MUUZA CHIPS (74)
Sehemu ya Sabini na Nne, kufanya mapenzi na, na chidi na, aliondoka na kwenda, ashee penzi na, bado mdogo sio, basi niambie sasa, chidi na umefanikiwa
Zephiline F Ezekiel
6 min read
Mwandishi: MoonBoy
SEHEMU YA SABINI NA NNE
ILIPOISHIA...
ILIPOISHIA...
"kwani we wataka milioni ngapi chidi,.. Nitakupata"
Yaani chidi kuskia jambo la milioni, alizidi kujilamba mdomo huku akipiga mahesabu amtajie kiasi gani
KUNA MATANGAZO YANATOKEA YAGUSE KILA UNAPOFUNGUA SIMULIZI ILI KUNIPA NGUVU YA KUENDELEA
INSTALL CnZ Media ILI USIPITWE NA MIENDELEZO KILA INAPOKUWA TAYARI
SASA ENDELEA...
"aahhhh nadhani milioni 50 itakuwa ndogo sana kwangu, sasa sijui we utaongeza ngapi hapo"
Chidi aliongea kwa matambo utafikiri pesa kama hizo anazo nyingi kumbe choka mbaya tu
"chidiiii zaidi ya milioni 50 kwangu itakuwa ngumu,.. Kweli ninayo lakini nikikupa wewe nitaiua kampuni yetu"
"kwaio"
"chukua hio hio milioni 50 chidi, nikipata nyingine nitakupata… Mana sasa hivi mwezi unakaribia huu wafanyakazi watataka kulipwa, sasa nikikupa yote nitawalipa nini"
Yaani chidi ndio magoli yake anayopiga hayo hua hakoseagi hata kidogo, akilenga jiwe lazima lipige ndege wawili,.. Chidi alikubali na jasmini aliingia ndani na kutoka na kimkoba cha kike lakini ndani kina pesa taslimu shilingi milioni 50,
"sasa mbona koba la kike hili"
"we nenda bwana kaka yako asije kuskia basi"
Chidi hakuchelewa aliondoka zake mpaka geto kwake na kuanza kuhesbu pesa, kisha akazichanganya na zile zingine,… Kwahio hapo hakosi kama milioni 200 hivi na laki za kutosha,… Hii ndio raha ya kutembea na matajiri, sio uishie CHIPSI KUKU tu,..
Baada ya siku hio kupita na leo ni siku nyingine tena,… Ikiwa ni hoteli fulani hivi tofauti na zile za akina sarah na miriam,..
"lakini saida mbona umebadilika kiasi hiki"
Alikuwa ni mpenzi wake na saida aitwaye jemsi, alikuwa akilalamika mabadiliko ya mpenzi wake saida
"sikiliza jemsi, nishakwambia niache mbona huelewi lakini, we mwanaume gani usioelewa mapema"
"lakini nimekufanyia kosa gani saida wangu"
"sitaki kujua lakini naomba uwe mpole na mimi"
Saida alianza kumchukia jemsi wa watu kisa tayari keshaonja utamu wa chidi, yaani hapo mama yake asitegemee dawa tena bali ajue ndio kapata mkwe,..
"kama kuna kosa nisamehe basi"
"jemsi mnona huelewi… Mi nishakwambia nipo kwenye siku zangu mbona hunielewi"
"aahhhh basi ungesema mpenzi wangu kwani mi nitalazimisha sasa"
"sawa umeshajua ondoka.. Au kama unabaki haya"
Saidi aliondoka kwa dharau kubwa sana, yaani yule mpenzi wake ambae hakutaka kumsaliti leo ndio anamsaliti bila chenga, na ndio maana nasema mapenzi siku zote hayajaribiwi,…
Sasa leo tukija huku hotelini kwa akina miriam, leo chidi kaja kazini lakini bado anakuja siku akitaka ila sio kwamba kaacha kazi kabisa, ila yeye anasubiria kazi kutoka kwa saida, na wakati saida hana cha hoteli wala nini,..
Chidi wakati huo yupo jikoni anaendelea kupika na hakukuwa na boss hata mmoja aliejua kama leo chidi kaja,… Ikiwa ni mida ya saa tano hivi, miriam ndio anaona chipsi zilizokuwa zikipelekwa kwa wateja kutoka pale kaunta..
"we hizo chipsi kapika nani"
Miriam aliuliza mana chipsi za chidi zinajulikana
"kapika omari boss"
"omari kaja"
"ndio"
Miriam alitoka mbio mpaka jikoni, yaani hakuuliza kwanini chidi hakuja kama siku mbili hivi mfululizo, bali alimkumbatia kwa kummisi… Wapishi wote wa chipsi wanajua kuwa chidi na miriam ni wapenzi hivyo kitengo cha chipsi chote, kilikuwa kinamuita miriam shemeji, /ana wanajua kitambo tu,..
"chidi mpenzi wangu ulikuwa wapi lakini"
"aahhh nilikuwa naumwa kidogo boss na hata leo nimejikaza tu"
"kwanini sasa hujaniambia mimi ningelijua"
"samahani bosa"
"nani boss wako"
"basi nisamehe mamy wangu"
"babuu, mi nilikuwa na hofu juu yako"
"basi siku nyingine nitatoa taarifa"
Sasa wakati huo kumbe mama miriam alikuwa akiona kila kitu, yaani vile miriam alivyokumbatiwa na kuanza kumbusu mashavuni… Kumbe mama aliona kila kitu ila hajasikia maongezi kwasababu alikuwa kwa mbali kidogo…. Mama miriam aliondoka na kwenda ofisini kwake,…
"sasa chidi ngoja nikaongee na mama kuwa ulikuwa unaumwa"
"sawa"
Miriam aliondoka na kwenda ofisini kwa mama yake na kuongea nae
"mama… Omari amekuja"
"kwahio watakaje labda"
"anaendelea na kazi"
"ebu muite kwanza hapa, naona anacheza na akili yangu"
"mamaaaa… Lakini alikuwa anaumwa"
"sawa, lakini nina maongezi nae kidogo"
"sawa wacha nikamuite"
Tukija huku kwa akina jasmini na mdogo wake wakiwa wapo sebuleni baada ya kupata chai, walikuwa wakiongelea lile swala la jana la sabra kutaka kufanya mapenzi na chidi,..
"ivi sabra mdogo wangu, kama wewe umeniona nimefanya kitu na chidi sasa wewe ulikuwa unataka ili iweje"
"dada… Lakini ukumbuke kuwa na mimi ni mschana eti"
"funga domo lako mshenzi wewe, mschana ndio tufanye mapenzi na mwanaume mmoja, ivi tutadharaulika kiasi gani"
"lakini mimi na chidi tulikutana kabla"
"unataka kusema mlishawahi kusex"
"hapana ila tulipenda kitambo tu toka hata wewe hujaanza kukutana na kaka yake ila hatujafanya"
"sasa sitaki ufanye,.. Utaidhalilisha familia yetu, hata yeye atatudharau sana mtu na dada yake kumpenda mwanaume mmoja ni kosa sabra mdogo wangu"
"lakini mbona wewe umefanya nao na ni ndugu lakini umetembea nao wote"
"ni kweli… Lakini sio kuwa chidi nampenda, ila kuna sababu ilionifanya nifanye nae mapenzi"
Aliongea jasmini lakini wakati huo alikuwa hana hasira sana mana tayari siku ile ilishapita na hata mumewe mtarajiwa keshaenda kazini…
"dada… Mapenzi ni mapenzi tu hata kama kuna sababu"
"lakini nashukuru, hata nikiachana nae.. Ilimradi tu lengo langu limetimia"
"Lengo??????…… Lengo gani hilo dada, mbona mambo mengine hunishirikishi na wakati mali ni zetu wote"
"sabraaa, we bado mdogo… Sio kila jambo ulijue"
"sawa dada mimi nakubali, ila hebu niambie sababu ya kulala na chidi na umefanikiwa lengo gani"
"sawa… Ila nikikuambia usimuwaze chidi tena mdogo wangu, ni vibaya mno tukishea penzi moja kwake"
Aliongea jasmini tena kwa huruma kubwa kumaanisha kweli hapendi sabra ashee penzi na chidi
"sawa, kuanzia leo sitaki kuwa nae, japo keshaniona uchi wangu"
"haijalishi lakini usisex nae hata siku moja"
"sawa dada nimekuelewa…. Haya basi niambie sasa hio sababu ya kusex na chidi na wakati ni shemeji yako mtarajiwa"
Kulikuwa kuna sintofahamu hapo katika hio familia japo hatujui kile kinachojiri kwanini jasmini alifanya mapenzi na chidi, afu kumbe hampendi wala nini,..
Siri hio tunataka tuijue baada ya sabra kutaka kufanya mapenzi na chidi, ila sabra yeye kapenda kweli lakini jasmini yeye alikuwa ana sababu zake binafsi za kutembea na kijana huyo, ila sio kuwa kulikuwa na mapenzi ya kweli hapo
Jasmini baada ya kubanwa sana na maswali ya mdogo wake ilibidi tu aongee ukweli ili tu mdogo wake asije kuja kutembea na chidi, mana watadharaulika sana katika familia yao
"sabraaa, we bado mdogo… Sio kila jambo ulijue"
"sawa dada mimi nakubali, ila hebu niambie sababu ya kulala na chidi na umefanikiwa lengo gani"
"sawa… Ila nikikuambia usimuwaze chidi tena mdogo wangu, ni vibaya mno tukishea penzi moja kwake"
Aliongea jasmini tena kwa huruma kubwa kumaanisha kweli hapendi sabra ashee penzi na chidi
"sawa, kuanzia leo sitaki kuwa nae, japo keshaniona uchi wangu"
"haijalishi lakini usisex nae hata siku moja"
"sawa dada nimekuelewa…. Haya basi niambie sasa hio sababu ya kusex na chidi na wakati ni shemeji yako mtarajiwa"
Aliongea sabra huku akiwa siriasi mno wala hakuwa na utani na alitaka kuijua hio sababu ili asitishe kufanya mapenzi na chidi,..
"ni kweli mdogo wangu… Binafsi mimi ni kwamba, nampenda sana Ibrahim, yaan nampenda haswa….. Ukumbuke mdogo wangu sisi tumebaki wawili tu katika familia yetu, na katika mali zetu hatuna ndugu wa kiume hata mmoja ambae ataweza kutupigia kifua pale shida inapotokea,…. Binafsi yangu mimi nilikuwa natamani sana nipate mtoto, haswa haswa mtoto wa kiume ili baadae mali zetu zipate wa kuzisimamia vizuri kuliko sisi… Ibrahim nilitamani anipe mimba hata wakati ule tunaanza mahusiano, lakini kwa bahati mbaya nakumbuka nilienda kupima mbegu zake na kukuta hazikuwa na ubora wa kutunga mimba kwa haraka, yaani anatakiwa akae zaidi ya mwezi mmoja kisha aje kufanya mapenzi na mimi, hapo ndio afadhali anaweza kutungisha,.. Nakumbuka nilishawahi kumzuia zaidi ya mwezi mmoja asisex na mimi, mana mimi ndio ninaejua udhaifu wake,.. Lakini pia bado haikuseidia ila nadhani Ibrahim alikuwa na wanawake wa nje, na ndio maana hata nilipomruhusu pia hakufanya lolote zaidi ya ngono ya kawaida tu,.. Nilikuwa natamani sana kumsaliti nje ili tu nipate japo mtoto mmoja tu, lakini sasa niliposikia ana mdogo wake wa kiume.. Ndio nikafanya juu chini aje mjini, ili huyo huyo mdogo wake anipe mimba ili niwe na damu ya mdogo wake… Hio ndio sababu ya mimi kutembea na chidi, ni ili anipe mimba"
Aliongea kwa kirefu nwanadada jasmini huku machozi yakimtoka kwa hasira,..
"kwahio hapo ulipo tayari una mimba"
Sabra alimuuliza dada yake kuwa kwahio keshapata kile alichokitaka..
Lakini kabla sabra hajajibiwa na dada yake, ghafla jasmini anaamka mezani kwa haraka na kukimbilia bafuni, alichokiskia sabra huko bafuni, alijisemea tu mwenyewe
"tayari umeshapata mimba ulioitaka, lakini mimi sikutaka mimba, mimi nakapenda tu mana nilishakapenda toka siku ile anakuja mjini… Kwahio kama ni kusex nae basi mimi ndio ningelikuwa wa kwanza,…. Utanisamehe dada angu, lazima chidi nionje utamu wake,.. Yaani nitamtafuta kwa gharama zozote,.. Mpaka aniingizie ub**** wake"
Alijisemea kimoyomoyo huku dada yake akiwa bado yupo bafuni anatapika kana kwamba tayari mimba imeanza kutungwa huko,.. Ila sio mbaya mana chidi na Ibrahim wote ni damu moja, hivyo jasmini ndicho alichokitaka hakutaka kuleta mtoto wa nje sana, bora atembee na huyo huyo mdogo wake…. Wakati huo sabra ndio keshaapa lazima abakwe na chidi iwe isiwe..
Jasmini anarudi mezani kalegea hata macho yameshaanza kuwa mekundu..
"vipi dada unaumwa kwani"
Aliuliza sabra ilihali anajua sababu ya dada yake kwenda kutapika
"no,.. Sabra, ni hio mimba ndio imeanza kunichefua"
Aliongea jasmini huku akiwa kama kachoka choka hivi, mana ndio mimba yake ya kwanza kuipata kwa kupitia mbegu za chidi,..
Sasa tukija huku hotelini kwa akina miriam kama unakumbuka sehemu iliopita tuliishia mahali miriam anakwenda kumuita chidi baada ya mama miriam kumtaka chidi kwa ajili ya maongezi zaidi,… Miriam alimka na kwenda jikoni lakini hakuwa na furaha kabisa alionyesha dhahiri kuwa kuna kitu kitamtokea chidi,..
"omari… Boss anakuita ofisini kwake"
Aliongea hivyo kumaanisha mama yake anamuita ofisini kwake,.. Chidi alishtuka na kujua enhee sasa kitakuwa kimenuka, mana kakaa nyumbani siku mbili mfululizo bila kuja kazini,..
Chidi alijikokota huku miriam akiwa nyuma yake,
INAENDELEA...
Bonyeza Matangazo Kila Unapoyaona ili Kunipa Nguvu ya Kuendeleza Simulizi
Chapisha Maoni
Chapisha Maoni