MASHINE YA NANI? (17) - CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Alhamisi, 22 Aprili 2021

MASHINE YA NANI? (17)

Je unajua kwamba Simulizi zote unazozipata hapa zipo kwenye app ya CnZ Media?

Humo Pia Utakuta:
πŸ“– KUSOMA SIMULIZI
🎬 FILAMU na TAMTHILIA za KITANZANIA
πŸ˜‚ VIDEO za KUCHEKESHA
πŸ“‘ MAKALA za AFYA na MAPENZI

Install app hii GUSA HAPA utavipata vyote hivyo bure kabisa
Mwandishi: Eliado Tarimo

SEHEMU YA KUMI NA SABA
ILIPOISHIA...
Nikaona ipo haja ya kuwafurahisha mashabiki wangu kwa kufunga bao la tatu. “Ngoja nijirizishe maana huko kijijini ninapoenda kesho sijui hata nitarudi lini?” niliwaza kabla ya kumsogelea zaidi dada Aisha ambaye alishaaanza kukoroma kwa usingizi ulioashiria kuwa alipata uchovu mkumbwa kutokana na mikimiki aliyokutana nayo mda mfupi uliopita.

SASA ENDELEA...
Hapo nikamsogelea zaidi dada Aisha ambaye mlalao wake uliaacha sehemu zake nyeti zikipunga upepo.Mimi nikatumia nafasi hiyo ya mpinzani wangu kuchoka kuanzisha mpira.Nikamgeuza na kumuweka ile staili maarufu ya kifo cha mende.Nikampanua mapaja na kuzamisha Naniliu yangu kwenye kinu cha binti huyo. “Ooooooooops ooooooh yeaaaaaaaah ilikuwa ni sauti ya dada Aisha mara baada ya kuusikilizia mtwangio ukiwa umezamiswa wote kwenye kinu chake.Mkono wangu mmoja ukawa unachezea chezea shanga za binti huyo huku na yeye akipeleka mdomo wake na kunipa denda la hatari.

Dada Aisha baada ya kunyonya mate na kukutana na utamu wa uchachu uchacu wa mate yangu alitoa kwa nguvu mdomo wake. Mimi sikutana kujiuliza kwanini ametoa mdomo na kukataa denda langu la kitoto bali mimi nilirudi nyuma kidogo na kuipandisha miguu ya binti huyo kwenye mabega yake.Hapo sasa maini firigisi na utumbo wa ikulu vilikuja juu juuu na kusababisha mimi kuongeza mashambulisi ili kufunga goli la tatu. “Mmmmmmmmh ooooosssssssssss kwiiiiichiiiiiii kwiichiiiiiiiiii” ilikuwa ni milio yakeo na pia milio ya kitanda kilichokuwa kinalalamika kutokana na mchezo huo wenye uzito wa watu wawili.

Wakati mimi nikiwa kwenye harakati ya kufunga goli la tatu dada Aisha alinisukuma kwa nguvu kisha akajitoa na kunifinya.Mfinyo uliosababisha maumivu na kufanya lile bao la tatu nililotaka kufunga kurudi ndani.Hapo nikabaki nimeduwaa kama mtu aliyechanganyikiwa.Huyu mtoto kweli aliyajua mapenzi maana alijitanua miguuu utazani labda ni mtu wa mazoezi.Mguu mmoja alipeleka ukutani na mwingine upande wa pili huku akitumia mikono yake kuishika sehemu ya viwiko vya miguu jambo lililonifanya kuingia mzima mzima. Kama hiyoo haitoshi utamu ulipozidi alipandisha miguu yake kwenye mabega yangu.Hapo ikabidi……

Hapo ikabidi nijisogeze mpaka mwisho wa kitanda nikashusha miguu chini nikasimama kabisa huku miguu ya dada Aisha ikiwa bado ipo juu ya mabega yanguu. Yaani spidi yangu kuingiza na kutoa ilikuwa nikubwa sana mpaka dada Aisha akaanza kupiga mayowe... “Mmmmmmmmh,, issssssssssssss,, basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,, toshaaaaaaaaaaaaaaaa toshaaaaaaaaaaaaa,,Jimmmyyyy,, utaniuuuuuuuuuaaaaa,, uyyuyuyuyuyuyuy yuyuyuyuyuyuuuuuuuuu” alilalama Aisha kwa sauti za mahaba.Dada Aisha aliomba pooo maana nilikuwa nikimvurugwa kama vile nilikuwa na ugomvi naye.Alichoka kuweka miguu juu ya mabega akaishusha chini na tukaangukia sakafuni na mimi sikutaka kupumzika bali niliendeleza mechi.

Kwa jinsi tulivyokuwa tumeng’ang’aniana ni dhairi ilikuwa ni wakati wa wote kufunga bao.Mda mfupi baadaye kila mtu alikuwa juuu ya kilele cha mlima akifurahia ubaridi baridi wa kufika kileleni.Ingawa hatukutamka maneno ya shukurani lakini kimoyo moyo kila mtu alisema asante asante kwa penzi tamu tulilopeana.**

Tuliamua kulala baada ya kuhakikisha kila mtu amejifurahisha nafsi yake.Kwa wakati huo hakuna hata mmoja aliyejua kuwa penzi hilo lilikuwa ni penzi la wizi maana shangazii angejua ni dhairi kabisa binti huyo angepoteza kazi yake kutokana na jinsi shangazi alivyokuwa akinipenda.Nililala usingzi mzuri sana siku hiyo huku nikitamani kama kesho yake isingekuwa ni safari ya kwenda kijijini.
Tulikuja kushtushwa na dada Mage ambaye alitugongea mara baada ya shangazi kumfungulia mlango na kumwambia anigongee ili nijiandae kwa safari.Nilimshtua dada Aisha maana na alikuwa hoi bin taaban na hivyo alikurupuka na kwenda chumbani kwake. Niliingia bafuni nikaoga nikajiandaa tayari kwa safari.

Shangazi akanipeleka ubungo na kukata tiketi kisha kupanda gari na kuelekea Singida.Safarini niliendeleza wimbi la bahati ya kukaa na mtoto mzuri ambaye na yeye alikuwa ni mkubwa kiumri.Lakini kutokana na ucheshi wangu, mvuto na kujua kuongea kulimfanya mtoto huyo kupenda kunisikilza na akawa ananinulia vitu mimi nakula tu.Mara korosho , mara soda, mara biscuit yaani wacha tu kweli nilishaanza kuwa tamu yao.

Nilifika salama na kesho yke nikaanza kusalimia ndugu jamaa na marafiki.Nilikuwa nimewamiss sana na kila mtua alikuwa akinisifia eti maji ya Dar es salaam yamenipenda sana na nimekuwa nang’ara na wengine walinitania na kuniambia nimekuwa mzuri kama demu.Kimoyomoyo nikawa nasema wacha wanitanie tu hasa watoto wa kike lakini wangejua shughuli yangu kitandani wangefunga midomo yao.

Wiki hiyo hiyo tu vibinti nilivyoviacha vikaanza kujipendekeza pendeza kwangu.Nikawa natafuta upenyo nianze na Zulfa binti ambaye nilikuwa na mpenda sana na nilikuwa nikimuona anakuja basi mimi nabadilisha njia.Mazingra ya nyumbani tu ndo hayakuruhusu lakini kwa kuwa alikuwa akipenda kwenda kuchunga mifugo ya wazazi wake nilisema ipo siku nitamapata na kumkula hata kama ni huko malishoni.

Basi baada ya siku kupita ndipo nilipokaa na baba na kuzungumzia swala langu la mboribo.Baba alinieleza kuwa kwa sasa itabidi nifanye mpango wa kwenda tu kwa mganga kwa sababu swala la mirathi limezua migogoro.Inasemekaan babu alisema bustani hiyo apewe mtoto wake wa nje ya ndoa jambo ambolo lilpingwa na wazee wa ukoo hivyo kupelekea yule ambaye alipendekezzwa na marehamu kurithi bustani hiyo kukimbilia mahakamani.

Habari hizo zilinisikitisha sana kwa sababu niliamini bila kukatwa kwa mti ule wa mboribo basi ni lazima tu Naniliu yangu ingeendelea kuwa kubwa na kuendelea kunitesa na kunifanya niwe mtumwa wa wanawake wengi.Basi kila siku nilikuwa nikiwaza jinsi ya kufanya hili Naniliu yangu isiendelee kukua na kunisababishia majanga.

Basi siku moja nikaamua kwenda mwenyewe kule bustanini kwa babu.Lenggo likiwa ni kuuangalia ule mti wa mboribo na pia nilikuwa na hamu ya miwa na mapera.

Licha ya hivyo nilishagundua kuwa Zulfa alikuwa akilishia mifugo yao pembezoni kabisa na bustani yetu.Sababu hizo tatu zilinifanya nivunje kabati na kuvaa nguo zangu za kibitozi na kushuka huko bondeni. Kila niliyepishana naye njiani aligeuka na kunishangaa jinsi nilvyokuwa nameremeta ukilinganisha na huu weupe wangu, mikogo ya mwendo, uzuri wa sura na sauti basi ilikuwa ni shida. Niishuka moja kwa moja mpaka bustani na nilimkuta mtunza bustani ambaye tulikuwa tukifahamina.

Nilimsalimia na baada ya stori mbili tatu nilimwambia kuwa nilikuwa na hamu sana ya miwa na mapera.Akacheka na kuniambia msimu wa mapera ulishaisha ila kuna zambarau hivyoo kama napenda aende akanitungulie.
Wakati annipa ufafabuzi huo nilishangaa kuona kuna mtu amenifumba mambo.

Ilikuwa ni mikoni laini sana hivyo nilijua nilazima tu atakuwa ni mwanamke.Nilipogeuka nilikutana na sura nzuri ya mtoto wa shekhee yaani Zulfa.Alitabasamu na kunifumbia jicho maoja jambo ambalo lilisababisha msisimko wa mwili wangu.

Nikahisi Naniliu yangu imeenza kusisimaka na kutamani nimrukie pale pale.***
Kiukweli wa Mungu katika mabinti niliomaliza nao shule huyu alikuwa ni mrembo kuliko wote. Alikuwa na macho na madogo kama pilitoni na sura ndogo iliokolea vishimo shimo pande zote za mashavu yake. 

Kiuweli tuliendana japo hakuna hata mmoja aliyewahi kumtamkia mwenzake kuwa tunapendana... “Mzee nilikuwa naomba kuchuma zambarau alisema Zulfa. “Hamna shida mwanangu wewe chuma tu tena nenda na huyo mwenzio maana na yeye ametoka mjini anahamu kweli ya kuchuma zambarau”. Basi mzee akawa amenikabiiz mtoto mzuri kwa staili hiyo.

Sikuwa na uhakika kama kweli binti huyo alikuwa na hamu ya zambarau kwa sababu yeye si alikuwa kijijini.Tuliingia bustanini na wakati tunaingia mimi moja kwa moja macho yangu yalikuwa ni kuutafuta mti wa mboribo. “Zambarau si hizi mbona unazipita aliniuliza Zulfa mara baada ya kuona napita mti wa mzambarau. “Hapana wewe panda uchume mimi bado natafuta matunda mengine nakuja” nilijaribu kudanganya.

Hapana bhana basi tuende wote nijue ni matunda gani unayatafuta alipendekeza Zulfa.Basi tukashuka chini ili kuutafuta mti wa mboribo.Niliutafuta kimya kimya lakini sikuona. “Unatafuta matunfa gani Jimmy mbona sikuelewei?” aliuliza Zulfa.Nikamjibu kwa kifupi twende zetu kwenye mzambarau.Basi tukarudi kwenye mzambarau huku nikiwa bado dilemma nisijue ule mti nani aliukata. Zulfa alipanda juu na mimi nikabaki chini.

Wakati anapanda juu ya mzambarau nikaanza zile akili zangu za kitoo za kumchngulia. Niliona taiti nyeupe iliyombana vizuri. “Usinichungulie bhana Jimmy alisema Zulfa mara baada ya kuangalia chini na kunikuta nimekodolea macho yangu kunako. Pamoja na onyo hilo sikupepesa macho nikajikuta na mimi naamua kupanda huko huko juu.Usishangae ndugu kwa tulio kulia kijijini kujua kupanda miti ni jambo la kawaida sio kwa msichana si kwa mvulana.

Nikapanda mzambarau huku Naniliu yangu ikianza kuumuka kutokana na kuona mapaja mavuzri ya mtoto wa shekehee.Kama na yeye alijua nilichokua nataka maana alitulia akakaa kwenye tawi la mti akawa ananiangalia tu jinsi ninavyokuja.Basi tukatungua zambarau ingawa mimi mawazo yangu yalishaamia kutoka kwenye zambarau ya mtini mpaka kwenye zambarau ya mwilini.

Tulichuma matunda kisha tukashuka zetu.Zulfa alikuwa na haraka kwa sababu alikuwa amemwachia mifugo yule mzee mtunza bustani.Basi tukatoka nje ya bustani na tulimkuta yule mzee akiendelea kuangalia mifugo huku akijiburudisha na miwa.

“Eeeeh mshamaliza mambo yenu sio alisema yule mzee” Mambo gani tena babu? Nilimjibu kwa mtindo wa swali huku nikicheka. “Sio hayo ya kiutu uzima au nyie hamjaanza.Ila mnalandana sana itabidi muoane alisema babu huyo kabla hata ajajibiwa swali lake la kwanza.Basi tulicheka tu na Zulfa aliniomba nimpe kampani nisiondoke kwanza.Basi tukasogeza mifugo sehemu pana zaidi na sisi tukakaa mahali na kuendelea kupiga stori huku tukila zambarau. 

“Hicho kilichotuna kwenye suruali yako ni nini? Aliuliza zulfa mara baada ya kuhisi mabadiliko maana tulikuwa tumekaa zero distance. “Jamani wewe naye swali gani sasa hilo kwani hujui hii ni Naniliu yangu inamtafuta mwenzake” nilimwambia huku nikijaribu kupitisha mkno wanhu mgongoni mwake na kuanza kumpapsapasa. “Jamani Jimmy hujaachaga tu vituko vyako alisema Zulfa huku akijaribu kuleta mkono wake kwenye sehemu za mbele za Naniliu yangu na kuishika.

Hapo sasa akawa amekoleza moto wa gesi kwa kuweka petrol nilitamani kumrukia na kumtafuna. “Jamani Jimmy hii Naniliua ni ya Naniii?aliuliza Zulfa hukua akitaka kuichomoa Naniliu yangu kwenye suruali. “Naniliu hii ni ya Naniii nilimjibu huku na mimi nikianza kumpapasa papasa kwenye sehemu zake zenye mautamu.

Tulijikuta tu tukianza kubiringishana hapo kwenye majani. “Jimmy nakupenda sana na leo siamini kama umerudi kijijini” alisema Zulfa ambaye alishaanza kunyegeka vya kutosha. Uje licha kuwa tulimaliza darasa moja na binti huyu lakini alionekana ni mkubwa kwangu siunajua tena watoto wa kike wanavyowahi kukua. 

“Nakupenda pia Zulfa wangu na nilikuwa sijawahi kupata nafasi ya kukuambia please naomba tufungue ukurasa wa mapenzi…nilimwambia huku nikipitsha mikono yangu kwenye tantalilo yake.

KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni