Notifications
  • MY DIARY (24)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA NNETULIPOISHIA...Kwa kweli siku hiyo niliwaza sana na kutafakri vitu vingi. Wale wanachuo wenzangu wamenambia kuwa Msouth alikuwa kwa kimada mwingine na japo stori haikumalizikia ila ukweli ni kwamba alifumaniwa na kupigwa vibaya na huenda walimtupa mahali na ndio maana chanzo cha kifo chake hakieleweki.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilijaribu kuijikontrol ili nisiwaze kitu…
  • MY DIARY (23)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA TATUTULIPOISHIA...Alinisihi sana nisitoe niilee na yeye atatoa huduma zote lakini tuendelee kufanya siri ili tusije tukahatarisha ndoa yake na kusababisha familia yake kuyumba. Kwa kweli sikuweza maana ilikuwa ni kujipa tabu mimi na huyo mtoto atakayezaliwa. Bora ataa ingekuwa ni mimba ya ule mwalimu ambaye hajaoa.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilitamani nimchomekee hiyo mimba…
  • MY DIARY (22)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILITULIPOISHIA...Alitumia vizuri umbo lake la kimiss kutembea kimiss na kuweka mapozi ya maana. Na baada hapo alilala kwenye kile kigodoro na akachojoa vyote isipokuwa kufuli jeupe ambalo nalo alipewa hapo hapo kwa ajili ya kazi hiyo. IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Basi sikumpa nafasi Joyce niliingilia nafasi yake na kuchukua ule uume wa bandia nikamfuta yule dada.…
  • MY DIARY (21)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJATULIPOISHIA...Nilichomeka simu chaji na kuiweka hewani ili nione kama kutakuwa na sms yeyote iliyoingia.Hofu ilizidi kunitawala na wakati naendela kufikira simu yangu iliita niakzani labda ni Joyce na nilipoiangalia nilimkuta ni Msouth. Sikutaka kuipokea nikaiacha iite mpaka ikate yenyewe.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikajiuliza kwani amepatwa na nini usiku huo mpaka…
  • MY DIARY (20)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA ISHIRINITULIPOISHIA...Nikamwambia kuhusu namba zangu za simu amuombe aliyemtuma anisaidie na kuhusu hilo la pili je hatuwezi kufanya kesho kwa sababu kuna mahali nilikuwa nikienda? Alifikiria kwa sekunde kadhaa na kuniambia kuwa hapana anaomba nimsaidie leo kama yeye alivyonisaidia mimi kwa sababu ningekuwa kwenye foleni nisingeweza kuondoka kirahisi hivyo kama ninavyofikiria.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (19)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TISATULIPOISHIA...Baada ya hapo niliendelea kumdadisi juu ya tukio lile lakini hakuwa tayari kufunguka zaidi ya kusema aliumia sana. Hapo nikaamua kuutafuta ukweli kwa kutumia mbinu za kike.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nilimwekaa mikono begani na kumwambia pleaee dear naomba uniambie ukweli ili nijue nakusaidiaje? Basi Ramadhani akaanza kulalamika kuwa baba yake amekuwa akimwingilia…
  • MY DIARY (18)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA NANETULIPOISHIA...Halafu eti akawasha simu na kuonesha zile picha alizotupiga kweli huyu rafiki yangu alikuwa hamnazo sio picha tu alituchukua video kabisa na sauti. Akanambia ngoja ampigie paparazi mmoja hivi aje ili atengeneze habari tupate hela. Kauli hiyo ilinikosesha amani na kunikera sana akanmabia eti kuna namna ya kufanya ili sura yangu isitokee.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA…
  • MY DIARY (17)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SABATULIPOISHIA...Nilijifikiria mara mbili nikajikuta namkubalia kwani alionekana ni mpole na mstaarabu sana.Basi tukaenda hadi kwake ambapo haikuwa mbali na hapo tulipokuwa na kweli alikuwa na chumba na sebule na sebuleni kwake niliona picha ya ukutani akiwe yeye na mke wake nahisi ilikuwa siku ya harusi yao.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Nikasema huyu kijana atakuwa amefunga ndoa…
  • MY DIARY (16)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA SITATULIPOISHIA...Mwanamke akaamua kuingia jikoni na kukarangiza viazi na nyama rosti na kilipoiva kililetwa mezani tukaendelea kujenga afya. Sikuaamini kama Joyce alikuwa anakumbuka hata kupika kwa sababu alibadilka sana na alikuwa akiishi maisha ya starehe.. Lakini aliniprovu wrong kwa kutoa rost ya hatari.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Baada ya kula alinambia kuwa alikuwa amechoka…
  • MY DIARY (15)
    Jina: MY DIARYMtunzi: __SEHEMU YA KUMI NA TANOTULIPOISHIA...Hapo mzungu wa watu hakuweza kuvumilia tena aliichomeka yote.Mmmmmh mmmmmh ishiiiiiiiiiiii yeaaaaaahhhhhhhh yeaaaaaaah ni miguno niliyoitoa mara baada ya kusikia joto tamu la kiungo hicho.IKIWA UNASOMA SIMULIZI NJE YA APP YA CnZ Media IPAKUE ILI USIPITWE NA SIMULIZI👉INSTALL👈TUENDELEE...Ikabid nijivute kwa nyuma ili lengo likiwa ni kukaa vizuri ili kichwa cha nyoka kiwe juu juu ya pango langu ili niweze kukisugua sawa sawa na pia…

MUUZA CHIPS (29)

Sehemu ya Ishirini na Tisa, ya mama huyo, kwa kijana chidi, mtoto wake wa, mapaja ya mama, na jimama lake, akaikuta chupichidi jamani, mama huyo
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA
ILIPOISHIA...
"hoteli gani"

"mount Meru hotel"

"ok.. Poa basi nikimaliza hapa nitakutafuta"

"ok… Now am happy to meet with you"

"usijali mamy"

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
Basi chidi aliendelea na kazi yake huku akiwaza kwenda kulala na yule mama, mama yule alikuwa sii haba, ni bonge la jimama na lina sura kama mtoto wake sarah alivyo,…

Tukija huki kwa rehema akiwa yupo na rafiki yake jasu, walikuwa wakipiga stori, huku rehema akimsimulia jasu kuwa alikutana na mdogo wake Ibrahim,…

"shost… Leo majanga shost"

Aliongea rehema huku jasu akiwa na mshangao wa kujua kuna janga gani alilokutana nalo…

"janga gani tena shost"

"leo saa ngapi sijakutana na mdogo wake Ibrahim"

"weeee… Lakini si shemu wako sasa kuna janga hapo"

"kukutana nae sio tatizo… "

"sasa tatizo ni nini"

"kumbe mdogo wake ni yileee alienivuruga viungo vyangu siku ile"

"una maanisha nini, mbona sikuelewi"

"jasuuuuu hukumbuki kuna siku nilikunwa kule PIN POINT"

"aaahhhhhh yule ndio ndugu wa Ibrahim"

"ndio shost"

"enhee sasa ikawaje"

"we acha tu,…. Nakuamnia mdogo mtu kumbe anajua kikabo ninachomkaba kaka yake, hivyo kanistopisha kuendelea na kala yake"

"mmmhhhh shost hilo janga kweli shost"

Tukija huku kwa kijana chidi akiwa kamaliza kuuza na keshafunga kibanda hicho,.. Akanyanyua lisimu lake na kumpigia lile jimama,…

"mamy ndio nimefunga hapa kibandani"

"ok.. Ngoja nikupitie hapo baby wangu"

Basi chidi ilibidi asubiri hapo hapo ili apitiwe na jimama hilo, waende wakale maisha ya wapendanao,… Punde sii pende kukasimama VX kalii… Chidi aliingia ndani ya gari hilo na kumkuta mama huyo kaka kwenye siti lakini gauni lake lilikiwa limepanda juu, mipaja yote ilikuwa wazi,… Chidi alianza kuipapasa huku akishukwa na udenda wa hamu,..

"wewe buana, subiri kwanza tufike… Kuku ni wako, manati yanini sasa"

Chidi kwani alisikia,… Alikuwa akiyapapasa mapaja ya mama huyo mpaka akaikuta chupi

"chidi jamani, utanchania chupi, mwenzio sijaja na spea nyingine"

Mapenzi ni upofu asikwambie mtu, zamani hawakuwa wakiyajua mambo kama haya lakini kalne hii ya kizazi kipya wenyewe wanakiita kizazi cha Digitali, kimekuja na kuharibu vijana pamoja na watu wazima, na sio wamama tu, bali wapo wazazi wa kiume pia wanapenda kutenbea na wasichana ambao wanaweza kuwazaa, unamkuta baba mtu mzima anatembea na mtoto wa kidato cha nne,.. Mtoto bila aibu anamvulia chupi mtu mzima kama baba yake mzazi, na baba nae hivyo hivyo kwa mtoto wake, yaani kwa sasa imekuwa kama fasheni kufanya mapenzi na wazazi au watoto wao,.. Kipande flani hivi Nilishawahi kusema kuwa miaka 50 ijayo kutakuwa na uwezekano wa wazazi kutembea na watoto wa waliowazaa,.. Mfano hata sasa hivi unamkuta baba anajikaza tu kisabuni lakini anammezea mate mtoto wake wa kike kwa jinsi alivyo mzuri na mwenye umbo zuri… Unamku mama anammezea mate mtoto wake wa kiume kwa jinsi alivyo hensam,.. Na hali hio itawajia pale tayari wameshaanza kutembea na watoto wadogo.. Sasa wanawamezea mate na watoto wao wenyewe,… Kama sio miaka 50, basi wacha tuweke miaka 100 ijayo, baba na mtoto wake wa kike wa kumzaa, na mama na mtoto wake wa kiume wa kumzaa,… Na hii inaanzwaga na watu wazima, kwasababu mtoto hawezagi kumtongoza mtu mwenye umri sawa na mzazi wake, ila hawa hawa watu wazima ndio wanaowaanza watoto, na watoto nao wanashindwa kujivunga kutokana na kupenda pesa…

Sasa tukija huku kwa chidi akiwa na jimama lake, chidi alikuwa ni kijana mdogo sana lakini mama aliokuwa akimmiliki ni sawa na mama yake mzazi kwasababu chidi hapo alipo hakosi mia 21 au 22 hivi.. Lakini mama akiwa na miaka michache sana ni 40, miaka hio kama angelikuwa kijijini basi angelikuwa ni bibi haswaaa, ila kwakuwa ni mjini na vile vile ana pesa, basi waweza hisi labda ana umri wa mia 28 kwa vile anavyo vaa na kujipodoa

Chidi bila aibu kuwa huyo ni sawa na mama yake, aliingia ndani ya gari na kuanza kumpapasa mama huyo baada ya kukuta mapaja yake yapo wazi, chidi hadi udenda ulimtoka kwa jinsi mama alivyo mlaini, yaani hata maini hayaoni ndani kwa ulaini wa huyu mama,.. Mama kushikwa tu kidogo alianza kulalama kimapenzi huku akimsihi kijana chidi kuwa

"wewe buana, subiri kwanza tufike… Kuku ni wako, manati yanini sasa"

Chidi kwani alisikia,… Alikuwa akiyapapasa mapaja ya mama huyo mpaka akaikuta chupi

"chidi jamani, utanchania chupi, mwenzio sijaja na spea nyingine"

Chidi kuskia hakukuwa na spea ya nguo nyingine ilimbidi aache mchezo huo, lakini nia take alikuwa aivute nguo ile ili aanze kupima oili…. Wakati huo wakifanya hivyo gari ilikuwa bado haijaondoka, sasa mama ndio kapata kaunafuu, akaondoa gari kuelekea hotelini

Tukija huku kwake ambapo tunamuona mtoto wake akiwa katulia, kwani leo alitaka kwenda kulala kwa rafiki yake miriam, sasa alikuwa akimsubiri mama yake aje ili aondoke, na leo baba yake yupo hivyo ndio maana hakutaka kulala hapo,..

Sarah alishika simu yake na kumpigia mama yake…. Simu iliita kwa muda mrefu kisha ikapokelewa,..

"halo mamy, mbona huji nyumbani"

"ooohh shit, afu nilisahau kukuambia kuwa nilikuwa nina safari ya kwenda Dar es Salaam kuna masafria naenda kuyaangalia, hivyo naweza kurudi kesho"

"mmmhhh jamani maamaaa"

"usijali mwanangu… Na hata sasa hivi tu nimetoka kuongea na baba yako kuwa nipo safarini"

"mmmhhh sawa"

Simu ilikata kisha sarah akaingia zake chumbani kwa hasira,..

Wakati huo hata miriam alikuwa akimsubiria rafiki yake sarah waje walale wote, mana ni muda mrefu sana wamemisiana mno,…

Miriam alishika simu yake na kumpigia sarah

"haloo sarah mambo"

"poa miri, hali yako shost"

"safi tu.. Vipi mbona huji"

"mmmhh shost, mama kasafiri so siwezi kuiacha nyumba peke yake"

"hhmm, saaarah jamani"

"kweli vile miri, nisamehe shost yangu"

"hhhmmm ok poa basi kesho"

"ok usiku mwema miri wangu"

"nawe pia… Ila sarah we hunipendi shost wangu"

"kwanini miri, mbona mi nakupenda sana best"

"mwenzio nateseka kitandani peke yangu"

"sio wewe tu miri, hata mimi pia.. Yaani kwa jinsi ninavyomkosa chidi wangu, ndivyo jinsi ninavyokuwa karibu na wewe"

"sarah, achana na wanaume ni wazinguaji tu hawana lolote, watakulia pesa zako bure tu"

"ni kweli, lakini chidi sijawahi kuwa nae hivyo anaweza kuwa na mapenzi ya kweli"

"hhhmm haya jitahidi, mana wewe hutaki kupenda watu na akili zao, wataka kupenda majambaziiiiiiiiiiiio"

"umeanza miri"

"ok basi nisamehe sarah wangu"

"ok poa basi kesho"

"poa"

Miria alikuwa hakosi kumtania rafiki yake kuwa kampenda jambazi, kitendo ambacho sarah hakipendi kabisa kukiskia katika maisha yake… Miriam toka azaliwe anasema hamjui mwanaume na wala hataki kujua kama kuna mwanaume wa aina gani,… Taratibu miri alionekana kujishika shika maene 18+ only.. Huku sauti yake ikiwa ya chini sana,.. Alionekana kujifunika shuka huku akiwa peke yake,.. Hakuwa na nguo nyingi na wala hakuwa na mtu mwingine ila kuna sauti zilizokuwa zikitoka kuashiria kuna mtu mwingine….

Tukiachana na miriam tunakuja huku kwa kijana chidi ambapo wao na jimama lake ndio wanafika hotelini hapo, na kuonyeshwa chumba kisha wakaingia wakiwa wana furaha ya hali ya juu mno,..

Tena kwa haraka ya mama huyo alimtaka chidi apambue nguo zake zote huku na yeye akiwa anafanya kama anavyotaka iqe kwa kijana chidi, chidi alivua nguo zote kasoro boxer tu, huku mama akiwa anamalizia kupambua sketi yake fupii,.. Chidi aliona kama vile mama alikuwa akichelewa mno, chidi alienda nyuma ya mama huyo na kuanza kuivua sketi ile, Zakaria ya chidi ilikuwa imekaza mpaka inamuuma,.. Alioomaliza kuivua mama alibakiwa na chiupi tu tena jichupi jeupee, chidi kuona vile ndio alizidi kupagawa zaidi kuliko,.. Unakua jamani kila mtu kaumbwa na hisia zake, kuna mwingine akiona tu kidevu cha mwanamke, anapatwa na hisia za haraka… Kuna mwingine akiona unyayo wa mwanamke tu hali yake kuwa hoi,.. Lakini kwa kijana chidi yeye akiona tu hicho kinguo maskini ya mungu mtoto wa watu hafai, yaani kama angelikuwa ni mwanamke, basi waweza hata kumbaka mana kama ni kulegea keshalegea kisa chiupi tu…

"chidi bwana Twende tukaoge keanza"

Mama aliongea hivyo huku akimburuza chidi kuelekea bafuni…

Chidi hakukataa mana mapenzi ni uchafu hivyo tujitahidini kujifanya ni wasafi,.. Sasa chidi alipofika bafuni akafungulia maji ya mvua ambayo yalikua ni yamoto, sasa maji hayo yalimmwagikia mama sarah, na kumloanisha kile kichupi chake, chidi hapo ndipo kichwa kilipochanganyikiwa juu ya mama huyo,.. Alijikuta anampapa juu ya nguo hio huku mikono ikipitiliza mpaka kule 18+ Only, mama alikuwa anajibana bana miguu huku chidi akiwa kakosa adabu juu ya mama huyo,..

Chidi aliivua bixer yake mana alikuwa akiumia sana kutokana na kusimamisha zakaria yake kwa muda mrefu, kitendo cha mama kuiona tu zaka ya chidi, mama aliruka mpaka kwenye lile karo la kuogea,

Chidi nae hakulaza damu alimfuata kule kule huku akimpa mdomo ili kumpoza na denda,.. Mama kaupokea mdomo wa chidi huku zaka ikimgusa gusa mapajani mwake,…

Chidi alimsukuma huyo mama huku akimfuata kwa juu, chuchu zenyewe za mama huyo utafikiri hajazaa, kweli alijua kuzitunza, kijana chidi alizivamia na kujifanya ni mtoto wa mwezi mmoja… Mama alikuwa akipata shida mno, Chidi aliivua chiupi ya mama huyo na kukuta buyu likiwa limevimbaa yaani hata uwanja wake ulikuwa mzuri, tena na ule weupe, ndio kabisaa jimama lilikuwa lisafi mpaka raha jamani…

Chidi alianza kumsugua mama huyo katika sehemu ya 18+ Only, huku na mama nae akifanya hivyo hivyo…

"mamy twende kitandani"

Chidi aliongea huku akimvuta mama huyo, mama alijifanya kudeka deka huku akimrembulia chidi mimacho yake mikubwaaa.. Aliojaaliwa na alah. Walifika kitandani na kubwagana huku wakiwa kama walivyozaliwa…

Tukija huku kwa ibra anapokea simu kutoka kwa mke wake ambae ni Rehema, wakati huo ilikua yapata muda wa saa 3 hivi usiku,

"haloo mke wangu habari yako"

"safi tu mpenzi wangu, pole na kazi"

"ahsante sana mke wangu"

"sasa baba king"

"niambie mama kijacho wangu"

"naomba lei uje kwangu, kuna kitu nataka nikuambie"

"usijali nitakuja muda sio mrefu laazizi wangu"

Simu ilikata huku rehema akiagana na rafiki yake ambae ni jasu,

"sikia rey, usifanye makosa hapo, we fanya kweli"

"usiwaze jasu,… We subiri tu"

Huku kwa Ibrahim yeye alikuwa akipanda pikipiki tayari kuja kwa mkewe,..

Tukija huku kwa akina chidi na jimama lake,.. Tunamkuta chidi kamuivisha mama wa watu hadi kawa mwekundu, sehemu za mapaja ya mama huyo zilikuwa zimejaa utelezi sio utelezi, mashuka yalikuwa tayari yalishachafuka, na hapo zaka ya chidi ilikuwa bado haijaanza kazi yake….

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
50 Muuza Chips Simulizi
Jiunge kwenye mazungumzo
Chapisha Maoni