UTAMU WA FUNDI (9)
Zephiline F Ezekiel
6 min read
SEHEMU YA TISA
ILIPOISHIA...
Morogoro tuliingia mapema sana tatu kasoro tulikuwa tumeshafika, niliagana na yule dada vizuri , hapo nikaitafuta njia ya kwenda kwa Anko vizuri kumbukumbu yangu haikupotea na kwa Anko na stendi si mbali ni mji mpya hivyo nilichukua kiboda boda fasta nilifika, Na kwabahati nzuri nilimkuta bado hata mipango ya kwenda kazini hakuwa nayo ,Anko alinishaanga kidogo huku akionekana anafuraha sana na ujio wangu , hakika Anko alinipatia kila kitu muda mfupi tu
MWISHO WA SEASON 1
TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE
SASA ENDELEA...
SEASON 2
(AFE KIPA, AFE BEKI, LAZIMA NIUPATE )"
Hali ya hewa ya Mkoani Morogoro ilikuwa tofauti sana na Jijini Dar. Kulikuwa na kibaridi haswa kilichokuwa kinitafuna sana, japo nilikuwa nimeipata amani kuondoka jijini Dar, kutokana tu na matatizo yaliyokuwa yakinikabiri haswa mume wa Sophi ambaye nilijua wazi alishayabaini mahusiano yangu na mke wake. Hivyo aliamua kunisaka kwa hali na mali.
Nikiwa hapo Mjomba alinipatia chumba kimoja kati ya vile nane vilivvyokuwa vinaikamlisha nyumba yake ambayo ilikuwa na zaidi ya wapangaji wa tano, ambao wengi wao walikuwa wa mama wa nyumbani wakiwa sambamba na waume zao. Nilikuwa mkimya sana kwa siku za mwanzoni, huku nikiangalia minendo ya sehemu hiyo, wakati huo Mjomba alikuwa akiniacha nyumbani kwa nyakati zote akiniahidi punde angenifanyia mpango wa kupata kazi kwenye mkoa huo, na kwa vile Mjomba alikuwa akinihitaji sana kwa muda mwingi hivyo hata ujio wangu hakumtia shaka alifahamu sasa nilikuwa nimeitikia wito kama vile alivyokuwa akinihitaji.
Kwa vile mjomba alikuwa akiishi pekee yake, baada ya kuachana na mke wake siku nyingi sana, hivyo maisha yangu na mjomba yalikuwa ‘yakisela sela’. Nikiwa hapo kwa nyakati zote mjomba alikuwa akinisitizia sana kukaa mbali na wa mama wa mule ndani kwa maana tabia zao wanazijua wenyewe.
“Sikia mpwa wangu wanawake wa humu ndani wangalie tu hivyo unavyowaona”,
“Kwa nini unasema hivyo anko?” nilimuliza huku nikivuta umakini wa kumsikiliza kile alichokuwa anakisema huko moyoni nikianza kufarijika, kwa maana hapo ilikuwa imeshapita zaidi ya wiki tatu bila ya kulala na mwanamke na kwa namna nyenendo za Mama Husna na Mama Aisha , wapangaji wa mule ndani hakika nilizumilia lakini zilionekana kunichosha huku nikiweka ahadi ya kuwa ipo siku ningewaonja ladha ya utamu wangu.
“Sogea hapa karibu!’’ anko aliniita nisogee pale alipo, nikafanya kama vile alivyokuwa akiniambia.
“ Angalia anko hawa wanawake usiwaone wanamiili mikubwa, si lolote si chochote wanapenda sana dogo dogo, kuna kijana alipanga hapa, kila kukicha hawa wamama haswa yule mwenye mdomo domo ndio hatari, mumewe akitoka basi utasikia kelele tu kwenye chumba cha kijana yule akivunja amri ya sita” Mjomba akanyamaza kidogo kisha akanguka cheko wakati huo akinitazama. Akaongeza maneno mengine.
“Wewe waone tu kama wakubwa wa mwili lakini, haa! Hawana heshima hata kidogo mfano mimi mjomba wako nisingekuwa na jeheshimu au wangenikuta enzi zangu, ningewalamba wote”.
Mjomba alizungumza kwa matani siku hiyo lakini hakuacha kunitadharisha kukaa nao mbali iliwasije kuniletea matatizo mule ndani. Maneno yake nikayachukua, nikisawili kuyafanyia kazi. Kwa maana nilikuwa nikiona huenda wakanirudisha zile habari za kina Sophi, Mwaju na mama mwenye nyumba. Kwa nyakati hizo hata afya yangu ilirejea vyema nikiendelea kunawili sana. Hakika nilikuwa nikipendeza sana na hii hata ilikuwa ikifanya niongelewe sana pale nyumbani na wamama tofauti tofauti walianza kujigonga taratibu kila siku ilipokuwa ikiingia na kuwa mpya.
Baada ya kupata kazi, ambayo kama mjomba alivyokuwa amenihidi kweli hakupita hata mwezi, sasa na mimi nikifanikiwa kupata kazi, safari hii ilikuwa nzuri na isiyo chosha kama zile nilizokuwa nikifanya jijini Dar, lakini iliniingizia pesa yakutosha sana. Na ilikuwa bahati kwa upande wangu, kutokana na mjomba kujuana na watu wengi mahali hapo, hivyo kazi ya kukatisha tiketi katika kituo cha mabasi hakuwa kazi ngumu sana kwa upande wangu, ila ni kazi ambayo ilinifanya nifahamiane nawatu wengi wa kike na wakiume, na hii kazi ndio iliyoanza kunirudisha kwenye kupata burudani ya wanawake tofauti ndani ya mkoa huo. Safari hii nikiwa na kanuni ya kuturudia kulala na mwanamke mara mbili, ijapokuwa nilikuwa nikapata usumbufu sana kutokana na burudani niliyokuwa nikiwapatia.
Maisha kwenye jiji hilo yaliendelea kuwa matamu sana, kabla ya kuanza kukumbwa na sekeseke!
“Wewe waone tu kama wakubwa wa mwili lakini, haa! Hawana heshima hata kidogo mfano mimi mjomba wako nisingekuwa na jeheshimu au wangenikuta enzi zangu, ningewalamba wote”.
Baada ya kupata kazi, ambayo kama mjomba alivyokuwa amenihidi kweli hakupita hata mwezi, sasa na mimi nikifanikiwa kupata kazi, safari hii ilikuwa nzuri na isiyo chosha kama zile nilizokuwa nikifanya jijini Dar, lakini iliniingizia pesa yakutosha sana. Na ilikuwa bahati kwa upande wangu, kutokana na mjomba kujuana na watu wengi mahali hapo, hivyo kazi ya kukatisha tiketi katika kituo cha mabasi hakuwa kazi ngumu sana kwa upande wangu, ila ni kazi ambayo ilinifanya nifahamiane nawatu wengi wa kike na wakiume, na hii kazi ndio iliyoanza kunirudisha kwenye kupata burudani ya wanawake tofauti ndani ya mkoa huo. Safari hii nikiwa na kanuni ya kuturudia kulala na mwanamke mara mbili, ijapokuwa nilikuwa nikapata usumbufu sana kutokana na burudani niliyokuwa nikiwapatia.
Maisha kwenye mji huo yaliendelea kuwa matamu sana, kabla ya kuanza kukumbwa na sekeseke, hili halikuwa sekeseke dogo kwa upande wangu. lilianza nikiwa nimelala kwenye usingizi wa nyakati za asubuhi kuelekea kwenye mchana mmoja, na hii ilisababisha na kukesha sana kwenye usiku wa kuamkia siku hiyo, nilipoenda kwenye club mmoja ya usiku, katika kile cha kuikonga nyoyo yangu, hivyo nilivyorejea nyumbani nilikuwa nikausingizi mzito sana , na kwavile nilikuwa sina mazoea ya kufunga mlango nikiwa ndani haswa nyakati hizo. Hivyo kuegesha kwangu mlango na kale kausingizi kakaifanya siku yangu hiyo kuwa ya kipepekea.
Yalianza marashi kwenye pua zangu, kabla ya mikono laini kuingia eneo langu la ikuru, katika namna iliyokuwa ikileta raha ajabu, na kunitoa pale taratibu kimiondoko, mkono ule ulikuwa ukipitishwa kiufundi sana, kiasi cha kwamba nilikuwa nikidhani nipo ndani ya ndoto, ndoto ambayo kamwe sikutaka kuiona ikoma kunitokea. Niliuma meno kusikilizia utamu ule, huku yule aliyekuwa akifanya vile hakuwa bado amejulikana kwenye mboni zangu, na sikuwa na haraka ya kumjua bali nilichojua alikuwa nimiongoni mwawanake mafundi ambao ni mara chache nimebahatika kulala nao.
Hakuishia hapo, tu mikono alipoona haitoshi, basi taratibu alivua boska yangu kiufundi sana, kisha nikaanza kuhisi ulaini wa kile mara mbili ya kile cha awali kikipita katika mkuu wangu wa kaya, huku akimuachia maji maji yaliyokuwa yakiogeza nakshi ya lile tukio. Alifanya vile kwa muda kiasi, wakati huo, nilianza kuona hali mabadiliko, nilihisi kutaka kukojoa, mkojo wenye ladha tofauti na yote. Na hapa nilipojitoa hamadi nikaribishwa na muonekana wa mama Husna ni huyo ambaye mjomba aliniambia kuwa ni mama mwenye mdomo wa kuzungumza sana. Kikweli kwa namna alivyokuwa kwenye wakati huo, hakika sikuitaji kujuuliza mara mbili mbili, nilichofanya kwa upande wangu nikujibu mashambulizi kisha habari zingine zingefata punde mtanange utakapokishwa.
Kwa vile alikuwa mpizani mpya kabisa kwa upande wangu, ambaye sikuwahi hata siku moja kushuhudia mbinu zake za kiuchezaji na kwa nyakati hizo tayari alionekana kunipagawisha kimchezo. Hivyo nilikushungulisha kichwa changu haraka kisha kikanipa jawabu sehemu ya kuanzia. Nikicheza kibunifu, huku nikishambulia kwa kushitukiza nikianzia maeneo ya juu kabisa ya mpizani, taratibu nikitoa mpira eneo lile kwa ustadi wa juu, nikisaidiwa na ulimi wangu ulikuwa unatoa sumu zaidi ya ile ya nyoka, masikio yakaanza kuwa halali yangu, huku maruhani ya mpinzani yakaanza kumtoka, zilikuwa sauti za taratibu, zilizozidi kunisisimu mno. Na kama kusingekuwa na redio ambayo kila muda ilikuwa ikipambana kuzuia sauti zile kuwafikia watu ambao walikuwa si wageni walikwa kwenye shughuli ile basi ingeleta dhahama kubwa sana kwa upande wetu.
Laa! Nikiamua kutoka eneo hilo na kusogea eneo la chini, katika namna iliyoleta mtafaruku!
Nikicheza kibunifu, huku nikishambulia kwa kushitukiza nikianzia maeneo ya juu kabisa ya mpizani, taratibu nikitoa mpira eneo lile kwa ustadi wa juu, nikisaidiwa na ulimi wangu ulikuwa unatoa sumu zaidi ya ile ya nyoka, masikio yakaanza kuwa halali yangu, huku maruhani ya mpinzani yakaanza kumtoka, zilikuwa sauti za taratibu, zilizozidi kunisisimu mno. Na kama kusingekuwa na redio ambayo kila muda ilikuwa ikipambana kuzuia sauti zile kuwafikia watu ambao walikuwa si wageni walikwa kwenye shughuli ile basi ingeleta dhahama kubwa sana kwa upande wetu.
Laa! Nikiamua kutoka eneo hilo na kusogea eneo la chini, katika namna iliyoleta mtafaruku!
Ulikuwa mtafaruku mkubwa wa kuzuia kilio kile cha furaha kilichokuwa kinamtoka mama Husna, na hii ilikuwa ajabu la kwanza nilikuwa nikikumbana nalo wakati nikiwa ndani ya mtanange na mwanamke huyo. Hili liliniongeza hisia zaidi nakaendelea na kile nilichokuwa nakifanya, ulimi wangu ulikuwa ukitalii kwenye eneo la kiuno cha mama huyo, huku nikiruhusu mdomo wangu kutoka na sauti zilizoendelea kumpa ladha mpizani wangu akishangaa ule ubunifu na kipaji nilichokuwa nimejaliwa.
Niliendelea kumuonesha mauwezo, na kumtandika magoli zaidi ya manne, wakati huo nikimuacha na maswali mengi kwenye kinywa chake, na kama alikuja kujaribu hakika alikuwa amekosea sana. Kwa maana wakati huo ilikuwa imepita zaidi ya wiki pasipo kulala na mwanamke, na hakika nilikuwa nina nyege katika kiwango cha juu sana.
Hakuwa muda mfupi na hata hapa mama Husna aliniomba kitu,
“Samahani kaka Fundi naona kwa leo inatosha.” Aliniambia huku akijaribu kunitoa kwa maana nilikuwa juu ya mwili wake nikiendeleza maajabu yangu. Ni kama vile nilikuwa sijasikii ile kauli yake, niliongeza kucheza kidogo ilikumalizia shunguli na kweli hazikuwa sekunde nyingi, nami nikifika kwenye kilele cha milima ya uluguru pasipo hiyana.
“Hakika mama umebalikiwa, naomba nikushukuru,” Nilimwambia huku nikijitoa kwenye mwili wake, nikitafuta viwalo vyangu ambavyo vilikuwa vikibalizi chini ya kitanda, kana kwamba havikuwa na maana tena.
Wakati nikipambana na viwalo vyangu, mama Husna naye alikuwa akipambana na vyake, pasipo kunisemesha, nilijua wazi asingeweza kunisemesha kwa nyakati hizo kutokana na aibu iliyokuwa ikioenekana wazi wazi kwenye macho yake.
Baada ya kuvaa mwanamke yule aliondoka bila ya kunisemesha, nilimuona tu akangahika kujitoa nje ya chumba changu, hivyo kwa upande wangu, nilikuwa nikifikiria hali ile. Kwa maana kilikuwa kitu ambacho sikitegemea kama kingeweza kutokea katika muda hiyo, na hata sikuwaza kama kingeweza kufanyika mule ndani.
USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA
ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU
Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho
Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni