Notifications
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…
  • MY DIARY (14)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NNETULIPOISHIA...Nikamuuuuliza hivi wewe haugopi maradhi? Akanijibu kuwa angekuwa haogopi basi angeshakufa. Sikiliza Leah hapa nipo na vile vipimo vya ukimwi hivyo usiwe na wasiwasi tutapima wote wanne kama wapo fresh tutaingia kazini wewe si unatafuta hela ya kujiunga na chuo au?IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Kabla sijajibu akanambia nitakupa na dawa ya kumeza ya kuzuia mimba na pia…
  • MY DIARY (13)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TATUTULIPOISHIA...Joyce akaanza kujimiminia mwenyewe, kweli dunia ina mambo wakati wenzake wakichanganya nay ale maji makubwa yeye alikuwa akinywa kavu kavu.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi mimi sikuwa na jinsi zaidi ya kuaagiza ile bia yangu ambayo alinifundisha yaani savanna. Safari hii hakusubiri ili ifike mwisho ili anitambulishe bali tulivyoanza tu kunywa akawaambia wale…
  • MY DIARY (12)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA MBILITULIPOISHIA...Niliamua kufanya ziara ili nijue pakoje na mwisho wa siku niliamini kuwa kutokana na umaarufu wa marehemu baba yangu isingekuwa kazi sana kulipata shamba lake..IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi nilitembea kijiji hadi kijiji huku nikijaribu kuuliza kwa wenye viti wa mtaa kama walikuwa wakimjua marehemu Bura. Kwa kweli kazi ilikuwa ngumu sikuweza kuvimaliza vijiji…

WEKA YOTE (34)


JINA: WEKA YOTE
Mwandishi: Gaooh Musah

SEHEMU YA THELATHINI NA NNE
ILIPOISHIA...
“Aaahhhhhhhhh oooooogghhhhh oghhhhhh shhhhhhh sssssshh oooghhh “ niligugumia kiume mithili ya mtu alie mahali baada ya kuumia, naye mama imma alifanya makusudi karikamatia karibia na korodani, alilikamata kisawa sawa na kufanya ingiza toa ingiza toa alizidi kunipa shida sana huku utamu ukiongeza, nikaachia makalio yake na kuanza kukandamiza kichwa chake.

TUPATE BURUDANI KIDOGO KISHA TUENDELEE

SASA ENDELEA...
Alifanya mpaka aliporidhia ndio akatulia hapo na mimi nikiwa na mzuka zaidi ndio nikambinua kwa kuupakatia mguu wake mmoja juu na mwengine ukiwa chinin hapo nilikuwa tayari nataka kuingiza hata ile bikini aliyokuwa kava nilisahau hata nilitoa vipi mana nilikuwa nishapagawa mnoo.
“ooooh ingiza jamaniii aaah”alilalamika kutaka niingize, nami sikucherewesha nikaingiza dushelele chumvini,.
“aaaaahhhhhhhhhhhhhhh shhhhh ooooohhh”alitoa kelele za mahaba zisizo kera masikioni kusikiliza.

Nami nilizidi kuingiza tu nisijue kinachoendelea huko nje ila kutokana na kelele zake nilisikia kugogwa kwa mlango, ilikuwa kwa mbali mnoo sikujali niliendelea kula utamu, tukiwa kati kati ya safari nyingine ndio mlango ukafunguliwa tena kisifa.
“ haaaah jane nini unafanya” ilisikika sauti ya kiume tena yenye bass kubwa pale tu mlango ulipofunguliwa.
“yesuu wanguu baba iimma…………

Mama imma alinishitua zaidi na kufanya nigeuke na mimi kuangalia hapo mavazi yake tu yalinionesha tu kuwa ni mwanajeshi, alivaa gwanda za kijeshi hapo ndio haja ndogo ikatoka kwa woga niliokuwa nao pale.
“Mama imma wewe ni wa kunisaliti mimi aaah kweli wanawake si watu “alisema kwa ghazabu huku akitufata pale tulipo, mimi muda wote nilikuwa nikitetemeka hata dushelele lilinywea tayari halina hata hamu, kutetemeka kwangu kulikuwa sambamba na mama imma aliekuwa akitetemeka zaidi huku akipiga magoti mwenyewe.

“nisamehe mume wangu nisamehe tafadhali nakuomba nisamehe ni shetani kanipitia mume wangu “mama imma, aliomba msamaha huku akilia.
“aaah, siamini kama wewe ni wa kunifanyia hivi, siamini umekosa kitu gani vingapi nina kupa”baba imma alikuwa akiongea kwa uchungu akasogea pale tulipo kisha akanikwida mimi tai.
“nisamehe bro”

“wewe ni wa kutembea na mke wangu, leo utajuta kuzaliiwa, nakupa funzo kuwa mke wa mtu sumu”aliongea huku ameghazibika mithili ya simba mwenye njaa kali , alinishika vizuri na kaboksa kangu ka Jordan, alinishika vizuri na kunipigisha ukutani, nilianza kulia tu mwenyewe huku nikiomba msamaha, hakunijali alinikaba vizuri na kuanza kunitandika vichwa, nilipika kelele za maumivu huku nikiomba msamaha kibaya zaidi alikuwa akinipiga huku akilia na yeye, ilikuwa na wazi anahasira sana, mama imma alianza kuniombea msamaha ila wapi.

“mume wangu msamehe utamuua mimi ndio sababu huyo muache “
“nyamaza Malaya wewe”alimtandika kofi pale alipojaribu kumshika mkono eti asinisurubishe, kofi lile likaperekea mama imma apige ukunga wa maumivu,aliachana nae na kuendelea na mimi alinishindilia ipasavyo ma ngumi za mbavu zilizofanya nilie kama mtoto kabisa,
“nisamehe bro nisamehe”

“sikusamehi utaona cha mtema kuni leo umeenda kuiba police, wewe ni wakulala na mke wangu wewe”alisema na kunitandika kichwa cha meno na vile nilivyo kama katuni na ile boksa tu, alikuwa kanikwida vizuri shingoni, nililia mpaka sauti ikaniisha alinishusha chini huku akiongea kwa jazba na kuanza kuniburuza chini chini akiwa kanishika mikono,.
“ngoo ngoo ngoo ngooo”iligonga hodi pale mlangoni akisikika mtu akigonga kutaka kuingia ndani.
“nani wewe”aliongea kwa sauti ya juu baba imma.

“fungua mbona nasikia vilio kunanini humu ndani”ilikuwa ni sauti ya juma baba anae ishi na mama yangu ,hodi ile ilifanya baba imma aniachie na kusikiliza nje hapo nilikuwa nikiugulia maumivu tu, ambayo ndio yalichukua nafasi hapo,alinipa upenyo pale alipoenda kufungua mlango nilichoropoka kama sungura kisha moja kwa moja nikapita pale mlangoni na boksa yangu kitendo kilichosababisha nimkumbe juma pale mlangoni mpak akaanguka hali ile baba imma hakuifumbia macho aliniungia pale kuanza kunikimbiza mkuku mkuku.

“unajidanganya huwezi kunikimbia mimi”alisema akiwa nyuma yangu, alizidi kunitisha mnoo mana nilijua sio mwema kabisa tena anataka kuniua huyu sio bure hivyo nilizidisha mwendo ila ikawa bure kwani alinirushia teke ambalo alidhamiria kunipiga mtama ilanililikwepa likapita hakuchoka alizidi kunikimbiza mpaka mimi nikachoka ila yeye alikuwa nyuma tu hakutaka kuniacha hali iliyoniogofya zaidi.
“bro nisamehe sitarudia nisameheeee “niliomba msamaha huku nimechoka kabisa hali ile ilimpa nafasi anitie nguvuni tena,.

“kijana nataka nikupige ukawahadithie wenzako wasije kwa mke wangu wewe uwe funzo kwao” aliniambia kabla hajamaliza alinitandika teke lililoniangusha chini, akaniamsha tena alizidi kunipiga mateke kila nikianguka ananiamsha yani kusema ukweli siku ile siwezi kuisahau kwa kiswago kile alichonipa cha mbwa au mwizi, nilimuomba msamaha ila hakunijali ila niliona huyu ataniua hivyo nikamchoropoka na kuanza kukimbia alinifata hapo nikaingia moja kwa moja kwenye nyumba ambayo ilikuwa wazi niliingia bila hodi.

“wewe nani”ndio swali nililokimbiliwa kuuliza mana nilitapakaa damu mwilini ukizingatia na ile boksa ndio kabisa kama kinyago cha mpapule.
“naomba unisaidie kuna mtu ananikimbiza nje anataka kuniua nisaidie”niliomba msaada kwa mzee ambaye ndio alikuwa mwenye nyumba.
Nilipomwambia akatoka nje kuangali.
“mzee nitolee huyo mtu kwa usalama wako”baba imma alimtisha mzee wa watu hapo ndio nikajua changu ndicho.

“sasa kijana kunatatizo gani kwani”
“mzee usitake kujua kama unajipenda nitolee huyo kiumbe”walizidi kubishana hapo mimi nilikuwa nafanya harakati za kuchoropokea dirishani na kweli nilifanikiwa nikatoka pale na kumuachia mzee Yule msala, nilianza kukimbia kidogo kidogo huku nikikohoa kohoa na maumivu nayasikia mwilini mwangu, nilitembea tu japo ni mbali ila nilifika mpaka nje kwetu, yani sitamaniki kabisa kwa jinsi nilivyokuwa niliingia kwa kunyata nyata nikiogopa hata kuingia ndani niliona kwanza niingie bafu na choo cha nje hapo nikaingia na kuoga kuondoa damu na matope niliyokuwa nayo wakati nikioga ilikuwa kila mahali ninapojishika panauma hakuna ambapo palikuwa na nafuu, nilioga hukun sauti za kumia zikinitoka mpaka nikamaliza kuoga sasa na kuifua ile boksa kisha nikaivaa tena hapo kidogo nilionekana vizuri, kasheshe ni kuingia ndani na boksa nilivizia vizia kisha nikaingia.

“haaah wewe gao mbona unaboksa vip”nilistuliwa na sauti ya Doreen aliekuwa amekaa pale na wenzake hadi shangazi aliposema vile wote wakaniangalia na mimi haraka nikaingia chumbani kwangu, sikuruhusu wanihoji niliingia ndani na kufunga mlango wangu kisha kwa uchovu nikalala mlango wangu waligonga ila sikuwa nikiwaitikia tena nililala tu hata kula sijataka nililala mpaka kunakucha nikaamka kwa kujinyosha kisha nikavaa nguo zangu nyengine ndio nikatoka sasa, ile kutoka nikakutana na shangazi aliekuwa akienda kazini mana siku za ijumaa huwa wanawahi kwenda na wanawahi kutoka, nilimsalimia kisha akaitika na kunipachika maswali.

“mwanangu unanini jana umerudi na boksa tu alafu ulikuwa unakota wapi na mbona unamichubuko na umevimba hivyo”aliniuliza maswali mawili wili, hadi sikujua nimjibu lipi ila nikapanga kumdanganya.
“shangazi jana nimevamiwa na waizi wameniibia mpaka nguo na kunipiga mnoo”
“haah pole mwanangu pole sana”tulikuwa tukiongea nikitia uongo akaridhika na kuondoka kazini ili kuwahi.

Nilienda chooni kisha nikawa narudi chumbani kwangu ile kuingia nikakutana na ugeni toka kwa careen ambaye dhahiri alionekana hayupo sawa kabisa tena analia, nilimsalimia tu ile ya kumwambia mambo tu aliniitikia kisha akaanza kuongea.
“gao n๔i๏ umєภisababishia matatizo mwenzako yani sikuzangu sizioni, na leo nimetapika asubuhi nina mimba gao”
“una mimbaaa?..”…………

Niliuliza kwa mshangao pale careen aliponiambia anamimba.
“ndio gao yani sijielewi hata siku zangu sizioni kabisa na leo nimetapika asubuhi nilichogundua ni mimba”aliniambia kwa kunifafanulia.
“acha masihara yako hiyo mimba ya nani”niliuza kwa ukali.
“ya kwako gao hakuna mwengine zaidi yako, wewe ndio umenitoa usichana wangu sijafanya na mwengine”
“haaah, hakuna kitu kama hicho mimi sijakupa mimba tena usiniambie nimekupa lini mimba wewe usinisingizie mimba zako kama kuna bwana wako nje kakupa alafu unasema ni mimi usindwe sawa sio yangu hiyo”niliongea kijasiri maneno ambayo yalikuwa kama msumali wa moto kwa CAREEN alianza kutokwa na machozi.

“sasa unanililia mimi baada ya kumlilia aliekupa mimba wewe Malaya tu, hao unaotembea nao wamekupa mimba unaileta kwangu embu nitolee aibu yako hapa sawa”
“gao mimba ya kwako usiikatae, nimetembea na wewe peke yako hakuna mwanaume mwengine alienivua chupi zaidi yako hakuna gao, naomba ukubali na unambie tunafanyaje please”
“bhana niachie kelel tena usinisumbue sawa”nilipoona ananipigia kelele tu ndio nikavaa nguo nyengine mbele yake yeye akiwa analia tu kisha nikatoka wakati natoka alinivuta mkono ila nikatumia nguvu kuuchomoa kisha nikamtandika kofi la shavu akaendelea kulia na mimi nikatoka ndani kuelekea nje, nilifika mpaka getini na kutoka nje, sikuwa na sehemu maalumu ya kwenda asubuhi hiyo nilikuwa nikijitembelea tu njia nzima nikiwaza nitafanyaje sikupata jibu la kueleweka.

“daaah sasa huu mtihani mimi nitafanyaje hapo yani CAREEN anamimba daaaah’’niliendelea kuwaza sipati hata jibu,nilikumbuka kwenda kwa rafiki yangu anaejiita mkali kwenye geto lake hapakuwa ni mbali sana hivyo nilienda na kufika hata mlango hajafungua bado ilionesha dhahiri amelala hajaamka.
Nilienda kugonga.
“oya oyaa mkali mkali”
“yap vipi mwana”aliitikia kinyonge sauti ya kutoka kulala kisha akafungua mlango.
“haaah, gaao vip mbona mapema hivyo”
“daah mwanangu acha msala tu embu tuingie ndani kwanza”nilimwambia kisha tukaingia ndani.

“haya nambie una nini tena tama yangu”
“daaah, si unakijua kile kitoto flani hivi cha shangazi mdogo mdogo hivi”
“yupi huo Yule aliebinuka makalio”
“a a a acha huyo pacha wake sasa ambaye hana makalio makubwa kivile sinampata Yule”
“ehee ndio nampata nishamuona ona sana tu akitokaga shule mara moja moja, ndio ananini”
“sasa mwanangu mwenzio pale nilitia kamba mpaka bikra nimetoboa mimi sasa dogo leo anasema anamimba”
“haaah, kumbe umemla Yule binamu wako kinyama cha hamu daah”
“ndio mwanangu nishauri nafanya nini”nilimwambia kwa kusononeka.

“Sasa gao hata usiwaze wewe mkane tu usikubali hata kidogo na vile ni ndugu yako wataamini sio mimba yako.”
“daah, sasa aking’ang’aniza kuwa yangu si msala huo mwanangu “
“au skia wewe usiwazie kama vipi mkubalie baada ya muda mkaitoe tu hiyo mimba kama vipi”

USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA

ENJOY WAKATI UKISUBIRI MUENDELEZO, SUBSCRIBE KAMA HAUJAJIUNGA NA CHANNEL YETU

Subscribe channel hizi ili usipitwe na video za Vichekesho


29 Simulizi Weka Yote
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni