeeee,,,,,duduuuuuuu,,,,,,mamaaaaaaaaaaaaa,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,sssssssssssssss,,,boss,,,,basi Nasra maji yalimfika shingoni na kushindwa kumalizia kutamka baada kushuka kwenye kitumbua kilicho nona nikaanza kukinyonya kwa kuzamisha ulimi wangu mpaka ndani kabisa ya kitumbua ambapo alizidi kusisimka na ulimi huo uliokuwa na joto lenye utamu,,,,Bossiiiiiiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaaaa,,,aaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiii,,,duduuuuuuuuu,,,aaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,,,,,basi baada kuona kitumbua chake keshajenga unyevu nyevu flani hivi maana kilikuwa kina pwita basi nikalitoa dudu langu kabla sijaliingiza nae akalidaka na kuanza kulinyonya kama koni au ice cream
nikabaki kugugumia kwa raha mmmmh,,,,ohoooo,,,assess!!!!!!,,,,,
baada hapo mtoto akajikalisha manuu kwenye sofa na kuniiita “come on!!! baby huku akilivuta dudu langu na kulilengesha kwenye kitumbua chake baada kuingiza kichwa nikaanza
kumpampu taratibu,,,aaaaaaaaaaaaah,,,,,aaaaaaaaaaah,,,,bossiiii tenaaaaa,,,nifanyeeeeeeeeeee,kwa nguvuuuuuuuuuuuuuuuu,,,,aliongea hivyo Nasra baada kuona niko slow slow wakati namuonea huruma tu basi nikaongeza kasi na kuzidi kumsugua kwa speed Nasra akawa hana hali kabisa,mkono wangu mmoja nikaushusha mpaka kwenye matako yake na kuyashikashika huku niki endelea kumpampu kwa kasi,,,dudu langu halikuchelewa kumwaga,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,ooooooooooooooooh,,,,mmmmmmmmmmmmmmmh,,,nililalamika baada ya kumwaga ndani ya
kitumbua chake sikuweza kuhofia kama atapata mimba au laa kuanzia siku hiyo tukaanza mazoea mimi na
Nasra kila mmoja akaweza kumpenda mwenzie
nakumbuka siku hiyo baba na mama walikuwa wapo off
basi kuna jambo nilikuwa naitaji kuzungumza nao huku tukiwa bado tunacheki video nikaita “mama!!!
“naamu mwanangu!
mi kuna kitu naitaji kuwaomba kabla sijakifanya,
“kitu gani hiko tena?"
“binafsi mie naitaji kusafiri,
“usafiri kwenda wapi tena mwanangu?"
“naitaji kwenda kilwa!!!
“what?!
wee mtoto ishia hapohapo kilwa uende kufanya nini? hivi unazani yale matatizo yaliyo tokea miaka mitatu nyuma ni madogo ehee yani ukisubutu kunyanyua mguu wako hapa ukaenda huko basi isabia mimi sio mama yako tena!!!
“lakini mama!!! “lakini nini shatup mjinga wee hakuna kwenda popote tena futa kabisa wazo hilo kichwani kwako,'
sikutaka kuongea chochote tena zaidi ya kurudi zangu chumbani kwangu huku nikipanga plan ya kutoroka tu kilwa lazima niende kwanza nikamcheki mwanangu niliye zaa na Mwajuma pili kumuokoa Mwajuma katika mateso ya Nipe nikupe
leo usiku ndio nasepa!!!
kitendo cha mama kunikalipia vile na kutotaka mimi niende Kilwa niliumia sana moyoni, nikajitahidi kupotezea wazo la kutoroka usiku ule nikashindwa,
hatimae nikajikuta nachukua begi langu nikakusanya mavazi ambayo niliona yana umuhimu mkubwa kwangu,
yapata saa tisa usiku nikatoka kwa kunyata hatimae nikaruka ukuta na kutokomea gizani nikaanza kukata mitaa
japo ni kitendo cha hatari kutembea peke yako usiku kama ule, ila kidume nikajiamini sana
nikiwa nakaribia stendi nikastushwa na sauti kali ikiniamlisha nisimame hapo hapo nilipo gafla nikazungukwa,
na mijitu mipandikizi ya mibaba ikiwa imetinga mikoti meusi na kujifunika kofia
“wee kijana usiku wote huu unaenda wapi?"
