BABU UTAMU (11) - CnZ Media

CnZ Media

Jisomee Simulizi Mpya Kila Siku

Ijumaa, 17 Machi 2023

BABU UTAMU (11)

Je unajua kwamba Simulizi zote unazozipata hapa zipo kwenye app ya CnZ Media?

Humo Pia Utakuta:
๐Ÿ“– KUSOMA SIMULIZI
๐ŸŽฌ FILAMU na TAMTHILIA za KITANZANIA
๐Ÿ˜‚ VIDEO za KUCHEKESHA
๐Ÿ“‘ MAKALA za AFYA na MAPENZI

Install app hii GUSA HAPA utavipata vyote hivyo bure kabisa
Mwandishi: Pablo Hernandes

SEHEMU YA KUMI NA MOJA
ILIPOISHIA...
"Haya usijali kama nilivyokuambia." Emmanuel akajibu na kuruhusu mazungumzo mengine yaendelee.Anna alionekana kuwa mwenye furaha na kweli alikuwa na furaha sana.Ilipita kitambo hakuwa na mtu kutokana na hofu aliyokuwa nayo katika mapenzi kutokana na kuumizwa.Hakutaka tena litokee hivyo kwa jinsi alivyoonekana Emmanuel katika macho yake aliona kabisa atakuwa mwanaume atakayemfuta machozi.Pesa alikuwa nayo.

WAKATI UNAFUNGUA KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE WALAU KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
KAMA UPO NJE YA APP INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Na hata kwao walikuwa watu wenye pesa zao.Hivyo uhali wa kawaida wa Emmanuel aliona kabisa utamfanya penzi la lidumu kwakuwa yeye alikuwa na pesa na Emmanuel alikuwa mwenye hali ya kawaida tu.Siku hiyo alikuwa mwenye furaha sana hata kazini kwake alipokuwa anafanya kazi waliliona kutokana na uchangamvu aliokuwa nao.

"Emmanuel nakupenda sana."…….

Alijisemea mwenyewe Anna kisha akaibusu ile namba ya Emmanuel.Emmanuel yeye baada ya kumaliza kazi zake akafunga na kuelekea nyumbani kwake.Akiwa kwenye daladala ujumbe mfupi katika simu ukaingia.Akaichukua simu ile na kuifungua mawazo yake yote yalikuwa kuwa alikuwa Anna.Lakini haikuwa hivyo.Namba ngeni ndio iliyoonekana katika screen ya simu yake ya Nokia.

"Mambo mpenzi wangu Emmanuel.Ashura hapa au mama Mariamu leo nakuhitaji mpenzi nakuhitaji tupeana mambo mimi na wewe saa nne njoo basi." Alikuwa mama mwenyenyumba.Messeji ile ilimkera sana.Hakutaka kumpa penzi mama huyo kwakuwa alikuwa na kibarua kizito cha kupima siku inayofuata.

"Hata mimi nimekumisi lakini naumwa mpenzi wangu natumia mseto hivyo sitaweza kuja acha nipone tupige mechi ya kibabe."Emmanuel akajibu ile messeji na kusubiria jibu lakini halikurudi.Akaachana nayo na alipofika katika nyumba aliyopanga akaingia na kutowasha taa.Alifanya vile kuhofia kusumbuliwa.Hata kula alikula kwa kutumia mwanga wa tochi ya simu aliyokuwa nayo na kuoga hakuoga.

"Imaaa!…..weee Imaaa….upoo…Immaa!….mimi Mariamu fungua." Ilipofika saa tano akasikia mlango unagongwa na kuitwa kabisa.Alikuwa Mariam mtoto wa mama mwenye nyumba.Emmanuel alimsikia vyema lakini aliuchuna kimya hali iliyopelekea Mariamu kuondoka hapo akiwa mwenye masikiyilo makubwa.Haikupita hata nusu saa mlango tena ukagongwa.

"Imaa…mimi rozinta fungua jamani nina halu na wewe…" Rozinta aliongea kwa sauti ya chini na kupiga piga dirisha lakini kidume akatulia kimya.Hakuwa na muda akatulia kama sio yeye.

"Kama majibu yakitiki nawakaushia wote natulia na Anna tu kidogo nitampa mavitu mama mwenye nyumba." Alijisemea mwenyewe Emmanuel kimoyomoyo na kuuangusha usingizi mzito.Siku iliyofuata kama kawaida yake akaamka asubuhi na mapema.Akajitayarisha na kuondoka zake kuelekea kazini kwake.Alipofika kama kawaida akawasiliana na Anna ambaye hakukawia naye akaja kwa staili ambayo hakuitegemea.Gari kali aina ya Lexus nyeusi ndio lililowasili pale likafunguliwa mlango.

"Unashangaa nini mpenzi panda uingie." Anna akaongea na kuachia tabasamu.Emmanuel akaingia kwa kujishtukia na kuacha gumzo kwa wauza nguo wengine waliokuwa katika maduka yao ya nguo kila mtu akaiongea lake.

"Anna gari hii yako?"

"Ndio jamani mbona jambo la kawaida baby!"

"Anhaaa sawa." Njia nzima mazungumzo yakatawala ingawaje Emmanuel hakuwa katika hali ya usawa.Wakafika katika kituo cha afya na walikuta watu wachache.Zamu yao ilipofikia wakaingia kwa pamoja na mganga aliyokuwepo pale akafanya yake kisha akawaomba wapumzike kwa ajili ya majibu.

Lisaa limoja likakatika wawili hao wakiwa wamekaa kwenye kiti Anna akiwa amemuegemea Emmanuel aliyekuwa na hofu.Mapigo yake ya moyo yalimuenda kasi kama saa.Alikuwa na wasiwasi sana.Zamu ikafika wawili wale wakaitwa tayari kabisa kwa majibu.Mganga yule akaanza kuwapa ushauri nasaha wawili wale Emmanuel na Anna na alipomaliza moja kwa moja akaenda kwenye majibu.Kila mmoja akamtizama mwenzake.

"Je mko tayari." Mganga akauliza na sauti iliyosikika ikijibu ni Anna aliyekuwa akijiamini sana.

"Naanza na wewe Anna majibu yako yako safi kabisa.Ushauri niliokupa endelea kuufanyia kazi ipasavyo sawa eeeh." Anna akapewa jibu akaachia tabasamu pana na kumtazama Emmanuel aliyeachia lake la kinafiki.

"Na wewe…….." Mganga akasema na kuishia njiani.Akavua miwani yake ghafla na kuhema na kupelekea Emmanuel kutamani hata kukimbia lakini miguu akaisi kama imekufa ganzi.Anna hata yeye alitishika sana kwa hali ile….

Anna na Emmanuel wakawa wanamuangalia yule mganga ambaye baada ya kuvua miwani yake akaisafisha na kitambaa maalumu kisha akairudisha mahali pake.

"Usiwe na wasiwasi Emmanuel vipimo vinaonyesha kuwa upo salama kabisa.Sema wewe nikushikilie sana kwakuwa vijana wa kiume ndio wenye mambo mengi kuliko wakike.Sisemi kwamba wakike hawana sema naona wakiume wengi umekuwa mkikosa sana utulivu.Nakusihi sana kuwa muaminifu na mlinde na mpenzi wako Anna mtengeneze familia bora." Mganga akaongea na kusababisha Emmanuel kuripukwa na furaha kubwa mno.Hakuamini alichokisikia masikioni mwake alifurahi sana.Alionyesha furaha yake kwa kutabasamu 

tu pale lakini ndani ya moyo aliona kama kulikuwa na watu waliokuwa wakishangilia kwa kupiga makofi na vigelegele.Furaha haikuwa kwake tu hata Anna alifurahi sana na kuonyesha mapenzi ya waziwazi baada ya kumtandika busu zito la mdomo mbele ya mganga aliyeachia tabasamu pana kuiona hali ile.kilichoendelea wakapewa tarehe ya kurudi tena na wawili hao wakanyanyuka na kutoka wakiwa wenye furaha sana.

"Nimefurahi sana baby….wote tuko salama aaah nakupenda sana Imma wangu."

"Hata mimi nakupenda sana naimani tutadumu katika penzi hili mpaka kifo kitakapotutenganisha."

"Hahaha…una maneno wewe leo pumzika ofisini tuelekea nyumbani tushinde mpaka usiku au mpaka kesho asubuhi lakini tusifanye chochote." Anna akamwambia Emmanuel aliyekubali maneno yale na kuyapitisha kwa asilimia mia moja

"Hahaa…amekwisha huyu leo lazima nimto****" Emmanuel alijiwazia na kufurahia mwenyewe.Safari ikaendelea wakapanda katika lile gari.Emmanuel hakujua wanapoelekea lakini alikuja kujua baada ya kufika maeneo ya kijitonyama.Anna akashuka na kufungua geti la nyumba kisha akarudi kwenye gari na kuliingiza.Macho ya Emmanuel yalikuwa kwenye mshangao tu.Shingo yake ilisumbuka sana kuangalia nyumba ile iliyokuwa na uzuri wa aina yake na ya kisasa zaidi.

"Humu umepanga?"

"Ndio si nilikuambia kuwa nimepanga na wala sipendi kukaa kwa wazazi."

"Anha sawa unalipa bei gani hapa."

"Aaah kwa mwezi nalipa laki sita tu." Macho yakamtoka Emmanuel aliposikia bei ile ailipayo mwanamke yule ambaye tayari alishagundua alikuwa mshua.Uzuri wa mwanamke yule ilijieleza kabisa.Na kwa Emmanuel ilikuwa kama bahati yeye kukubaliwa maana kuna wengi ambao walikataliwa na mwanamke huyo.Kilichomshangaza sana Emmanuel ni kwanini mwanamke yule alikuja kununua nguo katika duka lake la nguo la mitumba na wakati anauwezo wa kununua nguo dukani.Hapo ndio akajua kuwa lile lilikuwa zari la mentali.Emmanuel akakaribishwa katika sofa lenye thamani ya kodi yake ailipayo kwa mwaka mzima.Hakukaa sawa akachapwa na juice tamu lenye rada ya mapenseni na maembe ambayo aliinywa polepole kuondoa ushamba.Baada ya kunywa mazungumzo yakaendelea na walikuwa wakiongea na kucheka.

"Haya nambie unataka nikupikie chakula gani baby?" Anna akauliza na kumtazama kwa macho maregevu.

"Nakutaka wewe."

"Mimi!…..kivip?"

"Nataka nikukule wewe leo siku nzima." Emmanuel akasema kisha akanyanyuka na kumsogelea Anna katika kochi alilokaa.Haraka akaanza kumpapasa mwanamke yule katika mapaja yake manene.Hakuishia hapo akaanza kuinyonya shingo ya mwanamke yule vyema.

"Aaaassss…..ba..by…..aaaaah….mmmh" Taratibu akaanza kulalamika kimahaba mwanamke yule aliyeanza kuonyesha ushirikiano.Akampelekea mdomo Emmanuel aliyeupokea na wote wakaanza kudendeka vyema……

Shughuli ikawa shughuli sasa.Emmanuel alitaka siku ile kwa sababu gani Emmanuel aliitwa hivyo.Wakiwa bado wanadendeka vyema mikono yake akaiyepeleka na kuanza kuyashika maziwa manene yenye uzuri wa kupindukia na kuanza kuyapapasa vyema.Presha ikazidi kupanda kwa Anna akaanza kujinyonga nyonga mwenyewe alisikia utamu wa ajabu.

"Lakini baby si tuli….s…eeema hatu..tofanyaaa cho…cho..te aaaaah"

"Shhhhhhhhhhhhhhhh! Kidogo tu." Emmanuel akajibu kwa mbwembwe nzito na palepale mkono ukaingiza ndani ya ile sketi fupi aliyovaa Anna na moja kwa moja akagusa ikulu ya Anna iliyokuwa inaanza kujaa kwa uchu.Bwana Emmanuel akaanza kupapasa papasa pale na kusababisha mwanamke yule sasa kujihisi kabisa kuwa hayupo katika dunia ile kwa raha alizokuwa akizisikia.

"Jamani baby ooooh sio vizuri hapa sebuleni twende chumbani." Anna akaomba mwenyewe na kupelekea Emmanuel haraka kumbeba.

"Kata kuliaaa hapo chumba cha pili mpenzi."Emmanuel akapewa maelekezo kwakua alikuwa si mwenyeji katika nyumba ile.Akafanya kama alivyoelekezwa akiwa amembeba mwanamke yule aliyekuwa shatashata kama mtoto mdogo.Akafungua mlango wa chumba alichoelekezwa na kuingia na Anna aliyemrusha kitandani kwa mbwembwe.Mlango ule akaufunga.akafungua vifungo vya nguo yake ya juu na kuitupa kando.Akafuatia na suruali yake ya chini na kubaki na nguo yake ya ndani.

Anna alitoa macho alipoona mtalimbo wa Emmanuel ndani ya nguo ya ndani kwa jinsi ulivyotuna kwa hakika aliona kabisa ulikuwa kama mchi.Bwana Emmanuel akajirusha kitandani na kuanza kumshaula na Anna mpaka akabaki na chupi na sidiria zilizoondolewa haraka na kutupwa katika sakafu iliyopambwa na malumalu zenye kuvutia.Moja kwa moja Emmanuel akashika miguu ya Anna na kuipanua kisha akapeleka kichwa chake na kuanza kunyonya ikulu ile kwa raha na mustarehe.Utamu aliousikia Anna hakuwa wa nchi hii.Alijisikia burudani ya ajabu mno kunyonywa ikulu yake kwa sababu aliyeachana naye kitambo hakuwahi kumfanyia vile hata siku moja.

"Ooooh baby….aaaah…mmmmh….uwiiiii asssssh oooh my….aaah mama yangu hapo…hapooo mpenziii…ooooh you…make me feel good aaah." Utamu aliousikia akinyonywa ikulu ulizidi asali anayotengeneza nyuki.Emmanuel wakati akiwa anamnyonya mikono yake akipandisha juu ya kifua cha Anna na kuanza kuchezea maziwa ya mwanamke yule hasa chuchu zake alizokuwa akizipikecha taratibu.Anna utamu aliusikia kotekote.

Emmanuel hakuona haitoshi ulimi wake aliutoa na kuanza kuchezea kisimi cha mwanamke yule kilichokuwa kimechomoza kutokana na utamu na hamu alizokuwa nazo kwa wakati ule.Ilipita kitambo hakufanya mapenzi na mwanaume hivyo kiukweli alikuwa na hamu iliyozidi kipimo.Emmanuel hakuwa na papara wala haraka yoyote ile.Aliendelea kuchezea kile kisimi na ulimi wake mpaka Anna akazidiwa kabisa na kuomba kupewa dozi. kubwa.Emmanuel haraka akazamisha muoga wa jang'ombe ulioingia wote kutokana na kulainika vyema kwa ikulu ile.

USIIKOSE SIMULIZI INAYOFUATA

Umeyaona Matangazo?
Yabonyeze Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni