TUPEANE (14)

0

JINA: TUPEANE
Mwandishi: Hafidhi J Ikram

SEHEMU YA KUMI NA NNE
“Kijana acha kujidanganya huwezi kupambana na mimi hata kidogo hao walio kutuma jiulize kwa nini hawakuja wenyewe kuifanya hiyo kazi walijaribu wakashindwa umesema mimi ni sawa na sisimizi ndio sikatai ila wewe ni kiroboto tu huwezi kufanya chochote juu yangu kama unaweza basi nakualika leo usiku saa nane katika uwanja wa shule tuonyeshane kazi!!!"

SASA ENDELEA...
Sikutaka kuongea sana zaidi ya kufanya vitendo nikamgeukia yule binti akiwa anatetemeka nikamshika na kumvutia kwangu nikanza kumnyonya denda huku nikizishika shika chuchu zake mchongoko hakuwa mmbishi katika zoezi lile akaonyesha ushilikiano zaidi huku
Nipe nikupe akibaki kukodoa macho
tu asijuwe cha kufanya
nikamchojoa chupi
huku tukitoleana mighuno
Assssss,,,possess!!!!
aaaaaaha nikamuweka style ya chuma mboga na kuutoa mkomboti wangu
huku nikikiandaa vyema kisimi chake,
Nipe nikupe hasira zikamshika na kuunguruma kwa kwa sauti ya kutisha mpaka walio kuwepo msibani wakastuka kwa kishindo cha sauti ile
nikiwa najiandaa kuuchomeka mkomboti wangu
Nipe nikupe akaja mbiiio kwa kasi ya kimbunga kunirukia nikamnyooshea mkono tu!,

Baada nipe nikupe kushikwa na hasira
akaja kwa kasi ya kimbunga kunivamia
nikamnyooshea
mkono tu akajikuta anarushwa mbaali na pale akatua chini puhu!!!
kama mzigo wa kuni binafsi hakuamini nikamgeukia na kumuonyeshea kidole cha kati akabaki kughaa sharubu tu nikauchomeka mua wangu kwenye kitumbua cha yule binti gafla kwenye kijumba flani watu wakatoka ndani mbio huku wakipiga kelele ya kwamba maiti imepiga chafya
“vipi tena muosha maiti mbona mbio?"
huku akihema akajibu
“wee acha tu wakati naendelea
kumuosha kumbe kashazinduka kitambo tu
anatoa mighuno ya kimahaba,
ikabidi baba yake yule binti na baazi ya wazee waingie ndani kushuhudia je ni kweli au ndoto tu!
kitendo cha kuingia nikafanya jambo maana nikiwaacha waende kuugusa ule mwili utaamka na kunikatia uhondo wangu
kabra sijapizi nikakituma kiumbe kidogo tu kinatisha mbaya walipo ingia tu wakajikuta nao wanatoka
mbio huku wakipiga mikelele “jini!!!jini!!!
jamani tunakufa kuna mzee mmoja
ana mshipa na kanzu aliyo vaa akajikuta anaenda chini chali nikabaki kucheka tu
huku nikisukuma mashine kwenye kitumbua cha yule binti kina
joto flani hivi nikasikia sauti ikisema
“ahaa! kumcheki anae sema hivyo ni
Figisu huku mikono kaweka
mdomoni
nikampa ishara wee mtoto
fumba macho binti akazidi kukatika miuno asssssss,,,ahaaaa,,,ohooo,,nikajikuta namwagia uji wangu humo humo kwenye kitumbua chake
ile namwaga tu na
kuuchomoa mkomboti wangu binti akayayuka mbele yangu
maana hiki kilikuwa kivuli tu mwenyewe yupo kule kitandani kutoka kwenye kijumba kile zikasikika kelele za yule binti akiomba msaada
kumbe wakati ana amka akakutanisha macho yake na kile kiumbe nikampa ishara
Figisu afanye mambo katika kuupima uwezo wake
hakutaka kuremba wala nini faster akazama mule ndani,
yule binti aka nyamaza nikageuka kumcheki
Nipe nikupe hayupo dahaa!!
watu wakajazana eneo lile lakini kila mmoja alikaa mbali na nyumba ile
Azizi nae sijui alistuka saa ngapi maana na yeye nikamuona yupo kati umati wawatu
“sasa mzee mwenzangu hali mbona imekuwa ngumu hivi?"
“mimi sielewi kwa nini hali imekuwa hivi,
sasa hapa tumngojee mganga
Kubina afike tu!!!
yalikuwa mazungumzo kati ya baba wa yule binti na mzee mmoja wa pale kijijini
nikajigeuza mtu mwingine kabisa kama shekhe flani hivi,
embu niwape kisa kimoja kabra sijaendelea na muvi yetu matata sana hii
hapo zamani za kale kulikuwa na kijana mmoja
anaekwenda kwa jina la
Othmani hassani ni kijana mcha Mungu sana huyu hakuwai hata siku moja kuchelewa katika swala ya jamaa akawa ni mtu wa kusoma sana Qur an
na kujiepusha na mabaya yote aliyo yakataza Allah (s.w.t)
kumbe shaitwani ana umia roho vibaya sana
akatafuta kila mbinu ya kumteka
Othman akashindwa kijana alikuwa kizingiti kikubwa sana kwake akaamua kuja na mbinu hii ya kujigeuza bonge la shekhe smart sana tu akawa hakuwa ni mtu wa kuswali kwa maana ya kwamba inapo somwa Qur an ina muumiza kichwa ijapo kuwa yeye mwenyewe
kahifazi juzuu zote 30
akawa anavizia time ile watu wakitoka msikitini tu anajichanganya nao ikawa tabia yake ni ile ile kuna siku
Othman akajiulize
“hivi yule shekhe ana tokea wapi
maana sijawai kumuona katika msikiti huu!
basi siku moja baada swala ya saa kumi akaamua kumfata na kumsalimia
“Assalam alaykum shekhe!!!
akaitikiwa
“Waaleykum ssalam kijana Qifa kh'al?"
“bigh‘ail,
“niambie kijana wangu,
“sijui niseme nini shekhe wangu kwa kifupi tu nimevutiwa na jinsi ulivyo natamani kuwa kama wewe tu,
“ha!ha!ha!ha! kijana mbona kuwa kama mimi ni kazi ndogo tu!!!

“kazi ndogo kivipi si mpaka nisome sana ndio nije kuwa kama wewe,
wakati anaongea vile kumbe shaitwani kashaingia kwenye mishipa ya damu ya yule kijana na kumwambia msikilize shekhe
akisemacho, basi akapewa
mashart matatu tu
akiyafanya hayo atakuwa bonge la shekhe zaidi yake eti
anywe pombe kisha aende kuzini baada ya hapo auwe astaghafir llwah,
ni mazambi makubwa haya
basi kwakuwa kijana tamaa ya kuwa kama yule kesho yake akadamkia kirabu cha pombe wengi walio muona wakastuka sana kumuona
Othmani kunywa pombe kila mmoja akasema lake lakini ndio hivyo pombe ikamzidia akaenda chooni baada kuingia vyoo vya kiume akaingia vya kike akamkuta binti anajisaidia basi hakuremba akambaka yule binti akatoka chooni na kuwakuta kuna wateja wamekaa meza ile aliyo kaa yeye akaanzisha vurugu na kumpiga na chupa ya kichwani mmoja wao matokeo yake akauwa,
Shetani akafurahi sana kwa kuweza kumteka yule mcha Mungu,
Othman akakamatwa na kwenda kutumikia kifungo cha maisha jera cha kujifunza siku zote sheitwani anapenda kuongeza wafuasi katika kundi lake si ajabu kujigeuza baba yako mama yako au mtu yeyote yule wa karibu yako na kukupeleka mwenendo sio unampiga mkeo au kumdharau mumeo kisha mchepuko tu wa nnje basi shaitwani anaitaji mpeane taraka zinaa iongezeke tena katika karne hii wazazi
washafanywa
mambumbu kwa kutaja mahari nyingi kwa mabinti zao ili tu
vijana washindwe kuowana
matokeo yake wanabebeshana mimba,

nikajichanganya na umati kuna mama mmoja akasema “jamani mpaka tumngojee huyo mganga saa ngapi si tumwambie hostadhi au shekhe hapa,
“sasa huyo shekhe yuko
wapi?"
mimi hapa shekhe, nikajitaja mimi ndio shekhe kumbe sina lolote mzimu tu,
“afadhali kumbe mkombozi yupo
hapa hapa,
ni maneno ya mzee mmoja hivi,
bila kupoteza muda tukaongozana mpaka karibu na ile nyumba kufika tu wakaogopa kuingia

mi nikazama na kumkuta
Figisu akiongea na yule binti nikamwambia
Figisu atoke nnje ila kwa ishara ya kwamba asionekane na yeyote wakati anatoka ni nikamsomea somea kwa kuzuga tu kisha nikatoka nnje na kuwaambia
“jamani ndugu wana kijiji kwanza poreni kwa kushikwa na taharuki
kingine binti hakufa kama mlivyo zania bali alipoteza fahamu tu
kingine kuna mdudu anaitwa
Nipe nikupe ndio alikuwa anamchezea
baada kutaja jina la
Nipe nikupe tu wana kijiji kila mmoja akaingiwa na hofu ya ajabu sana nikaendelea kusema “sasa basi kwa kuwa shekhe niko hapa naitaji kufahamu huyo
Nipe nikupe nitampata wapi?"
hakuna aliye weza kujibu zaidi ya kumuona mzee mmoja macho yake yakibadirika na kuwa mekundu yakiwaka moto hakuwa peke yake wapo kama sita hivi nikajuwa tu bila shaka wafuwasi wake hawa mbona patamu naanza nao kwanza hawa kisha nitamalizana nae yeye mwenyewe
“ndugu zanguni naomba mtambuwe ya kwamba kuanzia leo shetani hana mamlaka tena katika himaya ya mwanaadamu sasa basi yeyote mwenye shida au matatizo wakati naongea gafla zikasikika kelele
“jamani!!! motooo!!! kila mmoja akakimbilia kule kelele zilipo tokea kufika dahaa ile nyumba ninayo ishi mimi inawaka moto na juu ime izekwa nyasi basi wee nikatizama juu
nikastuka!!!

baada kutizama juu na kukutanisha macho yangu na kiumbe cha ajabu tena kinatisha vibaya mno nikastuka,
maana ule moto haukuwa wa kawaida ni yeye ndio anaye utema nikacheki huku na kule na kujiuliza hivi
Figisu yuko wapi sikuweza kumuona nika jaribu kuvuta hisia niweze kumuona
Figisu nikaweza kusikia sauti ya kilio ikitokea kwenye ile nyumba inayo
waka moto nikajivika kuvuli faster nikazama ndani huku wana kijiji waki jitahidi kuuzima moto kama ujuavyo vijumba vya kijijini nyingi zimejengwa kwa udongo juu zime ezekwa kwa nyasi nikajisemea nyie jisumbueni hapo hata zije faya mia moja huo moto hauto zimika baada kuingia ndani nikamkuta
Figisu ana hangaika kutafuta sehemu ya kutokea
kumbe huyu kiumbe aliye kuja ana uwezo mkubwa sana
mpaka
Figisu hakuwona mlango dahaa, basi nikazunguka kama feni yani kwa kasi ya ajabu upepo mkali ukavuma huko nnje na wingu zito kutanda vua kubwa ikaanza kushuka nikam beba
Figisu na kutoka nae nnje nikacheki tena juu na kuona kile kiumbe kikijiandaa kusepa nikamwambia
“Figisu baba naomba uningojee nitarudi sasa hivi,
“mi naogopa kubaki peke yangu baba, “usiogope nitarudi sasa hivi!!!
baada kumwambia vile nikapaa na kuanza kumfatilia kwa nyuma mwendo wake haukuwa kasi sana ila alipo gundua ya kwamba kuna kitu nyuma kinamfatilia akazidisha mbio ikawa mkimbize mkimbize tu mpaka tukajikuta tuna tokea sehemu moja hivi yenye magofu na kuwekana mtu kati
kwa hasira alizo kuwa nazo akaunguruma khuu!!!!khaaa!!!
nikamjibu kwa kuunguruma vile vile
tukaanza mapambano ya kutupiana moto yani piga nikupige
baada mtifuano ulio chukuwa dakika kama tano hivi na kujikuta tukivunja vunja magofu ya kale
kila mmoja akabaki kuhema tu na kutoa moshi mzito puani tena mweusiii
nikamuona akijiandaa kuja kunivamia kwa kasi nikajitegeshea kitu kinaitwa high volcano basi alipo nigusa tu akabaki kutetemeka huku akipiga kelele za maumivu chezea mimi wewe
nikasikia sauti ya kitu kama upepo hivi ukivuma na kuja eneo lile basi nikacheki ni
Figisu akija kwa kasi alipo fika tu akazama tumboni mwa yule kiumbe gafla akapasuka vipande vipande na kutawanyika
Figisu akatoka huku akijipangusa nikabaki kushangaa kwa uwezo ule wa ajabu sana “duhuu Figisu umewezaje kufanya hivi?"
akanijibu ya kwamba ni mambo madogo tu haya hatukuwa na kingine zaidi ya kuondoka eneo lile na kurudi kijijini tukakuta hali sio hali yani mambo si mambo kijiji kimechafuka nyumba zina dondoka kwa vua ile kila eneo mafuriko watu wana angaika kuamisha vitu kwenye vijumba vyao,
Figisu akanipa ishala nifanye kuituliza vua maana haikuwa ya kawaida zaidi ya kutoka kuzimu
nikafanya kama alivyo niambia kwa kunyoosha mkono juu vua ikasimama ikidosha manyunyu tu mwisho ikatulia kabisa nikabaki mimi na
Figisu tukibaki kuwatizama
tu maana dahaa
kijiji majanga,

Tukiwa bado tunakodoa macho tusijuwe cha kufanya nikaweza kuiyona gari aina ya Jeep ikija pande zile baada kufika ikasimama akashuka baba na vijana kama wanne hivi wote wakiwa ndani ya combati za kijeshi na kuangaza angaza macho tu

KWA WATUMIAJI WA APP KUNA MATANGAZO YANATOKEA KWENYE APPLICATION YETU HIVYO UKIYAONA NAOMBA BONYEZA HAPO NDIO UNANIPA SAPOTI MIMI, UKIBONYEZA UNAWEZA KUCANCEL SIO LAZIMA UENDELE ULIKOPELEKWA, KIKUBWA UBONYEZE HATA MARA 2-3 KILA UKIFUNGUA APP YETU


TAZAMA KICHEKESHO HIKI KISHA BONYEZA SUBSCRIBE ILIYOPO CHINI YAKE WAKATI TUKIELEKEA KWENYE MUENDELEZO

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)