“nasafiri kwenda Kilwa!"
“inaonekana kijana anajiamini sana huyu!"
mmoja wao akasema vile na kunipiga kwa ubapa wa panga huku kwa sauti ya ukali akisema, “pumbavu zako kaa chini!!!
maumivu niliyo yapata hata hayasemeki nikajikuta napiga magoti bila kupenda “wewe ni bwana mdogo sana sasa basi utaongozana na sisi katika kufanya kazi zetu!"
sikutaka kukubaliana nao eti nijiunge katika kikundi chao cha kijambazi, nikatoa sauti iliyo waogopesha hata mimi nilishangaa kuwa nina sauti ya kutisha kama ile, hata macho yangu yakabadilika na kuwaka waka moto wale majambazi wakatahamaki kutaka kupambana nami
basi mmoja akajaribu kunipiga na panga la mgongo cha ajabu likadunda na kumrusha hewani akaenda kunasa kwenye nyaya za umeme,
short alizo pigwa sekunde tu akawa kimyaa wenzake kuona vile kila mmoja akatimua mbio nafsi ikaniambia hakuna kuacha mtu hata mmoja uwa wote hao basi nikaingia vichochoroni kuwakamata mmoja baada ya mwingine
kwa kasi niliyo kuwa nayo nikaweza kuwaangamiza vibaya sana hasa mmoja nilikata kichwa chake kwa panga alilo lishika yeye mwenyewe,
siku zote tambua ya kwamba usiku ni mzito sana usiku ni mrefu kwa wasio kuwa na sehemu za kulala au kwa yule aliye lala na njaa uache usiku uitwe usiku tu niliweza kuona wachawi jinsi wanavyo fanya mambo yao kwenye maduka au vibanda vya mama ntilie na biashara nyingine aiza kwa kufanya wateja wasiweze kufika eneo lile ama kuvutia wateja kwa upande wao
siku zote kuna usemi ya kwamba huwezi kumjua mchawi kama wewe mwenyewe sio mchawi, hapana kitu kama hiko kuna baazi ya watu wana vipawa vya kuwajuwa wachawi ijapokuwa wao sio wachawi, nikiwa tayari nishafika stendi japo magari moja moja yalikuwa yakikatiza katika barabara ile kuna bajaji ikaja kusimama karibu yangu ndani yake kulikuwa na vijana wawili,
“vipi kaka usiku huu unaenda wapi?"
nikawajibu naenda mbagara rangi tatu
“kutoka hapa mpaka mbagara kaka itakuwa shillingi elfu kumi na tano!"
sikutaka kubisha ukizingatia ni kweli mbagara mbali na usiku ule usafiri shida itakuwaje basi nikapanda safari ikaanza huku wao wakipiga story za hapa na pale,
mimi nikawa kimyaa nawaza na kuwazuwa
ni jinsi gani nitaweza kumuangamiza huyu Nipe nikupe, pasipo kupata msaada wowote ule nikiwa nazidi kuwaza nikasikia kijana mmoja wapo akisema “unajuwa John mi binafsi nauwogopa usiku!"
“una uogopa kivipi yani?" “yani sijui niseme nini laiti ningekuwe na uwezo ningemuomba Mwenyezi Mungu autoe huu usiku yani dunia iwe mchana tu!" “unajuwa Noelly kaka unanichekesha sana kingine utaki kusema kwa nini unauogopa usiku!" “ngojea nikwambie kitu John mimi binafsi giza linapoingia nateseka sana yani yule mama Somoe ananijia nikiwa kitandani na kunifanyia mambo ya ajabu ajabu tu mara wanikalie tumboni wanitambuke waniekee chungu cha moto usoni kunilisha nyama mbichi yani mambo ya ajabu ajabu nikiamka Asubuhi nakuwa nimechoka vibaya mno!"
“ahaa acha mawazo yako finyu yani unataka kusema Mama Somoe ni mchawi sio?" “ndio!"
“una uwakika na unacho kisema au fiksi tu?"
“uwakika ninao yule mama ni mchawi mkubwa tu tena kudadeki zake kesho kutwa naenda Sumbawanga kwa babu nikirudi atanikoma nyau yule yani usiku silali kisa yeye!"
“subili kukuche leo naenda kumchana live pale sokoni, “wee Noelly usijaribu kufanya kitu kama hiko ataweza kukuuwa siku zote mchawi akitambua kwamba una mfahamu atakupoteza duniani kwahiyo kausha kimyaa,
wakati wanaendelea kusimuliana gafla kuna mtu akapanda kwenye bajaji yani kama upepo hivi maana bajaji ilikuwa ipo mwendo kasi ila yeye akaingia nikamtizama kiwiziwizi hivi nikamsoma huyu ndio Mama Somoe wanae muongelea wale vijana,
ni mimi pekee niliye weza kumuona japo kwa upeo wa akili yake fupi akatambua hakuna anaye muona kati yetu,
akaanza kujichekesha chekesha huku akipitisha mikono yake kwenye nyuso zetu nikaweza kujuwa kitu kimoja kaja kwa nia ya kusababisha ajali tu sikutaka kumuacha afanye hivyo nikanyoosha mkono pale alipo kaa na kumgandisha yani kwa kitu nilicho kifanya hatoweza kutoka pale daima akaanza kupiga kelele huku akijikakamua kutoka ndio kwaanza ana jizidishia maumivu, vijana nao wako bize na story zao maana sasa wapo katika nyanja ya kusimuliana mademu zao “wee zunguka koote uwezi kumpata demu bomba kama Mariam yule demu sijawai kuona hapa duniani!"
“toka zako hapa hivi katika mademu watoke mbele unazani yule keshankupe wako atatoka?"
“ndio atatoka!" “haya jidanganye atatoka ehee, “mwenzako juzi nimepata zinga la toto!"
“umempata wapi humu kwenye bajaji au?"
“sio humu ni Fb toto unywele kama Nick minaji figa la kibantu yani usimpimie nazani kesho naenda kula mzigo, “ahahahaha yani kumbe demu wenyewe wa Facebook umebugi men!"
“nimebugi nini sasa?"
“ndio umebugi kupenda demu fb si bora ungeenda kuchukuwa Dada poa tu kuliko kujiingiza kwenye hatari kama hiyo!"
binafsi story za hawa jamaa zilinifurahisha sana nikabaki kutabasamu tu mpaka tulipofika mbagara basi bajaji ikapakiwa kukiwa ndio kuna kucha hivi nikacheki saa ni saa kumi na moja kasorobo,
basi nikawapa pesa yao na kuwaambia “binafsi nimeburudika sana na story zenu yani muda mwengine mtu anaweza kuondoa stress kwa ajili yenu ila kuna zawadi nataka niwape je mpo tayali kuipokea?"
“ndio tupo tayali!"
“oky msiogope na wala msikimbie!"
“sisi vidume hatuwezi kukimbia chochote kile tushapambana sana na majini viumbe vya ajabu!"
nilicho kifanya ni kuwaambia angalieni ndani ya bajaji walipoweza kukiona kile nilicho waonesha kila mmoja akatimua mbio kimpango wake
huku wakipiga mikelele “mamaaaaa tunakufa!"
nikaki kujiuliza tu, “ina maana viumbe gani wa ajabu walio weza kupambana nao wao na hayo majini ni yapi mbona wamemkimbia mchawi tu!"
nikabaki standi mpaka kulipokucha watu wakajazana kwa kuizunguka ile bajaji kumshangaa yule Mama,
Sikuwa na jinsi zaidi ya kuingia kwenye basi safari ya kwenda kilwa kiwawa ikaanza kuhusu yule mama ni
Shekhe pekee ndie atakaye weza kumnasua pale vinginevyo atabaki daima mpaka kifo chake
KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU