Notifications
  • MY DIARY (49)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya maneno ya kusilimu ambayo waliambiwa wayatamke kiongozi huyo alisema neno ya mwisho kabla hajashuka.” Kila alie na akili timamu, mwenye busara naa anaetaka haki, na kusimama pamoja na haki, basi akiangalia dunia ilivyo na jinsi inavyokwenda basi lazima kutakuwa na nguvu kuuu nayo ni mwenyezi mungu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kuna vitu vingi sana…
  • MY DIARY (48)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NANETULIPOISHIA...Familia yangu haikukubali kabisa mimi kuolewa na rangi nyeusi hivyo walinitenga na kusema hawanitambui kuwa mimi ni ndugu yao.Lakini kutokana na mapenzi mazito niliyokuwa nayo kwa baba yake na Leah nilijikuta nipo tayari kwa lolote hivyo nikahama na kwenda kuishi Tanzania.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Katika miaka hiyo tuliyokaa nilibahatika kupata mtoto huyu…
  • MY DIARY (47)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SABATULIPOISHIA...Lakini ilifikia mahali ndoto hiyo inanijia hata mchana nikiwa nimekaa mahali tulivu.Ilikuwa inanipa taswira nzuri ya sehemu ambayo madini yalikuwepo.Basi nilianza mikakati ya kulitafuta eneo hilo na hiyo ni mara baada ya ushauri wa mpenzi wangu Candy hapo akimaaanisha yule dada aliyekuwa naye pale jukwaaani.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Candy alinisihii sana…
  • MY DIARY (46)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA SITATULIPOISHIA...Nilikuwa kama niliyepigwa butwaa nisiamini nilichokuwa nakiona mbele yangu. Oooooh my God hold me on yalikuwa ni maneno yaliyonitoka kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu mara baada ya kumuona James kwa uzuri zaidi na kuamini kuwa yule kweli alikuwa ni kaka yangu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilishindwa kuelewa nini kimetokea mpaka yeye kurudi katika hali yake ya…
  • MY DIARY (45)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TANOTULIPOISHIA...Ndio niliona hipo haja ya kuokoka na kuishi maisha ya utakatifu kwa maana nishaishi maisha yote ya kuwa mbali na mungu. Nakumbuka nilipokuwa mdogo kipindi hicho naujua mlango wa kanisani tuisahawahi kufundishwa kuwa mtetezi wa kweli wa maisha ya mwanadamu ni Mungu.Na siku zote alaaniwe mtu yule amtegemeaye mwanadamu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Sio kazi ya…
  • MY DIARY (44)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA NNETULIPOISHIA...Yani alianza kutaka uhusiano na mimi tena uhusinao wa mapenzi.Mda wote alikuwa akiniganda kama luba.Na mimi nilikuwa mjanja sana maana nilijifanya sinywi pombe wala kuvuta sigara.Pia baada ya kugundua kuwa wahusika wengine walikuwa wanajiachia niliamua kujifanya mshauri wa mapenzi na mahusiano.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilikuwa nawasshauri sana mshiriki wa…
  • MY DIARY (43)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA TATUTULIPOISHIA...Wakati nabadilisha staili kwa kukichua kile kifaa na kukiweka vizuri huku nikibinya ile switch hili iongeze spidi Mark aliingia. Ni kweli nilimuona ila sasa sikuwa na jinsi ilibidi nimalizie furaha hiyo ya uwongo uwongo. Yaani wazungu jamani sijui walifikiria nini maana kile kifaa ukikiminya kwa juu kinakuwa kinajizungusha chenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (42)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MBILITULIPOISHIA...Uzalendo ulinishinda ikabidi nimuulize ni kwanini bado wanatumia njia hiyo ya kizamani kutunza kumbukumbu wakati siku hizi kuna kitu kinachoitwa Human Resource Informaion system ambapo kumbukumbu zote za wafanyakazi kama waliochishwa kazi, wagonjwa, walioenda likizo ,waliopandishwa vyeo na taarifa nyingine muhimu uhifadhiwa kwa kutumia komputa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (41)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINI NA MOJATULIPOISHIA...Mark anashangaazwa sana na mwanamke huyo lakini kwa kuwa shida yake ilikuwa ni hela anaamua kuachana nae na kuanza maisha mapya hapo jijiini Dar es salaamMaisha yanaendela lakini Mark amekuwa tajiri na mtu mwenye mafanikio sana kiuchumi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Pamoja na mafanikio hayo ni mtu ambaye mapenzi bado yalikuwa yakimuumiza siku hadi siku.Filamu…
  • MY DIARY (40)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA AROBAINITULIPOISHIA...Alikuwa akinyata kwa kweli. Kweli hata mimi nilimkubali tu siku ya kwanza ingawa bado nilikuwa sijajua ufanisi wake wa kazi.Nilikaa nae hapo kwangu kwa mda wa siki tatu huku asubuhi tukiamka na kuendelea na kazi.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ndani ya mda huo nikagundua kuwa alikuwa na uzorfu mkubwasana hivyo kazi hiyo alikuwa akiimudu kabisa.Hapo sasa nilimkubali sana…

MAPENZI NA NGONO (8)

Mwandishi: Pablo

SEHEMU YA NANE
ILIPOISHIA...
"Hellouw darling yani hapo niliponawashwa hatari aaa yani Mimi hapa nishajiandaa unajua inakaribia saa tatu na nusu ujue hebu fanya basi uje nakutumia pesa uchukue bajaj ili uwai haraka sana nataka tutumie siku nzima leo"

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
"Poua nakuja ndio natoka si umesema Palm beach hotel??"
"Yes darling ndio hapohapo njoo honey"
"Kwani hapo upo na nani??"
"Mmmh kwanini umeniuliza hivyo pablo??"
"Nimeuliza tu kipenzi"
"Eee nipo peke yangu wewe ukifika kituoni shuka then nifahamishe nije nikuchukue hatuingii hapo palm beach kwa sababu familia nzima ipo hapo tunaendaa mbali kidogo na hapo honey"
"Pouwa"

Baada ya simu kukatika nikajikuya nikitoa pumzi ndefu sana kama mtu aliyekuwa amekimbizwa mbio ndefu kisha nikamalizia kufaa vizuri na kuchukua begi langu nililolibeba mgongoni na kutoka nje na kufunga nyumba nzima milango. Nikajikokota kwa mwendo wa hatua ndefundefu mpaka kituoni Nikiwa na lengo la kupanda gari lakini kabla hata sijapanda gari lenyewe mlio wa messeji ukasikika katika simu yangu na nilipoiangalia ilikuwa ni ya Tigopesa ikiashiria salio lilikuwa limeingia.Kwa furaha nikajikuta nikifungua haraka haraka nikiwa na lengo la kujua ilikuwa bei gani nikakaribishwa kwa kutoa amini macho yangu huku roho ikiendaa mbio kuliko kawaida baada ya kuona ilikuwa ni laki moja na hamsini na huku jina likiandikwa rukaiya rukaiya.

Furaha kubwa na dukuduku likaongezeka kutokana na mimi kuona ni pesa ndefu iliyonifanya nisogelee kibanda cha wakala wa tigopesa na kutoa elfu tano kisha nikachukua bodaboda(pikipiki)Nikiwa na lengo la kuwahi kufika haraka kuliko kuchukua bajaj ambayo isingeweza kunifikisha mapema kama kutakuwa na foleni. kama ujuavyo mwendo wa kasi wa waendeshaji wa pikipiki kwa muda wa lisaa limoja tu nikafika kituoni palm beach na kushuka kisha nikamlipa dereva wa pikipiki ambaye baada ya kumlipa akaondoka.kugeuka geuka ndipo kulifuata nikiwa na lengo la kumtafuta rukaiya yupo wapi jambo lililonilazimu niingie mfukoni na kuchukua simu yangu ili nimpigie lakini kabla hata sijampigia harufu nzuri ikapita puani kwangu harufu nzuri ya perfurm za bei mbaya zilizonifanya nitulie kidogo na kuanza kufatisha harufu ile nzuri inayonukia inatoka wapi ndipo nikakubwa na neno waoo kutoka kwa rukaiya aliyekuwa ndiye ananukia ambaye bila ya kuogopa bila ya aibu kama kawaida yake akajitupa katika mwili wangu na kunikombatia palepale mbele za watu na kuanza kuninyonya ndimi zangu kwa ufundi wa hali ya juu huku akiuchezesha ulimi wake barabara katika lipsi zangu na kunifanya niaanze kusisimuka katika kiungo changu cha kazi.

"Jamani nishike basi huku nyuma mbona unaogopa mpenzi unaogopa nini wangu"
"A..aaa..hamna rukaiya tuondoke sio mahala pake hapa." Nikamwambia rukaiya aliyekuwa amependeza sana wakati huo huku akiwa ndani ya hijab yake nyeusi iliyomkaa vizuri na kuzidi kupendeza huku akiwa kajiremba remba kidogo tu katika uso wake na kuzidi kuonekana mrembo na hakika hakuna mwanaume aliyekwepesha macho pale tu walipokuwa wanamuangalia.Rukaiya akanishika mkono na kuelekea katika taxi zilizokuwepo palepale kituoni kisha nakuingia katika miongoni mwa taxi tuliyoifikia karibu.

"Enhee niwapelekee wapi wakubwa"
"Serena hoteli hapo mbele tu"
"Ooouk elfu sita tu pale"
"Weee twende".Dereva hakuwa na budi kuling'oa gari pale kituoni kwa mwendo mdogomdogo na kuingia barabarani kwa mwedo kasi na kuanza kuelekea serena hotel hoteli ambayo kusema kweli niliishia kuiona inatagazwa tu katika luninga kutokana na ubora wake kuwa na hadhi kubwa.
"Yani baby tunachuka chumba chenye choo cha kuoga na jacuzzi yani nataka tucheze na kukuonyesha mchezo ambao hajawai na hutokuja kuonyeshwa na mtu mwingine yoyote." Rukaiya aliniambia hivyo huku akinisogelea karibu na kuanza kunisogelea kwa kuleta mdomo wake kwangu ambapo mimi sikuwa na budi kuupokea huku mkono wake akiupeleka taratibu katika ikulu yangu ilikuwa inaongeza kasi ya kukua kwa kila hatua inayofuatia na kujikuta nikiianza kuutamani mchezo kabla hata hatujafika hotelini...............

Breki za gari zilizokanyagwa na dereva wa taxi zilizosababisha mlio wa gari kama kukwama zilitosha kabisa kuashiria tulikuwa tushafika tuendako na hali iliyomfanya dereva ageuke nyuma na kushindwa kuongea kutokana mimi na rukaiya tuliokuwa tumekaa nyuma ya taxi hiyo tulikuwa ndani ya mahaba mazito ya kunyonyana denda ambalo kutokana na uchu aliokuwa nao rukaiya alikuwa kaning'ang'ania sawasawa huku akiwa kashikilia barabara koki yangu iliyokuwa inazidi kufura kwa hasira kutokana kwa kushikwa kule.

"Mmm...h..mmm...hhh" Miguno ya dereva ndio iliyotushtua na kutujulisha ya kwamba tulikuwa tushafika katika safari yetu.rukaiya akaniachia huku akiwa ananiangalia kwa macho ya mahaba huku akihema na kutoa pochi yake kisha akatoa noti ya elfu ishirini na kumkabidhi dereva ambaye baada ya kuzipokea akaanza kulalamika kuwa hakuwa na chenji lakini rukaiya akapotezea na kuniamrisha mimi tutoke ndani ya gari.tulipotoka ndani ya taxi ile macho yetu yalikaribishwa na Ghorofa lefu lililoandikwa Serena Hotel huku kukiwa na bendera mbalimbali za nchi kama uganda,kenya,canada hii ilikuwa ikionyesha kwamba hoteli hiyo ilikuwa hoteli ambayo sio ya kitoto.kwa kupiga hatua fupifupi tukaanza kutembea taratibu na kuingia katika hoteli hiyo iliyokuwa na ulinzi mkali sana na magari mengi ya kifahari yaliokuwa yamebaki katika sehemu ya kupaki magari mbeleni kabisa ukivuka geti hilo kwa ndani.

Rukaiya alikuwa akanishika bega na mimi sikuwa na hiyana nikamshika kiuno chake kipana ambacho sio siri kilizidi kunipa hamasa tosha kabisa ya mchezo ambao kwa mara ya kwanza nilikuwa sina hamu nao lakini kadri muda ulivyokuwa ukiendelea ndio hamu ilikuwa ikija na kunipa hamasa.Macho yangu na shingo vilikuwa vikigeuka geuka kila wakati na kuangalia mandhari nzuri ya hoteli hiyo ambayo mara nyingi nilikuwa nikiona ikitangazwa tu katika maluninga hoteli ambayo kulisheheni raia wa kigeni hasahasa wazungu na waarabu walikuwa wengi mno.tukaingia ndani ya hoteli hiyo huku jambo lililokuwa linanifurahisha zaidi ni kuwa hakuna mtu aliyekuwa anamfuatilia mwenzake kila mtu alikuwa yupo na harakati zake na kuzidi kunipa Amani ndani ya moyo wangu.

Rukaiya akaenda mpaka katika kibango kilichoandikwa reception(Mapokezi) na kuanza kuongea na Mdada aliyekuwa katika sehemu hiyo na kuelewana naye kisha akatoka yule dada wa reception na kumuita mmoja katika mfanyakazi mwengine wa kike ambaye baada ya kuniona aliachia tabasamu nililolipotezea kisha akakabidhiwa funguo na dada yule wa reception kisha akatuamrisha tumfuate yeye na bila hiyana tukaanza kumfuata na kuanza kutupeleka na kutuingiza mpaka katika lift ambayo ilikuwa ni kwa mara ya kwanza naipanda na wala sikutegemea kupanda kwa wakati huo mara nyingi nilikuwa naonaga kwenye luninga tu jinsi mtu anavyopanda kwenye lift.

Ushamba ukanitafuna na kusababisha rukaiya na yule dada wacheke baada ya mimi kuingia kwenye lift ile iliyoanza kwenda kwa kasi na kusababisha mimi kuanza kuyumba yumba na kumshikilia rukaiya ambaye Alikuwa hana mbavu.hakika yataka moyo haswa kupanda lift na hakika hata mtu akipanda kwa mara ya kwanza lazima itamsumbua kutokana na jinsi inavyokwenda. Lift ile iligota baada ya kutembea kwa muda wa kama dakika moja kisha mlango ukajifungua na kisha yule dada tuliyekuwa tunamfatisha akatoka na kufuatiwa na sisi tulikuwa tupo nyuma yake.tulitembea kidogo na kufika katika chumba kilichoandikwa Number456special room juu ya mlango wake ambako baada ya kufika pale tukakabidhiwa funguo na yule mdada ambaye kwa mara nyingine akaniangalia na kutabasamu na kuniacha nikiwa na maswali mengi.

Kwa kutumia funguo ile tuliyopewa rukaiya akafungua mlango kisha tukaingia ndani ya chumba hicho ambacho Nilijikuta nikipigwa na butwaa ya mshangao kutoka na uzuri wa chumba hicho kilichokuwa na kila kitu hasa kama tv flatscreen iliyounganishwa na dekoda ya dstv,kitanda kikubwa cha sita kwa sita huku kikipambwa vizuri na makochi kisha kilikuwa na choo umoumo hivyo vote kiliambata na kiyoyozi kilichokuwa kikileta hali ya ubaridi ubaridi mzuri ilionisisimua kidogo.ghafla nikiwa katika umakini wa butwaa nikiendelea kuangalia angalia uzuri wa chumba hicho mlio wa simu ya messeji ukalia katika simu yangu iliyokuwa mfukoni na kusababisha nizame mfukoni na kuitoa simu yangu na kuangalia messeji hiyo ambayo kabla hata sijaisoma moyo wangu ukaanza kudunda baada ya kuona jina zureiya likijionyesha katika kioo cha simu yangu.

"Vp mpenzi wangu mnazika saa ngapi??honey basi ukitulia nataka tuchat"Niliisoma mara mbili mbili messeji ya zureiya kisha nikazima simu yangu na kuirudisha mfukoni na kuanza kumsubiria rukaiya aliyekuwa chooni.Nikiwa katika hali ya kusibiri Mlango wa chooni ukafunguliwa kisha rukaiya akatoka akiwa na staili tofauti iliyonifanya nitoe macho baada ya kumuona yupo kama alivyozaliwa huku mkononi akiwa ameshika kichupa cha mafuta na kuanza kunisogelea pale nilipo nilipokuwa nimesimama.Sikuwa na haja ya kuuliza na mimi nikamsogelea haraka na kupeleka mdomo wangu na kuanza kumnyonya denda huku naye akinipa ushirikiano huku mikono yangu miwili safari hii ikawasilia katika makalio yake makubwa na kuanza kuyabinyabinya na kuyapiga makofi na kumfanya rukaiya aanze kucheka kwa Nguvu sana.

"Kwanza ya yote pablo Nataka unifanyie massage kidogo baby" rukaiya aliniambia zile huku akinipa mafuta aliyoyashika baada ya kujichomoa katika mikono yangu kisha akanishika mikono na kunipeleka mpaka katika meza kubwa iliyosheheni maua maua ambayo baada ya rukaiya kufika akatoa maua yote kisha akalala katika meza ile na kujilaza chali huku akiniangalia kwa macho yenye uchu huku akianza kuangaika angaika kwa kuinua kiuono chake baada ya kupeleka kidole chake katika ikulu yake iliyokuwa imetuna sana wakati huo.

Karoti yangu ilikuwa imeshakakama sana katika suruali yangu niliyovaa jambo lililofanya nipate maumivu na kusababisha nifungue zipu na kutoa nje karoti yangu kisha nikavua suruali na shati langu na kubakia na boxer na vest niliyovaa na kisha nikafungua mafuta niliyopewa na rukaiya aliyekuwa anaugulia ugulia kwa raha kutokana bado alikuwa anachezea ikulu yake na vidole vyake. Nikapaka mafuta yale katika mikono yangu kisha nikaanza kupeleka mkono wangu mmoja katika nido lake la kulia na kuanza kumpaka mafuta yale kwa mtindo wa kuchua chua huku nikibinya binya na kuvuta chuchu iliyokuwa imeshimama vizuri na kuanza kuvuta vuta na kubinya hali iliyoanza kumpa wakati mgumu rukaiya aliyeanza kuanza kutaka kunyanyuka huku mikono yake akiipeleka katika kifua changu na kunipapasa.

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho


27 Mapenzi na Ngono Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni