MUUZA CHIPS (60)

0
Mwandishi: MoonBoy

SEHEMU YA SITINI
ILIPOISHIA...
"haloo mama miriam habari yako"

"salama mama sarah mzima wewe"

"mimi mzima… Sasa mama miriam, nilikuwa nina shida na yule kijana, angalau lisaa limoja tu"

KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI

SASA ENDELEA...
"kijana gani tena"

"yule niliomleta juzi"

"aahhhh ok, sasa kwanini asingekuja asubuhi aapike chipsi kwanza kisha aje"

"aaahhhh, sawa kama ni hivyo lakini itakosti kidogo"

"mama sarah, naomba aje saa nne, apike kwanza chipsi ndio umuite, yaani hata ukae nae masaa matano lakini awe tayari kesha andaa chipsi kabatini"

"ok sawa basi wacha nimsubirie"

"sawa mama sarah, usiku mwema"

"nawe pia"

Basi chidi aliombewa ruksa ya masaa kama matano hivi akutane na huyo mama kisha atarudi,.. Hapo chidi kaombewa majanga

Tukija huku kwa akina sarah na rafiki yake miriam wakiwa ndani chumbani, Sarah kama kawaida yake akija kwa akina miriam, anajua tu kaja kufanya kale kamchezo kao, japo sarah kwa sasa ana mpenzi na huo mchezo hautaki tena, ila kwakuwa miriam hana mpenzi, hivyo sara anakuja kumridhisha rafiki yake,…

"miriam bwana, vua basi mi nataka nilale"

Aliongea sarah wakati wapo wote kitandani,

"weeeee ishia hapo hapo,.."

Aliongea miriam kana kwamba hataki tena mchezo huo

"heeeee kulikoni tena shost"

"sitaki tena huo mchezo, for now nina mpenzi"

"Whaaaaaat"

"nini sasa, kwani ajabu mi kuwa na mpenzi"

"ni ajabu tena kubwa,.. Wewe leo umependa wewe au unantania"

"sarah, unajua maisha ni safari, na kila safari haikosi kituo,.. Kiukweli nina mpenzi japo hajui kama nimempenda, so nataka nimtunzie huu utamu"

"heeeeeeeeee, Maaakubwa ya jongo mie"

"mnona we unae lakini sishangai"

"ok fine,… Sasa kwanini usimwambie tu ukweli"

"mhhhhh sarah, naogopa eti"

"heeee sasa unaogopa nink, au niambie ni nani nikuseidie, mana najua hata kitonhoza huezi"

"ni kweli siwezi, lakini kutokana na wadhifa wangu, naogopa kumtaamkia"

"kwani anafanya kazi gani uyo boy wako"

"MUUZA CHIPSI tu"

"Boooooooooo yaani na akili zako zoooote na pesa zako zooooote unadiliki kumpenda MUUZA CHIPSI??? Ama kweli mapenzi ni upofu, yaani kapurwa namna hio unampenda"

Tukija huku kwa akina chidi na shemeji yake wakiwa wanakula raha za mapenzi, jasmini si kuchoka gani huko,… Na chidi alivyo na makusudi hakuvaa hata kondom alimgonga shemeji yake kavu kavu,… Sasa wakati huo sarah kajiachia kitandani, kakaa staili ya kutamanisha kinyume na maumbile, chidi alimsogelea na kumbusu makalio yake makubwa afu malainii, huku akiyapiga piga kibao, wakati huo jasmini hajui hili wala lile, kumbe mwenzie keshampenda zaidi, kuliko yeye, chidi alianza kuleta matani ya kujifanya anaingiza zakaria maeneo hayo, lakini cha ajabu jasmini alikuwa ametulia tu kimyaa,… Tena ndio kwanza alokiwa anajitega vizuri

"heeee ina maana shem anafanyiwaga kinyume na maumbile"

Chidi aliongea kimoyomoyo huku akiendelea, na kilichomshawishi chidi ni ulalaji wa jasmini, ndio uliomtamanisha chidi hadi kujikuta anazua tabia asioijua na pia hajawahi kuifanya,..

"sheeeeem bwana acha"

Jasmini alikuwa kalegea lege, yaani chidi akiweka zakaria yake pale maeneo ya 0714 jasmini anatoa, chidi akawa anadundisha dundisha kichwa pale pale kama vile anadundisha mpira,.. Jasmini anaskia raha, chidi akajaribu

"uuuuwiiii… Sheeeeem kumbe una tabia mbaya"

Aliongea jasmini huku akimrembulia shemeji yake,…

"kidogo tu"

"akuuuuu, staki"

"kidogo shem… Unajua una umbo zuti huku"

"bwana shem kama hujatosheka tuendelee huku huku mbele"

"No… Mi naomba kichwa tu"

Chidi alijikuta ananogewa na sehemu hio bila kujua uhatari wake

"Siwezi kukunyima shem wangu, ila naogopa kuumia, naskia vinaumaga eti"

"No, sio sana bwana, afu sema nitaingiza kiufundi"

"Eti eee…. Afu niliwahi kuskia kwa shosti kuwa eti ni vitamu, ila nilikuwa naogopa kumwambia kaka ako aninanihiiiiiii"

Jasmini aliongea huku akijishika makalio yake

Chidi alimgeuza shemeji yake, na kuanza kumruka ukuta

"uuuuuuuuuuuuuuuuwiiii… Subiri kwanza shem"

"nini tena… Jamani shem vitamu, please tuendelee"

"vinauma bwaaaaaaa"

"nikuambie kitu shem"

"nini tena chidi"

"lete mafuta ya mgando"

"Eti eeee…. Ngoja basi nikalete, mana ushanionjesha"

Katika ujinga namba moja, wanawake wanaongoza kiwa wajinga tena haswa kwa nchi zetu za Kiafrika, kwa takwimu zangu mimi kwa nchi za Afrika Mashariki kwa sasa Tanzania inaongoza kwa wanawake wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile yao, yaani sasa hivi imekuwa kama torati ya tendo na mwanamke alivyo mjinga anashindwa kukataa eti kisa ataachwa na mpenzi wake,… Sasa wacha nikuambie siri ya sisi wanaume, kwa taarifa yako sasa wewe mwanamke, hua hatuoi mwanamke aliefanya mapenzi kinyume na maumbile yake, wanaume wengi tunapenda kuitwa baba, sema maisha tu ndio yanatufanya tusilifanikishe hilo ila tunapenda sana kuliko mnavyofikiria,… Hivyo mwanamke anaetaka kwenda leba hawezi kufanya ujinga kama huo, kuna hatari kubwa sana ya kumpoteza mtoto pale mwanamke anapojifungua,.. Sitaki kuingia ndani sana juu ya hilo, mana kuna watu wazima wanaisoma hii, kwahio sipendi kuweka wazi sana jambo hilo, ila kama utataka kujua zaidi nifate WhatsApp niulize swali lolote bado hapo sitaki kuingia ndani zaidi, itakuwa sio heshma, mana nikimdhalilisha mwanamke mwingine, ni sawa na kumdhalilisha mama yangu pia,.. Ila ukija WhatsApp nitakuambia….

Sasa bas, hio ndio hatari namba moja ya mwanamke ambae anafanya tabia hiyo ya kichafu,.. Tukija katika upande wa dini, unaambiwa ni bora kutembea na wanawake miamoja (100) au kutembelewa na wanaume miamoja (100) kuliko kufanya mapenzi kinyume na maumbile yako kwa tendo moja,… Yaani wewe mwanamke kuliko kufanya mapenzi ya tigo, ni bora utafute wanaume miamoja (100) utembee nao kuliko kufanya hivyo unavyotaka kufanya,.. Kitendo hicho mbele za mungu ni kichafu kichafu zaidi ya kichafu, na unaambiwa kuwa shetani anawashawishi mfanye, na pale mtakapoanza kufanya yeye hayupo, anakimbia mana ni kitendo ambacho hakifai katika jamii na hata kwa shetani ni kitendo kibaya, ila anawashawishi mkikubali tu, yeye anaondoka na kutokomea zake, na ndio mana pale mnapomaliza huwa waliotenda wanajijutia kwanini wamefanya hivyo, wanajuta wakati shetani keshaondoka hapo ndio wanaona sio sahihi…. Wanawake punguzeni ujinga wa aina hii, huo ni ulimbukeni wa mapenzi, Na sisi hatuoi wanawake wa aina hio hata kama tumewafanya wenyewe, hatuwaoi ng'oooo mtabaki na vidonda vyetu mkizurula mitaani tu,.. Sisi wanaume tunaoa kutokana na tabia ya mwanamke sasa leo umeshaguswa huko mwanaume nani mjinga akuoe, atakuoa yule mwanaume asiokujua maisha yako na tabia yako, na akijua tatamani akuache au akaishi tu na wewe hio basi tu kishingo upande,… Kueni makini wanawake, kama mwanaume anapenda huko nyuma basi jua huyo hakupendi bali anataka kukudhalilisha katika jamii yako, na sio kila anaekuomba huko tigo kuwa anataka kweli, wengine tunawapima wakikubali kama wana misimamo au ndio wale wale, ukikubali tu hapo hapo anakudharau na anakufanya kweli hata kama hakuwa na nia ya kufanya,.. Lakini ukikataa, anaweza kuchukia kwa siku hio lakini kwenye akili yake anajua wewe ndio mke bora mana umekataa kitu kama hicho, lakini kwa akili finyu za wanawake mmejaliwa kukubali kila kitu,.. Jamani nyie ndio wamama zetu lakini tabia zenu sio sahihi, punguzeni jamaniiiiii, sisi tunawapima tu ila mkikubali hatuwaachi na hatuwaoi ng'ooo,… Sasa ngoja nikupe siri ya mwanamke ambaye yupo ndani ya ndoa na ana tabia hio,… Kwa wanawake ambao wapo ndani ya ndoa, afu wana tabia hii, hua inakuwa hivi… Wanawake waofanya hivi hua kwa asilimia 5 ndio wanafanyiwa na waume zao, lakini kwa asilimia 95 wanafanyiwaga na Mchepuko, maskini ya mungu unakuta mume hajui kama mkewe anafanyiwa kitendo ambacho sio kizuri, lakini akitoka anafanyiwa na Mchepuko ila mume hajui, kwasababu anaogopa kumwambia mume wake kuwa anatamani afanyiwe hivyo lakini hawezi,.. Alafu hapo hapo mume huyo huyo nae anapenda kufanya mapenzi ya tigo, ila ni kwa mke wa mwenzie sio yule wakwake, kwahio wanakutana wanandoa wote wawili wana tabia moja, lakini hawaambiani na wala hakuna anaejua kuwa mwenzie anapenda tigo,.. Sasa je? Swali linakuja kwenu nyinyi wanawake kuwa…

Kama mchezo huo ni mzuri, mbona kwenye ndoa wanafichana? Na je ni kwanini jamaa kaoa mwanamke mwenye mapenzi ya tigo??…. Kumbuka pale juu nilisema kuwa, mwanamke huyo atakuja kuolewa na mwanaume ambae hajui maisha yake, wala hajui tabia yake.. Lakini sio yule aliokufanyia kitendo hicho, kamwe hawezi kukuoa, na akikuoa jua kuna kitu kimemfanya akuoe,… Eidha unaweza kuwa na mali nyingi, hapo hata ni mimi nitakuoa mana una chochote cha kunipa… Ila sio rahisi kwa yule anaetaka mke mwema na mwenye heshima ya ndoa,… Kwa taarifa yako utahudhulia ndoa za wenzako tuuu, ila ndoa yako utaihudhulia ndotoni peke yake, labda uolewe na dume lisiokujua….

JAMANI SAMAHANINI SANA WADAU WANGU,… SIMULIZI ZANGU MIMI NAPENDA ZIKUBURUDISHE NA PIA ZIKUELIMISHE, HIVYO MTANISAMEHE KWA KUWEKA SPICHI KAMA HIZO, NA KIUKWELI SINTOACHA KUANDIKA SPICHI KWA KILE KIBAYA KILICHOPO MACHONI KWANGU… CHOCHOTE KILE KINACHONIUMA LAZIMA NIKIONGEEE…

SASA TUENDELEE NA SIMULIZI LETU, ILA MNISAMEHE SANA WADAU WANGU

"uuuuuuuuuuuuuuuuwiiii… Subiri kwanza shem"

"nini tena… Jamani shem vitamu, please tuendelee"

"vinauma bwaaaaaaa"

"nikuambie kitu shem"

"nini tena chidi"

"lete mafuta ya mgando"

"Eti eeee…. Ngoja basi nikalete, mana ushanionjesha"

Aliongea jasmini huku akiamka na kujifunga kanga yake mana wapo chumbani kwa chidi,.. Jasmini aliondoka kwenda chumbani kwake kuchukuwa mafuta ya mgando ili aje waendelee na mchezo wao,… Chidi alishanogewa na kalio la shemeji yake, hivyo hakutaka kulitamani tu bali alitaka hata kulionja, na utamu wa sehemu hio kamwe huezi kuacha kwa yule muonjaji, tena haswa kwa wanaume kuacha ni ngumu yaani yupo tayari kutoa hata laki nzima ilimradi apate laini ya tigo mana ina vifurushi vinavyobana matumizi ya Internet,… Sasa huku kwa jasmini, ile anatoka tu mlangoni, kuangalia kwenye screen iliopo hapo sebuleni kwao, aliona gari ikiingia kule getini, mana kule getini kuna kamera ilionganishwa mpaka huku sebuleni hivyo mtu akigonga unamuona kabla hujarnda kufungua,… Hivyo Jasmin alimwona mume wake ambae ni Ibrahim, jasmini alirudi chumbani haraka na kuweka mafuta aliokuwa kayachukuwa kwa ajili ya kwenda kujipaka yeye na shemeji yake,

Tukija huku kwa akina miriam na sarah, wakiwa wanaongea kuhusiana na wapenzi wao walivyo na mazingira magumu,

INAENDELEA...

Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)